Wanajeshi wa jeshi la Kenya waingia DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi wa M23.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 ноя 2022
  • Wanajeshi wa jeshi la Kenya waingia DRC kusaidia mapambano dhidi ya waasi wa M23 ambao wameonekana kuwa karibu na mji wa Goma.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 270

  • @theben6756
    @theben6756 Год назад +6

    May God protect you,and give you victory 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hamisinyanga4579
    @hamisinyanga4579 Год назад +11

    Pongezi kwa afrika .matatizo ya afrika yanatatuliwa na wa afrika

  • @mugiarnezaariela8277
    @mugiarnezaariela8277 Год назад +3

    Kenya❤❤❤❤❤God bless you guys🙏🙏👏👏 .President Ruto tunakupenda sana baba wetu❣️ Mungu akubliki sana tena akulinde siku zote ☺️

  • @odhiambostephenosen1785
    @odhiambostephenosen1785 Год назад +5

    Wish you God's protection, strength and intelligence in handling the matter. Love you

  • @pardonsamson4774
    @pardonsamson4774 Год назад +6

    I'm Proud to be a Kenyan. God Bless you all the peacekeppers in Africa...

    • @USA-xj5mc
      @USA-xj5mc Год назад

      Peacekeepers!!!!!!!!these are thief's not Peacekeepers

  • @hadassahdebintisarah4250
    @hadassahdebintisarah4250 Год назад +12

    Mungu watangulie wanajeshi wetu 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪, walinde pamoja na wale wote wanaopigania Amani nchini Congo, wape ushindi na itakapo wadia mda Wa kuondoka Congo watoke wote wazima kama vile wameingia, Amen 🙏

    • @gakwayamarc9417
      @gakwayamarc9417 Год назад +1

      Hawatafa kitu wame angukiya ndani yashimu
      Kwanza wajuwe kwanini M23 inapigana mapigano siyo mucezo

    • @dominicmusyoki9631
      @dominicmusyoki9631 Год назад

      Unamaanishaje

    • @gerezakatembo
      @gerezakatembo Год назад +1

      Pia M23 wana mungu.

    • @hadassahdebintisarah4250
      @hadassahdebintisarah4250 Год назад

      MUNGU anapenda wapenda Amani, maombi yangu ni kwa wanajeshi Wa taifa langu 🇰🇪 Mungu awatangulie katika hio mapigano, sijui adui ni Nani Congo lkn naamini Mungu ni mkubwa ndugu zangu watarudi wazima kwa imani pamoja na wote wanao pigania Amani nchini Congo

    • @hadassahdebintisarah4250
      @hadassahdebintisarah4250 Год назад

      @@gakwayamarc9417 that's your faith, i trust in God our brothers and sisters won't die there, there's God whom i trust in him, Kenya is a prayerful Nation we are praying for all of them

  • @celeusfatirisigaye9624
    @celeusfatirisigaye9624 Год назад +1

    Pole Sana wanakenya munakuja kukufia Congo nyinyi hamujuwi m23nini mtakufa vibaya hao majama hawana muchezo

  • @Bosezizunae
    @Bosezizunae Год назад +3

    Ya Allah saidia vijana wetu wa kenya .na kongo wote .Aaamin

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 Год назад +6

    Ndugu Austere Malivika umefanya kazi kubwa sana ya utangazaji katika uwanja wa vita kwa muda mrefu, nakushauri INATOSHA upumzike ule hela yako. Umefanya kazi kubwa sana kwa muda mrefu na Mungu amekulinda sana maana kazi hiyo ni ya hatari sana.

    • @chosen1.
      @chosen1. Год назад

      Ni kweli jamaa amefanya kazi miaka mingi

    • @gadsonndato2941
      @gadsonndato2941 Год назад

      Kweli lakin kama mda wake haujafika wa kupumzika itakuaje

  • @israelkimotho6890
    @israelkimotho6890 Год назад +2

    KDF should first focus cut off all their funding source , blocked all road in out ( let kangame be warned if he is involved)

  • @stanleynjau4935
    @stanleynjau4935 Год назад +3

    Mwenyezi Mungu na awalinde wakakwenda na kurejea wangali wazima🙏

  • @ferdinandodanielo1
    @ferdinandodanielo1 Год назад +4

    Kenya ilishindwa kupokonya silaha wapokote wataweza M23?.Wakenya watalia wasubili kidogo tuu.

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад +5

    Ebu mpeni mrusi aingie apo tuone kama waasi hawaja isha

  • @kennedyprime3630
    @kennedyprime3630 Год назад +7

    It's the end of M23!!

  • @sarahyego3762
    @sarahyego3762 Год назад

    God protect Our Military and cover them with the purifier blood of Jesus Christ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-vq1qx1dr4e
    @user-vq1qx1dr4e Год назад +4

    Kenya mwaitafuta vita ambayo.hamtaiweza haya yetu macho tu

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 Год назад +4

    Safi Pigeni Hawa vibaraka wa M23

  • @kelvinmugo8678
    @kelvinmugo8678 Год назад +1

    Fn scar rifle. The gun KDF are carrying is very dangerous.

  • @arcarchil734
    @arcarchil734 Год назад +1

    Kutegemea inji za kigeni... Kwani wale wa rundi tangu walipo ingiya Congo kume kuwa na utafauti gani?!! Hakuna kinacho endeleya... Laiti Fardc wange ji tahidi ili kuleta usalama naku piga m23 hadi kwao Rwanda... Sisi raiya tuko nyuma ya Fardc

  • @patrickndichu3905
    @patrickndichu3905 Год назад +4

    Hapa kenya tumeteleza...Ya kwetu yanatushinda ya wenyewe tutaweza?!!!!

  • @johnchrispine638
    @johnchrispine638 Год назад +1

    Congratulations to KENYA DEFENCE FORCES

  • @babalisa2310
    @babalisa2310 Год назад +3

    Best wishes kdf

  • @newkennedy2504
    @newkennedy2504 Год назад +5

    Watapiganaje na FDRL nawakani Hilo kundi liko pamoja na FRDC watapiganaje na hilo kundi hhhhh au wanaenda kusaidiana nalo M23 niwa congomani wanaopigania uhuru wawo hhhhhhh wa afurika bwawe hhhhhhh hizo siasa hazitasaidia chochote kama hawawezi kupatanisha serikari ya congo na wana nchi wake wajisumbuwa

  • @eliudmkumbwa5681
    @eliudmkumbwa5681 Год назад +2

    Hiv hapo waasi si nao wanaiangalia hii taarifa kwa nn wasijisalimishe tu

  • @barthelemyngabo7409
    @barthelemyngabo7409 Год назад +1

    Wewe unajua kwamba, kasogo kako, katabaki huko?

  • @ikaieloto2661
    @ikaieloto2661 Год назад +1

    rubbish insecurity if you can't solve in your own country.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +3

    Asanteeee hakikisheni mnawang'oa hao manyang'au hapo Kongo rep.

  • @NdayishimiyePhilippe-tp3or
    @NdayishimiyePhilippe-tp3or 5 месяцев назад

    😂Waritoka na ayibu warinda gusandiya wasi Kenya imerundi na ayibu waaciye mutaramu wavyita Tanzania n'a burundi😂😂❤❤wapigwe kuguru

  • @paulchurchill7984
    @paulchurchill7984 Год назад +4

    Hakuna watu hatari Kama wanyarwanda kwenye jumuiya hii Ila ipo siku watachokwa na huenda wakakiona Cha mtema kuni. Kwa Sasa,let the sleeping dog lie

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      Mr Paul achana nawo wana nguvu gani? Umenikwaza ndugu 🇷🇼🇺🇬🇺🇸 ila ujuwe yakwamba yale mataifa ndo yameunguna ili wapore mali ya congo ila mkulima ndo anakuwaga mingi pia ndo nwenye faida kuliko mwizi wamesumbuwa congo kitambo kina mwanzo na mwisho

  • @ochiengmakiri731
    @ochiengmakiri731 Год назад +1

    Mimi naomba list nijue wangapi wameenda Congo nianze kuwafanyia maombi.

  • @mosesmuhoozi8133
    @mosesmuhoozi8133 Год назад +2

    Wakenya tuawawomba mujuwe m 23 inapiganiya haki zao, so mutayarushe makaburi mapema, because God is with M23, they fighting there rights, you should come back murinde inchi yenu

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 Год назад

    Please God protect my brothers and sisters soldiers for their peace mission at Congo, give Congo people peace more than we have in KENYA I pray, AMEN Amen 🙏 🙏🙏 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @christianmwasakogo5579
    @christianmwasakogo5579 Год назад +9

    Wanunue drone kama zile inazotumia UKRAINE katika uwanja wa mapambano ndipo watafanikiwa kuwadhibiti na kuwashinda kabisa waasi wa m23 maana congo kuna misitu mikubwa sana,sasa bila kuwa na drone ni ngumu kuwashindwa hao waasi!!

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 Год назад +1

      mimi nashuku wale m23 ni kama wako nazile drone

    • @manirambonajacques600
      @manirambonajacques600 Год назад

      M23 sio mawasi they're freedom fighters

    • @congoboymbeyas2440
      @congoboymbeyas2440 Год назад +1

      @@manirambonajacques600 freedom ya wapi toka uko mnyarwanda ww

    • @Musa2-i5h
      @Musa2-i5h Год назад

      Drone ziko za kutoka mariakani

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад

      @@manirambonajacques600 non c'est son les soldats Ruandais sanguinaires Assassin's génocidaires qui agresse le KONGO pour pouvoir voler nos richesses.convoites à la complicité de communauté internationale.

  • @muzungujames5073
    @muzungujames5073 Год назад +1

    I advice my fellow Kenyans to prepare the evacuation thier troops because the lightening tornado operation is knocking in the door.

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад +4

    Hiyo ni biashara ya watu ndo maana waasi hawa ishi congo

  • @emanuelmselle637
    @emanuelmselle637 5 месяцев назад

    Mungu awabariki ninyi ndyo mashujaa wa ukwel 🫡

  • @jamaliahmadi1383
    @jamaliahmadi1383 Год назад +2

    Pigeni kazi wanangu Alshabab wanajua mziki wenu sio wakitoto

  • @halfsleepy3579
    @halfsleepy3579 Год назад

    Kenya be careful..it can be an eastAfrican countries Jeolousy of our economy trying to bring us down…WAKIJARIBU WE FLATTEN CONGO

  • @brythonmbinga8495
    @brythonmbinga8495 Год назад

    Siasa tu hapo hawezi kuipiga Rwanda wara kuwafukuza waasi.wakae meza ya mazungumzo tu

  • @therockn1666
    @therockn1666 Год назад +2

    kenya itapokonya aje FDLR na wako kwenye jeshi la FRDC hapo ni kutudanganya aida awa KDf wanakuja kuyisadia M23 au kuyiba congo kama wanvyo fanya Munisco myaka 25

  • @kevoJASIRI2546
    @kevoJASIRI2546 Год назад +2

    Riftivale Kenya watu wana toroka wanakufa tunawapenda mifugo zinaenda munaonyesha Kenya tunajiweza na sio ukweli saidieni Raila kwanza

    • @isaacjoshua6884
      @isaacjoshua6884 Год назад +1

      Toa umama hapa kijana ama u rip

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад +1

      Rentrée chez vous Ruandais.

    • @kevoJASIRI2546
      @kevoJASIRI2546 Год назад +1

      @@isaacjoshua6884 sitakua wa kwanza napia sio wamwisho ni njia yetu sote

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 Год назад +1

    Mungini anayandika mungu bariki M23.....kweri ata gaidi anamuomba mungu wake

  • @patrickchapwe8778
    @patrickchapwe8778 Год назад +1

    Amina ndugu zetu wakenya na Tanzania achana nawale 🇷🇼 walishaga kosa mbingu nadunia wameshaga kusahawu mahali walipo tokea

    • @mimibikundwa1557
      @mimibikundwa1557 Год назад

      Shame on you who really don't know the roots of problem and still talk nosense things to others
      Many of you are not even on the field(inside the countrty) to find the truth
      This is the truth war it must be whether you like it or not. We tired of DRC leaders
      Think twice why always DRC government leaders are weak
      They still have hates in their hearts.
      You don't even know massive killing is going on to some origin people called banyamurenge #murenge location 😭😭😭
      Victims please becouse they look like
      Rwandans😭 please leaders that's can't be the point to kill innocent people like that so sad.

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      You’re the one of themes

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      We answer the fools with silence remember your story? Nomadic peoples you bloodthirsty peoples know that everything has its time

  • @daudipaurlo8353
    @daudipaurlo8353 Год назад +2

    Mngewasikiliza hao waasi wanataka nini

  • @mannubett9932
    @mannubett9932 Год назад +1

    Wish you good luck our soldiers

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 Год назад +3

    Hakuna cha bure, huo ni wizi tu unaendelea

  • @ally250munyanziza9
    @ally250munyanziza9 Год назад +1

    M23 is rwanda 🇷🇼 +uganda and Congolese we better shoot run 🏃‍♂️ and fight let’s go #m23

  • @hildalumbasi8602
    @hildalumbasi8602 Год назад +4

    May our soldiers come back home safely

  • @junkokokororajah2954
    @junkokokororajah2954 Год назад

    Attached by events which have their roots far across the world when life seems hard the courageous do not lie down and accept defeat instead they are all the more determined to struggle for a better Future 💯✊✊✊

  • @sarahyego3762
    @sarahyego3762 Год назад

    Fight for Congolese too

  • @mwenebatuetabo5515
    @mwenebatuetabo5515 Год назад +1

    Yekyeee waporaji hote hao monisco hiko wapi ? anaye hangahika siku zote ni rahiya tu

  • @nicholasmotonu4167
    @nicholasmotonu4167 Год назад +8

    We all pray for our men let them conquer the enemy 🧎‍♂️

  • @paulinekarani7098
    @paulinekarani7098 Год назад

    May the LORD God Almighty keep you safe in Jesus name Amen 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nsabimanaabedi541
    @nsabimanaabedi541 Год назад +3

    FRDC. Mjifunze kuwa na dispine kupitia jeshi la Kenya

    • @newkennedy2504
      @newkennedy2504 Год назад

      Hawawezi hatakidogo ni majambazi Kenya isipochunga vizuri hata siraha zao wataziuza

    • @rukoranyangabo9128
      @rukoranyangabo9128 Год назад

      @@newkennedy2504
      😂😂😂😂😂😂 KDF isitegemeye backup ya FARDC hapo ni kujianda ki phycology kuwa wanapigana wenyewe.

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад

      @@newkennedy2504 continuer à rêver is Tempo Tshisekedi TSHILOMBO

  • @favourmalikke8879
    @favourmalikke8879 Год назад

    Good move but my government remember also our land Tiaty turkana and samburu please 🥺

  • @faustinseb7077
    @faustinseb7077 Год назад +1

    Uramuzi fitina nakuto kuheshimu bina damu ngiyo chanzo Cha migogoro DRC ambayo inaretavita kira kuchao,Kenya nainshi zinginezo washiroka wa Africa yamashariki tafuteni njiya yakusaidiya DRC pasipo kutimiya nguvu za kije,mutapoteza wengi nabado hatuja mariza kuwaririya ware DRC yenyewe imepoteza

  • @juliemalaika4345
    @juliemalaika4345 Год назад +6

    😀😀😀😀😀😀😀😀 oohh Congo basi so sorry kabisa , Kigali tunawasalimu🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼✋✋✋

    • @rukoranyangabo9128
      @rukoranyangabo9128 Год назад

      Julie Malaika;
      Wewe ni zero kabisa. Mwanaume gani hutegemea urinzi kutoka kwajirani ?
      Huko Masisi Mai inachinja raia wasio na hatiya kama wanyama n'inyi mumekazana na M23 kwasababu ya ukabira.
      Jambo moja tukubariane kwa kweri M23 niwanaume. Haiwezekani mataifa yote 6 East Africa, SADAC washikamane bila kusahahu kundi la Wegner group kutoka Urusi kwajirani ya kikundi cha waasi..... 😂😂😂

    • @congoboymbeyas2440
      @congoboymbeyas2440 Год назад

      Toka uko mnyarwanda ww msenge sana natamani ni kupige kofi ufe msenge ww

    • @juliemalaika4345
      @juliemalaika4345 Год назад

      @@congoboymbeyas2440 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад

      99 jours pour le voleur et 1 jour Pour le propriétaire.

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      @@rukoranyangabo9128 umbwa wewe rirani ni ndugu kutowa nyinyi kizazi cha kaini mumechukiliwa ulimwengu pote hata ulaya

  • @eliasmasambili4039
    @eliasmasambili4039 Год назад

    Tunaomba nchi yetu ya tanzania kuongezea nguvu mpakani Burundi Rwanda

  • @jumaally7021
    @jumaally7021 Год назад +6

    Nawaombea mafanikio mema Congo.
    Mungu awape nguvu na imani katika mapito yenu na hatimaye mupate neema na amani ya kizazi na vizazi.
    Ameen

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      👋 Mr juma ubarikiwe milele wewe ndo mtu wa kwanza kuliko wote unastahili zawadi kutoka kwa mungu pia kutokea kwenye gouvernement ya congo 🇨🇩 nahitaji contact yako

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      👋 juma Ally ubarikiwe milele ndugu yangu asante sana kujali ndugu zako sisi sote bina Adam ila ndugu zetu 🇷🇼 sijuwi kwanini wawo kusumbuwa sisi

  • @patrickchapwe8778
    @patrickchapwe8778 Год назад

    Sasa kagame na james kabarhebe mumekaa congo zaidi mwaka 20 Mbone mumeshindwa kuwashika FDRL ? Hawakuwage muliwawuwaga wote EX: camp panzi bukavu) mugunga goma) muku kavumu kashusha bibeka kamituga nyangezi yani congo nzima, kwanini hupelekwi huko pays bas ( criminal court judge 🧑‍⚖️ umewuwa wanyarwanda saana iwe watutsi wenzako nawahutu pia wawo ndo usiwongelee ila kila mabaya yalipiwa hapa duniani today is mine tomorrow is yours

  • @songakajiga3298
    @songakajiga3298 Год назад +4

    Mungu usaidie M23

    • @HSeraiah
      @HSeraiah Год назад

      We are there to destroy them. M23 is just another terrorist group and has to be eliminated

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад

      À aucun cas. Ils sont dès Assassin's

  • @peacetv9666
    @peacetv9666 Год назад +2

    Sote I wamoja tuongeee tusikizane tuepuke umwagikaji wa damu

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад +1

      Niente OYO ekoya eya tokobunda jusqu'à la victoire total du KONGO terre promise.

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 Год назад +8

    I hope this mission will bring peace and not hatred among East African countries. May God give all forces contributed from all regions strength and resilience to face this long time enemy.

    • @Blackbird703
      @Blackbird703 Год назад

      More like Kenyan want to just still wealth in DRC just like every other country has done in the past centuries guess who’s stupid enough to believe that they will bring peace. I give ya 3 years once they get what they came for they will leave and everything will back to 0. All government need to do is seat down like 2009 but this time do what they say they was going to do. War is not good and no one should have to die for the benefit of politician. Send Kenyan back home and stop the war. The only victim here are civilians who has nothing to do or say in this whole situation

    • @wafulawafula2670
      @wafulawafula2670 Год назад +1

      It'll definitely do. Rwanda and Uganda are against this.

    • @Blackbird703
      @Blackbird703 Год назад

      @@wafulawafula2670 so you think M23 and Tutsi people in north kivu are made of Ugandan and Rwandan? Help understand cz if so we have nothing to talk about cz you just supporting your country and understand but facts doesn’t care about ya feelings

    • @patrickchapwe8778
      @patrickchapwe8778 Год назад

      @@Blackbird703 🙏🏻 there no difference of 🇷🇼🇺🇬 Burundi 🇧🇮 you too Ugandan nyankore

    • @Blackbird703
      @Blackbird703 Год назад

      @@patrickchapwe8778 ya think ? ☠️☠️ smfh is that what your education system teaches you ? I mean I’m not surprised but it sad for grownass man like you to be just big with peanut butter brain.

  • @adanabdullahi2108
    @adanabdullahi2108 Год назад +2

    They don’t fill a shame while spending 3 billion while innocent Kenyan son just left cause off 100 pop

  • @Noah-zt5zf
    @Noah-zt5zf Год назад

    What about the bandits,,we should do something also before it's too late

  • @patrickwambua9057
    @patrickwambua9057 Год назад

    Wanajeshi was Kenya not wanajeshi was jeshi la Kenya🙄

  • @nkurikiyinkaemmanuel1974
    @nkurikiyinkaemmanuel1974 Год назад

    Wanakudanganya mukenya, utakufiya bure, M23 itakukongeya moto hawutasahawu maisha yako yote ,ukejaribu kuyipiganisha

  • @kassimchande4806
    @kassimchande4806 Год назад +1

    tunaiombea Mungu kenya ipate mafanikio ktk kutuliza huu jeshi ya m23 inawapa shida ndugu zetu

  • @USA-xj5mc
    @USA-xj5mc Год назад +1

    Musitufiche..mukenya akiwuliwa mutwambiye,shida najua hamutasema

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi7353 Год назад

    Wamaenda kugombana au wamenda kusimama katikati ya Majeshi yanayogombana

  • @tonyprince9934
    @tonyprince9934 Год назад +1

    Fashi beto trust your armes of Congo

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Год назад +2

    m23 mtakoma mtapigwa pande zote na Rwanda haitafanya kitu,kuna kenya,mrusi mchina mtashinda kweli?ndege 2 tu zimewamaliza

    • @therockn1666
      @therockn1666 Год назад

      acha tusubiri tuone lakini mjue hata mukishinda tataizo ni lile lire tu mpaka myaka na mirire acheni upumbafu wenu jirani wendawazimu

    • @jeanmusamba3253
      @jeanmusamba3253 Год назад

      @@therockn1666 upumbavu wakati DRC inaharibiwa na marekani na ulaya,huoni watu wanavyokufa?hata mareakani imesha isaliti Rwanda walisema Rwanda iache zsaidia M23 pna mrusi hapo biahsara imeisha si utaona wewe hujui askari wa kenya,kenya kuwa DRC m23 haiwezi tena,lini tangu uzaliwe uliona ndege za DRC zimevamia m23,?hahahah wakati mpya wanasema waswahili chenye mwanzo hakikosi mwisho

    • @marympaku1587
      @marympaku1587 Год назад

      @@therockn1666 nous vaincrons tous les bâtards dû M23 sanguinaires Assassin's génocidaires et ses alliés.
      NZAMBE AZALI na ngambo na BISO.

    • @kylexy2901
      @kylexy2901 Год назад

      zimewamalizaje wakati wanakaribia goma?.m23 imewashinda na hizo ndege zenu bora kdf isaidie

    • @jeanmusamba3253
      @jeanmusamba3253 Год назад

      @@kylexy2901 m 23 haishindi wewe hujui siasa za dunuia na kwambia Congo haigawanywi m 23 inafutwa itapigwa kila kona hahaha wizi wa mali za drc umefikia mwisho

  • @justiceodhiambo6334
    @justiceodhiambo6334 Год назад +1

    Fahamu yakwamba There you are not on war you are on duty to help a common man to move forward
    And to facilitate peace negotiations here the key word
    Lakini mtu akileta umatako twanga risasi ya matako kwani iko nini

  • @princemayugan6534
    @princemayugan6534 Год назад

    Mungu awawezeshe

  • @Erictv19938
    @Erictv19938 Год назад +1

    Congo is country of business

  • @davidndugere5665
    @davidndugere5665 Год назад

    These men are ready to fight hard

  • @bagumaisaac4220
    @bagumaisaac4220 Год назад

    Siasa ya congo niya ujinga kusemasematu vita nisisa tuache vita yamutandao pigeni adui nakuhakikisha wameme pigwa vita yacongo nikati ya jeshi lataifa wametesa wakaji kabla yajirani kukusaidia jiandae kivita kisiasa na usiano njuri kwaraia tume pinga vita yamasemi vita yaupaguzi na uchocheo wakisiasa adui wa congo ni mucongo man mwenyewe

  • @abdiwelidaud719
    @abdiwelidaud719 Год назад

    Mbaka sahii wako somalia 🇸🇴 na hakuna faida wame leteee Wata fanyaaaa nini ka congo

  • @saulmnyaq4476
    @saulmnyaq4476 Год назад +1

    Hamna kitu hapo

  • @kambalegulbert4875
    @kambalegulbert4875 Год назад +2

    Wa kenya siyo watusi ??

    • @mercymugo7775
      @mercymugo7775 Год назад +2

      Kenyans don't relate in terms of ethnic groups

  • @godrfreyfwime8975
    @godrfreyfwime8975 Год назад +1

    Tz tupeleke kikosi kitutambulishe kimataifa

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 4 месяца назад

    Ndiposa ndio kiswahili gani!!

  • @yasinali2275
    @yasinali2275 Год назад

    Hata uganda

  • @aminaabdallah4359
    @aminaabdallah4359 Год назад

    Mwenye bwanake yuko kwa hii group sijui anahisi vile mm nahisi

  • @markdante42
    @markdante42 Год назад

    Stay safe our soldiers,,,,

  • @congoleseyouthnetworkc.y.n1803
    @congoleseyouthnetworkc.y.n1803 Год назад +4

    Ukweli ni kua vita tunapigana na Rwanda na Uganda. M23 vipao na nguvu zao zinatokea Rwanda na Uganda
    ruclips.net/video/KTSz3651nX8/видео.html

  • @migedowzer504
    @migedowzer504 Год назад

    Musiamini jeshi la umoja wa mataifa Ni MATAPELI Bora mlipowafukuza ao ndo wazamini

  • @uwayomisago5694
    @uwayomisago5694 Год назад

    M23 wanao haki yenye wanapingania akuna mwenye anaweza kuwazuia mzungumzo ndio ataleta amani RDC sio Vita Kenya +RDC +Burundi hivyo hivyo hamuwezi RDC Ina experience kivita kuriko hata hio Kenya munasema wanapingana Vita wapi hao waizii tu

  • @jobelsibota5616
    @jobelsibota5616 Год назад +1

    I know we will pin them Kenya we are highly trained

  • @ndikumwenayoamiel8378
    @ndikumwenayoamiel8378 Год назад

    M23💪💪💪

  • @kmipos
    @kmipos Год назад

    A very dangerous assignment,congo is thickly forested

  • @adolphensensele3123
    @adolphensensele3123 Год назад

    Donne moi les images de l arrivee de Moise katumbi a l shi

  • @kaka-ik1jz
    @kaka-ik1jz Год назад +1

    wasaliti hao tunajuwa njamayao

  • @christinanjeri8974
    @christinanjeri8974 Год назад

    God watch over the kenyan soldiers, and btw kenyan soldiers are a real deal

  • @Watchtower77
    @Watchtower77 Год назад

    They are armed with FN SCAR rifles?

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Год назад +1

    Tz wakija hapo ni week 2 tu

    • @snownfire
      @snownfire Год назад +4

      Hapo hakuna nyimbo na densi

  • @philemonkavutirwa9522
    @philemonkavutirwa9522 Год назад

    Karibu

  • @husseinboru6613
    @husseinboru6613 Год назад

    Wanatu over tax alafu wanacheza na hizo pesa bila aibu

  • @awakened6228
    @awakened6228 Год назад +3

    There are already so many forces operating in eastern Congo who after all this time have failed to safeguard peace.With Kenya's economic decline,this is honestly a squander of tax payers money.

  • @mauricesocial7528
    @mauricesocial7528 Год назад

    Hahahaha ok tunachunga yawezekana hamu juwi kagame