Mbiu SDA choir - Mji mzuri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 320

  • @jipemoyo5461
    @jipemoyo5461 4 года назад +1

    Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.

    • @jipemoyo5461
      @jipemoyo5461 4 года назад

      Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.

  • @ochangamigwanga4100
    @ochangamigwanga4100 5 лет назад +21

    kazi nzuri sana mbiu,hamjawahi kutuangusha kanisa la waadventista wasabato ulimwenguni kote.safi sana

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 3 года назад +3

    Mimi sio msabato Ila nawapenda sana wasabato munajua kuimba mno

  • @paschalmk313
    @paschalmk313 8 месяцев назад +5

    2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.

  • @mariamkondo8230
    @mariamkondo8230 5 лет назад +15

    mungu awabariki sana! kwa kutubariki kwa nyimbo za kutia nguvu ili wote tukaze juhudi wa kufika pale

  • @pillymaira4088
    @pillymaira4088 Год назад

    Nawapenda!! Mungu awajalie nguvu ya roho mtakatifu mmuinue kokote ulimwenguni pasipo majivuno Amina!!!

  • @cathbethkiplimo2256
    @cathbethkiplimo2256 5 лет назад +5

    nawapenda sana wana mbiu sda am from kenya mungu azidi kuwabariki

  • @ZebidaMagambo
    @ZebidaMagambo 14 дней назад

    Waoooo i love you a lot,,,,mnanibarik kwa thanaaa,,,,

  • @gracejohn1769
    @gracejohn1769 5 лет назад +3

    Mungu awabariki wapendwa kwa kweli nyimbo zenu zinabariki, Mungu azidi kuwatumia apendavyo.

  • @gracemadatta1456
    @gracemadatta1456 2 года назад

    Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.

  • @piuscheseret9033
    @piuscheseret9033 3 года назад +3

    MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.

  • @leahdominic8199
    @leahdominic8199 3 года назад +1

    I love you mbiu with your sololist da happy nataman siku moja tuimbe wote

  • @victormwita4078
    @victormwita4078 4 года назад +1

    Nyimbo inabariki kila msafiri anayengojea marejeo ya Yesu ambayo yamekaribia sana

  • @mereziawilson3044
    @mereziawilson3044 4 года назад +1

    kazi nzuri sanaaa...Mungu azidi kuwabariki...you know i love you guys

  • @georgegabriel9180
    @georgegabriel9180 5 лет назад +4

    Asante mbiu kwaya. Kazi nzuri,hiyo key board nimekubali safari hii kiukweli.

  • @golumene
    @golumene 4 года назад +1

    Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.

  • @norahnyanchokasosi544
    @norahnyanchokasosi544 4 года назад +5

    Kazi safii watoto wa magufuli,, WanaMbiu you never disappoint 💕💕 💕 watching you from Kenya. Blessings!!

  • @mijashushu9552
    @mijashushu9552 4 года назад

    Nikweli kabisa kuna matumaini kwawanao mjua Mungu.
    Mungu awabariki sana mmoja wenu asikose kuingia mji huo waajabu.
    Nami nautamani humji waajabu.

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 5 лет назад +37

    JE TAWI?!!I'm a Catholic but napenda sana nyimbooo zenu wapendwa jitahdn kuapdate nyimboo ili tulio mbali tubarikiwe distance istitutengenishee

  • @aiyasageo2572
    @aiyasageo2572 4 года назад +6

    Who's from Mombasa listening to these grate voices

  • @omonywamotangi9015
    @omonywamotangi9015 3 года назад

    Safari yenu next yafaa iwe Kenya kwetu hapa.
    Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya

  • @mokiridaniel6795
    @mokiridaniel6795 5 лет назад +6

    Yaan mbiu choir hamjawahi kuniangusha🙏🇹🇿

  • @fmwikwatyonews7415
    @fmwikwatyonews7415 5 лет назад +2

    mungu awabariki sana kwa kazi njema,tukutane yerusalemu .

  • @collinscollo8188
    @collinscollo8188 4 года назад +3

    May God bless you for the goood job you're doing, nyimbo zenu tamu sana🙏🙏🙏💯

  • @AdrianMarkclay
    @AdrianMarkclay 2 месяца назад

    Nyimbo mzuri sana nauliza tu Kuna dada apa anaimba kwa both choirs mbiu and salasala

  • @nathanaellugema5484
    @nathanaellugema5484 5 лет назад +3

    Wonderful song, wonderful style of singing the song,, be blessed Mbiu Choir

    • @nabsonkifuge5115
      @nabsonkifuge5115 4 года назад

      Mnanibariki sana kwa nyimbo zenu murua ,barikiwa sana

  • @shukranimugasa3521
    @shukranimugasa3521 5 лет назад +13

    THERE IS ONLY ONE MBIU CHOIR IN THIS WORLD...
    GOD BLESS YOU RICHLY

  • @senator166
    @senator166 3 года назад +1

    Takuja kuwatembelea apo Tandale Mungu akipenda 🙏🙏

  • @corneliuskiprotich2753
    @corneliuskiprotich2753 4 года назад +5

    Great message,uplifting.... From Kenya SDA community

  • @yonamatola9854
    @yonamatola9854 5 лет назад +11

    Kila siku tutakuwa vijana, natamani sana kufika jijini Yerusalemi

  • @marionjons2288
    @marionjons2288 Год назад

    Ameeen and Ameeen katika jiji lile Jerusalem ❤❤❤❤

  • @happysamson7079
    @happysamson7079 5 лет назад +3

    Mungu awabariki wasafiri wenzangu mwende mbali.

  • @alfredodindo4703
    @alfredodindo4703 4 года назад +8

    Mbiu SDA choir never fails me with their songs, they always kills it. much love and be blessed

    • @singwithlenin
      @singwithlenin 4 года назад +1

      The man behind these great compositions is Gibson Nguru I hope so.

  • @hezekiahmatiko3494
    @hezekiahmatiko3494 3 года назад

    The veterans in the ministry.barikiwa

  • @mariammaimbo6802
    @mariammaimbo6802 5 лет назад +2

    mko vizur Mungu awabarik mkaimbe na mbinguni

  • @benpius3076
    @benpius3076 5 лет назад +8

    My favorite choir you always sing very well, nice message and sweet harmonies

  • @kiangiemmanuel8371
    @kiangiemmanuel8371 3 года назад

    Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.

  • @abigailkalee7151
    @abigailkalee7151 2 года назад

    Mbiu SDA choir may God bless you. You really bless me.

  • @rozimalima-t8d
    @rozimalima-t8d 2 месяца назад

    Mbarikiwe kwa wimbo mzur na wenye ujumbe mzur

  • @ZebidaMagambo
    @ZebidaMagambo 14 дней назад

    Waooo huo mji mzuri nataman tusikose ukoo

  • @millicentayot8733
    @millicentayot8733 5 лет назад +1

    Mungu awajalie nyinyi nyote na muendelee kukusifu milele na milele

  • @janehamisi6069
    @janehamisi6069 5 лет назад +3

    nyimbo zenu wasabato zinanifariji sana nazipenda

  • @philipchumba1074
    @philipchumba1074 5 лет назад +10

    Ooooow!!! Nice one mbiu be blessed choir i daily listen to your music nd videos plz upload more it blesses more. Listening from Doha

  • @aloisemukoma8701
    @aloisemukoma8701 3 года назад +4

    OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.

    • @ezelkan6350
      @ezelkan6350 3 года назад

      Ezekiel from Kenya nawapenda sana kwa nyimbo zenu,wamama wazuri kama kuna yule aja olewa ningependa ni juwe hili tuwaziliane hivi karibuni.

  • @thomkimaro5801
    @thomkimaro5801 4 года назад

    hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best

  • @godlovemrosso8715
    @godlovemrosso8715 5 лет назад

    nabarikiwa sana sana nanyi mbiu mungu na azidi kuwainua katika viwango vya juu

  • @danielpaschal6526
    @danielpaschal6526 3 года назад

    Mmbarikiwe waimbaji na mungu awaongoze siku zote Amen

  • @francishungi2720
    @francishungi2720 Год назад

    Ilove this choir it has done a tremendous job to spread the good news of the kingdom in east africa

  • @nadamata1303
    @nadamata1303 4 года назад +2

    Ameen be blessed mbiu choir for your good work.

  • @vivianngala6793
    @vivianngala6793 4 года назад +7

    My all time choir ur voice n the message gives me so much hope I can't miss heaven for anything else nataka nizunguke Katikaka jiji jerusalemu

  • @sophymetto9166
    @sophymetto9166 4 года назад +5

    Lack words to express how I feel to your songs may God bless you my SDA family

  • @aloisemukoma8701
    @aloisemukoma8701 3 года назад

    Mji ni mzuri!!!! washangaza!!!! ukiwa pale ni furaha tele

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 4 года назад

    Ninabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri nawapenda Mungu awabariki mzidi kwenda mbali 💞💞

  • @aloyssimbare5938
    @aloyssimbare5938 Год назад

    Asanteni saaana kwa wimbo mtamu sana tena wakunimbusha nyumbani

  • @fatmakizimba744
    @fatmakizimba744 5 лет назад +3

    Nyimbo nzuri,na pia mmependeza sasa.

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 5 лет назад +2

    Mbarikiwe makamanda wa yesu

  • @jothamyohana9599
    @jothamyohana9599 5 лет назад +11

    Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro

  • @delvinenyaboke4143
    @delvinenyaboke4143 4 года назад +1

    Amen amen mji ni mzuri

  • @danielndarera8087
    @danielndarera8087 4 года назад

    Wimbo huo ni bora kweli kweli.Barikiwa mno kwa jina la Yesu

  • @kavutadanieli4071
    @kavutadanieli4071 5 лет назад +2

    Hongeren sana Mungu azd kuwabariki.

  • @Mr._clean
    @Mr._clean 5 лет назад +3

    Am always blessed by ur songs may the Lord richly bless u ..... Pendo whenever I see u am happy

  • @aliceagoodsongnicevoices4855
    @aliceagoodsongnicevoices4855 3 года назад

    Mbinguni ni mahajabu when shall we meet there?Amen 🙏

  • @shemmondo76
    @shemmondo76 2 года назад

    Amen best song 🎇🎇🎇🎇🎇🎇 God bless you mbiu choir.

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 5 лет назад +2

    Amina. Mungu Awabariki sana. Mwende mbali.

  • @cynthiachepkogei6490
    @cynthiachepkogei6490 5 лет назад +5

    Mbiu you've always be the best choir .May God bless you people

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 4 года назад +2

    My favorite choir hallelujah Amen

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад +3

    Nimewakubali aisee, one of the best

  • @Kipchumba117
    @Kipchumba117 5 лет назад +2

    Good work mbiu nawapenda tu saana,,more of the same album please

    • @willsonndayanse6557
      @willsonndayanse6557 5 лет назад

      Katika album zote ambazo mmetoa hii ni kiboko, High Definition Video. Good work. Mwende mbali mpotelee mbinguni.

  • @duncanoonyango5635
    @duncanoonyango5635 5 лет назад +9

    Wow.. 👏 👏 👏 👏 👏 God bless Mbiu... Looking forward to another meeting in Kibera #CAMPMEETING2020

  • @justusmuange4388
    @justusmuange4388 4 года назад +2

    May our great God bless you nightly for the good job.

  • @theobarddimoso8835
    @theobarddimoso8835 5 лет назад +2

    Kazi Nzuri imejaa upako na baraka tele.

  • @eliamshahara7665
    @eliamshahara7665 5 лет назад +1

    mbiu mbarikiwe kwa kazi ya Bwana

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 4 года назад +5

    Uimbaji Wa kisabato unanifanya nitamani kuitwa msabato.

  • @ntimifrank2770
    @ntimifrank2770 4 года назад +4

    Mbiu are Amazing... BLESSED BE THE SAINTS!!!

  • @salimmbui1459
    @salimmbui1459 4 года назад +4

    great song from Mbiu,
    i love the content 😍

  • @faithkimosop1887
    @faithkimosop1887 3 года назад

    Aky nimekuzwa sana na uu wimbo sana thanxs

  • @issokateketa1275
    @issokateketa1275 5 лет назад

    kwa hakika Mbiu mmekuwa baraka kwa ulimwengu. peperusha bendera ya BWANA hata ajapo. MTOBESYA, ZACHARIA

  • @ruthnanjela7496
    @ruthnanjela7496 3 года назад +3

    I never stop listening to their songs they bless my soul.

  • @gloriousmelodiesministry2172
    @gloriousmelodiesministry2172 4 года назад +5

    Lovely song keep it up guys 👌🏽👌🏽👍🏽

  • @nsimirenshokano9585
    @nsimirenshokano9585 4 года назад

    Ameen mubarikiwe nyimbo zenu nizaupako

  • @isackkibet1653
    @isackkibet1653 3 года назад +1

    my best song ever whenever am down always uplifted by this song..amen

  • @japhethsaid4023
    @japhethsaid4023 5 лет назад +3

    Mbiu mbarikiwe sana

  • @marthakyando4836
    @marthakyando4836 3 года назад +1

    Wimbo mtamu mbiu nataman asiwepo hata mmoja wakuzeeka muimbien bwana ama hii ndio kwaya itakuwapo mbinguni🤔🌹🙏🏻

  • @realreen2349
    @realreen2349 5 лет назад +9

    Watching from kenya, Adventist for life

  • @JayJay-mv7qh
    @JayJay-mv7qh 5 лет назад +4

    Such a wonderful song.More blessings

  • @Segerethom
    @Segerethom 5 лет назад +6

    You kindly blessing me abundantly.

  • @keruaya
    @keruaya 4 года назад

    Kweli mwapendeza sana,kweli tu wenye dhambi.

  • @juicymann1
    @juicymann1 5 лет назад +4

    Thank you Mbiu for a beautiful piece. May God be glorified.

  • @momanyijunior1566
    @momanyijunior1566 5 лет назад

    you never fail.. you are our leaders, mfano wa kuigwa kila wakati

  • @georgemchalumbi5008
    @georgemchalumbi5008 5 лет назад +3

    mbiu mbarikiwe sana

  • @deborahmaangi40
    @deborahmaangi40 5 лет назад +5

    my best...be blessed for the good work

  • @gun297
    @gun297 4 года назад +1

    Very beautiful song and choir! Blessings.

  • @elctemmanuelchoirkariakoo3991
    @elctemmanuelchoirkariakoo3991 2 года назад +4

    What a wonderful song, May God shower His blessings to these souls.

  • @umulkheirshivanhassan5464
    @umulkheirshivanhassan5464 3 года назад +1

    Wonderful no one can imagine how heaven is beautiful nothing can explain how it is

  • @alexngala2634
    @alexngala2634 5 лет назад +3

    Hi kwaya hunibark sana Mungu awabark

  • @mariamramadhan494
    @mariamramadhan494 3 года назад

    Amen wimbo unanibariki

  • @adister1420
    @adister1420 5 лет назад

    Kazi nzuri. Nawapenda Sana.. Salimia apilo opiyo Justin..

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 4 месяца назад

    Mji ni mzuri na unashangaza walio wengi

  • @royduncan3192
    @royduncan3192 3 года назад

    Very melodious.Praise be to the Most high,Heavenly music Amen.

  • @austineotieno4225
    @austineotieno4225 3 года назад +1

    What a nice piece. May God bless you