VIDEO: NANDY ALIVYOPOKELEWA ZANZIBAR, AENDESHA PIKIPIKI AKIONGOZA MSAFARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июл 2021
  • Tayari team ya Nandy iliyoambatana na wasanii watakao perform Kwenye Tamasha la Nandy Festival Zanzibar limeshawasili visiwani humo, Tazama VIDEO walivyopokelewa

Комментарии • 138

  • @upendoabraham2942
    @upendoabraham2942 2 года назад +1

    Woooow!! Mwenamke mpambanaji mwenye uthubutu wa hali ya juu

  • @emmamikate4741
    @emmamikate4741 2 года назад +7

    Nandy si angewalegezea kidogo hao mabodyguard asee

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 2 года назад +2

    Upuuuuzi mtupu mzanbr gni asaiv msaniii mwanamke anakaauchi kama hvy kunidhalilisha tu

  • @khamiskombo8724
    @khamiskombo8724 2 года назад +2

    Njaaa mbaya dah hao walinz hadi huruma kiukweli hajawatendea haki hata kidogo dah poleni sana mabroooo

  • @RynlizzyTheBoss
    @RynlizzyTheBoss 2 года назад +7

    Wabongo bhana😀...unaulizwa umejifunza lini kuendesha pikipiki, unajibu lini imeanza kuendesha gari. Sijui huwaga atuelewagi maswali😀😹

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 2 года назад +4

      Mngejuaje kama alizaliwa kwenye familia ya kishua?

    • @princearjun5488
      @princearjun5488 2 года назад

      Hahahahà kumbe umeisoma kenyewe kaongo at miaka saba kafundishwa gari na baba yake akatafute wajinga wenzake akawadanganye pimbi huyo

  • @yussufkansela8118
    @yussufkansela8118 2 года назад

    we love you ndy welcm zanzbr.

  • @marykirway3209
    @marykirway3209 2 года назад

    Honger san dada mpambanaj

  • @hamadihamadiali2033
    @hamadihamadiali2033 2 года назад +3

    Ss hai mabodygurd yotee njaaaa au hkuna kazi hamuon km Adhabu hyooo , mtihan

  • @annethnkya5891
    @annethnkya5891 2 года назад +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣hao mabodygurd vep Tena🤣🤣🤣💃

  • @suzytraveller924
    @suzytraveller924 2 года назад +6

    Unaposema unakimbizana na maisha tazama mabodyguard wanavyokimbizana na nandy

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen786 2 года назад +3

    *Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia RUclips andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya nguvu za kiume, Tiba ya kizazi, Mvuto wa biashara na mengineo mengi karbuun mjifunze*

  • @mourinejackobo696
    @mourinejackobo696 2 года назад +1

    Noma kweli

  • @pilotkhelfin4711
    @pilotkhelfin4711 2 года назад +3

    Kiukwel ma body guards walikoma haswaaaaaaaaa

  • @yasintajames1524
    @yasintajames1524 2 года назад

    Daaah maskin mabodgurd duh Hera iz

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 2 года назад +5

    Hawa ma bodyguards wamenikumbusha movie moja ya Kichina boss wao yupo juu ya farasi wao wana fukuza upepo kwa miguu😂😂😂😂ila pesa ngumu nyie halafu kuna katoto ka mtu kenyew kazi kuagiza TUMA NA YA KUTOLEA😜

    • @dianarobert3989
      @dianarobert3989 2 года назад

      @@mohamedslh5478 Hahaha mimi sina tabia hiyo

  • @user-pg3pu4jk9f
    @user-pg3pu4jk9f 2 года назад +8

    Jamani hiyo tabiya gani yakuwatesa Hao mabodgadi, hadi nimewaurumiya

  • @stevenmarco1853
    @stevenmarco1853 2 года назад

    Nimeipendaa xanaaa

  • @zuewaley8249
    @zuewaley8249 2 года назад

    uyu dada ana fanya kazi jaman

  • @fatmamshangama9824
    @fatmamshangama9824 2 года назад +1

    Nakukubali sana my dear

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 2 года назад +14

    Alafu usikie tu mtu anasema Kuna corona nyingi ,aibu kwenu viongozi na michanjo yenu.

    • @championtv255
      @championtv255 2 года назад +2

      Akiamungu wanatuchuria Sana hawa viongozi wetu

    • @dianarobert3989
      @dianarobert3989 2 года назад

      Tena hiyo michanjo imeshaanza kuwauwa kule Marekani mm kama nimeandikiwa kufa kwa Corona acha nife tu hizo chanjo hapana

  • @neematemu5460
    @neematemu5460 2 года назад +1

    Nandy yuko vizuri

  • @zaynahmoh5149
    @zaynahmoh5149 2 года назад +5

    Kwakweli mabosn anawakomesh

  • @alexnzambu946
    @alexnzambu946 2 года назад +1

    utumwa huu baba #idiamindada

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 2 года назад +1

    Hao mad guard Kah😂😂😂😂

  • @halimayusuph4931
    @halimayusuph4931 2 года назад +5

    Mbona mateso hao mabodygurd

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 2 года назад +1

    I like it

  • @sharifaelinest2661
    @sharifaelinest2661 2 года назад

    kiukwery nakupenda nandy lakn duuh achakuwakimbizaao atakama unawalipa siokiivo dada

  • @fhvbvgkvgc8073
    @fhvbvgkvgc8073 2 года назад +1

    Yaani kila msanii wa Bongo ako na vituko vyake, lakini hii ya Nandy ni adhabu hela isikuharibie utu dadaa.

  • @herbethalmasi127
    @herbethalmasi127 2 года назад +8

    Bodyguards shughuli wameipata😂😂

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Noma

    • @queenbaiby1728
      @queenbaiby1728 2 года назад

      Na bado😂😂😂

    • @merisianantandu1327
      @merisianantandu1327 2 года назад

      Alafu unapata madem tunakula nauli zao 😂😂

    • @khadijeegundumu4651
      @khadijeegundumu4651 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @Saumkupha
      @Saumkupha 2 года назад

      @@merisianantandu1327 tunakula adi yamuuza mikopo ya jaani xx bodyguard tunakosaje kula 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @gman5485
    @gman5485 2 года назад +2

    kutokana na tabia wanazoonesha vijana wa kichaga sisi kama wapare tunauomba uongozi wa Nandy usitishe mahusiano yake na billnasi mpaka hapo tutakapojiridhisha uhai wa mdogo wetu

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 года назад +1

    Eti kapanda clic asema vespa

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 2 года назад

    Dah kwani hao mabody guard lzima wakimbie uwiii ningemwacha mimi

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 2 года назад

    Am jast passing nitarudi badae 😂😂😂maana si kwa mbiyo hizo mdomo koma 🙊😂😂🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @credo7837
    @credo7837 2 года назад +2

    Aaa anavyo kimbiaa hadi huruma 🤣

  • @yusoboy_tz
    @yusoboy_tz 2 года назад +1

    Iyo ndio zanzibar nilitaka nione uwo msafara maana zanzibar ina wenyewe

  • @masundelwa
    @masundelwa 2 года назад +3

    Boda zenji huku ni kama miguu kwetu yakheeee..

  • @shellaking6185
    @shellaking6185 2 года назад +2

    Watu wana kula kwa jasho walinzi wanapata tabu dah ckwa mbio hizo

  • @salimomary6279
    @salimomary6279 2 года назад

    Hao bodyguard sio kwa kazi hiyo

  • @hashimuramadhan6530
    @hashimuramadhan6530 2 года назад +15

    Mi nawacheki tu awo mabodygurd yanavokimbia

  • @palgalzhou6066
    @palgalzhou6066 2 года назад +8

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mabodigadi nao wamekimbia mpaka wamepakizwa kwa pikipiki pesa ngumu jaman

  • @salimomary6279
    @salimomary6279 2 года назад

    Blue itakuwa anadoe mzigo sahivi

  • @hemednassor4560
    @hemednassor4560 Год назад

    Ushamba tu

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 2 года назад +2

    Upuuzi

  • @activestudios.
    @activestudios. 2 года назад +1

    DAH TWENDE MBELE TURUDI NYUMA MABODYGUARD NI WATU WAKUHESHIMIWA SANA ONA JAMAA WANAKIMBIA ALAFU WASANII WAPOKWENYE PIKIPIKI

    • @dechaggagirl1614
      @dechaggagirl1614 2 года назад

      Watajua hawajui😂😂😂ndo kula yao hiyo

    • @credo7837
      @credo7837 2 года назад

      @@dechaggagirl1614 Wew piga domo wenzako wanaingiza pesa

    • @dechaggagirl1614
      @dechaggagirl1614 2 года назад

      @@credo7837 we koma ww cjakuita usome coment yangu wala cjasema kwa ubaya kwan c kazi yao ndo nlichomanisha asa cjui wawaza nn mwenzangu🙄🤔

    • @credo7837
      @credo7837 2 года назад

      @@dechaggagirl1614 mbn imekuuma dada😂😂lazim niisome koment yako

    • @dechaggagirl1614
      @dechaggagirl1614 2 года назад

      @@credo7837 bc usome kwa kutulia 😇🙇co ucomment shit km hivo ijaniuma wala nn🏊💃💃

  • @masumbukojackson8425
    @masumbukojackson8425 2 года назад

    Wanao endesha niwakukamata wote sababu hawajavaa element

  • @sadruhsnowwhite4163
    @sadruhsnowwhite4163 2 года назад

    Kumbeeee

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 2 года назад +4

    Sito powa wanawatesa hao ma bodyguard kwa kukimbia kwann lakin?

  • @nadraali7409
    @nadraali7409 2 года назад

    Sio fair kwakwel

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 2 года назад +2

    Show off ni kubwa sana kuliko uwezo

  • @williammohamed3081
    @williammohamed3081 2 года назад

    Huyu blue kwa Nandy

  • @khairamabrouk5728
    @khairamabrouk5728 2 года назад

    Chooo shida

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 2 года назад

    Huruma jamani ao walinzi

  • @ibrahissa7758
    @ibrahissa7758 2 года назад

    Manors guard wanakoma

  • @marywinny1890
    @marywinny1890 2 года назад

    🤣😂😍

  • @josej9888
    @josej9888 2 года назад +1

    Outimatic hizo wala hazisumbui ukishawasha nimwendo tu.

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 10 месяцев назад

      Baba usione kwa macho ukaamin km.hujawahi kienseza unajipiga na ukuta kwan usisahau kuna malicious ya mafuta na break ujuw jisi ya matumuz yke na makisio

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 года назад +4

    mmmmh mwenye Zanzibar yake tulimuona alivyopokelewa kwao #Zuchu lkn hawa wengine wakuja tuu Nandy akiburudisha skukuu atapata wa2 lkn zenji tunajuana kwa vilemba wenyewe😂😂😂😂😂😂😂

    • @mosesangolile4846
      @mosesangolile4846 2 года назад +1

      Ubaguzi tu

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 года назад +1

      Juann tu ubinafis utawauwa

    • @kreamagdfsa1697
      @kreamagdfsa1697 2 года назад +1

      Hata huyo zuchu bado muda mchache tu wazanzibar watampuuza maana kelele zimesha tawala watu hawatak mziki ZANZIBAR

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 года назад

      @@kreamagdfsa1697 wakosa maendeleo. Hao

    • @kreamagdfsa1697
      @kreamagdfsa1697 2 года назад

      @@joharishabani2893 Nani? sasa wakosa maendeleo na maendeleo huletwa na juhudi ya mtu binafsi na sio mziki mendeleo ya ZANZIBAR yanaingia kwa asilimia kubwa ya UTALII

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein6255 2 года назад +2

    Blue vp mbona sikuskii tena sikuskii ukiflow mbona sikuskii ukitema

  • @happyradi5583
    @happyradi5583 2 года назад

    Xevd

  • @hurumaabdallah6869
    @hurumaabdallah6869 2 года назад +1

    Mabodigadi🙄🙄

  • @geofreyanania1108
    @geofreyanania1108 2 года назад

    Bonge la msafara amevunja record

  • @user-wj2ss1qk8k
    @user-wj2ss1qk8k 2 года назад

    Mhmh pesa hiz

  • @salmaabdull9872
    @salmaabdull9872 2 года назад +3

    Hivyo vinaoenda mbio ni vifala

    • @credo7837
      @credo7837 2 года назад

      Wew tukana wenzako wanaingiza pesa

    • @salmaabdull9872
      @salmaabdull9872 2 года назад

      @@credo7837 sasa maskini ni ww tu

    • @credo7837
      @credo7837 2 года назад

      @@salmaabdull9872 wew tajiri umepatapa nn pumbavuu

    • @salmaabdull9872
      @salmaabdull9872 2 года назад

      @@credo7837 sasa marehemu ww ndio waongea

    • @credo7837
      @credo7837 2 года назад

      @@salmaabdull9872 marehem wew ulikosa maarifa

  • @amourmasangya9256
    @amourmasangya9256 2 года назад

    Kama wasanii wakubwa na watu wenye public attention wanaendeshaje pikipiki bila kuvaa kofia ngumu? Watu wajifunze Nini kwao Kama kioo cha jamii? Wajifunze kuvunja sheria?

  • @earthmoves_
    @earthmoves_ 2 года назад +1

    Bordgard 🙄🙄

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 2 года назад +2

    Kwanini sisi wanzabari tunawapokea hawa mashetani ktk mji wetu ? Kisha tinasema znz imeharibika ? Zanzibari haina maadili ?maadili tuyatengeneza wenyewe na tunayaporomosha Kwa mikono yetu basi hapo utawaona wapemba kibao wanashoboka lakin wakija washekh ktk miji yenu basi munawapiga mabomu ?😶 Munakwemda wapi amkeni

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +2

      Mkuu yakhe maadili gani Zenji mkuu wakati nyie walawiti sana watoto wa kike na kiume, kesi kibao za kulawilatiana Zanzibar na watu wanaachiwa huru tu, acha unafiki mkuu

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 2 года назад +3

      @@kabwelasutiviraka4765 hizo liwati si mumezkleta nyinyi mbwa Koko mpka huko kwenu kuna mpka sehemu inaitwa Kwa mparange

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +2

      @@zuheorsalim7759 umevurugwa wewe big time wewe mgeni Zanzibar labda mambo ya kulawitiana Zanzibar ni mambo ya muda mrefu sana tena sana , hata watu wa huko nimesikia ni kawaida kabisa kuwaingilia kinyume cha maumbile wake zao, na wanawake wa bara huwa hawapendi kuolewa na watu hao wa uko Zanzibar , mnao mchezo wa wazee kuwalawiti watoto wadogo na vijana na kesi zinafutwa mwaka huu tu kesi 600 za kulawitiwa watoto wadogo tayari zimeripotiwa Zanzibar.

    • @amourmasangya9256
      @amourmasangya9256 2 года назад +1

      Kama wasanii wakubwa na watu wenye public attention wanaendeshaje pikipiki bila kuvaa kofia ngumu.watu wajifunze Nini Kama kioo cha jamii

    • @umakramzahor4836
      @umakramzahor4836 2 года назад +2

      Kwanza tengua. Kauli yzko yakuwataja wa Pemba sema Zanzibar