Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Siri 4 Za Kujenga Nidhamu Ya Kutoa Pesa.
- Добавить в
- Мой плейлист
- Посмотреть позже
- Поделиться
Поделиться
HTML-код
Размер видео:
- Опубликовано: 23 дек 2020
- 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥
Комментарии • 173
Следующие
Автовоспроизведение
Tabia 4 Zinazoleta Fursa KubwaJoel Nanauka
Просмотров 87 тыс.
Mambo ambayo hutakiwi kabisa kumwambia Boss wakoJoel Nanauka
Просмотров 67 тыс.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKAJoel Nanauka
Просмотров 25 тыс.
Finesse2Tymes & Og Boo Dirty - Real Recognize Real [Official Music Video]Finesse2tymes
Просмотров 350 тыс.
New Season | Sister Wives | TLCTLC
Просмотров 137 тыс.
we broke up…Evelyn Ortiz
Просмотров 314 тыс.
lime disease & opensauceLilyPichu
Просмотров 388 тыс.
Fix You: Pesa zako nyingi za kwanza usizitumie kujenga, wekeza kwanza, usione aibu kupangaSimulizi Na Sauti
Просмотров 21 тыс.
DENIS MPAGAZE- Makosa 11 Ya Kuepuka Ili Kufanikiwa Maishani. -Ananias EdgarDenis Mpagaze TV
Просмотров 134 тыс.
Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.The XO
Просмотров 736 тыс.
Namna ya Kupata Uhuru wa Kifedha: Hatua 10 Unazopaswa KufuataElimika Mtandaoni
Просмотров 2,3 тыс.
Namna Bora Ya Kutumia Muda Wako Vizuri Na Kufanikiwa Katika Maisha - Joel Nanauka - Part 1Hamasika Tv
Просмотров 12 тыс.
Elimu ya fedha ambayo hautoipata darasani.Michongo podcast
Просмотров 8 тыс.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGIKelvin Kibenje
Просмотров 39 тыс.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel NanaukaHamasika Tv
Просмотров 56 тыс.
Namna Bora ya Kutumia Muda Wako Vizuri Na Kufanikiwa Katika Malengo Yako - Joel Nanauka - Part 2Hamasika Tv
Просмотров 19 тыс.
احتفظي ببصمة حبيبك في قلادة جميلة واحتفظي بذكرياتك إلى الأبد ❤️إبداعات حرفية
Просмотров 2 млн
ВОДЯНОЙ ПИСТОЛЕТ ЗА 1$ VS 10$ VS 100$!У Игоря
Просмотров 917 тыс.
BOLALIK | Yaqin kunlarda yangi qo'shiq va klip premyerasiJaloliddin Ahmadaliyev
Просмотров 489 тыс.
Плач дорослих та дітей біля труни полеглого українського воїна #warСуспільне Полтава
Просмотров 285 тыс.
если что, снимала в наушниках 🙈 #mariaomgMaria OMG
Просмотров 115 тыс.
Мухочирон эхтиёт бошед!ГОЛОС МИГРАНТА
Просмотров 108 тыс.
Как ответит Беларусь Украине/ ВСУ под Курском: чем все закончится/ Что стоит за протестами в СербииТелеканал ОНТ
Просмотров 208 тыс.
تشيبس أهوي! 🗝️🍟 كشف رقائق البطاطس المخفية الخاصة بي! #snacksOne More Arabic
Просмотров 10 млн
Kuweka bajeti maalumu kwa ajili ya kusaidia ndugu na marafiki ni nidhamu nzuri sana changamoto ikiwa umefikia ukomo wa bajeti ako ya kusaidia na ikatokea dharura ugonjwa au ajali sio rahis sana kuacha kusaidia so nashauri mbali na kuwa na bajeti maalum ni muhimu kuwa na emergency fund ya kwako personally inayojitegemea..Asanteh sana kwa somo zuri,Mungu azidi kukutunza ili tuendelee kufaidika na elimu unayotupa🙏
Na utoaji wa pesa NI kitu ambacho kinawashinda wengi hasa kumunyima mtu unaemupenda Kama mke au wazazi inahitajika moyo mugumu Sana thanks bro
Asante sana Joel wewe ni zawadi kwetu toka kwa Mungu.
Thanks Joel I got something, be blessed & continue changing people's lives
Mungu aendeleh kuku maisha malefu daima Ili vijan tuendeleh kuelimika Zaid kifikra au katika mambo mengi yanaytuzunguka katika jamii tunayo ishi
Hiyo no.3 nimeipenda na nitaifanyia kazi kwakua nimekua siendani na kanuni hiyo shukrani Sana
Hapo ni zote tu maana duuh Asante Kaka Joel nanauka
Kwangu mimi be clear , kuwa muwazi ni silaha muhimu Sana ! Na kwa kuwa huwezi kujitenga na jamii yako ama ndugu pia kutenga bajeti ni muhimu !
Asante ili somo ni kwa ajiri yangu.
Mimi naona Siri zote nne ni Muhimu, ila namba Moja nimeipenda zaidi. Mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo ni yale yanayofanyika bila mipango maalum, naamini kuwa na Budget maalum kutanisaidia kuepuka Matumizi yasiyo ya lazima. Ahsante
Asante sana kaka nimekuelewa sana mungu akubariki
Asante Sana kaka joel ubarikiwe kwa ushauri wako mzuri.nimejifunza mengi kutoka kwako Asante Sana.
Hiyo namba nne ipo vizuri sana maana Kama watu hawajui details zako za hela siyo rahisi kukusumbua mara kwa mara hasa pale unapopata pesa nyingi
"Respond promptly",Kaka Joel imenikuta,mpaka ikawa kama deni,siyo siri nilikereka.Asante kwa somo hili,nimejifunza.
Kaka ahsante. Mungu akubariki Mimi napata hela Sanaa Ila Sina nidhamu ya pesa nimejifunza pia naomba uzidi kunishauri ahsante naitwa jenifa riwa
Somo zuri ila naona wengi wetu huomba kuliko wanaoombwa hvo ningependa utuandalie somo litakalotufundisha njia nzuri ya kuomba au tuachane na kupungua idadi ya waombaji
Broo nanaukaa me nahisii zotee n muhimu mnooo nmefungukaaa Zaid your blessed
Asante sana kaka Mungu akubariki sana
Nimekusoma mkuu chamuhimu nikuwa na moyo wa chuma moyo mgumu kutokuwa na uruma iliyopitiliza kuwa jasili kuwa muwazi hapo nikuwa mkweli na muwazi unajua bro mwenye uruma hana bahati na uruma hailei mwana msimamo ni muhimu bila kujali
Asante kwa somo zuri Waefeso 3:20
Asante masomo yako yananisaidia sana kaka
Nimejifunza somo zuri sana...asante sana mtaalam
Kaka mngu tu akuoe maisha malefu najifunza sana kupitia wew one love
Mm nahic wew Joel unayajua maisha yangu
Kaka Joel Nakushukuru sana hizo tabia zote mimi ninazo ninakama aina fulani ya huruma kwa watu hebu nishauri nifanyeje kaka Mungu akubari sana kaka
Kabisa
God bless you
Aisee niko vizuri zaidi ktk hili
Ahsante nimejifunza kitu bro
Ahsante umenipa Tiba
Sawa kaka Joel Mungu akuzidishie umri mref
Huwa namuelewa sana brother
Aisee Mr binafsi nakukubari saana. Hiyo kumwambia mtu kiwango chako imetufelisha Wengi sànà
Wao so nice
Nmekuelewa sana nitham ya pessa
Nimejifunza Jambo kiongozi mungu akubariki
Namba nne kiboko kwa bongo yetu❤
Asante sana kaka
Asante nimepata kitu kizuri
Nimekuelewa sana
Mungu akubaliki sana brother kwa elimu niliyoipata kwenye mafunzo yako
Dah bro asante kwa somo zurii kwakwelii hiyoo ya 3[respond promptly ]ilikuwa ikinisumbua sanaa I think from now ntakuwa naujasiri wa kutoa jibu kwa mda huo huo ndan ya 24hrs
Tunakuchukuru sana
4 umenifaa 🤝
Napenda mafundisho yako
Asante bro Joel Nanauka
Wewe ndio menta wangu na naamini nikikufuatilia sana nitafikia uhuru wa kifedha no 4 nimeipenda
Thanks Broh# umenifungua Sana hasa Hiyo ya 4
uko vzr sana Kamanda Joel ngoja tuendelee kukufuatilia
Mungu awe nawe mi lele daima
Real mr nanauka you spoken fact
Hii clip imenisaidia sana sana kudevelop nlkuwa napata shida kumwambia mtu ukweli kwamba sitaweza kumpa kiwango anachohitaji
Saivi nimeweza imenifanya niwe na furaha na akiba nzuri
Dah kweli kabisa kaka hapo kwenye kumwambia mutu ukweli nipagum
Thanks Namba 1 imenigusa sana
Mungu akubariki kwa elimu unayo tuelewesha broo
Tabia hiyo nanayo sana huwa nashindwa kujizuia nashukulu kwa mafunzo yako
Asante sana.Be blessed
Mm naona ya kumwambia mtu kwamba Huna au unayo ila hauitaji kumpa hiyo iko good sana
Kaka hii point ya mwisho imebeba nyama zote👍
nimeipendaa hii
Much respect bro @nanauka
Safi sana nimeridhika.
Yes it's good
Point 👌
Umenifungua akiri yng mungu akubariki naimana sasa nimejitabua
Aksante kaka kwa ushaur❤️❤️🌹👍
Vizuriiiiiii
Kwangu ni kutokusema details ya pesa zangu from Burundi my mentor
Asante sana kaka, umenisaidia sana sana sana kwenye Maisha yangu na elimu unayotupatia. May God bless you!
Asante
Ahsante: Hyo no 3 imenigusa ktk moyo mn inakuw kumjib m2 ile cna Inakuw ngum kumb uhalsia 2natakiw tu2mie kugha ya kumaanish kwa kuelewk haraka
Mimi pia inaniumiza
Mungu akubariki Kaka Joel
Umenijenga kwenye maisha mapya sana broo mungu akubariki sana
Be blessed brother
Zote nzuri yan kwenye namba 3 ndio nilikuwa siwez kuongea ukweli najikutaga hata kukopa ili nimpe mtu ila sasa nimejifunza
shukran, u provide gud explaination
Shukrani sana kaka ang! Imenigusa sana🤝
Tabia no 1 inafaa zaid
Inapokuwa na zilizobaki pia ni muhim
Iyo ya discussing financial details 👍Yes
Nimeipenda Point sana
Ok sawa
Thnx , jambo nililojifunza kwanza nikuwa Na bajeti ya kusaidia jamaa ndg Na nk
Pili kuwa muwazi kujibu in 24 hrs pia Na syo kuahidi ukijua uwezekano haupo
Asante..kwa somo
Ni darasa zuri kaka Joel,ubarikiwe sana
Thank you kaka joel umenifungua,, keep it up.
Nashindwaga kuwa na bajeti katika kumtolea mungu
Joel nakuelewa saana
Somo nimelielewa sana,shukrani mkuu
Be blessed
🙏🙏🙏
Uinuliwe mtmsh wa mungu kwa somo zuri Mimi napenda 1na3. Pia ninahitaji Vitabu vyako nitavipataje? Nipo kibaigwa dodoma nisaidie mtmshi
Kaka umenifungua sana
Asante kaka
Asante kwa ushauri mzr kaka
Passive time hii mbinu naanza nayo ili inipe maendeleo ya kielimu kwa kujifunza zaidi,
Gud
Safi
Ahsante sana umenifanya niwe respond promptly itanifikisha mbali God bless you 😘
asant bro!
Yote uliyoyaongea yananigusa nashukuru elimu nzuri!
Hapo nimeelewa zote 4 ila nimeipenda hiyo ya kuwa mkweli kwenye kutoa pesa maana mtu anaweza kumpa mtu matumaini kwamba nitakupatia pesa muda flani ikifika muda huo anakuhidi siku nyingine hiyo sio nzuri inapoteza malengo ya mtu
Bwana Nanauka Mimi ni z
oote