Rais Tshisekedi awataka vijana kujiunga na jeshi kupambana na waasi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi ameelekeza viongozi wa jeshi la nchi hiyo kufunga kambi kadhaa za mafunzo ya kijeshi nchini humo kwa matayarisho ya kusajili idadi kubwa ya wanajeshi ili kujiandaa kupambana na kundi la waasi M23 na makundi mengine ya waasi Kivu Kaskazini.
    - - - - -
    #VOASwahili
    Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.

Комментарии • 76

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 Год назад +8

    Mungu ibariki Congo Mungu ibariki Afrika
    Mungu ibariki East Africa Community

  • @beberurobert5831
    @beberurobert5831 Год назад +1

    mwenyezi mungu nenda uwaondelee hao dungu wenye wanakumbwa na hio shida🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @nyotaramadhani66
    @nyotaramadhani66 Год назад +5

    Felix depuis uhingie kumadaraka leo ndohume hongea jambo namungu akulinde sasa.

    • @henryking6070
      @henryking6070 Год назад

      Tatizo ulikuwa ahujaelewa siasa yake tumushukuru Mungu tumepata raisi tulikuwa tukililia kila siku

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 Год назад +6

    Natamani nikajiunge na jeshi la Congo naipenda Sana Congo kutoka 🇹🇿🇹🇿

  • @SamsonKena
    @SamsonKena 4 месяца назад

    Poleni sana amani ilejee.

  • @johnnzanzu8423
    @johnnzanzu8423 Год назад

    Ni sawa, alakini tunaomba Kwa serikali ya Jamuhuri ya Demokratia ya Congo kuongeza malipo ya jeshi.

  • @heritiertusali-so2xl
    @heritiertusali-so2xl Год назад

    C'est bon

  • @BON357
    @BON357 Год назад

    Wakongo wasenge mtakufa kiumbe Cha mungu a kibaguliwi

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 Год назад

    I'm tanzanian but I would like to join to your Army camp training to give you brother n sister my support please..

  • @user-be4mc9yi8b
    @user-be4mc9yi8b 6 месяцев назад

    virement président ans semaka kweli, ila sa tuna enda ku vita bana tu kataliya ma armes

  • @MauriceKakule-ul6mt
    @MauriceKakule-ul6mt Год назад

    Kilamara hukokwetu vijana waki ungana n'a FRDC kilamara FRDC ina piga vijana masasi

  • @benonbyatbashaija7084
    @benonbyatbashaija7084 Год назад +5

    BE CAREFUL MAKE SURE YOU RECRUIT ONLY CONGOLESE IN CONGOLESE ARMY DON'T RECRUIT NYA RWANDA

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +1

    mitihan mikubwa Africa kwann hatushikamani kuijenga Africa Mabeberu tukawashinda,,,,Suluhisho kubwa Jeshi la Serekali likubaliane na m23 ili kuondoa mzozo wa nchi maguvu haya jengi yana haribu tu

  • @rechoinnosent5578
    @rechoinnosent5578 Год назад

    Natamani sana kuja congo niwasaidiye mabalaki wezagu

  • @kambituva2769
    @kambituva2769 Год назад

    Angesema wa Afrika tungeenda wengi...npeni mchongo mm niko tayari kujiunga.

  • @kassimchande4806
    @kassimchande4806 Год назад

    safiiiii

  • @Zero_Brainer254
    @Zero_Brainer254 Год назад

    After hii vita itakavyo kwisha naomba Le Presidante akuwe makini sana na wanohitisha hongo hili ku recruit wanajeshi. Hiwe tu free and fare no corruption.

  • @marionnjoroge4237
    @marionnjoroge4237 Год назад +1

    can any personel from other country join you

  • @johnmjata2675
    @johnmjata2675 Год назад

    Niko tayali kwenda Kongo nikapiganie maslayi ya wakongo

  • @user-zl7db8np5t
    @user-zl7db8np5t 9 месяцев назад

    Ndugu nzangu waca kuguca vibaya wacene vita kwani musi semulieye na M 23? Musipipigane ?

  • @constipated327
    @constipated327 Год назад

    mimi nina hunga mko
    hakuna kukutana m23

  • @christianssegawa4025
    @christianssegawa4025 Год назад

    Nikweli

  • @jingtapemuhindo7445
    @jingtapemuhindo7445 Год назад

    Les deux premiers commentaires zina kataaa sana
    RAÏS ali sema ivi diplomatia ime shindwa tuna enda kwa vita

  • @abed-kacibambi9916
    @abed-kacibambi9916 Год назад

    55

  • @kasumbakilyatabaala5817
    @kasumbakilyatabaala5817 Год назад

    Buzibukii obubajja jjeemubadde muje mungeeri bwetyo toyinza buteebuza

  • @youdambwilo9411
    @youdambwilo9411 Год назад

    Hakika umoja ninguvu huo ndio ukweli

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Год назад

    Mimi mtanzania, naweza kujiunga na jeshi la congo ?

  • @kasumbakilyatabaala5817
    @kasumbakilyatabaala5817 Год назад

    Owulide Congo teeyalibade nabuzibu kubantu bano kyoka enzijja .yabwe

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Sisi watanzania tunawahurimia sana poreni sanaaa

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 Год назад +1

    Wacongomani tunakuwa wakaombaomba muinchi yetu na duniani kote na kulialia kila leo kwakuwa tuliwaona wanyarwanda ndo wanaweza kutuletea maendeleo inchi mwetu kumbe tumepandikiza kirusi cha kuangamiza wenyeji

  • @henyochabo2268
    @henyochabo2268 Год назад

    Awa ambie wabemebe mai mai wanasubiri iki kitu kwa miaka mingi sana hayo makundi yote yawa piganaji wajiunge na serekali

  • @patrickchapwe8778
    @patrickchapwe8778 Год назад

    Nauliza Fdlr iliwahi kushambulia Rwanda 🇷🇼? Mwenye aliletaga wanyarwanda congo 🇨🇩 nando yeye atakaye warudisha mbone hamuna shukrani?, Kagame mbone husumbuwa congo nawanyarwanda wenzako sisi hatukuzoweya kumwanga damu huu ndo mwisho wako sasa

  • @musatuzitv4404
    @musatuzitv4404 Год назад

    Weeee

  • @veroniquelukama1272
    @veroniquelukama1272 Год назад

    Eliezer.mpesaa.nngai
    Numero.na.yo.maman.vero

  • @musatuzitv4404
    @musatuzitv4404 Год назад

    Eee

  • @ismailasman9103
    @ismailasman9103 Год назад

    Hii ndio mbona walikuwa wakitaka kuungana na east Africa community mambo hayo za vita hatukuwa nayo wakati tulikuwa inchi 3 tz ke and ug sahi hao inchi zingine wameingia kati yetu s,sudan rwanda congo na kadhalika tumechoka hii wanatuaribya jina la east Africa community

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Год назад

      Sio kweli maana Rwanda anatumika na nchi za magharibi kutoka siku nyingi Sasa congo ilikua haitangazi vita nao pia lengo la kagame ni kuwanufaisha UN kuchukua madini

  • @thierrylecommandothierryle1109

    FELIX TSHILOMBO 666 Bazo reclamer oyo olakaki bango po bapesa yo pouvoir ya muyibi. Kokisa posa na bango tozo zela.. Ho banyamulenge aza congolais, loba lisusu.

  • @princenshizirungu2311
    @princenshizirungu2311 Год назад

    Ahhh jeshi linalo zaidi ya 300.000 militaires inahaja gani yawengine jeshi??

  • @Enemyofallah-y4u
    @Enemyofallah-y4u Год назад

    Tuna taka vita na Rwanda atuna tena mda waku ongea

  • @musahenry689
    @musahenry689 Год назад

    Ahingize batoto yake, analipaka ba soldat ngapi na alilaga kulipa wa soldats ngapi?

  • @patrickchapwe8778
    @patrickchapwe8778 Год назад

    Mutakosaga mbingu nadunia mahali pote mulipo nikusumbuwa watu kwanini nyinyi hupenda vurugu? Nyinyi kizazi cha kaini

  • @kajetanimgeta7738
    @kajetanimgeta7738 Год назад

    Vijana wa congo muungeni raisi mkono raisi wenu Rwanda kwa congo ni Kijiji ni haibu Rwanda kuionea congo taifa kubwa Kama ilo haingii akilini.

  • @barakabahati6600
    @barakabahati6600 Год назад

    Vita haita isha huo ni uongo ya serekali

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Год назад +1

    Wakongo amkeni mmeteseka miaka 60 ya vita. Pigeni rwanda nawao wasilale.

  • @jeniphanzeran8231
    @jeniphanzeran8231 Год назад

    Wacongo wacheni rumbha ingueni vitani hakuna atakae wapigania nchi yenu

  • @user-zq3kv1me9p
    @user-zq3kv1me9p Год назад

    Bravo au président pour son discourt

  • @jumakitutu4062
    @jumakitutu4062 Год назад

    💯💥💥💥👏👏👏👏👏🤲🤲🤲

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 Год назад

    Nani anawapa kiburi hawa m23

  • @madinisilasofficial7831
    @madinisilasofficial7831 Год назад

    How can I join them

  • @djumadjumbe6907
    @djumadjumbe6907 Год назад +1

    Raisi wa ovyo
    Unaona uchaguzi una karibia unaanza kutu pumbaza na kupigana na waasi , ndugu zangu wakongomani msi jiunge na jesi maana ata wapotezea maisha yenu bure , tulishuudia safari zake ngapi akienda rwanda pasipo kua na sababu ya safari

    • @abuukajembe5985
      @abuukajembe5985 Год назад +1

      Pigania nchi yako

    • @djumadjumbe6907
      @djumadjumbe6907 Год назад

      @@abuukajembe5985 Naweza nika ipigania ila sio kwa hawa viongozi tulionawo wala rushwa , wanao jali maslayi yao na sio raiya
      Mara ngapi wana tusaliti hao na kuangamiza vijana vitani , kaka mimi ni mtoto wa East nimeshuhudia hao jamaa waki sapitiwa na serekali niuzuni sana

    • @someaafrika.3379
      @someaafrika.3379 Год назад

      djuma djumbe, kwa kauli yako wewe utakuwa ni mnyarwanda.

    • @estajeanette7487
      @estajeanette7487 Год назад

      Alianza kupiganisha waasi mashariki congo tangu Angie rais.

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 Год назад

      Alikuwa hataki kukurupuka alitaka kwanza afanye dipromasia kwanza

  • @thierrylecommandothierryle1109

    FELIX TSHILOMBO 666 Bazo reclamer oyo olakaki bango po bapesa yo pouvoir ya muyibi. Kokisa posa na bango tozo zela.. Ho banyamulenge aza congolais, loba lisusu.