NIFUATE - K2ga Ft Alikiba & Samatta (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2021
- NIFUATE is the project held by Samakiba Foundation , Founded by Mbwana Ally Samatta and Ally Saleh Kiba, with the aim of raising fund
K2GA provided the project with this special anthem using his special talent to support the movement Founded by his Kings Music Boss ( Alikiba)
Connect With K2GA on Social Media:
Instagram: / k2ga_tz
Facebook: /
Audiomack:audiomack.com/k2ga
Twitter: / k2ga_
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
TikTok:vm.tiktok.com/ZSmuTQ2W/
Connect With Samatta on Social Media:
Instagram: / samagoal77
Facebook: / soka360tz
Twitter: / samagoal_77
#K2ga #Alikiba #Samatta
©2021 Kings Music Records.All rights reserved. Видеоклипы
From Kenya naomba tuwafuate na like ata 100 jameni, wapi likes za k2ga na king kiba
Hongera bro umetishaa
Kings music for life, gonga like kwa kings music
Nipeni like nami nijisikir jaman team Kings jaman du ngomq kali sn noma #k2ga
K2GA, Team Kiba 🔥🔥 Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Nifuate is🔥🔥🔥🔥 Team samatta&team kiba woote gonga like apa twende sawa
Samahani kings music tunaomba huo wimbo Wa nifuate urudiwe
Irudiwe🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nice sana 👍🏼
Hiii kali ❤️
Nope like mbili tu kwa kusoma comment 😘😘😘team kinda forever.
🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Kings music ndio njia ya maisha yangu tuko mbio sana hawatuon hata vumbi
K2,GA sauti unayooo lazima nifuate
Webwenge hakiamungu unajua mpaka unakela mungu akubariki ufike mbali kimziki unajua jombi ,k2ga one
Leo na mim nimekuwa Wakwanza jama nipen hata like 50
Namuelewa Sana k2ga anajua sana
K2ga uko vzr brother toto la King's music
Karibuni Iringa team kiba f9r life🔥🔥🔥🔥🔥
# nifuate bele kwa bele 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️mpaka kieleweke wangapi tunakubaliyana na project king Kiba and samata 💫
Team kiba sauti zao zina kutoa stress za maisha ..ni good music.k2ga fire..
Ume kuwa Kaka Kali kweli ata kwajili ya Africa league IKO Sawa team kiba #nifuate
K2ga 🔥🔥🔥 vocal kali
K2ga Umeuaaaaaaaa✅✅✅✅🤛🤛
Jaman Voice hyo nan kaielewa kama mm😳😳❤️❤️☝️
❤
Daaah nimechelewa kucommente nimekua mtu wa78
MchizWaUk Nifuatee 🔥🔥🔥
Team kiba hapa 💣💥💥💥
Natamani huu wimbo ungesikika na Hivi k2ga ft Tommy fraver
Kwamara ya kwanza
Nufuatee mme tishaa Sanah
Umakini wa kiwango cha hali ya Juu King's Music Records Lebel 4Life
Nifwaaaaaaateeeeeee UKONGA MABEGANI MWA MWANENU #K2GA #kingsmusicforlife
Oyaaaa tunatrend namba12 huku
Baba Ki2ga ..iyoo vocal ni fireee mzeee big up ...ndo TUSHAWAFATA sasaa
Huyu jamaa mbona kama Alikiba!!
Oyaaaa huyu jamaa anasautiiii kalii
Mambo mazuri #NifuatetwendepamojaIringa
K2g tupeburudani tulimisi sauti yako pamoja mistari yako nice song 🔥🔥🔥💓💓💓🎤🎤🎤🎧🎧🎧🇹🇿🇹🇿🇹🇿
First comment🔥🔥🔥🔥Pin this☝🏼
Jamaa analiza sauti kama kinanda😂💥💥💥k2ga hatarrr kaka
rahaa kuwa kings 👍👍👍👍
Tujuane apa watu wa king K2GA from moz yeah 🇲🇿
Nifuate ya mwaka huu iko fire sana
Kabsaaa tam sanaa
Nyimbo tamu sana
Yeeebababahh
Kweli💫
daah cjawah kuwa na shaka na uwezo bravo hit song fln wid different flavour
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Balaaaaaaaaa
Nyimbo nzuri yakuwavuta watu karibu kuwa na upendo,umoja nimeipenda kwel
Lini iyoooo nifuateee namimi
tarehe 21
Mwez uuh
Mashabiki ndiokilakitu tuiyangalie ngoma msanii apateham yakutoa kaz tusimuangushe
Tunakuja mzee
Oya k2ga ni nomaa sana
Daaaaaah kubabek bonge la ngoma lina vibe ya hatar
Oyaaa iende trending
KINGS4LIFE 🌍 🌎 🌍
ruclips.net/video/8lfJeT8Bcm4/видео.html
Km kw
Wizzyk2ga apa
P#k2ga
Mtu mbady k2ga
Kama umekubalii nifuate naomba like 2 tuuuuu king kibaa from Canada. Hommy tv
Bro vipi
@@mohdloushmoney9994 k2ga anajua huyu mwamba
Kituuuu hii iko poa 🔥🔥🔥🔥
k2ga one🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥
Nifuate 💥💥💥
Furaha kubwa ilioje kwa kila Mtanzania kwa hakika ni ubunifu mkubwa sana kwa kisaidia watu tofauti tuwaunge mkono KING na SAMATTA kwa nguvu zote
K2ga unajua sna adi unaboa yaniiiiiiiii✍️✍️👊
Mwana mfarume🤴🔥🔥🔥🔥
K2ga mchizi wa Uk...🔥🔥🔥🔥
😁😁noma alafu huo anaimba utan je akiimba serious
Kwan jaman izi like zina utamu gan kila m2 anataka
Awwwh! Team kiba🔥🔥🔥🔥👂👏🌟👑
❤
Fireee
Tupambne tuifikishe namba one on trending
Tatatizo team kiba wavivu sana au sijuwi tuko kidongo ata sielewi
@@hidayaking3383 😍😍😍
Endeleeni kuotaa
@@afterfull-time1348 pokea zawadi nono ya kumwagiwa shahawa mkunduni mwako shoga ww
@@NellyWaKidato Na huo upuuz ndo maana hamuendeleiii
Noma saaana
Dah! Nimechelewa ila sio mbaya
Congratulations sana kaka k2ga sauti nzur kama vile kaka aliy kb
Nakubali youngking
K2ga ,MCHIZ WA UK tunataka kingsmusic iliyochangamka zaid mnapoa sana mnatuangusha wana kings
I love kings musica from Moçambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Parabéns eu também
🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Ola Tudoo Tudoo bom
King
Ok
This song is a damn vibe 🤸♀️🤸♂️🤸♂️🤸♀️🤸♀️Nifuate 2021 here we come👑👑👏👏👏👏👏👏
Wataelewa tyu moto umewakaaa
Team kiba for Life
Naomben jaman👊🏽
ooyiiiiiiiiiiiii tunakuja tunakuja....🔥🔥🔥🔥🔥🔥 king musc
Mchiz wa uk ni 🔥🔥🔥🔥
Mchizi wa UK🔥🔥
Woooooh I can't wait to see this💓💓💕💓💕💕✨💕✨💕💓💕❤️💕💓💕💓💕💕💓💕💓💕💓💕💓💕✨💕✨💕✨💕💕✨💕✨💕✨💕✨💕💕✨💕✨💕✨💕💓💕💓💕💓💕💕💓#SAMAKIBA @officialalikiba X @samagoal ths time we need to b the winners @team_kiba
Kings music 👑
Team kiba balaaaa zito like apa
❤
K2gaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nakukubari,,,,Snaaaaaaaaaaaaaaa
Hongera kipenzi
Samakiba nifuatee iringa kamwene tunakuja mwana wa mfalme ni🙌🙌
Kali sana nakubali naomba like hata 50 tu
Asee mwaka huu mtauwa sna king music mwaka ni wetu
Sauti 🔥🔥
Atalii mzee Kings Music we make it
Let's goooooooooooo Nifuate 2021 uwiiiiiiii🔥🔥🔥 best football song👏👏👏👏👏👏👏👏
K2ga4life 🎶🎶🎶🎶 unajuwa sana brooo
K2ga for life 💐 💥
Nifate 🙌🔥
Uko Njema Kiba Mdogo k2ga 👍👍👍👍👍
Fireeeee
KINGS MUSIC WORLDWIDE 🌐 💜 ❤ ♥ SO TALENTED #K2GA
Wimbo umekaa kisoka zaidi big up sana kwenu
Big up kwako k2ga, huwa nakukubali xana nyimbo zako🔥🔥#Hawataki
Mm naitaji tu like kama w n timu kiba
Ali kiba uyo ki2ga anajua tena anajua sana usiache kumpa kampan yako ili afike mbali zaid, mrith wa saut yako
Hongera Sana team kiba
Oyaaaa ifuate kings music kwa mambo matamu na motooo,Kings music forever
uyu ndio kings music original ndio maana akitoa tu nyimbo inakuwa on trending
Nifuuuaaaaate🤲🏃♂️🏃♀️
Tunaosikiliza hiii ngoma huku tukisoma comment gonga like
KINGS4LIFE 🌍 🌎 🌍 NA TULIKO USA 🇺🇸 TUNA WAFUATA PIA✌
Jamani mie nauliza wale walio kimbia king music wako wapi Leo #k2g piga kazi mdog wangu