WAUMINI TANZANIA WAANDAMANA KWENDA KANISANI KWA PASTOR EZEKIEL WAMUOMBEA NA KUIOMBEA NCHI TANZANIA
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Watanzania Jameni mumenifundisha mengi hapa, mumekuwa mufano muzuri sana Africa na hata ulimwengu muzima. Nawapenda sana. Mungu azidi kuwabariki daima
Kusaga hongera sana unapambana sana yaan!! Mungu awe nawe Always
Mara ya kwanza tangu nizaliwe Taifa jirani, na Mungu wa Binguni ampee Ev EZEKIEL ODERO OBUKO, maisha marefu iwe sehemu ya maisha yako katika Jina la Yesu kristo.
Nimetamani Nami ningekuepo jamani ila sikupata taarifa hizi,kwa Imani najiunganisha na madhabahu hii Mungu ukatende Yale yaliyo mapenzi yako
Natamani ningekuwepo mungu awabariki kupitia nyietunapokea baraka hizi baba ezekil asante
Amina mungu akubariki pasta ezekieli
Kusaga Tv be blessed 🙌🏻🙌🏻✨✨✨❤
Mubarikiwe wakenya na watanzania
Mungu ikumbuke tanzania
Neno la mungu liiniliwe milele na milele Amina
Glory be to God.. Hallelujah
Moyoni mwangu sibarikiwi Sana ninaposikia wachawi wanatajwa Kama watu wasiotakiwa katika jamii wakati Yesu alikufa kwa ajili yao ili waokolewe! Kwa mfano kuna baadhi ya wahubiri wanaosisitiza kuua wachawi, kitu ambacho Agano Jipya halijawahi kutenda!!!
Tuwahubirie Injili ili waje kwa Mwokozi wao aliyewafia!
Amen😊🙏👏👏👏👏🙏🙏🙏 WAKENYA 🙌🙌🙌🙌
MUNGU awabariki kupitia nyie tunapokea barka hizi Baba Ezekil Asante kwakukubalikutumwa nakusimama kwajili yetu
Ameeeeeen ❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿Hawa ni watu wa Mungu🎉🎉🎉🎉🎉
Amen mungu akubariki mtumishi Wa mungu
Amina amina amina watazania mnatufundisa sisi wakenya kweli. Twajifunza
Najiungamanisha na ibada hii New life isonge mbele iendelee kumtangaza Yesu .kutoka home Manyara .
Amen 🙏 watanzania wanapenda injili ya bwana ipewe sifa,watanzania wameshinda wakenya
Wamini wa Tanzania mungu ambariki
Watanzania kwa ukweli wanapenda injili sana kwa Roho yote Mungu awabariki
Acheni kudanganya watu mwombe Mungu ili awafunulie kinachoendelea
Wivuuuuu itakunyonga
Amina mbalikiwe
Asanteni kweli tuna amaini. Karibuni Tanzania!
ASANTENI SANA WANA WANYOTA, MUNGU AWABARKI SANA TZ+ KENYA.
Hongereni sn wa Tz kwa michongo ya kivuri cha kabisa wakati ni nyoka
Ok ,karibuni Kenya,Na pastor Eziekil ubarikiwe,ila sini Tanzania kuna Kiboko ya wa chawiii,ni Kweli Muganga akubaliki kwao
Kama ulivyo watowa kwao Mungu wasirudi bure makawa,wabariki na uwaponye
Amen🎉 6:55
Viangozi wanazidi kuwa mafisadi wanajua hatutafanya kitu tuna woga wa kuhatarisha amani. Mungu anawaona viongozi
Kusaga unanipa raha
Greatness
Ameeeen
Amen Amen Amen
Woow
Paster njoo na dodoma
Ameeen
asante sana lakini aimaanishi yakwamba watanganyika awakusoma nawa na wakoloni SA SA serekali ya Samia na CCM wanajificha makanisani ili
Mimi ni mkenya lakini Tanzania hapo mmetushinda sisi wakenya
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Pasta njoo hai
Leta kahama jamani,
Azam ni chanel mamba ngapi mbona nimeitafut siion
🎉😂ameni
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Nani kawatuma
Acheni kudanganya nyie watanzania,kuna amani gani Africa
Kipare anaongea kama wataita
Tanzania hakuna amani kuna wajinga wengi! Hawana uwezo wa kukataa udhalimu wawatawala
Amen Amen Amen
Amen Amen Amen