HANA SWALA MWENYE KUKOSA SHARTI HIZI SABA ...SHEKH OTHMAN KHAMIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 66

  • @papashakssydazzle1024
    @papashakssydazzle1024 6 месяцев назад +2

    Mashallah Allah atujaalie nuru upande wa Maulidi pia

  • @AbdulAbdul-vp2np
    @AbdulAbdul-vp2np 5 лет назад +7

    Mashallah sheikh kwa ukumbusho huo mzuri. Inshallah Allah atujalie tuwe wenye kutimiza sharti zote za salah. Allah jazakallah khaira.

  • @ahz6907
    @ahz6907 3 года назад +1

    Jazaqallah. Tatizo watu wengi tunaswali kwa mazoea

  • @ibrahimjoseph2789
    @ibrahimjoseph2789 3 года назад

    Mashaallah iyo ya wazee hata mimi ndio tabia yangu haswa kwenye kuswali suna tena uwa natia nua hata kaba ya kukaa sawa Allah niswamehe, ila nitaacha kuanzia leo Allah akubariki shekh wetu.

  • @salumuhussein9335
    @salumuhussein9335 2 года назад +2

    Kweli kabisa shekhe wangu

  • @saidabae7101
    @saidabae7101 5 лет назад +5

    Shukran kwa funzo Allah akujalie kila la kheri

  • @saudorsaugold6643
    @saudorsaugold6643 5 лет назад

    ALLAH AKBAR hakika dini yetu imeshaga maliza alhamdulillah kwa neema hii

  • @abdusaalim1927
    @abdusaalim1927 5 лет назад +2

    Maashaallaah alhabiib Allah akupe kullah khayri

  • @ramlaleila374
    @ramlaleila374 2 года назад

    Allah akubariki sheikh wetu

  • @kudramzee4638
    @kudramzee4638 4 года назад

    Masha Allah shekh kwa kutukumbusha

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 4 года назад

    Mashaa allah tabarakallah shukrani sana shekh

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 5 лет назад +1

    Tumekuelewa sana shehe..mashallah

  • @saidhamad1946
    @saidhamad1946 5 лет назад +1

    Jazakallahu khairah Sheikh

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 5 лет назад

    Maa shaa Allah jazaka Allah khayr sheikh

  • @mohamedimohamedi7881
    @mohamedimohamedi7881 5 лет назад

    zina mtihani kwa uma mtume anasema hamna kitu alichokihofia kwa umma kama mataminio ya wanawake

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 5 лет назад +2

    Baraka allahu sheikh hamisi

  • @moridohome4790
    @moridohome4790 3 года назад

    Shukran jazzakahAllah

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 года назад

    Shukran shekhe

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 5 лет назад +1

    Shukran njaziira

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 лет назад

    Subhna Allah Shukran Sheikh Wetu

  • @abuuchampion
    @abuuchampion 3 года назад +1

    Mashaallaah 🙏

  • @Mamake6
    @Mamake6 5 лет назад

    MashaAllah. Jazak Allah khyr 🙏

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 5 лет назад

    shukran shkh

  • @afdaa946
    @afdaa946 5 лет назад +2

    Ma shaa Allah shukuran jazillah

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 года назад

    Shukran sana

  • @aniphaally5017
    @aniphaally5017 5 лет назад

    Jazaka allahu khairan

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 5 лет назад

    Shukran yaa maalim

  • @odaamirsaab9185
    @odaamirsaab9185 2 года назад

    Yarabi amin

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 5 лет назад +1

    Masha allah shukuran

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад

    S alk salama naomba no yako she kh

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 4 года назад

    Mashallah

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 4 года назад

    Mungu akijaalia lazima nije msikitin kwako nisikilize mawaidha yako

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena917 5 лет назад +1

    Shukran

  • @khuzeimaabdul4275
    @khuzeimaabdul4275 5 лет назад +1

    ALLAH BARIQ

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 4 года назад +2

    Kwenye kuacha uzinifu apo ndio shida

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +2

    Mashallah shukuran

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 5 лет назад +1

    mashaalllah

  • @nuruzegega3786
    @nuruzegega3786 4 года назад

    In sha Allah

  • @faizahamim9935
    @faizahamim9935 5 лет назад

    Manshallah tabarakallah

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад

    Amina

  • @thurayyaomar655
    @thurayyaomar655 5 лет назад

    maaashallah 🤝

  • @Moblacful
    @Moblacful 2 года назад

    SHARTI SABA ZA SWALA
    1. UISLAM - KUA MUISLAM
    2. AL BULUGHU - KUBALEHE
    3. AL AKLU - AKILI TIMAMU
    4. ATWAARATU - KUTWAHARIKA NA NAJSI NA HADATH
    5. AL ILMU BIDUHULI WAQTI - KUJUA MUDA UMEFIKA
    6. SATRU AL AURAT - KUVAA NGUO
    7. ISTIQBALU AL QIBLA - KUELEKEA KIBLA

  • @ayububakari8513
    @ayububakari8513 5 лет назад

    Aamin

  • @idrisamsakuzi4033
    @idrisamsakuzi4033 5 лет назад +1

    Kwenye hadath hapo bado sijaelewa vizuri

    • @aminaabdiabdi7112
      @aminaabdiabdi7112 5 лет назад

      Hadath kwanilivoelewa mim ni janaba ama Kwa cc wanawake kuingia period kuzaa Ivo but anaejua anaeza ktasaidia zaidi shukran

    • @chandedondo8438
      @chandedondo8438 5 лет назад

      Mwatokea darasa saba

  • @amirikhatibu1989
    @amirikhatibu1989 3 года назад

    Jekama in rakaannne

  • @yasminasmiss6577
    @yasminasmiss6577 4 года назад

    Kunako iyo sunnah ya kuinuwa Mikono sehem inne
    Unayfanya kila raja ya sala?
    Ima nikeenye raja yakeanza tutu
    (Ex)ukitowa takbiratul hiram
    Na ukielekeya kunako rukuu
    Na unapo kwenda kusujudu
    Na unapo simamakutoka hatayyatu yakwanza
    Sasa izizingine raka itabidi uwinuwe tena mikono????

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 лет назад

    Shukulan

  • @aminamohd604
    @aminamohd604 5 лет назад

    Wengine hapo bendera

  • @fatmazenafzena917
    @fatmazenafzena917 5 лет назад +1

    Kuinua mikono sehemu nne....je kila rakaa au ni rakaa ya mwanzo tu ?

    • @mansixgooseman8915
      @mansixgooseman8915 5 лет назад +1

      Kafiri fatuma

    • @الزغويالزغوي-ض3ن
      @الزغويالزغوي-ض3ن 5 лет назад +1

      FATMA ZENA FZENA
      KUINUA MIKONO NI KATIKA TAKBIRA YA KWANZA
      WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA
      UNAPO ITIDALI (UNAPO RUDI JUU KUTOKA KWENYE RUKUU)
      UNAPO NYANYUKA KUTOKA KWENYE KIKAZI CHA TAHIYATU (TASHAHUDI YA KWANZA)

    • @fatmazenafzena917
      @fatmazenafzena917 5 лет назад +1

      @@الزغويالزغوي-ض3ن shukran ...hivyo nafanya ila swali langu ni kila rakaa au ni ya mwanzo tu?rakaa zinazofuata hunyanyui?daaa nasikitika huyo kuniita mie kafiri....ALLAH AMSAMEHE...ajue aulizae ataka kujua huwenda anaona anafanya sawa kumbe anakosea

    • @الزغويالزغوي-ض3ن
      @الزغويالزغوي-ض3ن 5 лет назад +2

      @@fatmazenafzena917
      UJUE KWANZA : KUA HUYU SHEIKH NI : SUNNAH WAL JAMAA, MADHEHEBU YAKE NI SHAAFII'IYYU.
      KWA HIVYO HUU NDO UFAHAMU WA IMAMU SHAAFII'IYYU MWENYEZI MUNGU AMRAHAM, NA WENGINE WENGI KATIKA MAIMAMU WA AHLUS-SUNNAH WAL JAMAA.
      NAMI PIA NIKO KAMA HIVYO
      KUA MIKONO :
      HUI NULIWA SEHEMU NNE :
      1 WAKATI WA TAKBIRA YA KWANZA.
      2 WAKATI WA KWENDA KURUKUU KWENYE RAKAA YA KWANZA.
      3 WAKATI WA KURUDI JUU (KUITIDALI ) KUTOKA KWENYE RUKUU YA RAKAA YA KWANZA.
      4 KISHA HUINULIWA TENA WAKATI WA KUINUKA KUTOKA KWENYE TASHAHUDI YA KWANZA, KWA MAANA WAKATI WA KUIENDEA RAKAA YA TATU.
      HAKUNA KUINUA TENA.
      IJAPOKUWA KUNA RIWA ZINAZOENDELEA ONESHA KUA (MTUME ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO KINA ANAPO NYANYUKA NA ANAPO SHUKA CHINI).
      PIA ZIPO ZINAZO ONESHA MTUME (ALIKUWA AKINYANYUA MIKONO ANAPO FUNGUA SWALA TU KISHA HANYANYUI TENA).
      PIA IKO INAYO ONESHA (AKINYANYUA WAKATI WAKUINGIA KWENYE SWALA NA ANAPO RUKUU NA ANAPO ITIDALI).
      HIVYO NI WAZI KUWA KHITILAFU ZIPO.
      KWA HIVYO ALIYE ELEWA KUWA NI SEHEMU HIZO NNE PEKEE AKIZIDISHA AMEKOSEA .
      HIVYO NI KUSOMA AU KUULIZA WANAO JUA KISHA UANGALIE ULIVYO ELEWA AU ULIVYO TOSHELEZWA.
      WAL-LAAHU A'LAMU BIS-SWAWAABI.

    • @fatmazenafzena917
      @fatmazenafzena917 5 лет назад +2

      @@الزغويالزغوي-ض3ن shukran sana sana kwa kunielewesha vizuri.nami nipo humo humo ila tu nauliza ili nifahamu zaidi

  • @asriyaaljabri9582
    @asriyaaljabri9582 5 лет назад +1

    توجيه قبل تكبير

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 3 года назад

    Kuna jamaa anazuga kunywa maji 😂

  • @suleimanbakar6097
    @suleimanbakar6097 5 лет назад

    Kumbe she he wa bakwata!PABA mufti nchi hii?mufti aombea dual kafiri?labda mafuta sio mufti

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 5 лет назад

    Shekhe salaa zinalipwa na mwenyewe ALLAH wala hakuna wa kumwakilisha tazama kauli zako usije ukajifukurisha kwa kuvuka mipaka

    • @jumannesalum8162
      @jumannesalum8162 5 лет назад

      Kasome ww bado

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 4 года назад

      @@jumannesalum8162 mtihani tunao kwa kweli unampangia mja alipwe hichi na kile kwani ww ni mshirika wa Allah? Ww ongelea sheria na kanuni zinavosema tu but usivuke mipaka mkajifanya nyie ndio mwajua malipo ya Allah ! Ukosefu wa elimu tu kutaka sifa

    • @yusufsaid2069
      @yusufsaid2069 4 года назад

      Mmmmmmh!!!! Imekuaje tena umuone shekh atakufurisha watu?!!!!
      Kwani shekh si anaelimisha KUHUSU KUSWALI na makosa ambayo WATU WEEENGI wanayafanya katika swala!!!!
      Tatizo hasa nini mpka umemfahamu shekh namna hiyo???!!!!
      Tunapoelimishwa kuhusu mambo ya DINI yetu basi ni vizuri KUWA NA UPOLE na NIA YA KUFAHAMU ....
      ((DINI ni ELIMU))
      Pasi na ELIMU dini KUTEKELEZEKA NI MTIHANI!!!!!!!

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 года назад

    MASHA ALLAH