Hii nyimbo zenu zote zinabariki sana inafanya nielewe kwa undani unabii yaani inafanya najihisi nko mbinguni , mbarikiwe na karibu sana kenya kwa wingi mkuje mbariki wakenya,napenda sana uimbaji, pia mimi mwanachoir katika kanisa la nyumbani,inaitwa chebarus sda church kitale, nawakaribisha sana uku chebarus
Hakika nabarikiwa na jumbe zenu mnazozitoa kupitia uimbaji mwenyezi Mungu azidi kuwabariki pia awape afya ili wengi wapate kuokolewa kupitia nyimbo zenu zenye mafunzo yaliyokamilika❤❤
Whaoooo!!!!!! MUNGU azidi kuwabariki na kuviinua vipaji vyenu alivyowajalia katika kumtukuza na kumwimbia MUNGU wetu mwenye enzi!!! Mbarikiwe Love from Furaha choir-Swahili service-LONDON
THE VOICE OF PROPHECY Inawashukuru saana watazamaji wetu wachannel yetu endeleeni kutufuatilia ilikupataujumbe wa siku zamwisho nawamatumaini hatunamuda wakupoteza tuendeleekusamabaza jumbe hizi zamarejeo ya yesu.KUMBUKA YESYUANAKUJA JIHUSISHE
GOOD GOD!! I almost Fainted because of too much happiness 😊😁 I think Angel Gabriel was also there Blowing His Trumpet 🎺 while these Precious Children of the Most High GOD were singing. When the Praises goes up, GOD'S Glory comes down
Barikiwen wote nitumien no za watatu wenu mlioimba wimbo wa magonjwa yanayotusumbua 1 jamaa mwenye ndevu nasharaf 2 mwenye kofia nyekundu 3dada sauti ya keanza sololist
"Shetani hutenda kazi pia kupitia nguvu za asili kuvuna mavuno yake ya watu ambao hawajajiandaa. Yeye amejifunza siri za maabara ya viumbe vyote, na anatumia nguvu zake zote kutawala na kuongoza nguvu za asili kwa hali ya juu kadiri Mungu anavyoruhusu Wakati alipohangaika kumtesa Ayubu ni kwa haraka kiasi gani mifugo na ng'ombe, watumishi, nyumba, na watoto vilifutiliwa mbali, Shida moja ilifuatiwa na nyingine kama ndani ya dakika moja tu". GC 589.2
I loves you God's servant your songs really do preach teach and gives hope to the hopeless .be blessed as you keep on spreading the gospel to entire world.
VOP am very blessed with your songs which are uplifting many souls to God. They real touch me. A kind request if you get an invitation to our camp meeting please accept to deliver such a powerful message, mubarikiwe sana
Mwajua fika nawapenda sana tena sana! Ila kuna kitu mnasahau ndugu zangu! Tunao ndugu zetu viziwi hawabarikiwi na jumbe zetu hizi zuri! Hamuwawekei wakalimani!
Ujumbe unaobariki. It is the Primitive godliness, the christ-like simplicity, the modesty in dress, the depth-reaching messages and principles that your Music is Pillared on that keeps me ever following this Ministry, May This Pillars never be cast aside.
Hii nyimbo zenu zote zinabariki sana inafanya nielewe kwa undani unabii yaani inafanya najihisi nko mbinguni , mbarikiwe na karibu sana kenya kwa wingi mkuje mbariki wakenya,napenda sana uimbaji, pia mimi mwanachoir katika kanisa la nyumbani,inaitwa chebarus sda church kitale, nawakaribisha sana uku chebarus
Hakika nabarikiwa na jumbe zenu mnazozitoa kupitia uimbaji mwenyezi Mungu azidi kuwabariki pia awape afya ili wengi wapate kuokolewa kupitia nyimbo zenu zenye mafunzo yaliyokamilika❤❤
VOP Mungu azidi kuwatumia kuzisogeza roho nying karib na kristo
Mungu awabariki.nyimbo zenu nzuri sana zinamafundisho
Wimbo mzuri sana. Natazama kutoka Kenya na nyimbo zenu zinaniweka Karibu na mwenyezi Mungu
oooh barikiwa tomas karibu kasulu tanzania
Aminaaa.
Natamani hatima ya huduma hii ya ajabu mko nayo...tukutane pamoja na nyinyi mbinguni.
Wapendwa tukaze mwendo...tuzidi kuombeana.
Mbarikiwe, nawafuatilia sana VOP hasa huyo soloist ananivutia sana namna anvyosolo
Safiiiiiiiiii sana. Bwana Mungu awabariki waimbaji
Whaoooo!!!!!! MUNGU azidi kuwabariki na kuviinua vipaji vyenu alivyowajalia katika kumtukuza na kumwimbia MUNGU wetu mwenye enzi!!!
Mbarikiwe
Love from
Furaha choir-Swahili service-LONDON
Natamani kwenye harusi angu niwaalike, mnanibarik sana V.O.P Mungu awabariki
inawezekana tuu unawezakutualika
THE VOICE OF PROPHECY Inawashukuru saana watazamaji wetu wachannel yetu endeleeni kutufuatilia ilikupataujumbe wa siku zamwisho nawamatumaini hatunamuda wakupoteza tuendeleekusamabaza jumbe hizi zamarejeo ya yesu.KUMBUKA YESYUANAKUJA JIHUSISHE
GOOD GOD!! I almost Fainted because of too much happiness 😊😁
I think Angel Gabriel was also there Blowing His Trumpet 🎺 while these Precious Children of the Most High GOD were singing. When the Praises goes up, GOD'S Glory comes down
May Hod continue blessing you so you can bless us too❤❤
Mubarikiwe sana Jan mnaimba vizur sana
Barikiwen kwa kazi ya mungu
Congrulation Don Bosco media for good job.
Mwalimu wa vop mngu akubariki
Hii safi sana, Brown nakuona visa vyako
Toka Burundi nawapendasana mbarikiwe sana
Barikiwen wote nitumien no za watatu wenu mlioimba wimbo wa magonjwa yanayotusumbua 1 jamaa mwenye ndevu nasharaf 2 mwenye kofia nyekundu 3dada sauti ya keanza sololist
Amini longing to meet you vop
Kinacho nifurahisha mimi ni ujumbe wenu pili nikwaya ya kigoma, mmetueshimisha wanyumbani
Vop kasulu choir, MUNGU aendelee kuwabariki Sana maana tunabarikiwa na kusogezwa kwa YESU.
Mwende mbali destination Mbinguni
"Shetani hutenda kazi pia kupitia nguvu za asili kuvuna mavuno yake ya watu ambao hawajajiandaa. Yeye amejifunza siri za maabara ya viumbe vyote, na anatumia nguvu zake zote kutawala na kuongoza nguvu za asili kwa hali ya juu kadiri Mungu anavyoruhusu Wakati alipohangaika kumtesa Ayubu ni kwa haraka kiasi gani mifugo na ng'ombe, watumishi, nyumba, na watoto vilifutiliwa mbali, Shida moja ilifuatiwa na nyingine kama ndani ya dakika moja tu". GC 589.2
Amen God bless you.
Uiii AMEN AMEN AMEN AMEN
VOP Mwenyezi Mungu naendelea kuwatunza na kuwabariki mnanibariki sana kwa nyimbo zenu be blessed
Amina!! na Mungu azidi kuwabariki
amina
I loves you God's servant your songs really do preach teach and gives hope to the hopeless .be blessed as you keep on spreading the gospel to entire world.
amen
❤ much blessings from God
Aminaaaa barikiwen
Another excellent song! All your songs are great blessings. May God continue to use your choir to spread His Word. Stay blessed.
Amen
Kwa nini wamevaa kofia,haimpasi mwanaume kufunikwa kichwa akiwa kwa kazi ya mungu,
Kipindi gani?, kwani wanahutubu?
VOP am very blessed with your songs which are uplifting many souls to God. They real touch me. A kind request if you get an invitation to our camp meeting please accept to deliver such a powerful message, mubarikiwe sana
❤❤❤🎉
Amen
Very good song
keep it up guys😘
Wimbo huu unanibariki sana Mungu awabariki waimbaji wa VOP Kasulu
❤God bless
The uniqueness your songs is just amazing. Endeleeni vivyo hivyo. Mungu awabariki.
Tujikaze watoto wa Mungu ili tumlaki Bwana wetu YESU KRISTO mawinguni 🙏
Mwajua fika nawapenda sana tena sana! Ila kuna kitu mnasahau ndugu zangu! Tunao ndugu zetu viziwi hawabarikiwi na jumbe zetu hizi zuri! Hamuwawekei wakalimani!
Mr,kapele tunakupata kwaushauriwako tutafanya kamaulivyoshauri ubarikiwe nduguyetu
Hallelujah. Hakika maisha yatakuwa mapya.
Amen
Ujumbe unaobariki. It is the Primitive godliness, the christ-like simplicity, the modesty in dress, the depth-reaching messages and principles that your Music is Pillared on that keeps me ever following this Ministry, May This Pillars never be cast aside.
Makini!
VOP hongereni kwa nyimbo nzuri za kumsifu MUNGU.
asante
Amina wapendwa... Naomba kuwasiliana na mwalimu au kiongozi wa kwaya
dominc usijali hii ninamba ya mwalim wakwaya 0756868184
Habari wapendwa naomba namba za huyo dada mwimba solo
Mbarikiwe
Bwana awabariki sana kwa kazi njema mnayo endelea kuifanya by pr, Shija
pr shijja endeleakubarikiwa nasisi pamoja
Amen.May God bless you so nice song
How can we invite you in our camp meeting 2025 kindly, I love your songs
Aminaaaa
Nimebarikiwa
Barikiwa sana wana Kasulu kwa wimbo mzuri kiasi hiki
ooo endelea kubarikiwa nasitutaendelea kuwabariki kwanyimbo nzuri zaidi
Amen ,what a blessing may God bless you VOP
Hamjawahi kufeli vop. Mbarikiwe mpaka mshangae .
asante elabu
Nabarikiwa Sana na hudumu yenu nzuri ya uimbaji. Mungu azidi kuwatumia mfike mbali zaidi. Mbarikiwe Sana, nawapenda sana.
asante ubarikiwe pia
Voice of prophecy Mungu awabariki Sana mzidi kutumika kwake🙏🙏🙏
amina ubarikiwe pia debora
Amina. Sabato njema kwenu nyote na kwa kila anaye ufuata wimbo huu.
asante samuel
Amina! Being blessed with your inspiring songs
thank you
I'm blessed alot With you VOP. May God bless you abundantly.
amen
Wow being blessed by you guys.vop you are really a blessing
amen amen
Nawakumbuka sana,Bwana awabariki
amina
Amani mnanipa moyo Si MUNGU awabariki sana
amina
Aminaa Sanaa Mfike mbaliiii🙏🙏🥰❤️❤️
asante debora
Kiukweli nimetokwa machozi yafuraha
You got me. be blessed
🎉🎉🎉🎉
laaah!!,aisee vop mnajua san hongeren san,Hongera san jakobo kuifanya v.o.p kuwa ya kmataifa
Mungu awabariki
Nawapenda. Yakobo wasalimu; Dr. Yangwa, Madebe, Bisanda, Mpenzi, Brown ......
Nicholaus ubarikiwe pia na jacob amepokeasalam zako
@@elishaayoo3689 Elisha ayoo kwaya ya vop kasulu badowanakukumbuka salam zakozimefika nawahusika wamezipokea
❤
Vizuri sana kwa kazi
asante yamungu
Nawapenda sana.
Great song
balikiwen sana
Nice 🙂
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen