nashindwa la kusema kando na kubarikiwa ninapo cheza nyimbo zenu licha ya kuwa kwenye taifa la kenya siku moja ndafika niwaone namjue 98.2 bk radio twawapenda saaana
Nawapenda sana nyie waimbaji kwani mnaimba kinaubii zaidi, ipo siku nitakuwa mwimbaji wenu kwani na uwezo wa kuimba sauti zote, mmenifanya nianze sabato kwa amani moyoni mwangu.
Mungu wetu atukuzwe,,hakika The voice of prophecy u"the icon of West Tanzania conferences,,Mungu azidi kuwapa hekima na busara zaidi ktk kazi zenu kwan tunabarikiwa saana kupitia nyinyi🤝🙏
NA KAMA MTU HANA BUDI KUZIVUNJA SHERIA ZILE ZOZOTE MAHALI ALIPO NI RAHISI mtu kuvunja sheria za mungu na kutenda dhambi.OHH!! IMANI YANGU NI KUWA YEYOTE ANAYESIKILIZA ,ATAKAYESIKILIZA NI LAZIMA ABARIKIWE NA BABA WA MBINGUNI
Moja kati ya kwaya mbingu zinaiangalia kwa jicho la thamani ni nyie…Mungu awabariki mfike mbali
nashindwa la kusema kando na kubarikiwa ninapo cheza nyimbo zenu licha ya kuwa kwenye taifa la kenya siku moja ndafika niwaone namjue 98.2 bk radio twawapenda saaana
Barikiwa
Nawapenda sana nyie waimbaji kwani mnaimba kinaubii zaidi, ipo siku nitakuwa mwimbaji wenu kwani na uwezo wa kuimba sauti zote, mmenifanya nianze sabato kwa amani moyoni mwangu.
I love this choir angelic voices❤
Na barikwa sana na ufunuo yenu imenifunuliwa unabii kweli kweli
Best song AMEN
SHERIA ZA NCHI ZAWEZAKUBADILIKA ILA ZA MUNGU HAZIBADILIKI MILELE HIVYO TUZISHIKE .
BARIKIWENI
Barikiweni sana jamani mnanibariki Kila siku
Hakika Mungu awabariki sana Kwa ujumbe mzuri
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Aloooo!! Itoshe kusema Mungu awabariki. Wimbo unaujumbe maridhawa.
Mungu awabaliki sana nawapenda 🙏🙏
Mungu awabariki Kwa ujumbe wa wakati huu
Asanteni sana kwaya Yangu ya Nyumbani.Nimebarikiwa kwa wimbo huu wa Sheria.Ninawapata nikiwa Zanzibar.
Naaaam nawakubali sana
Mungu wetu atukuzwe,,hakika The voice of prophecy u"the icon of West Tanzania conferences,,Mungu azidi kuwapa hekima na busara zaidi ktk kazi zenu kwan tunabarikiwa saana kupitia nyinyi🤝🙏
Mungu awabariki sana
Be blessed jmnn
GOD blees you Team ❤
Ujumbe mzuri
Reach far ❤
Mungu awabariki VOP kwa wimbo wenye mafundisho makuu, nawapenda natamani sana siku moja tukutane laivu kwa ajili ya kazi ya baba
Jamn Napenda wimbo zenu ni nzuri na zinatubariki sana maana ni zakiunabii ❤❤❤❤🎉
🙏🙏🙏🔥💯
ninafarijika Sana ninaposikiliza nyimbo za vop kasulu barikiweni sana
Amen
Mungu awalinde siku zote katika uimbaji wenu, ombi langu tukaimbe sote kule mbinguni kwa baba siku ile ikifika tutafurahi pamja amina.
❤❤❤ more love from Shauri moyo SDA Nairobi Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
Pamoja Sana songa mbele imalize kazi mjiandae kumlaki Yesu Kristo mfalme
Nyimbo nzur waimbaji wazur mavazi safi muonekano thabit MUNGU AWABARIKI SNA
Barikiweni sana vop wimbo una ujumbe mzuri. Amri za MUNGU ndio tiketi ya kufika mbinguni.
Mbarikiwe
Nadhani hii ndio Album ilizinduliwa Mwezi 12 2023,Barikiwe nawafuatilia
Daaah niliusubiri Kwa hamu Sana huu wimbo, Mungu awabariki Sana VOP
Wimbo mzuri na mafundisho makubwa ndani yake Mbarikiwe Sana VOP
Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kccc church God's people bless all tumebalikuwa
Oh Mungu bariki Hawa waimbaji kweli Yani.
Mbarikiwa vop Watching from Kenya
Mungu awabariki jumbe zinafikisha kupitia nyimbo tunabarikiwa
AmenAmen God bless All my choir members ❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤ Mungu na azidi kuwa nanyi
Much love from Kenya,barikiweni kwa sana!
Mungu awabariki kwa uimbaji ulio tukuka.
Mbarikiwe, Mungu awe nanyi daima
Mungu azidi kuwabariki, Ameen
Amina mbalikiwe v o.p
Amen Amen AmenGod bless all u
Kazi nzuri sana barikiweni
You never disappoint
Smart and impressive
Amina!
Good job
Mpo vizuri but tunatamani kuona na wengine pia waki sollo maana kila siku ni walewale
Tafuta hii mpya wamesolo wengi TOFAUTI na ulivyozoea
NA KAMA MTU HANA BUDI KUZIVUNJA SHERIA ZILE ZOZOTE MAHALI ALIPO NI RAHISI mtu kuvunja sheria za mungu na kutenda dhambi.OHH!! IMANI YANGU NI KUWA YEYOTE ANAYESIKILIZA ,ATAKAYESIKILIZA NI LAZIMA ABARIKIWE NA BABA WA MBINGUNI
Amen
Mbarikiwe
Amen