Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Siri 4 Za Kujenga Nidhamu Ya Kutoa Pesa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 дек 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 173

  • @kdmongi
    @kdmongi 4 месяца назад +2

    Kuweka bajeti maalumu kwa ajili ya kusaidia ndugu na marafiki ni nidhamu nzuri sana changamoto ikiwa umefikia ukomo wa bajeti ako ya kusaidia na ikatokea dharura ugonjwa au ajali sio rahis sana kuacha kusaidia so nashauri mbali na kuwa na bajeti maalum ni muhimu kuwa na emergency fund ya kwako personally inayojitegemea..Asanteh sana kwa somo zuri,Mungu azidi kukutunza ili tuendelee kufaidika na elimu unayotupa🙏

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 3 года назад +12

    Na utoaji wa pesa NI kitu ambacho kinawashinda wengi hasa kumunyima mtu unaemupenda Kama mke au wazazi inahitajika moyo mugumu Sana thanks bro

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 3 года назад +2

    Asante sana Joel wewe ni zawadi kwetu toka kwa Mungu.

    • @noeldismas7340
      @noeldismas7340 2 года назад

      Thanks Joel I got something, be blessed & continue changing people's lives

  • @nicholaussemfukwe6283
    @nicholaussemfukwe6283 2 года назад +1

    Mungu aendeleh kuku maisha malefu daima Ili vijan tuendeleh kuelimika Zaid kifikra au katika mambo mengi yanaytuzunguka katika jamii tunayo ishi

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 3 года назад +3

    Hiyo no.3 nimeipenda na nitaifanyia kazi kwakua nimekua siendani na kanuni hiyo shukrani Sana

  • @franksamson4693
    @franksamson4693 3 года назад +2

    Hapo ni zote tu maana duuh Asante Kaka Joel nanauka

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 года назад +10

    Kwangu mimi be clear , kuwa muwazi ni silaha muhimu Sana ! Na kwa kuwa huwezi kujitenga na jamii yako ama ndugu pia kutenga bajeti ni muhimu !

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 года назад +2

    Asante ili somo ni kwa ajiri yangu.

  • @richardmartin6429
    @richardmartin6429 Год назад +1

    Mimi naona Siri zote nne ni Muhimu, ila namba Moja nimeipenda zaidi. Mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo ni yale yanayofanyika bila mipango maalum, naamini kuwa na Budget maalum kutanisaidia kuepuka Matumizi yasiyo ya lazima. Ahsante

  • @HoseaNambari
    @HoseaNambari 4 месяца назад

    Asante sana kaka nimekuelewa sana mungu akubariki

  • @jackychebet7593
    @jackychebet7593 3 года назад

    Asante Sana kaka joel ubarikiwe kwa ushauri wako mzuri.nimejifunza mengi kutoka kwako Asante Sana.

  • @severinebagenyi4745
    @severinebagenyi4745 3 года назад +2

    Hiyo namba nne ipo vizuri sana maana Kama watu hawajui details zako za hela siyo rahisi kukusumbua mara kwa mara hasa pale unapopata pesa nyingi

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 3 года назад +1

    "Respond promptly",Kaka Joel imenikuta,mpaka ikawa kama deni,siyo siri nilikereka.Asante kwa somo hili,nimejifunza.

  • @jenipherrio7941
    @jenipherrio7941 3 года назад

    Kaka ahsante. Mungu akubariki Mimi napata hela Sanaa Ila Sina nidhamu ya pesa nimejifunza pia naomba uzidi kunishauri ahsante naitwa jenifa riwa

  • @noelbudeba3173
    @noelbudeba3173 3 года назад +3

    Somo zuri ila naona wengi wetu huomba kuliko wanaoombwa hvo ningependa utuandalie somo litakalotufundisha njia nzuri ya kuomba au tuachane na kupungua idadi ya waombaji

  • @jordanmakere126
    @jordanmakere126 3 года назад +3

    Broo nanaukaa me nahisii zotee n muhimu mnooo nmefungukaaa Zaid your blessed

  • @roselynerwiza9383
    @roselynerwiza9383 2 года назад

    Asante sana kaka Mungu akubariki sana

  • @lovenesschingula3190
    @lovenesschingula3190 3 года назад +1

    Nimekusoma mkuu chamuhimu nikuwa na moyo wa chuma moyo mgumu kutokuwa na uruma iliyopitiliza kuwa jasili kuwa muwazi hapo nikuwa mkweli na muwazi unajua bro mwenye uruma hana bahati na uruma hailei mwana msimamo ni muhimu bila kujali

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад +1

    Asante kwa somo zuri Waefeso 3:20

  • @samiraomari1222
    @samiraomari1222 3 года назад

    Asante masomo yako yananisaidia sana kaka

  • @mensonayoub7820
    @mensonayoub7820 6 месяцев назад

    Nimejifunza somo zuri sana...asante sana mtaalam

  • @user-xt5vs7cm2k
    @user-xt5vs7cm2k 4 месяца назад

    Kaka mngu tu akuoe maisha malefu najifunza sana kupitia wew one love

  • @deviijackii1293
    @deviijackii1293 3 года назад +1

    Mm nahic wew Joel unayajua maisha yangu

  • @williamandrea7940
    @williamandrea7940 3 года назад

    Kaka Joel Nakushukuru sana hizo tabia zote mimi ninazo ninakama aina fulani ya huruma kwa watu hebu nishauri nifanyeje kaka Mungu akubari sana kaka

  • @FURAHAbest
    @FURAHAbest Год назад +1

    Kabisa

  • @user-oi9hc6cs3m
    @user-oi9hc6cs3m 3 месяца назад

    God bless you

  • @sheddykayanda4369
    @sheddykayanda4369 3 года назад +1

    Aisee niko vizuri zaidi ktk hili

  • @mbarakasalumu7122
    @mbarakasalumu7122 2 месяца назад

    Ahsante nimejifunza kitu bro

  • @cleophacematogo8239
    @cleophacematogo8239 3 года назад +1

    Ahsante umenipa Tiba

  • @hamiduhamisi2457
    @hamiduhamisi2457 2 года назад

    Sawa kaka Joel Mungu akuzidishie umri mref

  • @amanibayo1915
    @amanibayo1915 Год назад

    Huwa namuelewa sana brother

  • @happinesjovinary7867
    @happinesjovinary7867 3 года назад

    Aisee Mr binafsi nakukubari saana. Hiyo kumwambia mtu kiwango chako imetufelisha Wengi sànà

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 6 месяцев назад

    Wao so nice

  • @stevengoodluck4581
    @stevengoodluck4581 3 года назад +1

    Nmekuelewa sana nitham ya pessa

  • @ummuhsalamah7128
    @ummuhsalamah7128 3 года назад

    Nimejifunza Jambo kiongozi mungu akubariki

  • @burudikotv1953
    @burudikotv1953 Год назад

    Namba nne kiboko kwa bongo yetu❤

  • @user-uj5zs8nc5k
    @user-uj5zs8nc5k 4 месяца назад

    Asante sana kaka

  • @geophreygwarasa6789
    @geophreygwarasa6789 2 года назад

    Asante nimepata kitu kizuri

  • @mmbarikiwa6987
    @mmbarikiwa6987 2 года назад

    Nimekuelewa sana

  • @allyshabani7791
    @allyshabani7791 3 года назад

    Mungu akubaliki sana brother kwa elimu niliyoipata kwenye mafunzo yako

  • @emmanuelmkopekwa1751
    @emmanuelmkopekwa1751 3 года назад +1

    Dah bro asante kwa somo zurii kwakwelii hiyoo ya 3[respond promptly ]ilikuwa ikinisumbua sanaa I think from now ntakuwa naujasiri wa kutoa jibu kwa mda huo huo ndan ya 24hrs

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 11 месяцев назад

    Tunakuchukuru sana

  • @tatuali1379
    @tatuali1379 3 года назад

    4 umenifaa 🤝

  • @user-cf3em2oj9s
    @user-cf3em2oj9s 7 месяцев назад

    Napenda mafundisho yako

  • @carrencatherine2018
    @carrencatherine2018 3 года назад

    Asante bro Joel Nanauka

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 2 года назад

    Wewe ndio menta wangu na naamini nikikufuatilia sana nitafikia uhuru wa kifedha no 4 nimeipenda

  • @josephboniface7506
    @josephboniface7506 3 года назад +1

    Thanks Broh# umenifungua Sana hasa Hiyo ya 4

  • @nassormakwaya5970
    @nassormakwaya5970 3 года назад

    uko vzr sana Kamanda Joel ngoja tuendelee kukufuatilia

  • @johnsaidy803
    @johnsaidy803 2 года назад

    Mungu awe nawe mi lele daima

  • @eugenlukuze3187
    @eugenlukuze3187 Год назад

    Real mr nanauka you spoken fact

  • @visiongirl
    @visiongirl Год назад

    Hii clip imenisaidia sana sana kudevelop nlkuwa napata shida kumwambia mtu ukweli kwamba sitaweza kumpa kiwango anachohitaji
    Saivi nimeweza imenifanya niwe na furaha na akiba nzuri

  • @yusuphmashaka659
    @yusuphmashaka659 Год назад

    Dah kweli kabisa kaka hapo kwenye kumwambia mutu ukweli nipagum

  • @sarahkaray1891
    @sarahkaray1891 3 года назад

    Thanks Namba 1 imenigusa sana

  • @frankplatinam
    @frankplatinam Год назад

    Mungu akubariki kwa elimu unayo tuelewesha broo

  • @sephaniachaula1030
    @sephaniachaula1030 Год назад

    Tabia hiyo nanayo sana huwa nashindwa kujizuia nashukulu kwa mafunzo yako

  • @martinnsuhuje7821
    @martinnsuhuje7821 3 года назад +1

    Asante sana.Be blessed

  • @FURAHAbest
    @FURAHAbest Год назад

    Mm naona ya kumwambia mtu kwamba Huna au unayo ila hauitaji kumpa hiyo iko good sana

  • @alexandermluge7886
    @alexandermluge7886 3 года назад

    Kaka hii point ya mwisho imebeba nyama zote👍

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 3 года назад

    nimeipendaa hii

  • @harmonizefans3783
    @harmonizefans3783 3 года назад +1

    Much respect bro @nanauka

  • @abraham1528
    @abraham1528 3 года назад +1

    Safi sana nimeridhika.

  • @josephisinta6606
    @josephisinta6606 3 года назад

    Yes it's good

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 года назад

    Point 👌

  • @annamwananjela5594
    @annamwananjela5594 3 года назад

    Umenifungua akiri yng mungu akubariki naimana sasa nimejitabua

  • @aash4145
    @aash4145 Год назад

    Aksante kaka kwa ushaur❤️❤️🌹👍

  • @OmarOmar-xr1lc
    @OmarOmar-xr1lc Год назад

    Vizuriiiiiii

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 3 года назад +2

    Kwangu ni kutokusema details ya pesa zangu from Burundi my mentor

  • @edson2450
    @edson2450 3 года назад

    Asante sana kaka, umenisaidia sana sana sana kwenye Maisha yangu na elimu unayotupatia. May God bless you!

  • @user-tf6qi1tx6i
    @user-tf6qi1tx6i 7 месяцев назад

    Asante

  • @fasahaproductstv638
    @fasahaproductstv638 3 года назад +2

    Ahsante: Hyo no 3 imenigusa ktk moyo mn inakuw kumjib m2 ile cna Inakuw ngum kumb uhalsia 2natakiw tu2mie kugha ya kumaanish kwa kuelewk haraka

  • @eliachilonwa5056
    @eliachilonwa5056 3 года назад

    Mungu akubariki Kaka Joel

  • @inyasiinvestment18
    @inyasiinvestment18 3 года назад

    Umenijenga kwenye maisha mapya sana broo mungu akubariki sana

  • @saimonmaluli3251
    @saimonmaluli3251 3 года назад +1

    Be blessed brother

  • @rahmahamisi7604
    @rahmahamisi7604 3 года назад

    Zote nzuri yan kwenye namba 3 ndio nilikuwa siwez kuongea ukweli najikutaga hata kukopa ili nimpe mtu ila sasa nimejifunza

  • @frankmaginga3459
    @frankmaginga3459 3 года назад

    shukran, u provide gud explaination

  • @ndolaismail45
    @ndolaismail45 2 года назад

    Shukrani sana kaka ang! Imenigusa sana🤝

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 3 года назад

    Tabia no 1 inafaa zaid
    Inapokuwa na zilizobaki pia ni muhim

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 2 года назад

    Iyo ya discussing financial details 👍Yes

  • @owenmlagala8717
    @owenmlagala8717 2 года назад

    Nimeipenda Point sana

  • @michaelemmanuel117
    @michaelemmanuel117 3 года назад +1

    Ok sawa

  • @mussamigeke9843
    @mussamigeke9843 3 года назад

    Thnx , jambo nililojifunza kwanza nikuwa Na bajeti ya kusaidia jamaa ndg Na nk
    Pili kuwa muwazi kujibu in 24 hrs pia Na syo kuahidi ukijua uwezekano haupo

  • @paulkomba9972
    @paulkomba9972 3 года назад

    Asante..kwa somo

  • @omarimadiva5352
    @omarimadiva5352 3 года назад

    Ni darasa zuri kaka Joel,ubarikiwe sana

  • @deokarithomas1243
    @deokarithomas1243 3 года назад

    Thank you kaka joel umenifungua,, keep it up.

  • @judithjulius5993
    @judithjulius5993 Год назад

    Nashindwaga kuwa na bajeti katika kumtolea mungu

  • @cleopatraadolf6492
    @cleopatraadolf6492 3 года назад

    Joel nakuelewa saana

  • @hamisinyakitina9313
    @hamisinyakitina9313 2 года назад

    Be blessed

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 3 месяца назад

    🙏🙏🙏

  • @japharyntandu6925
    @japharyntandu6925 3 года назад +1

    Uinuliwe mtmsh wa mungu kwa somo zuri Mimi napenda 1na3. Pia ninahitaji Vitabu vyako nitavipataje? Nipo kibaigwa dodoma nisaidie mtmshi

  • @kelvinmwashambwa1693
    @kelvinmwashambwa1693 3 года назад +2

    Kaka umenifungua sana

  • @mbwanadaraja8230
    @mbwanadaraja8230 3 года назад

    Asante kaka

  • @noarkalelo6963
    @noarkalelo6963 3 года назад

    Asante kwa ushauri mzr kaka

  • @thomasbelhanda5708
    @thomasbelhanda5708 10 месяцев назад

    Passive time hii mbinu naanza nayo ili inipe maendeleo ya kielimu kwa kujifunza zaidi,

  • @dicksamhezmas847
    @dicksamhezmas847 2 года назад

    Gud

  • @maufoung
    @maufoung 3 года назад +1

    Safi

  • @saidagalu2914
    @saidagalu2914 2 года назад

    Ahsante sana umenifanya niwe respond promptly itanifikisha mbali God bless you 😘

  • @zabronsuleiman664
    @zabronsuleiman664 3 года назад +1

    asant bro!

  • @michaelkyaruzi5175
    @michaelkyaruzi5175 Год назад

    Yote uliyoyaongea yananigusa nashukuru elimu nzuri!

  • @rukiakishar1155
    @rukiakishar1155 Год назад

    Hapo nimeelewa zote 4 ila nimeipenda hiyo ya kuwa mkweli kwenye kutoa pesa maana mtu anaweza kumpa mtu matumaini kwamba nitakupatia pesa muda flani ikifika muda huo anakuhidi siku nyingine hiyo sio nzuri inapoteza malengo ya mtu

  • @abdoulkarim2964
    @abdoulkarim2964 2 года назад

    Bwana Nanauka Mimi ni z
    oote