Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
kazi nzuri sana mbiu,hamjawahi kutuangusha kanisa la waadventista wasabato ulimwenguni kote.safi sana
Amin
Ok
Pls vol one night habari njema na hallelujah pls naitaka hauko you tube
@@joselynebenjamin9080 3ou
Amen
Mimi sio msabato Ila nawapenda sana wasabato munajua kuimba mno
2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
😂
mungu awabariki sana! kwa kutubariki kwa nyimbo za kutia nguvu ili wote tukaze juhudi wa kufika pale
Nawapenda!! Mungu awajalie nguvu ya roho mtakatifu mmuinue kokote ulimwenguni pasipo majivuno Amina!!!
nawapenda sana wana mbiu sda am from kenya mungu azidi kuwabariki
Waoooo i love you a lot,,,,mnanibarik kwa thanaaa,,,,
Mungu awabariki wapendwa kwa kweli nyimbo zenu zinabariki, Mungu azidi kuwatumia apendavyo.
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
I love you mbiu with your sololist da happy nataman siku moja tuimbe wote
Nyimbo inabariki kila msafiri anayengojea marejeo ya Yesu ambayo yamekaribia sana
kazi nzuri sanaaa...Mungu azidi kuwabariki...you know i love you guys
Asante mbiu kwaya. Kazi nzuri,hiyo key board nimekubali safari hii kiukweli.
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
Kazi safii watoto wa magufuli,, WanaMbiu you never disappoint 💕💕 💕 watching you from Kenya. Blessings!!
Nikweli kabisa kuna matumaini kwawanao mjua Mungu.
Mungu awabariki sana mmoja wenu asikose kuingia mji huo waajabu.
Nami nautamani humji waajabu.
JE TAWI?!!I'm a Catholic but napenda sana nyimbooo zenu wapendwa jitahdn kuapdate nyimboo ili tulio mbali tubarikiwe distance istitutengenishee
WELCOME to our adventist world
Amen be blessed
Jitahdn kuapdate nyimboo
Ni SDA ndugu
@@mariajohnfelix8018 yes mpndwa ,napenda nyimbo zao
Who's from Mombasa listening to these grate voices
Here🙌
E
Me
Like your songs, they rilly insipires me
@@uwamahorojirber7126 gv good
Safari yenu next yafaa iwe Kenya kwetu hapa.
Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya
Yaan mbiu choir hamjawahi kuniangusha🙏🇹🇿
Barikiwa kwa nyimbo nzuri
mungu awabariki sana kwa kazi njema,tukutane yerusalemu .
May God bless you for the goood job you're doing, nyimbo zenu tamu sana🙏🙏🙏💯
Nyimbo mzuri sana nauliza tu Kuna dada apa anaimba kwa both choirs mbiu and salasala
Wonderful song, wonderful style of singing the song,, be blessed Mbiu Choir
Mnanibariki sana kwa nyimbo zenu murua ,barikiwa sana
THERE IS ONLY ONE MBIU CHOIR IN THIS WORLD...
GOD BLESS YOU RICHLY
Takuja kuwatembelea apo Tandale Mungu akipenda 🙏🙏
Great message,uplifting.... From Kenya SDA community
Kila siku tutakuwa vijana, natamani sana kufika jijini Yerusalemi
Me to
Ameeen and Ameeen katika jiji lile Jerusalem ❤❤❤❤
Mungu awabariki wasafiri wenzangu mwende mbali.
Mbiu SDA choir never fails me with their songs, they always kills it. much love and be blessed
The man behind these great compositions is Gibson Nguru I hope so.
The veterans in the ministry.barikiwa
mko vizur Mungu awabarik mkaimbe na mbinguni
My favorite choir you always sing very well, nice message and sweet harmonies
Mnafanya vizuri Mbiu Ila ongezeni program za maombi na kujifunza neno la MUNGU na moja ya ombi lenu iwe kila kitu kifanyike kwa utukufu wa MUNGU, Mbarikiwe sana.
Mbiu SDA choir may God bless you. You really bless me.
Mbarikiwe kwa wimbo mzur na wenye ujumbe mzur
Waooo huo mji mzuri nataman tusikose ukoo
Mungu awajalie nyinyi nyote na muendelee kukusifu milele na milele
nyimbo zenu wasabato zinanifariji sana nazipenda
Amin
Ooooow!!! Nice one mbiu be blessed choir i daily listen to your music nd videos plz upload more it blesses more. Listening from Doha
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
Ezekiel from Kenya nawapenda sana kwa nyimbo zenu,wamama wazuri kama kuna yule aja olewa ningependa ni juwe hili tuwaziliane hivi karibuni.
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best
nabarikiwa sana sana nanyi mbiu mungu na azidi kuwainua katika viwango vya juu
Mmbarikiwe waimbaji na mungu awaongoze siku zote Amen
Ilove this choir it has done a tremendous job to spread the good news of the kingdom in east africa
Ameen be blessed mbiu choir for your good work.
My all time choir ur voice n the message gives me so much hope I can't miss heaven for anything else nataka nizunguke Katikaka jiji jerusalemu
Mnaimba poa napenda nyimbo zenu
Lack words to express how I feel to your songs may God bless you my SDA family
Mji ni mzuri!!!! washangaza!!!! ukiwa pale ni furaha tele
Ninabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri nawapenda Mungu awabariki mzidi kwenda mbali 💞💞
Asanteni saaana kwa wimbo mtamu sana tena wakunimbusha nyumbani
Nyimbo nzuri,na pia mmependeza sasa.
Mbarikiwe makamanda wa yesu
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
Mbarikiwe sana
Amen amen mji ni mzuri
Wimbo huo ni bora kweli kweli.Barikiwa mno kwa jina la Yesu
Hongeren sana Mungu azd kuwabariki.
Am always blessed by ur songs may the Lord richly bless u ..... Pendo whenever I see u am happy
Nzuri saaaaaaana
Mbinguni ni mahajabu when shall we meet there?Amen 🙏
Amen best song 🎇🎇🎇🎇🎇🎇 God bless you mbiu choir.
Amina. Mungu Awabariki sana. Mwende mbali.
Mbiu you've always be the best choir .May God bless you people
My favorite choir hallelujah Amen
Nimewakubali aisee, one of the best
Good work mbiu nawapenda tu saana,,more of the same album please
Katika album zote ambazo mmetoa hii ni kiboko, High Definition Video. Good work. Mwende mbali mpotelee mbinguni.
Wow.. 👏 👏 👏 👏 👏 God bless Mbiu... Looking forward to another meeting in Kibera #CAMPMEETING2020
May our great God bless you nightly for the good job.
Kazi Nzuri imejaa upako na baraka tele.
mbiu mbarikiwe kwa kazi ya Bwana
Uimbaji Wa kisabato unanifanya nitamani kuitwa msabato.
Umekaribishwa kabisa.
Mbiu are Amazing... BLESSED BE THE SAINTS!!!
great song from Mbiu,
i love the content 😍
Na nyimbo zenu nzuri sana zinabariki
Aky nimekuzwa sana na uu wimbo sana thanxs
kwa hakika Mbiu mmekuwa baraka kwa ulimwengu. peperusha bendera ya BWANA hata ajapo. MTOBESYA, ZACHARIA
I never stop listening to their songs they bless my soul.
I like this may God bless you all
Sioni choir inayozidi hii kwa kuimba
Lovely song keep it up guys 👌🏽👌🏽👍🏽
Barikiweni
Ameen mubarikiwe nyimbo zenu nizaupako
my best song ever whenever am down always uplifted by this song..amen
Mbiu mbarikiwe sana
Wimbo mtamu mbiu nataman asiwepo hata mmoja wakuzeeka muimbien bwana ama hii ndio kwaya itakuwapo mbinguni🤔🌹🙏🏻
Watching from kenya, Adventist for life
Such a wonderful song.More blessings
Wimbo mzuri sana
You kindly blessing me abundantly.
Kweli mwapendeza sana,kweli tu wenye dhambi.
Thank you Mbiu for a beautiful piece. May God be glorified.
you never fail.. you are our leaders, mfano wa kuigwa kila wakati
mbiu mbarikiwe sana
my best...be blessed for the good work
Very beautiful song and choir! Blessings.
What a wonderful song, May God shower His blessings to these souls.
Wonderful no one can imagine how heaven is beautiful nothing can explain how it is
Hi kwaya hunibark sana Mungu awabark
Mung awe nanyi mzid kumuimbia mung
Amen wimbo unanibariki
Kazi nzuri. Nawapenda Sana.. Salimia apilo opiyo Justin..
Mji ni mzuri na unashangaza walio wengi
Very melodious.Praise be to the Most high,Heavenly music Amen.
What a nice piece. May God bless you