Uwezi Amini DIAMOND Alinionesha Irizi Nakuniambia Nipe Mkono Tushindane

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 233

  • @alfabraxton
    @alfabraxton 2 года назад +13

    *Waaah!! Kumbe Diamond Ako na roho mbaya hivo*

    • @wangash6144
      @wangash6144 2 года назад +3

      nilijua time waligeuka mzee abdul, na kutoka hiyo time havumi sana

    • @eshyndibalema1529
      @eshyndibalema1529 2 года назад +2

      Sana mjinga sana Diamond ana roho mbaya ndio maana alimdhalilisha mzee Abdul na alimllea

    • @janekavere
      @janekavere 2 года назад +1

      Mzee Abdul alimlani kitambo huyo

    • @annastaziamichael6344
      @annastaziamichael6344 2 года назад

      @@janekavere 😂😂😂

  • @mariamzara5498
    @mariamzara5498 2 года назад

    Harmonize kuja mombasaaaa kenya 🇰🇪🇰🇪 usha tengeneza jeshi huku kuja kamanda respect

  • @MCKYEKALOU254
    @MCKYEKALOU254 2 года назад +5

    I feel your pain brother 😥😥nishaawai fanya contract na studio moja apa kenya, now is 6 years since that contract was signed bt hio project bado haijawai kuarelease... Mateso tu na kunyimwa haki, bt now am doing my own thing ...... Ata kama ni kuende kwa choo na kichukua video nieke RUclips I will do Bora sita kazi na studio anymore

  • @waitheranderitu4297
    @waitheranderitu4297 2 года назад +3

    I love Tanzania bongo music I mean their music is on another lever but my favorite is harmonize

  • @malkoabdi
    @malkoabdi 2 года назад +6

    ❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏 DIAMOND IS DEAD MAN WORKING BAD MAN

  • @andrewodionyi4563
    @andrewodionyi4563 2 года назад +3

    Very painful😭😭but continue working smart hermonise

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 2 года назад +4

    Siri ya mtungi aijuae ukata.
    Leo mtungi umevunjika Siri nje.🤭😁😁😁

  • @winniemwesh5557
    @winniemwesh5557 2 года назад +4

    Mwaga yote baba hawatutishiiii kondegang for everybody jeshiiiiiii mwaga yote

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 2 года назад +1

    Kila siku watu wakisema simba mchawi na kamkataa baba yake sio mtu mzuri ni mchawi sasa wata amini🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️

  • @mtsifabregascongo5654
    @mtsifabregascongo5654 2 года назад

    Pole sana bro diamond ni ndoki

  • @AfroMedic
    @AfroMedic 2 года назад

    Harmonize ana ushoga sana , sasa unarekodi watu iweje. Mambo ya kinadada hayo. Apo Ndio umekosea.

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 2 года назад +1

    Kimtoshacho binadamu ni mchanga (udogo) tu

  • @rosemwaka2924
    @rosemwaka2924 2 года назад +1

    Duniani sote tunapita

  • @delisercheminest118
    @delisercheminest118 2 года назад

    Kumbe

  • @arafatahmed6049
    @arafatahmed6049 2 года назад

    diomond kumbe mchawi

  • @saraha618
    @saraha618 2 года назад

    Kiuchawi?????? kwani anamini uchawi????

  • @Kazozadesign_TV
    @Kazozadesign_TV 2 года назад

    💔💔💔

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 2 года назад

    Alipiga ramli we utampita

  • @annamrsmoses7413
    @annamrsmoses7413 2 года назад

    Hapo ni drama tupu hawa watu mhhhh

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 2 года назад

    Wewe mtoto futa hiyo tattto isikuhangaishe hii ni dunia kila moja anamsaidie mwengine kwa vyovyote achaaa hayo mambo futaaaa hiyo tatooo don't fiil guilty bro wake up to and smell the coffee

  • @valeriachipeta774
    @valeriachipeta774 2 года назад

    Ndio alitaka mshindane maana ww ulionesha dharau

  • @NduwimanaSammy
    @NduwimanaSammy 2 года назад +15

    Kumbe ndio maana unaitwa jeshiiiiiiiiii acha na Mimi nipambane umenifanya nilie

  • @NaomyNyanyuki
    @NaomyNyanyuki 2 года назад +8

    This the same thing Diamond did to Rich Mavoko.....

  • @innocentjoram4154
    @innocentjoram4154 2 года назад +14

    Aisee konde una moyo kwa mapito ulio pitia Ila usihofu Mungu asimame nawe 🙏🙏🙏

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 2 года назад +10

    Hiyo hirizi imeisha oza ndiyo maana jeshi kapata courage ya kutapika ukweli wote

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 2 года назад +9

    Diamond ni mswahili japo kuwa ametoboa

  • @naftalynaff7811
    @naftalynaff7811 2 года назад +34

    If whatever Harmonize has said is true then Diamond is not a human

    • @betsyakoko6810
      @betsyakoko6810 2 года назад +1

      His dybolic

    • @lucykiddo225
      @lucykiddo225 2 года назад +1

      Kabisa. I’m disappointed with Diamond sio mtu mzuri

    • @NaomyNyanyuki
      @NaomyNyanyuki 2 года назад +3

      The same thing Diamond did to Rich Mavoko

  • @brendamercy4508
    @brendamercy4508 2 года назад +9

    We gat you bro Kenya 🥰

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 2 года назад +5

    Uyu dogo tulimheshim sana. Lakin kwa UONGEAJI HUU kama bint wa uswahilini, imemshusha sana sana sana... Yani angekua tu cool afanye yake watu waone vitendo.. kwa mdomo huo daah Amejirudisha nyuma sana kwa watu wente class zao kumheshimu..

    • @happynessbenard1319
      @happynessbenard1319 2 года назад

      Hawezi kurudi nyuma cos kwenye label yalotoka wanamsema Sana vibaya wanamuundia mpka machawa ili wamshushe kimziki lkn mungu yupo na yeye ameshajishusha Sana kila siku wanamsema akitoa nyimbo machawa wanaanza nyimbo mbovu ndo nn hicho

    • @richardmweri7918
      @richardmweri7918 2 года назад +1

      Wewe ndo unafeli

    • @andrewmethors5837
      @andrewmethors5837 2 года назад

      Pumbafu we ...hujui kupambana mtoto wa mama

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 2 года назад +1

    Mmm sipendi kumsema nassib hafu wewe napenda unavyo imba lakini makelele unayo fanya sipendi

  • @frdmedia6235
    @frdmedia6235 2 года назад +3

    Wewe mambo yamechacha ndio unamwaga mabaya iyo kawaida katikamaisha utakuw unahadisia kilasiku ndio dunia iyo

  • @samiridicksoni9067
    @samiridicksoni9067 2 года назад +7

    Harmonize pambana ii Dunia ni yamungu wote tunapita

  • @itsjkamolabeatz
    @itsjkamolabeatz 2 года назад +2

    😂😂😂Diamond platnumz ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe u cheke😎😂😂
    👇👇👇👇👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/nzHStcK4g7g/видео.html

  • @skydaddy6832
    @skydaddy6832 2 года назад +8

    TULIHAMA wasafi kwa UJINGAH Wao, Wapuuzi sanah

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman5816 2 года назад +3

    Oe Hamo...big up brother yaani mzee baba wee ni mjeshi kweli n wala sio longo longo i pray for you pambanaaaa don't worry Mungu yupo nasi🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊

  • @mariamrio8236
    @mariamrio8236 2 года назад +1

    Mambo ya umasini ama utajili kawaida sema uki tubu zambi uta kuwa ume fa nikiwa

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 2 года назад +1

    Mzee mpaka unakauka koo.. kunywa maji ukapumzuke . Tafuta mda waite media mahali pengine uongee yako..

  • @kadzopurity7944
    @kadzopurity7944 2 года назад +2

    So painful 😥😥, Don't give up #Harmonize May God protect you and may your wishes and dreams come true 🤲🤲🙏🙏Just believe in God Everything will ouky Because God's time is always the best

  • @gugahmediaafrica9405
    @gugahmediaafrica9405 2 года назад +1

    Roho za kiafrika ziko ivo bro mtu atakusaidia ili watu wamsifie ila sio wewe unufaike kumliko

  • @saidimwandoro7455
    @saidimwandoro7455 2 года назад +2

    Diamond anawivu Sana mkundu wake pamoja na hiyo wasafi yake Kuma yeye

  • @tonystonekimutai7899
    @tonystonekimutai7899 2 года назад +6

    Love you harmonize from the start

  • @harrietmurugi4345
    @harrietmurugi4345 2 года назад +5

    Waah I knew from the start that diamond was not a good person at all... Sitwahi Tena kuskiza muziki wako nguruwe ww

  • @donprinceabselhalims7421
    @donprinceabselhalims7421 2 года назад +1

    Maneno ni Mengi Ila kuna haja ya hawa wasanii wetu kujiridhisha na Aina ya mikataba wanayoingia na lebo/makampuni vile wakifanikiwa ndio wanagundua kuwa walifanya Makosa kwenye mikataba Yao halafu wanategemea huruma ya wananchi kupitia media

  • @mwajitajunior7633
    @mwajitajunior7633 2 года назад +7

    Whatever harmonize is telling people it's very true and you can just tell from his face

    • @georgenjeri8547
      @georgenjeri8547 10 месяцев назад

      True Bro 4 Sure This Is Coming From His Heart

  • @stsg2769
    @stsg2769 2 года назад +2

    Mungu akupe kila la heri Tembo muti uliyo pandwa na mungu hakuna mwana damu wa kuwongowaa

  • @uyangasaidi785
    @uyangasaidi785 2 года назад +2

    Polesana nduguyangu usifatene namanenoyawatu muombe mungu utashindatui iyilonijaribu itapitatuuuu

  • @suleimanmbarak1260
    @suleimanmbarak1260 2 года назад

    Kwendeni zenu. Nyote ni washirikina. Hamuimbi bila ushirikina. Freemason nyie. Wenzenu wangapi wana struggle kuimba na ni wazuri sana lakini bila ya majuju na mahirizi na kutoingia Freemason basi hufiki popote.

  • @kabuenakorodmusic5457
    @kabuenakorodmusic5457 2 года назад +3

    Your no # 1fun Harmonize keep it up.I feel your pain

  • @ocholarose4654
    @ocholarose4654 2 года назад +1

    Diamond is not God keep on the world is waiting for you .. Kenyans are happy about you..

  • @hadija846
    @hadija846 2 года назад +13

    Pamoja sana Konde wangu
    kwa kweli unanitowa machozi Yaani unapata mitihani migumu pole sana lakini M/Mungu yupo nawe wakati wote. Aamiin🙏🏼😍

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 2 года назад +1

    Airport security wangemtoa apo akafanyie media zake uswahilin uko

  • @emanuelyshokolo6944
    @emanuelyshokolo6944 2 года назад

    Wewenae tumekuchoka na maneno yako ya kijinga pindi bado upo wasafi mbona ulikua husemi umeona mondi kakuto umeanza kumsema vibaya hatakama anamabaya yake lakini mpe hata shukrani maana bila yeye usingekua hapo ulipo acha ujinga broo

  • @magrethmallya7728
    @magrethmallya7728 2 года назад

    Povu tuu hilo. Hata wewe nimchawi tuu. Daimondi atabaki kuwa juuu.

  • @mafedhakhalfani3275
    @mafedhakhalfani3275 2 года назад +1

    Wow wale watu wanyama🙄🙄 diamond clean your heart uende mbinguni huo sio uislam

  • @VanderbickDiderick
    @VanderbickDiderick 10 месяцев назад

    Shetani alipokuwa anataka kuwa mungu mungu alimfukuza mbinguni kinachomuuma harmonize nihaelewi nafac ake na alipo

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 2 года назад +1

    Kaza buti mwanangu mungu amekupa kipaji kitumie utaulizwa na mungu siku ya mwisho juu ya talanta ulizopewa achana na waswahili huyo ni Kama mo wa Simba

  • @dorcasshish5359
    @dorcasshish5359 2 года назад +2

    Diamond issa witch for real .Who does this??

  • @VanderbickDiderick
    @VanderbickDiderick 10 месяцев назад

    Kama uko serious na nikwely kwann umrekodi mty inamaanisha kwamba Kuna upuzi ulikuwa unaandaa

  • @godiiabihudi8781
    @godiiabihudi8781 2 года назад

    We unangea sana fara wewe sio bure ukafukuzwa kimbele mbele wewe acha shobo akuna mtu anakuelewa

  • @udakutv6973
    @udakutv6973 2 года назад

    WAMAKONDE WAMJIA JUU HARMONIZE WAMTAKA AOMBE MSAMAHA KWA DIAMOND
    ruclips.net/video/Toldeu_VYtg/видео.html
    ruclips.net/video/Toldeu_VYtg/видео.html
    ruclips.net/video/Toldeu_VYtg/видео.html

  • @hawagkalume9016
    @hawagkalume9016 Год назад +1

    Pole sana konde gang pambana sana brother

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha Месяц назад

    Daah usilolijua ni kama usiku wa giza jmn pole🎉🎉🎉🎉

  • @geofreynyigo3004
    @geofreynyigo3004 2 года назад

    UGOMVI wa Nini? Mtu akikukosea UNAMSAMEHE TU AMANI inatafutwa kwa nguvu.SERIJALI IPO LAKINI MNATAFUTA AMANI MITANDAONI....AMANI HAIPATIKANI MITANDAONI

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris3422 2 года назад

    Sasa umetuambia yote hayo,, unataka tufanyeje? Ama umemumiss bossi wako wa awali tukuombee msamaha..Wewe ni mzuri haukosei MashaAllah.. Lakini ungetutajia mapungufu yako japo kidogo..

  • @issamasoud4756
    @issamasoud4756 2 года назад +1

    Kumbe anaroho mbaya sana hivo huyo jamaa diamond

  • @joshuakusaga9407
    @joshuakusaga9407 2 года назад

    Noma Sana naitwa japhetizo toka njombe kusin nafanya mziki ingia youtube searchi japhetizo utapata ngoma Kali zote Asante

  • @hgcbj635
    @hgcbj635 2 года назад +1

    Kujiita jeshii kunasababu kweli kweli

  • @haditvswahili4045
    @haditvswahili4045 2 года назад

    TIBA YA KIISLAMU SEHEMU YA (23)
    MADA : UCHAFU NI NINI? KWA MTAZAMU WA KIISLAMU
    MZUNGUMZAJI : SHEIKH HAIDAR MSHELE
    @

  • @sir.opondojunior9989
    @sir.opondojunior9989 2 года назад +13

    Much love and respect Bro i think it's always good and right to put things on light at least now we know. Much much love Brother respect

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    Duuuu pole sana kijana daaaa. M m m. Kweri TULICHUKIA KUMBEEEE NDIO HIVIIII DAAAA POLEEE KIJANA

  • @johncharles9439
    @johncharles9439 2 года назад +1

    Achana na mjinga km mashabiki tupo kwa Sana tambua yakua yeye sio mungu hawezi kukuzibia liziki liziki hutoka mungu na si binadam Ila pole na misuko suko ipo siku mungu atakulipia ,

  • @methodjulius7489
    @methodjulius7489 2 года назад

    jeshi, teembo, konde booooy wacha kulialia fanya kaz bhana majina yako na vilio tofaut hata uyo Diamond hakuamka asbuh akawa pale ilipigwa anapigwa na atapigwa vita bt halii anaforce mpaka anafika so pambana.

  • @fizzyblinkboy
    @fizzyblinkboy Год назад +1

    I appreciate you harmonize

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 2 года назад +4

    Msema pekee siku zote hubakia kua mkweli,bt subiri wajibu pigo lako mjomba

    • @samiridicksoni9067
      @samiridicksoni9067 2 года назад +5

      Mwanaume.ckuzote ni yule anae sema ukweli

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 2 года назад +1

      @@samiridicksoni9067 Umeonaeee 💪

    • @saidomary3645
      @saidomary3645 2 года назад +3

      wajibu pigo gani sasa kwa mfano ukweli wote umeongelewa eti maana ukweli ushaongelewa na tunahama wcb kuanzia kuda huu

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад

      Wengine nawashangaa ushabiki maandazi pakulala kwako Shida kula matatizo eti wajibu pigo nani asiowajua kwenda Aaaa hata wakijibu hatuwaogopi wala wlhawatutishi wachawi wakubwa

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад

      @@missmwayway4704 umeona nini acheni uchwa washamba nyinyi

  • @thomasphilimonmolel8855
    @thomasphilimonmolel8855 2 года назад

    Harmonize jembe 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💯☑️

  • @AmisiJaribuni-gz1zd
    @AmisiJaribuni-gz1zd Год назад

    Dogo komaa unapambanasana usiogope sio mungu huyo

  • @zephanialukumay3036
    @zephanialukumay3036 2 года назад

    Hakika diamond ni moja kati ya viumbe hatari sana,haifai hata kuishi,yaani amsaidie MTU halafu amfanyie mabaya yote hayo?! Kweli domo ni mbaya sana!!

  • @mercywagaki4154
    @mercywagaki4154 2 года назад

    Wagapi tutamsupport na kumfollow harmo ...

  • @duncangichure6090
    @duncangichure6090 2 года назад +3

    Kondeee boy

  • @elizaberthpius4511
    @elizaberthpius4511 2 года назад +1

    Harmonize is de Best 🔥🔥🔥

  • @rashidmohammed550
    @rashidmohammed550 2 года назад +1

    Don't be a crying baby now and then be like king kiba bro utoto wacha man ,diamond ako kivyake pia wwe kivyako nni domodomo

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 года назад +3

    Wakumtegemea Allah pekee

  • @clementgabriel1708
    @clementgabriel1708 2 года назад

    Ukinizingua tunazinguana je ulifanya kosa gani mpaka akakwambia hvo without any problem akwambie tu hvo sema na mazuri aliyokufanyia sasa

  • @aluwiakatana1020
    @aluwiakatana1020 2 года назад

    Mm naswali bro natoka Kenya .kunaonyesha Kuna kitu mlishea sasa anaona akikubali anajua ww utazidi kuvuka. Sasa ww Eka mungu mbele. Alafu dawa za mwisho

  • @omarbachu1074
    @omarbachu1074 2 года назад +1

    Diamond Nimchawi wa kawaida

  • @lucymacha1853
    @lucymacha1853 2 года назад +1

    Huwezi chukiwa na kila mtu jeshiiii

  • @aminatanditse4987
    @aminatanditse4987 2 года назад

    Ni kweli tena pole jeshi huyo asikutishe

  • @jamesmwandepu9613
    @jamesmwandepu9613 2 года назад

    Irizi ni nini?? Hata kiswahili hamjui??

  • @shirfadigubike7920
    @shirfadigubike7920 2 года назад

    Uwo ni uongo waweke kipande hawajakuona

  • @christineonyango5903
    @christineonyango5903 2 года назад

    Harmonize wachana na wenye uwivu. This message is from Kenya 🇰🇪

  • @iginaswida8873
    @iginaswida8873 2 года назад

    Babu wakati una ingia wcb urifumba macho au urikua unaakiri timamu ww mwongo ushakua unareta zarau

  • @maximemaxime-rf1jb
    @maximemaxime-rf1jb 2 месяца назад

    All in all unapambana xana bro

  • @mariamrio8236
    @mariamrio8236 2 года назад

    Kumbe mu natmia uchawi tu buni zambi

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 2 года назад

    Umenifulaisha kwa kujali ndugu zako nyuma wote ubalikiwe

  • @GkMbichwa
    @GkMbichwa 3 месяца назад

    Jeshi inakufaa sana bro

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 2 года назад

    Inasikitisha sana sasa Watanzania wengi wamejua ukweli Diamond atakosa thamani yake itashuka sana

  • @AmisiJaribuni-gz1zd
    @AmisiJaribuni-gz1zd Год назад

    Tukopamoja nakukubali mwamba

  • @IMKEYbigman
    @IMKEYbigman День назад

    Aaaa

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan9815 2 года назад

    Ndo Kiba aligoma kutoa mkono

  • @ImuDabo
    @ImuDabo 10 месяцев назад

    Unanjaaa simba humuwezi