Hawa ndio wale wa maji,vitambaa,keki,mafuta na makorokoro mengine wanaita ya upako na wengine wanajifanya kiboko ya wachawi kumbe ndo anawaingiza kwenye uchawi dahhh 😮😮😮😮
Story hizi za kusadikika husikilizwa na wajinga pekee, mtu anayejitambua hawezi kupoteza muda na data kufatilia upuuzi. Watanganyika wengi kwakuwa ni masikini na hawana elimu wanapenda sana story za kusadikika hasa zinazohusu uchawi
Wa kwanza Leo...like zangu tafadhali...
We jamaa unajua sana sema umevamiwa na akina SNS na Jamal ila amini katika nafasi yako utakua mbele zaidi yao
Tatizo brand mjomba tz iiiih angeomba ata kipind clouds pale
@@SmeshaMukolo ukwel huo, Brand ukiipata na idea zinakua pevu kwa brain yako
Ila kingine kila mtu ana content tofauti...
@@mtzhalisi2232 ukwel
SNS na story book walimkuta wote kama unafatilia
Twendee kaz
Bro siku hizi unasimlia sitor kama sio msomi vile au una stress za ndoa nn?❤❤
MFALME WA SIMULIZI
hiyo beat kwa background naiomba jina ni nini...
Acha utaper kwanini hamuonyeshi matendo siyo pw
Hawa ndio wale wa maji,vitambaa,keki,mafuta na makorokoro mengine wanaita ya upako na wengine wanajifanya kiboko ya wachawi kumbe ndo anawaingiza kwenye uchawi dahhh 😮😮😮😮
Story hizi za kusadikika husikilizwa na wajinga pekee, mtu anayejitambua hawezi kupoteza muda na data kufatilia upuuzi. Watanganyika wengi kwakuwa ni masikini na hawana elimu wanapenda sana story za kusadikika hasa zinazohusu uchawi
@@gregorybakuza5796 tayali mpaka unatuma ujumbe huku na wewe ni mjinga
Acha makasiriko😂
ila dah naww ushakua mjinga maana ushsikiliza
Mbona we umeisikiliza
@@allynassor2851 baada ya kusikiliza ndo nimegundua zimejaa ujinga so kama unatetea basi we ndo mlengwa (mjinga)