VIDEO: NANDY ALIVYOPOKELEWA ZANZIBAR, AENDESHA PIKIPIKI AKIONGOZA MSAFARA
HTML-код
- Опубликовано: 17 июл 2021
- Tayari team ya Nandy iliyoambatana na wasanii watakao perform Kwenye Tamasha la Nandy Festival Zanzibar limeshawasili visiwani humo, Tazama VIDEO walivyopokelewa
Woooow!! Mwenamke mpambanaji mwenye uthubutu wa hali ya juu
Nandy si angewalegezea kidogo hao mabodyguard asee
Upuuuuzi mtupu mzanbr gni asaiv msaniii mwanamke anakaauchi kama hvy kunidhalilisha tu
Njaaa mbaya dah hao walinz hadi huruma kiukweli hajawatendea haki hata kidogo dah poleni sana mabroooo
😂😂😂😂Acha tu
Hakuna cha bure ahahaaaa
Wabongo bhana😀...unaulizwa umejifunza lini kuendesha pikipiki, unajibu lini imeanza kuendesha gari. Sijui huwaga atuelewagi maswali😀😹
Mngejuaje kama alizaliwa kwenye familia ya kishua?
Hahahahà kumbe umeisoma kenyewe kaongo at miaka saba kafundishwa gari na baba yake akatafute wajinga wenzake akawadanganye pimbi huyo
we love you ndy welcm zanzbr.
Honger san dada mpambanaj
Ss hai mabodygurd yotee njaaaa au hkuna kazi hamuon km Adhabu hyooo , mtihan
😂😂❤️❤️
Tizi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hao mabodygurd vep Tena🤣🤣🤣💃
Unaposema unakimbizana na maisha tazama mabodyguard wanavyokimbizana na nandy
😂🤣😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
*Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia RUclips andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya nguvu za kiume, Tiba ya kizazi, Mvuto wa biashara na mengineo mengi karbuun mjifunze*
Noma kweli
Kiukwel ma body guards walikoma haswaaaaaaaaa
Daaah maskin mabodgurd duh Hera iz
Hawa ma bodyguards wamenikumbusha movie moja ya Kichina boss wao yupo juu ya farasi wao wana fukuza upepo kwa miguu😂😂😂😂ila pesa ngumu nyie halafu kuna katoto ka mtu kenyew kazi kuagiza TUMA NA YA KUTOLEA😜
@@mohamedslh5478 Hahaha mimi sina tabia hiyo
Jamani hiyo tabiya gani yakuwatesa Hao mabodgadi, hadi nimewaurumiya
Nimeipendaa xanaaa
uyu dada ana fanya kazi jaman
Nakukubali sana my dear
Alafu usikie tu mtu anasema Kuna corona nyingi ,aibu kwenu viongozi na michanjo yenu.
Akiamungu wanatuchuria Sana hawa viongozi wetu
Tena hiyo michanjo imeshaanza kuwauwa kule Marekani mm kama nimeandikiwa kufa kwa Corona acha nife tu hizo chanjo hapana
Nandy yuko vizuri
Kwakweli mabosn anawakomesh
utumwa huu baba #idiamindada
Hao mad guard Kah😂😂😂😂
Mbona mateso hao mabodygurd
🤣🤣🤣
I like it
kiukwery nakupenda nandy lakn duuh achakuwakimbizaao atakama unawalipa siokiivo dada
Miziki
Yaani kila msanii wa Bongo ako na vituko vyake, lakini hii ya Nandy ni adhabu hela isikuharibie utu dadaa.
Kweli kabisa si bora kitu Bora utu.
Bodyguards shughuli wameipata😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Noma
Na bado😂😂😂
Alafu unapata madem tunakula nauli zao 😂😂
🤣🤣🤣🤣
@@merisianantandu1327 tunakula adi yamuuza mikopo ya jaani xx bodyguard tunakosaje kula 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
kutokana na tabia wanazoonesha vijana wa kichaga sisi kama wapare tunauomba uongozi wa Nandy usitishe mahusiano yake na billnasi mpaka hapo tutakapojiridhisha uhai wa mdogo wetu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atachomwa Petroli
Atachomwa Petroli
Eti kapanda clic asema vespa
Dah kwani hao mabody guard lzima wakimbie uwiii ningemwacha mimi
Am jast passing nitarudi badae 😂😂😂maana si kwa mbiyo hizo mdomo koma 🙊😂😂🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@@mohamedslh5478 wapi
Aaa anavyo kimbiaa hadi huruma 🤣
Iyo ndio zanzibar nilitaka nione uwo msafara maana zanzibar ina wenyewe
Boda zenji huku ni kama miguu kwetu yakheeee..
Watu wana kula kwa jasho walinzi wanapata tabu dah ckwa mbio hizo
Hao bodyguard sio kwa kazi hiyo
Mi nawacheki tu awo mabodygurd yanavokimbia
Daa hii nchi ngumu sana
Pesa ngumu broo😂
@@dianarobert3989 kbs 😂😂😂😂😂
Kazi zingne utumwa jamn
@@annrobin9291 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mabodigadi nao wamekimbia mpaka wamepakizwa kwa pikipiki pesa ngumu jaman
😂😂😂🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Blue itakuwa anadoe mzigo sahivi
Ushamba tu
Upuuzi
DAH TWENDE MBELE TURUDI NYUMA MABODYGUARD NI WATU WAKUHESHIMIWA SANA ONA JAMAA WANAKIMBIA ALAFU WASANII WAPOKWENYE PIKIPIKI
Watajua hawajui😂😂😂ndo kula yao hiyo
@@dechaggagirl1614 Wew piga domo wenzako wanaingiza pesa
@@credo7837 we koma ww cjakuita usome coment yangu wala cjasema kwa ubaya kwan c kazi yao ndo nlichomanisha asa cjui wawaza nn mwenzangu🙄🤔
@@dechaggagirl1614 mbn imekuuma dada😂😂lazim niisome koment yako
@@credo7837 bc usome kwa kutulia 😇🙇co ucomment shit km hivo ijaniuma wala nn🏊💃💃
Wanao endesha niwakukamata wote sababu hawajavaa element
Kumbeeee
Sito powa wanawatesa hao ma bodyguard kwa kukimbia kwann lakin?
🤣🤣hela mama
Ndo kazi hyo...
Sio fair kwakwel
Show off ni kubwa sana kuliko uwezo
Huyu blue kwa Nandy
Chooo shida
Huruma jamani ao walinzi
Manors guard wanakoma
🤣😂😍
Outimatic hizo wala hazisumbui ukishawasha nimwendo tu.
Baba usione kwa macho ukaamin km.hujawahi kienseza unajipiga na ukuta kwan usisahau kuna malicious ya mafuta na break ujuw jisi ya matumuz yke na makisio
mmmmh mwenye Zanzibar yake tulimuona alivyopokelewa kwao #Zuchu lkn hawa wengine wakuja tuu Nandy akiburudisha skukuu atapata wa2 lkn zenji tunajuana kwa vilemba wenyewe😂😂😂😂😂😂😂
Ubaguzi tu
Juann tu ubinafis utawauwa
Hata huyo zuchu bado muda mchache tu wazanzibar watampuuza maana kelele zimesha tawala watu hawatak mziki ZANZIBAR
@@kreamagdfsa1697 wakosa maendeleo. Hao
@@joharishabani2893 Nani? sasa wakosa maendeleo na maendeleo huletwa na juhudi ya mtu binafsi na sio mziki mendeleo ya ZANZIBAR yanaingia kwa asilimia kubwa ya UTALII
Blue vp mbona sikuskii tena sikuskii ukiflow mbona sikuskii ukitema
Niko bize na baby nishasema😄😄😄
@@musaalex3490 😂😂😂😂
@@musaalex3490 utakula baby🤣🤣🤣🤣
Bado nipo nipo
Xevd
Mabodigadi🙄🙄
Bonge la msafara amevunja record
Hhhhhhhh
Mhmh pesa hiz
Hivyo vinaoenda mbio ni vifala
Wew tukana wenzako wanaingiza pesa
@@credo7837 sasa maskini ni ww tu
@@salmaabdull9872 wew tajiri umepatapa nn pumbavuu
@@credo7837 sasa marehemu ww ndio waongea
@@salmaabdull9872 marehem wew ulikosa maarifa
Kama wasanii wakubwa na watu wenye public attention wanaendeshaje pikipiki bila kuvaa kofia ngumu? Watu wajifunze Nini kwao Kama kioo cha jamii? Wajifunze kuvunja sheria?
Bordgard 🙄🙄
Kwanini sisi wanzabari tunawapokea hawa mashetani ktk mji wetu ? Kisha tinasema znz imeharibika ? Zanzibari haina maadili ?maadili tuyatengeneza wenyewe na tunayaporomosha Kwa mikono yetu basi hapo utawaona wapemba kibao wanashoboka lakin wakija washekh ktk miji yenu basi munawapiga mabomu ?😶 Munakwemda wapi amkeni
Mkuu yakhe maadili gani Zenji mkuu wakati nyie walawiti sana watoto wa kike na kiume, kesi kibao za kulawilatiana Zanzibar na watu wanaachiwa huru tu, acha unafiki mkuu
@@kabwelasutiviraka4765 hizo liwati si mumezkleta nyinyi mbwa Koko mpka huko kwenu kuna mpka sehemu inaitwa Kwa mparange
@@zuheorsalim7759 umevurugwa wewe big time wewe mgeni Zanzibar labda mambo ya kulawitiana Zanzibar ni mambo ya muda mrefu sana tena sana , hata watu wa huko nimesikia ni kawaida kabisa kuwaingilia kinyume cha maumbile wake zao, na wanawake wa bara huwa hawapendi kuolewa na watu hao wa uko Zanzibar , mnao mchezo wa wazee kuwalawiti watoto wadogo na vijana na kesi zinafutwa mwaka huu tu kesi 600 za kulawitiwa watoto wadogo tayari zimeripotiwa Zanzibar.
Kama wasanii wakubwa na watu wenye public attention wanaendeshaje pikipiki bila kuvaa kofia ngumu.watu wajifunze Nini Kama kioo cha jamii
Kwanza tengua. Kauli yzko yakuwataja wa Pemba sema Zanzibar