Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

HOSPTALI YA AJABU YA MAJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2022
  • Sikiliza Simulizi hii fupi ya kusisimu Hospitali ambayo ilikua na mambo ya kutisha na kustaajabisha... Mkasa kamili huu hapa..

Комментарии • 25

  • @stacyjames6676
    @stacyjames6676 2 года назад +2

    Unaweza sana kituo. Anko j

  • @conjetatave4565
    @conjetatave4565 Год назад +2

    Thanks story ni nzuri sana I like it

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 2 года назад +4

    Haya ni maajambu asate sana simlizi fupi by ako j

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 2 года назад +2

    Asante simulizi mix kwa simulizi nzuri

  • @semenimohamed8156
    @semenimohamed8156 2 года назад +3

    Waooo asante anko j kwa simuliz mpya fupi

  • @lilianchediel1627
    @lilianchediel1627 2 года назад +1

    Mbn story haielewek xx

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 2 года назад +3

    Mhhh mauzauza haya

  • @salomekaywanga7351
    @salomekaywanga7351 2 года назад +2

    Usiwe unabadilisha sauti bhna hainogi sana ongea kwa saut yako tu

  • @shizarugwe4476
    @shizarugwe4476 2 года назад +6

    Leo mi wapili stimulus nzur sana

  • @annasituma8810
    @annasituma8810 2 года назад +4

    Pamoja kaka

  • @wanjirubens
    @wanjirubens 2 года назад +2

    nice one dear Jay

  • @zainabubahati5661
    @zainabubahati5661 2 года назад +2

    Asante Anko

    • @bintisalome1493
      @bintisalome1493 2 года назад

      ruclips.net/video/M_ctJl1jmQM/видео.html

  • @hawaabdala
    @hawaabdala 10 месяцев назад

    story ni nzur sema vituo ving

  • @ummyratymalkher6725
    @ummyratymalkher6725 2 года назад +1

    Jamni alitunga hi simulizi mungu anamuona 😂😂😂😂😂make kwanza nicheke , iv alifikilia nn Sasa jmni Yani story mbaya mtunzu arud darasan Sasa ndo nn hiki jmni kiufup sijapenda, big up kwako Anko J upo vzur ila uyo mtunzu jmni 🥴🤕🤒🤕

  • @ramadhanabdallah6284
    @ramadhanabdallah6284 2 года назад +2

    Kweli kwakupenda ila umepooza

  • @hamadfaki7625
    @hamadfaki7625 2 года назад +2

    Kala baada ya neno moja una simama

  • @pascalmgina
    @pascalmgina 2 года назад +1

    Stori unasimama simama hadi inaboa. Si uisome tu kwa mtiririko?

  • @maburudaniclassic7620
    @maburudaniclassic7620 2 года назад +1

    Yani story ni nzuri sana tena sana ila msimuliaji ndo anafanya story iwe inaboa sana na kufanya isieleweke ila mpaka utulize sana akili ndo utaiyona uzuri wake story hizi za kutisha mwenyewe ni Felix mwenda tu

  • @hamadfaki7625
    @hamadfaki7625 2 года назад +1

    Una stop sana mbwan