Lema ampa pole Samia, afunguka Sakata la Makonda na kutaja Mawaziri wanaomtukana Rais....
HTML-код
- Опубликовано: 11 апр 2024
- Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuwa wapo mawaziri wanaomtukana Rais Samia Suluhu Hassan, imemuibua Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema akishangaa juu ya jambo hilo na kusema inabidi Watanzania wampe pole Rais.
Lema ametoa kauli hiyo leo Aprili 12,2024 akihutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Manyema mjini Moshi na kuhoji nani anapenda Rais wa nchi atukanwe na wananchi waliohudhuria wakamjibu hakuna, naye akasema itabidi alie kwa kuwa Rais ndiye aliyemrejesha nchini.
Makonda ameitoa kauli hiyo leo huko Monduli mkoani Arusha katika kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine ambayo ilihudhuriwa pia na viongozi wa kitaifa akiwemo Rais Samia, Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mawaziri wengine, viongozi wa CCM, viongozi wa dini na wananchi.
Akizungumza mbele ya Rais, Makonda amewataka mawaziri wanaotuma watu kumtukana Rais kuacha mara moja na kwamba kama wataendelea, Jumatatu ya wiki ijayo atataja majina yao. Kauli hiyo ndio iliyomuibua Lema aliyewahi kuwa mbunge wa Arusha mjini.
Katiba mpya ni muhimu sana,kauli ya makonda ni fundisho kuwa serikali ya ccm ni ya upigaji
Siasa na neno la Mungu ni
tofauti na safari ya kwenda mbinguni.Mathayo 7:21-24
Pole ya nn ss si ww ndio unahaha jitulize brooooo umachelewa😂😂😂😂😂
Mzee wa kudandia madam!😂😂😂 mmoja wapo ni wewe!!
Ipo siku utaelewa tu
Kwahiyo kuchunga ng'ombe ni ushamba? Mbona unawatukana wachungaji
Ndio sera za chadema
Sioni maongezi Muhimu hapa
Lema amekuwa muimbaji wa taarabu. Na. Mipasho
Wanajenda kwa sasa
HUNA JIPYA WEWE UHUNI TU,SASA HUYO MBOWE UNAEMPIGIA DEBE MBONA AMEKUWA MFALME HAPO CHADEMA AMEONGOZA KAMA MWENYEKITI WA CHADEMA MIAKA 20?
Nyie Amna kitu apo mnahaha watanzania tunataka siasa safi siyo matukano
Mnatoka inje ya Agenda za MSINGI kwasababu ya Maneno ya makonda shaulienu.
UMESHAPOTEA WEWE MWAMBUKUSI, HUNA ADABU UNAIITA KATIBA YA NCHI TAKATAKA?
Wewe huna la kusema unangoja CCM waseme dandie. Hakuna jipya.
Kumbe unamfuatiliaga
Huyu Jamaa nae simuelewi
Hamna hata vibe
huna ajenda lema
😂😂😂😂jamaa ame pata sababu
Fara wewe huna swaga mshamba mmoja
Lema ni mfitini, tabia zake kama baadhi ya wabunge wetu huku kenya, wanasiasa wa upinzani Tanzania, ni wachawi wa sera ole wenu mkiwasikiza, mtajuta,kama tunavyojuta.
Hivi kuna siku mtakuwa na agenda yenu au mnatembelea Kiki za watu
Hoja tafathali
Easy hole to go through 😅😅😅😅😅😅😅😅
Kilicho baki kwa lema ni kuimba tarabu
upepo
binafsi Makonda namuona kama mchonganishi na fitna Mama lirejeshe jini lako kwenye chupa
Ukwelli Makonda anakurupuka yote ni sababu ya uchawa
Anawaconfuse tu ili muingie Kwenye mfumo🤣
Na wewe ongeya sera 2025 inakuja ongeya wananchi wajuwe nini mnacho siyo huyu kasema muige
Yaani upinzani wa Tanzania imekuwa lelemama....Hakuna hoja
Mkundu lema
Lema acha kudadia gari kwa nyuma na mwenzako mwabukusi
Sera zako ni kudandia mada tu Huna lako jambo!!
Wapare mnakazi uelewa wenu hafifu
@@user-mz4gx2ek9y ukielewa wewe inatosha! Kwani wewe kabila gani mwenzetu! Utajua hujui!!
Hili ni la Wanasiasa wote.Acheni kudandia siasa siku zote ndo zilivyo na siasa zilimsaidia sana hata the late his Excellency J.P.M a copy sera za wanachadema na akafanya vyema sana hivyo siasa ndivyo zilivyo
Makonda atawapoteza kisiasa wajinga nyie.
LEMA HUNA HOJA ZAIDI YA KUSUBIRI MATUKIO NA KEJELI NA KUFANANISHA AFRIKA NA ULAYA 😢😢😢😢😢
Yaani siasa pinzani zimeshakosa hoja aisee,kazi imekua ni ya kurukia hoja za watu wa ccm kwa mbele...kama wajinga wajinga tu