WAKILI MADELEKA AGEUKA MBOGO MAHAKAMANI, JAJI ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUWATAFUTA WALIOTEKWA(SOKA)
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #freeDeusdedithSoka #madeleka #polisi #mahakamani #mahakama
WAKILI MADELEKA AGEUKA MBOGO MAHAKAMANI, JAJI ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUWATAFUTA WALIOTEKWA(SOKA) • WAKILI MADELEKA AGEUKA...
Tupo Mahakama kuu masijala ndogo ya Dar es saalam katika kesi namba 23998 madai ya Deusdedith Soka na wenzie dhidi ya IGP,AG,DPP,DZPC,ZCO,OCCID TEMEKE,OCS TEMEKE
Waleta maombi Soka na Wenzie wakiwakilishwa
1.Adv.Peter Madeleka
2.Adv.Paul Kisabo
Mawakili wa serikali kwa niaba ya Wajibu maombi
1. Adv.Jennifer Masue
2.Adv.Cuthbert Mbilinyi
Jennifer Masue: Kesi imekuja kwa ajili ya hukumu,Kwa upande wa wajibu maombi tupo tayari kusikiliza hukumu
Wakili Peter Madereka:
kwa kuweka kumbukumbu sawa, leo tumekuja kwa ajili ya uamuzi ,ila kuna amri ya Mahakama wenzetu walete kiapo kinzani.
Vinginevyo tupo tayari kwa uamuzi
Jaji Wifred Dyansobela : Wakili wa serikali kwaniaba ya wajibu maombi ,jibu hiyo hoja.
Wakili Jennifer Masue:
kweli kulikuwa na amri ya kuleta kiapo kinzani,na tayari upande wa Jamuhuri tuneshafile krk mfumo na tayari tumeshawapatia mawakili wenzetu kwa email kama kuna maelekezo mengine tupo tayari kupokea maelekezo.
Adv Peter Madereka: Mheshimiwa jaji tunaona tupate hiyo nakala kabla ya hatua yeyote ile kuendelea kwasababu Kiapo kinzani ni takwa la kisheria.
Adv Jennifer Masue : Mheshimiwa jaji ni kweli kwa madhumuni ya fair trial ni sahihi tunatakiwa kuwasilisha kiapo kinzani
Lakini kwa uamuzi unaoenda Kutolewa leo hauna uhusiano wowote na Kiapo kinzani
Tunaomba Mahakama iendelee ,kwakuwa muda wa kazi bado haujaisha tutafaili kabla ya muda wa kazi haujaisha
Lakini Mahakama hii ikiona kuwa hatuwezi kuendelea ,basi tupo tayari kesi ihairishwe hadi tutakapo faili.
Adv Peter Madereka: Mheshimiwa hitaji la kutusave kiapo kinzani ni paramount haiwezi kupuuzwa kwa namna yoyote
Hitaji la Kuleta Kiapo Kinzani ni takwa la Mahakama na takwa la Kisheria,kama wana nakala yao hapo tunaomba watupe tuweze kujiridhisha
La sivyo kuendelea na kesi wakati hatujaona kiapo kinzani ni kupuuza Mahakama kwakuwa hatujaona mawasiliano.
Jaji Wifred Dyansobela : Kama alivyosema Wakili wa serikali Jennifer Masue, swala hili la kusoma uamuzi ni tofauti na Kiapo kinzani
Palikuwa na Hoja ya Wakili Kisabo ambapo nakumbuka alisema tunajua wajibu maombi hawajaleta kiapo kinzani,lakini watu wetu wamenyimwa haki ya dhamana,Tunaomba tuendelee wakati tunasubiri kiapo kinzani
Kwa maana hiyo naomba tuendelee
Mawakili wa pande zote wanakubaliana na Amri ya Jaji
Jaji Wifred Dyansobela Maombi haya yamekuja chini ya hati ya dharula
Waombaji wanaomba Mahakama hii itoe amri ya Waombaji kuachiliwa mara moja
Wanaomba bila kuathiri kilicho ongelewa paragraph 1 kutoa amri ya kuzuia kuwashikilia waombaji kinyume na sheria
Wanaomba
Mungu atulinde,amesikia kilio cha wanaododonsha machozi.
HAKI UINUA TAIFA
Kesi ya ngedele hakimu nyani
Wa Tz waamue wenyewe hatma Yao ! Kwingine kote fedhea aibu ni kubwa kwenye taaluma.
ATUTA WAAMINI TENA. AUKO MAKINI KABISA
Mwandishi mwenzangu mwenye D mbili jina kutjibati ni kathibati .kopsi ni kopas karibu
Wewe mimi nina D¹ usinipandishe kiasi icho
Hold deusi soka with the tanzania Police lntansion of crush tanzania opposition but tanzania opposition if are not going to change group scape of political fighting put more pressure on ccm leadership Curt case under ccm leadership you will not win case just imagine Masai community it has been open case underground without head of Masai community been there what are thinking ccm leadership can respect your curt case ally wich curt control by ccm leadership
We mtangazaji uwe unaweka vdeo tuchambue wenyewe acha huu ulimbukeni wakuandika kichwa cha habr af unakuja kuongea mwnyw
Wamuachie huru
Kaka mleta habari unajishusha video uliacha kwako nyumbani uoneshe familia yako
Kwanini,unaongea,ww, 4:36
Ongea wewe basi
Wemtangazaji tutakuaminije? Wakati unaongea wewe video imealibika? ACHA vieleele
Ukitaka amini utaki acha
Ukiona unaongea tuuuuuuuu mwenyewe pasipo ushahidi wa video za tukio lenyewe Basi ujue ni waandishi Feki nyieeeee. Namkubali milardAYO tuuuuuuuu. Basi
Sasa si uende kwake kwani hapa umeitwa
𝑴𝒎𝒎 𝒖𝒔𝒉𝒂𝒊𝒅𝒊 𝒏𝒊 𝒄𝒉𝒖𝒌𝒖𝒘𝒂 𝒑𝒊𝒌𝒊𝒑𝒊𝒌𝒊 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒕𝒂𝒌𝒂 𝒖𝒔𝒉𝒂𝒊𝒅𝒊 𝒈𝒂𝒏𝒊 𝒘𝒂𝒂𝒄𝒉𝒆 𝒖𝒐𝒏𝒆𝒛𝒊