FULL: YALIYONIKUTA KWA KUFIKA MAKAO MAKUU YA WACHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 27

  • @WemaSimon-wk4os
    @WemaSimon-wk4os 3 месяца назад +5

    Wa kwanza Leo...like zangu tafadhali...

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 2 месяца назад +8

    We jamaa unajua sana sema umevamiwa na akina SNS na Jamal ila amini katika nafasi yako utakua mbele zaidi yao

    • @SmeshaMukolo
      @SmeshaMukolo 2 месяца назад +2

      Tatizo brand mjomba tz iiiih angeomba ata kipind clouds pale

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 2 месяца назад

      @@SmeshaMukolo ukwel huo, Brand ukiipata na idea zinakua pevu kwa brain yako

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 2 месяца назад +2

      Ila kingine kila mtu ana content tofauti...

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 2 месяца назад

      @@mtzhalisi2232 ukwel

    • @rovisonmashaija3198
      @rovisonmashaija3198 2 месяца назад +3

      SNS na story book walimkuta wote kama unafatilia

  • @ngoshatayari
    @ngoshatayari 3 месяца назад +3

    Twendee kaz

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 2 месяца назад +1

    Bro siku hizi unasimlia sitor kama sio msomi vile au una stress za ndoa nn?❤❤

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 2 месяца назад +2

    MFALME WA SIMULIZI

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 2 месяца назад +2

    hiyo beat kwa background naiomba jina ni nini...

  • @RichardKaponda
    @RichardKaponda 2 месяца назад +1

    Acha utaper kwanini hamuonyeshi matendo siyo pw

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 2 месяца назад

    Hawa ndio wale wa maji,vitambaa,keki,mafuta na makorokoro mengine wanaita ya upako na wengine wanajifanya kiboko ya wachawi kumbe ndo anawaingiza kwenye uchawi dahhh 😮😮😮😮

  • @gregorybakuza5796
    @gregorybakuza5796 2 месяца назад +5

    Story hizi za kusadikika husikilizwa na wajinga pekee, mtu anayejitambua hawezi kupoteza muda na data kufatilia upuuzi. Watanganyika wengi kwakuwa ni masikini na hawana elimu wanapenda sana story za kusadikika hasa zinazohusu uchawi

    • @Irene-cc5qi
      @Irene-cc5qi 2 месяца назад

      @@gregorybakuza5796 tayali mpaka unatuma ujumbe huku na wewe ni mjinga

    • @williamyohana5041
      @williamyohana5041 2 месяца назад

      Acha makasiriko😂

    • @allynassor2851
      @allynassor2851 2 месяца назад +3

      ila dah naww ushakua mjinga maana ushsikiliza

    • @FedrickAloyce-nl1pl
      @FedrickAloyce-nl1pl 2 месяца назад +1

      Mbona we umeisikiliza

    • @gregorybakuza5796
      @gregorybakuza5796 2 месяца назад

      @@allynassor2851 baada ya kusikiliza ndo nimegundua zimejaa ujinga so kama unatetea basi we ndo mlengwa (mjinga)