Wanajeshi wa jeshi la Kenya waingia DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi wa M23.
HTML-код
- Опубликовано: 11 ноя 2022
- Wanajeshi wa jeshi la Kenya waingia DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi wa M23 ambao wameonekana kuwa karibu na mji wa Goma.
- Развлечения
May God protect you,and give you victory 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pongezi kwa afrika .matatizo ya afrika yanatatuliwa na wa afrika
Kenya❤❤❤❤❤God bless you guys🙏🙏👏👏 .President Ruto tunakupenda sana baba wetu❣️ Mungu akubliki sana tena akulinde siku zote ☺️
Wish you God's protection, strength and intelligence in handling the matter. Love you
I'm Proud to be a Kenyan. God Bless you all the peacekeppers in Africa...
Peacekeepers!!!!!!!!these are thief's not Peacekeepers
Mungu watangulie wanajeshi wetu 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪, walinde pamoja na wale wote wanaopigania Amani nchini Congo, wape ushindi na itakapo wadia mda Wa kuondoka Congo watoke wote wazima kama vile wameingia, Amen 🙏
Hawatafa kitu wame angukiya ndani yashimu
Kwanza wajuwe kwanini M23 inapigana mapigano siyo mucezo
Unamaanishaje
Pia M23 wana mungu.
MUNGU anapenda wapenda Amani, maombi yangu ni kwa wanajeshi Wa taifa langu 🇰🇪 Mungu awatangulie katika hio mapigano, sijui adui ni Nani Congo lkn naamini Mungu ni mkubwa ndugu zangu watarudi wazima kwa imani pamoja na wote wanao pigania Amani nchini Congo
@@gakwayamarc9417 that's your faith, i trust in God our brothers and sisters won't die there, there's God whom i trust in him, Kenya is a prayerful Nation we are praying for all of them
Pole Sana wanakenya munakuja kukufia Congo nyinyi hamujuwi m23nini mtakufa vibaya hao majama hawana muchezo
Ya Allah saidia vijana wetu wa kenya .na kongo wote .Aaamin
Ndugu Austere Malivika umefanya kazi kubwa sana ya utangazaji katika uwanja wa vita kwa muda mrefu, nakushauri INATOSHA upumzike ule hela yako. Umefanya kazi kubwa sana kwa muda mrefu na Mungu amekulinda sana maana kazi hiyo ni ya hatari sana.
Ni kweli jamaa amefanya kazi miaka mingi
Kweli lakin kama mda wake haujafika wa kupumzika itakuaje
KDF should first focus cut off all their funding source , blocked all road in out ( let kangame be warned if he is involved)
You’re right dear
Mwenyezi Mungu na awalinde wakakwenda na kurejea wangali wazima🙏
Kenya ilishindwa kupokonya silaha wapokote wataweza M23?.Wakenya watalia wasubili kidogo tuu.
Kenya waliwashinda Al Shabaab.
M23 ni kupita tu.
Nous le ferons.
Ebu mpeni mrusi aingie apo tuone kama waasi hawaja isha
It's the end of M23!!
😂😂😂😂 wait and see
God protect Our Military and cover them with the purifier blood of Jesus Christ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kenya mwaitafuta vita ambayo.hamtaiweza haya yetu macho tu
Kongo vaincra
Ask AS
Kenya , we are best Army in Africa
Kweli wataona Moto m23 sio mchezo wanapingania haki yao
Safi Pigeni Hawa vibaraka wa M23
Fn scar rifle. The gun KDF are carrying is very dangerous.
Kutegemea inji za kigeni... Kwani wale wa rundi tangu walipo ingiya Congo kume kuwa na utafauti gani?!! Hakuna kinacho endeleya... Laiti Fardc wange ji tahidi ili kuleta usalama naku piga m23 hadi kwao Rwanda... Sisi raiya tuko nyuma ya Fardc
Hapa kenya tumeteleza...Ya kwetu yanatushinda ya wenyewe tutaweza?!!!!
gani yametushinda
@@dominicmusyoki9631 Uko kenya gani?
@@patrickndichu3905 Tuambie mimi cjui?
Congratulations to KENYA DEFENCE FORCES
Best wishes kdf
Watapiganaje na FDRL nawakani Hilo kundi liko pamoja na FRDC watapiganaje na hilo kundi hhhhh au wanaenda kusaidiana nalo M23 niwa congomani wanaopigania uhuru wawo hhhhhhh wa afurika bwawe hhhhhhh hizo siasa hazitasaidia chochote kama hawawezi kupatanisha serikari ya congo na wana nchi wake wajisumbuwa
Hiv hapo waasi si nao wanaiangalia hii taarifa kwa nn wasijisalimishe tu
Wewe unajua kwamba, kasogo kako, katabaki huko?
rubbish insecurity if you can't solve in your own country.
Asanteeee hakikisheni mnawang'oa hao manyang'au hapo Kongo rep.
ndio mungu awata gilie
😂Waritoka na ayibu warinda gusandiya wasi Kenya imerundi na ayibu waaciye mutaramu wavyita Tanzania n'a burundi😂😂❤❤wapigwe kuguru
Hakuna watu hatari Kama wanyarwanda kwenye jumuiya hii Ila ipo siku watachokwa na huenda wakakiona Cha mtema kuni. Kwa Sasa,let the sleeping dog lie
Mr Paul achana nawo wana nguvu gani? Umenikwaza ndugu 🇷🇼🇺🇬🇺🇸 ila ujuwe yakwamba yale mataifa ndo yameunguna ili wapore mali ya congo ila mkulima ndo anakuwaga mingi pia ndo nwenye faida kuliko mwizi wamesumbuwa congo kitambo kina mwanzo na mwisho
Mimi naomba list nijue wangapi wameenda Congo nianze kuwafanyia maombi.
Wakenya tuawawomba mujuwe m 23 inapiganiya haki zao, so mutayarushe makaburi mapema, because God is with M23, they fighting there rights, you should come back murinde inchi yenu
Quel Dieu ???
Please God protect my brothers and sisters soldiers for their peace mission at Congo, give Congo people peace more than we have in KENYA I pray, AMEN Amen 🙏 🙏🙏 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wanunue drone kama zile inazotumia UKRAINE katika uwanja wa mapambano ndipo watafanikiwa kuwadhibiti na kuwashinda kabisa waasi wa m23 maana congo kuna misitu mikubwa sana,sasa bila kuwa na drone ni ngumu kuwashindwa hao waasi!!
mimi nashuku wale m23 ni kama wako nazile drone
M23 sio mawasi they're freedom fighters
@@manirambonajacques600 freedom ya wapi toka uko mnyarwanda ww
Drone ziko za kutoka mariakani
@@manirambonajacques600 non c'est son les soldats Ruandais sanguinaires Assassin's génocidaires qui agresse le KONGO pour pouvoir voler nos richesses.convoites à la complicité de communauté internationale.
I advice my fellow Kenyans to prepare the evacuation thier troops because the lightening tornado operation is knocking in the door.
Hiyo ni biashara ya watu ndo maana waasi hawa ishi congo
Mungu awabariki ninyi ndyo mashujaa wa ukwel 🫡
Pigeni kazi wanangu Alshabab wanajua mziki wenu sio wakitoto
Kenya be careful..it can be an eastAfrican countries Jeolousy of our economy trying to bring us down…WAKIJARIBU WE FLATTEN CONGO
Siasa tu hapo hawezi kuipiga Rwanda wara kuwafukuza waasi.wakae meza ya mazungumzo tu
kenya itapokonya aje FDLR na wako kwenye jeshi la FRDC hapo ni kutudanganya aida awa KDf wanakuja kuyisadia M23 au kuyiba congo kama wanvyo fanya Munisco myaka 25
La fin arrive.
Riftivale Kenya watu wana toroka wanakufa tunawapenda mifugo zinaenda munaonyesha Kenya tunajiweza na sio ukweli saidieni Raila kwanza
Toa umama hapa kijana ama u rip
Rentrée chez vous Ruandais.
@@isaacjoshua6884 sitakua wa kwanza napia sio wamwisho ni njia yetu sote
Mungini anayandika mungu bariki M23.....kweri ata gaidi anamuomba mungu wake
DIEU EST juste juge, Ils patrons.
Amina ndugu zetu wakenya na Tanzania achana nawale 🇷🇼 walishaga kosa mbingu nadunia wameshaga kusahawu mahali walipo tokea
Shame on you who really don't know the roots of problem and still talk nosense things to others
Many of you are not even on the field(inside the countrty) to find the truth
This is the truth war it must be whether you like it or not. We tired of DRC leaders
Think twice why always DRC government leaders are weak
They still have hates in their hearts.
You don't even know massive killing is going on to some origin people called banyamurenge #murenge location 😭😭😭
Victims please becouse they look like
Rwandans😭 please leaders that's can't be the point to kill innocent people like that so sad.
You’re the one of themes
We answer the fools with silence remember your story? Nomadic peoples you bloodthirsty peoples know that everything has its time
Mngewasikiliza hao waasi wanataka nini
Wish you good luck our soldiers
Hakuna cha bure, huo ni wizi tu unaendelea
M23 is rwanda 🇷🇼 +uganda and Congolese we better shoot run 🏃♂️ and fight let’s go #m23
May our soldiers come back home safely
Attached by events which have their roots far across the world when life seems hard the courageous do not lie down and accept defeat instead they are all the more determined to struggle for a better Future 💯✊✊✊
Fight for Congolese too
Yekyeee waporaji hote hao monisco hiko wapi ? anaye hangahika siku zote ni rahiya tu
We all pray for our men let them conquer the enemy 🧎♂️
🙏🏻🙏🏻 congratulation dear Nicholas god bless you
Achana na lile taifa ya kaini
May the LORD God Almighty keep you safe in Jesus name Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
FRDC. Mjifunze kuwa na dispine kupitia jeshi la Kenya
Hawawezi hatakidogo ni majambazi Kenya isipochunga vizuri hata siraha zao wataziuza
@@newkennedy2504
😂😂😂😂😂😂 KDF isitegemeye backup ya FARDC hapo ni kujianda ki phycology kuwa wanapigana wenyewe.
@@newkennedy2504 continuer à rêver is Tempo Tshisekedi TSHILOMBO
Good move but my government remember also our land Tiaty turkana and samburu please 🥺
Uramuzi fitina nakuto kuheshimu bina damu ngiyo chanzo Cha migogoro DRC ambayo inaretavita kira kuchao,Kenya nainshi zinginezo washiroka wa Africa yamashariki tafuteni njiya yakusaidiya DRC pasipo kutimiya nguvu za kije,mutapoteza wengi nabado hatuja mariza kuwaririya ware DRC yenyewe imepoteza
😀😀😀😀😀😀😀😀 oohh Congo basi so sorry kabisa , Kigali tunawasalimu🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼✋✋✋
Julie Malaika;
Wewe ni zero kabisa. Mwanaume gani hutegemea urinzi kutoka kwajirani ?
Huko Masisi Mai inachinja raia wasio na hatiya kama wanyama n'inyi mumekazana na M23 kwasababu ya ukabira.
Jambo moja tukubariane kwa kweri M23 niwanaume. Haiwezekani mataifa yote 6 East Africa, SADAC washikamane bila kusahahu kundi la Wegner group kutoka Urusi kwajirani ya kikundi cha waasi..... 😂😂😂
Toka uko mnyarwanda ww msenge sana natamani ni kupige kofi ufe msenge ww
@@congoboymbeyas2440 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
99 jours pour le voleur et 1 jour Pour le propriétaire.
@@rukoranyangabo9128 umbwa wewe rirani ni ndugu kutowa nyinyi kizazi cha kaini mumechukiliwa ulimwengu pote hata ulaya
Tunaomba nchi yetu ya tanzania kuongezea nguvu mpakani Burundi Rwanda
Nawaombea mafanikio mema Congo.
Mungu awape nguvu na imani katika mapito yenu na hatimaye mupate neema na amani ya kizazi na vizazi.
Ameen
👋 Mr juma ubarikiwe milele wewe ndo mtu wa kwanza kuliko wote unastahili zawadi kutoka kwa mungu pia kutokea kwenye gouvernement ya congo 🇨🇩 nahitaji contact yako
👋 juma Ally ubarikiwe milele ndugu yangu asante sana kujali ndugu zako sisi sote bina Adam ila ndugu zetu 🇷🇼 sijuwi kwanini wawo kusumbuwa sisi
Sasa kagame na james kabarhebe mumekaa congo zaidi mwaka 20 Mbone mumeshindwa kuwashika FDRL ? Hawakuwage muliwawuwaga wote EX: camp panzi bukavu) mugunga goma) muku kavumu kashusha bibeka kamituga nyangezi yani congo nzima, kwanini hupelekwi huko pays bas ( criminal court judge 🧑⚖️ umewuwa wanyarwanda saana iwe watutsi wenzako nawahutu pia wawo ndo usiwongelee ila kila mabaya yalipiwa hapa duniani today is mine tomorrow is yours
Mungu usaidie M23
We are there to destroy them. M23 is just another terrorist group and has to be eliminated
À aucun cas. Ils sont dès Assassin's
Sote I wamoja tuongeee tusikizane tuepuke umwagikaji wa damu
Niente OYO ekoya eya tokobunda jusqu'à la victoire total du KONGO terre promise.
I hope this mission will bring peace and not hatred among East African countries. May God give all forces contributed from all regions strength and resilience to face this long time enemy.
More like Kenyan want to just still wealth in DRC just like every other country has done in the past centuries guess who’s stupid enough to believe that they will bring peace. I give ya 3 years once they get what they came for they will leave and everything will back to 0. All government need to do is seat down like 2009 but this time do what they say they was going to do. War is not good and no one should have to die for the benefit of politician. Send Kenyan back home and stop the war. The only victim here are civilians who has nothing to do or say in this whole situation
It'll definitely do. Rwanda and Uganda are against this.
@@wafulawafula2670 so you think M23 and Tutsi people in north kivu are made of Ugandan and Rwandan? Help understand cz if so we have nothing to talk about cz you just supporting your country and understand but facts doesn’t care about ya feelings
@@Blackbird703 🙏🏻 there no difference of 🇷🇼🇺🇬 Burundi 🇧🇮 you too Ugandan nyankore
@@patrickchapwe8778 ya think ? ☠️☠️ smfh is that what your education system teaches you ? I mean I’m not surprised but it sad for grownass man like you to be just big with peanut butter brain.
They don’t fill a shame while spending 3 billion while innocent Kenyan son just left cause off 100 pop
Thanks bro hakuna mtu anataka ukweli
What about the bandits,,we should do something also before it's too late
Wanajeshi was Kenya not wanajeshi was jeshi la Kenya🙄
Wanakudanganya mukenya, utakufiya bure, M23 itakukongeya moto hawutasahawu maisha yako yote ,ukejaribu kuyipiganisha
tunaiombea Mungu kenya ipate mafanikio ktk kutuliza huu jeshi ya m23 inawapa shida ndugu zetu
You don’t know what u are talking about.someone will raise their sons and daughters
👋 kassim ubarikiwe ishi milele baba
Musitufiche..mukenya akiwuliwa mutwambiye,shida najua hamutasema
Wewe mwenyewe si wale wajomba wa M23
Wamaenda kugombana au wamenda kusimama katikati ya Majeshi yanayogombana
Fashi beto trust your armes of Congo
m23 mtakoma mtapigwa pande zote na Rwanda haitafanya kitu,kuna kenya,mrusi mchina mtashinda kweli?ndege 2 tu zimewamaliza
acha tusubiri tuone lakini mjue hata mukishinda tataizo ni lile lire tu mpaka myaka na mirire acheni upumbafu wenu jirani wendawazimu
@@therockn1666 upumbavu wakati DRC inaharibiwa na marekani na ulaya,huoni watu wanavyokufa?hata mareakani imesha isaliti Rwanda walisema Rwanda iache zsaidia M23 pna mrusi hapo biahsara imeisha si utaona wewe hujui askari wa kenya,kenya kuwa DRC m23 haiwezi tena,lini tangu uzaliwe uliona ndege za DRC zimevamia m23,?hahahah wakati mpya wanasema waswahili chenye mwanzo hakikosi mwisho
@@therockn1666 nous vaincrons tous les bâtards dû M23 sanguinaires Assassin's génocidaires et ses alliés.
NZAMBE AZALI na ngambo na BISO.
zimewamalizaje wakati wanakaribia goma?.m23 imewashinda na hizo ndege zenu bora kdf isaidie
@@kylexy2901 m 23 haishindi wewe hujui siasa za dunuia na kwambia Congo haigawanywi m 23 inafutwa itapigwa kila kona hahaha wizi wa mali za drc umefikia mwisho
Fahamu yakwamba There you are not on war you are on duty to help a common man to move forward
And to facilitate peace negotiations here the key word
Lakini mtu akileta umatako twanga risasi ya matako kwani iko nini
Il aura rien ce Rebel moura rebel.
Hahahahahahahaaaa
Mungu awawezeshe
Congo is country of business
These men are ready to fight hard
Siasa ya congo niya ujinga kusemasematu vita nisisa tuache vita yamutandao pigeni adui nakuhakikisha wameme pigwa vita yacongo nikati ya jeshi lataifa wametesa wakaji kabla yajirani kukusaidia jiandae kivita kisiasa na usiano njuri kwaraia tume pinga vita yamasemi vita yaupaguzi na uchocheo wakisiasa adui wa congo ni mucongo man mwenyewe
Mbaka sahii wako somalia 🇸🇴 na hakuna faida wame leteee Wata fanyaaaa nini ka congo
Hamna kitu hapo
Wa kenya siyo watusi ??
Kenyans don't relate in terms of ethnic groups
Tz tupeleke kikosi kitutambulishe kimataifa
Ndiposa ndio kiswahili gani!!
Hata uganda
Mwenye bwanake yuko kwa hii group sijui anahisi vile mm nahisi
Stay safe our soldiers,,,,
Ukweli ni kua vita tunapigana na Rwanda na Uganda. M23 vipao na nguvu zao zinatokea Rwanda na Uganda
ruclips.net/video/KTSz3651nX8/видео.html
Musiamini jeshi la umoja wa mataifa Ni MATAPELI Bora mlipowafukuza ao ndo wazamini
M23 wanao haki yenye wanapingania akuna mwenye anaweza kuwazuia mzungumzo ndio ataleta amani RDC sio Vita Kenya +RDC +Burundi hivyo hivyo hamuwezi RDC Ina experience kivita kuriko hata hio Kenya munasema wanapingana Vita wapi hao waizii tu
I know we will pin them Kenya we are highly trained
M23💪💪💪
A very dangerous assignment,congo is thickly forested
Donne moi les images de l arrivee de Moise katumbi a l shi
wasaliti hao tunajuwa njamayao
God watch over the kenyan soldiers, and btw kenyan soldiers are a real deal
They are armed with FN SCAR rifles?
Tz wakija hapo ni week 2 tu
Hapo hakuna nyimbo na densi
Karibu
Wanatu over tax alafu wanacheza na hizo pesa bila aibu
There are already so many forces operating in eastern Congo who after all this time have failed to safeguard peace.With Kenya's economic decline,this is honestly a squander of tax payers money.
Stupid
They will deliver its always good to stretch out your hand.
Hahahaha ok tunachunga yawezekana hamu juwi kagame