nguvu za giza zilinisumbua usiku mlango unagongwa sioni mtu niliondoka na simu yangu ikiimba huu wimbo kweli palipo Yesu mambo shwari hao wenyewe hawakusumbua tenaa Yesu akiwa upande wangu
Hii kwaya jamani tujitahidini tufike Mbinguni tukaimbe pamoja ,naipenda Kurasini kwaya tangia Niko mdogo ,saitu ya tatu naipenda sana maana wanavionjo vizur
Mungu awabariki tuendelee na kujitayarisha kwa marejeo ya Kristo. Nawaombea Kurasini kuendelea kufanya utumishi kuenzi mema ya Mwalimu wetu ambaye kwa muda aliopanga Yesu. Unyenyekevu, ubunifu, ujasiri, umahili na upendo umeifikisha kwaya yenu hapo mlipo. Nawasihi mzingatie hizo U 5 alizokuwa nazo mwalimu wenu na rafiki wa watu
Kuwa na Yesu, ni kuwa kwenye mikono salama, Mambo ni shwari,sitikiziki kwa lolote! 🙏🙏 Wimbo mtamu sana. Zidi kumtumia Mungu wanakurasini, nawapenda sana!!
@@kurasinisdachoir Amina...Kweli nyinyi ndugu mnanibariki msife moyo tafadhali haya ni mapito tu,ntajengeka zaidi nikiona kurasini inakuja tena moto zaidi njoni na mipango tofauti yenye itawawezesha mpenye kwenye mlishindwa,,,,stay blessed frm Msa Kenya
maneno mazuri ila uwasilishwaji wake mbovu sana tena dhaifu sana kama vile hamko town bhana. mgogoro ni huu mnapiga mdundo ambapo ni kinyume na viapo vyenu vya ubatizo.
To be honest,always when I see and listen all songs sung by SDA Kurasini choir,I really feel more happy because of the good arrengement of sound from different lows.
Kweli watu wa Mungu wimbo huu unaleta nguvu kweli muhishi milele my God bless you I wrote you from drc congo I'm a Pastor
nguvu za giza zilinisumbua usiku mlango unagongwa sioni mtu niliondoka na simu yangu ikiimba huu wimbo kweli palipo Yesu mambo shwari hao wenyewe hawakusumbua tenaa Yesu akiwa upande wangu
Usiwahi kubali kukaa mbali na uwepo wa MUNGU ni jambo baya sana kukaa mbali na Yesu forever. Tuajalie kukaa na wewe Ewe MUNGU wetu.
Amina
Mungu azidi kuwapigania. Cku zote na mfike mbali nyimbo nzur Cana zinanisogeza karibu na yesu
Hakuna kabisa nikiwa na YESU nipo Salama 🙏👏
Hii kwaya jamani tujitahidini tufike Mbinguni tukaimbe pamoja ,naipenda Kurasini kwaya tangia Niko mdogo ,saitu ya tatu naipenda sana maana wanavionjo vizur
Yesu akiwa upande wangu mambo ni shwari...Amen mbarikiwe Kurasini
Barikiwa pia..
Amen,,Kenya- Diaspora team show some love here
Mungu aendelee kuwapa nguvu na kuwa watia moyo ......nabarikiwa na nyimbo nikiwa hapa Kenya ...
Amina
Yaani hii kwaya Mungu anawaona maana mnajua kuuonea ufalme wa mbinguni yaani kama naona Yesu anashuka leo Love Kurasini Choir
Yesu akiwa upande wangu nko salama, Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki tuendelee na kujitayarisha kwa marejeo ya Kristo. Nawaombea Kurasini kuendelea kufanya utumishi kuenzi mema ya Mwalimu wetu ambaye kwa muda aliopanga Yesu. Unyenyekevu, ubunifu, ujasiri, umahili na upendo umeifikisha kwaya yenu hapo mlipo. Nawasihi mzingatie hizo U 5 alizokuwa nazo mwalimu wenu na rafiki wa watu
Kuwa na Yesu ni Kenya mikono salama you have blessed my soul may God bless you big and give you strength to continue
Barikiwa saanah
Kuwa na Yesu, ni kuwa kwenye mikono salama, Mambo ni shwari,sitikiziki kwa lolote! 🙏🙏
Wimbo mtamu sana. Zidi kumtumia Mungu wanakurasini, nawapenda sana!!
Ahsante ubarikiwe..
Amina. Wimbo unaotukumbusha kuwa Yesu yu mambo yote kwetu
Amina..
Waaaaaaaaaaah!!! Aki Usidanganywe Mungu wa Hawa Kurasini ni Mungu wa Uwezo......Hii ndiyo kwaya Best hapa EAST Africa
Barikiwa na Bwana!
@@kurasinisdachoir Amina...Kweli nyinyi ndugu mnanibariki msife moyo tafadhali haya ni mapito tu,ntajengeka zaidi nikiona kurasini inakuja tena moto zaidi njoni na mipango tofauti yenye itawawezesha mpenye kwenye mlishindwa,,,,stay blessed frm Msa Kenya
Amina sana mungu asidi kuinuliwa milele
Amina wana kurasini
Wimbo yesu akiwa upande wangu uko so powerful....mbarikiwe mnoo kwa injili hii
Bwana akiwa upande wangu,nini cha kunihofisha maishani....niko salama milele...Amen Kurasini
sihofii wala siogopi maana Yesu yupo upande wangu ..watesi wangu wapo kimya...Mungu awabariki sana watumishi kwa wimbo mzuri
Amina...
Amen..am so blessed from Kenya tunawapenda sana
Amen 🙌🙌 niko salama Kwa mikono ya yeso God is good all the time
Aaaammmen....sabato njema. Siogopi kitu coz najua Yesu yunami.
When Jesus is on my side i can fear not nothing that can really shake me . Amen
Mbarikiweni sana wajoli kwa kazi nzuri ya kutuongoa nafsi
Amina
Mungu awabariki Sana Sauti zenu Tamu🙏🙏
Nawapenda sana buree,ntawaenzi siku zote,you are the best choir in east Africa
Thank you, be blessed!
Nice piece....at times like these it's only through Christ our savior who'll see us through.
Kurasini choir,am blessed
I am a Catholic but in love with your songs.I need a copy please.
amen
Ameeeen mbarikiwe sana kurasin kwanyimbo zenye ujumbe mzur.
Natumain ck moja nitasali pamoja nanyi kwa uwezo wake Mungu
Alipo Yesu mambo ni shwari...Amina
Asante sana kwaya yangu pendwa. Bwana awabariki sana kwa wimbo mzuri unaonisogeza miguuni pa Yesu. Kuwa na Yesu ni kwenye mikono salama.
Barikiwa..
Amina wapendwa nabarikiwa sana kwa utumishi wenu
LOVELY SONG MBARIKIWE SANA,,,,,,,NABARIKIWA NIKIWA ISIOLO COUNTY,KENYA.
Ukiishi ndani ya yesu ni salama hakuna wakukuogofya .
Wimbo mzuri sana Kurasini, Wimbo ulio na mantiki safi. Amina, zidi kutubariki. Amina.
Mbarikiweni kwanyimbo nzuri Kurasini. Amina.
Kuwa na yesu Niko salama, najivunia kuwa yesu.
Nice item blessed me from kenya sda Church karura
Amina Bwana awabariki,Sabato njema.
Alipo yesu mambo ni shwari sitikisiki kwa lolote mbarikiwe sana mimi ni mkatoriki but napenda sana hii nyimbo
Yes....palipo Yesu mambo ni shwari. Thank u kurasini. Much luv
Palipo Yesu mambo ni shwari... kuwa na Yesu ni kwenye mikono salama.
Yesu pekee, hakuna wa na cha kunitisha.
maneno mazuri ila uwasilishwaji wake mbovu sana tena dhaifu sana kama vile hamko town bhana. mgogoro ni huu mnapiga mdundo ambapo ni kinyume na viapo vyenu vya ubatizo.
Amina hakika hakuna wakuniogofya Bwana akiwa upande wangu niko mikononi salama
Mnanifariji saaaaaaana, kurasini choir forever
I love this choir since childhood may God bless you guys he added you strength to continue with the ministry. every thing are possible with Christ 🙏🙏🙏
one day you guys do me a favour of gharama ya ukristo
MUBARIKIWE mno kwa wimbo huuu
Saya dari indonesia sangat menyukakai lagu lagu rohani dari africa walaupun buta paham atas maknanya. God Bless You.
When Christ is on our side who can be against us
Eeh Kurasini, may ALMIGHTY God bless you, sweet song
Amani amani Mungu awabariki
Mubarikiwe saaana munanibariki sana
Masterclass.Nawapenda tu sana.Ujumbe na sauti havijawahi sikika kwa kwaya nyingine. 4:25
Nawapenda sana maana mko ktk ubora wenu watu wa mungu
I am at peace with KING JESUS of the cross!
Amina nawapenda sana nimefalijika sana
Amina
Mubarikiwe. Sana.
Nice song - Kuwa na Yesu, mambo ni salama
Alipo yesu mambo ni shwari, sitikisiki
Wonderful! God bless you for such interesting item. Keep it up!
Happy sabath day, nazidi kubarikiwa na huu wimbo
Kazi nzuri sana mungu awabariki
Salama,shwari.simuofu yeyote♥️♥️
Nyimbo nzuri
Safiiiii Kurasini.....Kuwa na Yesu mko sawa
Amen, yesu akiwa upande wangu siogopi chochote
Kuwa na yesu Niko kwenye mikono salama , mungu awabariki sana na wapenda sana
Hakika mmenibariki sana
Nimebarikiwa Sana na huu wimbo.
Nice song, it's better to endorse some one who is achrist than to endorse some one who is not achristian.
If God is before us who can be against me!! Thank you and God bless you continually.
Be blessed too
Amen amen. Mungu abariki kazi yenu.
I love SDA songs . They bless my heart ❤️
Mwende mbali
Amina mbarikiwe sana wana wa Mungu.
UKweli ukiwa na yesu yote ni salama amen amen
Nabarikiwa sana
Jesus is on my side, therefore I am safe always in Him. Thanks choirs
I am the first to view this
Hehe I'm the first💪
Chris you are the first for sure
Amins
Wanamwonekano mzuri sana the choir i like much
AMEN AMEN ...Barikiwa Sana waimbaji From Nairobi Kenya
Amen 🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri kabisa. Barikiweni ndugu zetu.
Ubarikiwe pia
I just love your songs..keep on'the Crown awaits you
Sitikisiki kwa lolote..
Mungu awabariki 🙏🏾
I real love this I feel like Jesus is coming very soon.
I love 💕 u my family,May the Lord be with u forever
To be honest,always when I see and listen all songs sung by SDA Kurasini choir,I really feel more happy because of the good arrengement of sound from different lows.
Amen amen 2024 mpo🎉🥳💃🙏🙏
Nawapenda sana mbarikiwe sana
Ukiwa ndani ya yesu huogop chochot
The song attracts spiritual dance.... Cheza kwani Yesu akiwa upande wetu hakuna atakae kuwa dhidi yetu
Amen mwapendeza Mungu akawabariki
loh palipo Yesu
Mbarikiwe
Amen Kurasini choir, may God bless you abundantly.
When i'm with Jesus am in safe hands .
I love you kurasini
Nawakubali sana maana ndiyo walim wangu
Hakika hua na barikiwa sana na nyimbo zenu
Ujumbe mzuri