Mashaallah iyo ya wazee hata mimi ndio tabia yangu haswa kwenye kuswali suna tena uwa natia nua hata kaba ya kukaa sawa Allah niswamehe, ila nitaacha kuanzia leo Allah akubariki shekh wetu.
SHARTI SABA ZA SWALA 1. UISLAM - KUA MUISLAM 2. AL BULUGHU - KUBALEHE 3. AL AKLU - AKILI TIMAMU 4. ATWAARATU - KUTWAHARIKA NA NAJSI NA HADATH 5. AL ILMU BIDUHULI WAQTI - KUJUA MUDA UMEFIKA 6. SATRU AL AURAT - KUVAA NGUO 7. ISTIQBALU AL QIBLA - KUELEKEA KIBLA
Kunako iyo sunnah ya kuinuwa Mikono sehem inne Unayfanya kila raja ya sala? Ima nikeenye raja yakeanza tutu (Ex)ukitowa takbiratul hiram Na ukielekeya kunako rukuu Na unapo kwenda kusujudu Na unapo simamakutoka hatayyatu yakwanza Sasa izizingine raka itabidi uwinuwe tena mikono????
FATMA ZENA FZENA KUINUA MIKONO NI KATIKA TAKBIRA YA KWANZA WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA UNAPO ITIDALI (UNAPO RUDI JUU KUTOKA KWENYE RUKUU) UNAPO NYANYUKA KUTOKA KWENYE KIKAZI CHA TAHIYATU (TASHAHUDI YA KWANZA)
@@الزغويالزغوي-ض3ن shukran ...hivyo nafanya ila swali langu ni kila rakaa au ni ya mwanzo tu?rakaa zinazofuata hunyanyui?daaa nasikitika huyo kuniita mie kafiri....ALLAH AMSAMEHE...ajue aulizae ataka kujua huwenda anaona anafanya sawa kumbe anakosea
@@fatmazenafzena917 UJUE KWANZA : KUA HUYU SHEIKH NI : SUNNAH WAL JAMAA, MADHEHEBU YAKE NI SHAAFII'IYYU. KWA HIVYO HUU NDO UFAHAMU WA IMAMU SHAAFII'IYYU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM, NA WENGINE WENGI KATIKA MAIMAMU WA AHLUS-SUNNAH WAL JAMAA. NAMI PIA NIKO KAMA HIVYO KUA MIKONO : HUI NULIWA SEHEMU NNE : 1 WAKATI WA TAKBIRA YA KWANZA. 2 WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA. 3 WAKATI WA KURUDI JUU (KUITIDALI ) KUTOKA KWENYE RUKUU YA RAKAA YA KWANZA. 4 KISHA HUINULIWA TENA WAKATI WA KUINUKA KUTOKA KWENYE TASHAHUDI YA KWANZA, KWA MAANA WAKATI WA KUIENDEA RAKAA YA TATU. HAKUNA KUINUA TENA. IJAPOKUWA KUNA RIWA ZINAZOENDELEA ONESHA KUA (MTUME ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO KINA ANAPO NYANYUKA NA ANAPO SHUKA CHINI). PIA ZIPO ZINAZO ONESHA MTUME (ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO ANAPO FUNGUA SWALA TU KISHA HANYANYUI TENA). PIA IKO INAYO ONESHA (AKINYANYUA WAKATI WAKUINGIA KWENYE SWALA NA ANAPO RUKUU NA ANAPO ITIDALI). HIVYO NI WAZI KUWA KHITILAFU ZIPO. KWA HIVYO ALIYE ELEWA KUWA NI SEHEMU HIZO NNE PEKEE AKIZIDISHA AMEKOSEA . HIVYO NI KUSOMA AU KUULIZA WANAO JUA KISHA UANGALIE ULIVYO ELEWA AU ULIVYO TOSHELEZWA. WAL-LAAHU A'LAMU BIS-SWAWAABI.
@@jumannesalum8162 mtihani tunao kwa kweli unampangia mja alipwe hichi na kile kwani ww ni mshirika wa Allah? Ww ongelea sheria na kanuni zinavosema tu but usivuke mipaka mkajifanya nyie ndio mwajua malipo ya Allah ! Ukosefu wa elimu tu kutaka sifa
Mmmmmmh!!!! Imekuaje tena umuone shekh atakufurisha watu?!!!! Kwani shekh si anaelimisha KUHUSU KUSWALI na makosa ambayo WATU WEEENGI wanayafanya katika swala!!!! Tatizo hasa nini mpka umemfahamu shekh namna hiyo???!!!! Tunapoelimishwa kuhusu mambo ya DINI yetu basi ni vizuri KUWA NA UPOLE na NIA YA KUFAHAMU .... ((DINI ni ELIMU)) Pasi na ELIMU dini KUTEKELEZEKA NI MTIHANI!!!!!!!
Mashallah Allah atujaalie nuru upande wa Maulidi pia
Mashallah sheikh kwa ukumbusho huo mzuri. Inshallah Allah atujalie tuwe wenye kutimiza sharti zote za salah. Allah jazakallah khaira.
Jazaqallah. Tatizo watu wengi tunaswali kwa mazoea
Mashaallah iyo ya wazee hata mimi ndio tabia yangu haswa kwenye kuswali suna tena uwa natia nua hata kaba ya kukaa sawa Allah niswamehe, ila nitaacha kuanzia leo Allah akubariki shekh wetu.
Kweli kabisa shekhe wangu
Shukran kwa funzo Allah akujalie kila la kheri
ALLAH AKBAR hakika dini yetu imeshaga maliza alhamdulillah kwa neema hii
Maashaallaah alhabiib Allah akupe kullah khayri
Allah akubariki sheikh wetu
Masha Allah shekh kwa kutukumbusha
Mashaa allah tabarakallah shukrani sana shekh
Tumekuelewa sana shehe..mashallah
Jazakallahu khairah Sheikh
Maa shaa Allah jazaka Allah khayr sheikh
zina mtihani kwa uma mtume anasema hamna kitu alichokihofia kwa umma kama mataminio ya wanawake
Baraka allahu sheikh hamisi
Shukran jazzakahAllah
Shukran shekhe
Shukran njaziira
Subhna Allah Shukran Sheikh Wetu
Mashaallaah 🙏
MashaAllah. Jazak Allah khyr 🙏
shukran shkh
Ma shaa Allah shukuran jazillah
Shukran sana
Jazaka lahu kheir
Jazaka allahu khairan
Shukran yaa maalim
Yarabi amin
Masha allah shukuran
S alk salama naomba no yako she kh
Mashallah
Mungu akijaalia lazima nije msikitin kwako nisikilize mawaidha yako
Shukran
ALLAH BARIQ
Kwenye kuacha uzinifu apo ndio shida
Mashallah shukuran
mashaalllah
In sha Allah
Manshallah tabarakallah
Amina
maaashallah 🤝
SHARTI SABA ZA SWALA
1. UISLAM - KUA MUISLAM
2. AL BULUGHU - KUBALEHE
3. AL AKLU - AKILI TIMAMU
4. ATWAARATU - KUTWAHARIKA NA NAJSI NA HADATH
5. AL ILMU BIDUHULI WAQTI - KUJUA MUDA UMEFIKA
6. SATRU AL AURAT - KUVAA NGUO
7. ISTIQBALU AL QIBLA - KUELEKEA KIBLA
Aamin
Kwenye hadath hapo bado sijaelewa vizuri
Hadath kwanilivoelewa mim ni janaba ama Kwa cc wanawake kuingia period kuzaa Ivo but anaejua anaeza ktasaidia zaidi shukran
Mwatokea darasa saba
Jekama in rakaannne
Kunako iyo sunnah ya kuinuwa Mikono sehem inne
Unayfanya kila raja ya sala?
Ima nikeenye raja yakeanza tutu
(Ex)ukitowa takbiratul hiram
Na ukielekeya kunako rukuu
Na unapo kwenda kusujudu
Na unapo simamakutoka hatayyatu yakwanza
Sasa izizingine raka itabidi uwinuwe tena mikono????
Shukulan
Wengine hapo bendera
Kuinua mikono sehemu nne....je kila rakaa au ni rakaa ya mwanzo tu ?
Kafiri fatuma
FATMA ZENA FZENA
KUINUA MIKONO NI KATIKA TAKBIRA YA KWANZA
WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA
UNAPO ITIDALI (UNAPO RUDI JUU KUTOKA KWENYE RUKUU)
UNAPO NYANYUKA KUTOKA KWENYE KIKAZI CHA TAHIYATU (TASHAHUDI YA KWANZA)
@@الزغويالزغوي-ض3ن shukran ...hivyo nafanya ila swali langu ni kila rakaa au ni ya mwanzo tu?rakaa zinazofuata hunyanyui?daaa nasikitika huyo kuniita mie kafiri....ALLAH AMSAMEHE...ajue aulizae ataka kujua huwenda anaona anafanya sawa kumbe anakosea
@@fatmazenafzena917
UJUE KWANZA : KUA HUYU SHEIKH NI : SUNNAH WAL JAMAA, MADHEHEBU YAKE NI SHAAFII'IYYU.
KWA HIVYO HUU NDO UFAHAMU WA IMAMU SHAAFII'IYYU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM, NA WENGINE WENGI KATIKA MAIMAMU WA AHLUS-SUNNAH WAL JAMAA.
NAMI PIA NIKO KAMA HIVYO
KUA MIKONO :
HUI NULIWA SEHEMU NNE :
1 WAKATI WA TAKBIRA YA KWANZA.
2 WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA.
3 WAKATI WA KURUDI JUU (KUITIDALI ) KUTOKA KWENYE RUKUU YA RAKAA YA KWANZA.
4 KISHA HUINULIWA TENA WAKATI WA KUINUKA KUTOKA KWENYE TASHAHUDI YA KWANZA, KWA MAANA WAKATI WA KUIENDEA RAKAA YA TATU.
HAKUNA KUINUA TENA.
IJAPOKUWA KUNA RIWA ZINAZOENDELEA ONESHA KUA (MTUME ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO KINA ANAPO NYANYUKA NA ANAPO SHUKA CHINI).
PIA ZIPO ZINAZO ONESHA MTUME (ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO ANAPO FUNGUA SWALA TU KISHA HANYANYUI TENA).
PIA IKO INAYO ONESHA (AKINYANYUA WAKATI WAKUINGIA KWENYE SWALA NA ANAPO RUKUU NA ANAPO ITIDALI).
HIVYO NI WAZI KUWA KHITILAFU ZIPO.
KWA HIVYO ALIYE ELEWA KUWA NI SEHEMU HIZO NNE PEKEE AKIZIDISHA AMEKOSEA .
HIVYO NI KUSOMA AU KUULIZA WANAO JUA KISHA UANGALIE ULIVYO ELEWA AU ULIVYO TOSHELEZWA.
WAL-LAAHU A'LAMU BIS-SWAWAABI.
@@الزغويالزغوي-ض3ن shukran sana sana kwa kunielewesha vizuri.nami nipo humo humo ila tu nauliza ili nifahamu zaidi
توجيه قبل تكبير
Kuna jamaa anazuga kunywa maji 😂
Kumbe she he wa bakwata!PABA mufti nchi hii?mufti aombea dual kafiri?labda mafuta sio mufti
Shekhe salaa zinalipwa na mwenyewe ALLAH wala hakuna wa kumwakilisha tazama kauli zako usije ukajifukurisha kwa kuvuka mipaka
Kasome ww bado
@@jumannesalum8162 mtihani tunao kwa kweli unampangia mja alipwe hichi na kile kwani ww ni mshirika wa Allah? Ww ongelea sheria na kanuni zinavosema tu but usivuke mipaka mkajifanya nyie ndio mwajua malipo ya Allah ! Ukosefu wa elimu tu kutaka sifa
Mmmmmmh!!!! Imekuaje tena umuone shekh atakufurisha watu?!!!!
Kwani shekh si anaelimisha KUHUSU KUSWALI na makosa ambayo WATU WEEENGI wanayafanya katika swala!!!!
Tatizo hasa nini mpka umemfahamu shekh namna hiyo???!!!!
Tunapoelimishwa kuhusu mambo ya DINI yetu basi ni vizuri KUWA NA UPOLE na NIA YA KUFAHAMU ....
((DINI ni ELIMU))
Pasi na ELIMU dini KUTEKELEZEKA NI MTIHANI!!!!!!!
MASHA ALLAH