Ni kweli kabisaa Nakupenda nina me nilijaribu ile ya kurudiana na x kwa kumuwazia mazuri na ikawakweli kabisaa nasasa tumerudiana tunapendana kama mwanzo tena ile njia haikuchukua hata wiki akarudi mwenyewe
Mim wangu jana nimechat nae nikamwomba msamah nilipomkosea akasema.nishakusamehe na Mim naomba nisamehe pale nilipokukwaza Nikamwbia OK aksema asante sana Nafurahi sasa hiv tukaagana asante asante lakin nilijikuta nataman tuendele kuchat ila nikasema tulia kwanza
kingine Namshukuru Mungu nikiwa na shida ni mwepes sana kunisaidia kwa njia zozote zil hajawah kataa kunisaidia napokuwa na shida ananijal sana Namshukuru Mungu sana japo hatupo sawa ila hajawah acha kusimama kweny shida zangu daima amekuwa msaa mkubwa kwangu
Mimi nilimkosea wakwangu nikamuomba msamaha wiki ya kwanza akawa mgumu wa kunisamehee japo niliamini ananipenda na Mimi nampenda wiki ya pili akaanza kunipigia simu anakaa siku 3 ananitafuta baadae akaniomba nimwache anaenda kufanya mitihani akimaliza atanitafuta ila nilijua ana mahusiano mengine baada ya sk 5 akanipigia kunisalimia tuna kama mwezi hatujaonana je nimtafute au nisubiri anitafute
Jamani Mimi nina mwezi nimeachwa yani hapa moyo unanilipuka hata nikitembea njiani naona kila mtu anafanana nae tu na ndotoni namwona nmejarbu kupenda kwingine ila nmeshindwa
Unajuwa sana kuelekeza nina...nakupenda sana❤️🥰nina
Ofcoz unachokiwaza ndo hutokea mana utaweka juhud nyingi kufanikisha Jambo hilo,,,,
Jamn arudi kwel tu maan nampenda mpaka basiii..tatzo anadharau sana
Jamaniiii
Ni kweli kabisaa Nakupenda nina me nilijaribu ile ya kurudiana
na x kwa kumuwazia mazuri na ikawakweli kabisaa nasasa tumerudiana tunapendana kama mwanzo tena ile njia haikuchukua hata wiki akarudi mwenyewe
Good!! Nafurahi sana kusikia hivyo
Vzr kwa uxhauri wak nimeupend xn nitafanya ivo
Kwer kumbe inawezekan
Sabrina wangu hongera na mimi nipe moyo naitamani furaha
Sijui wapi nilikuwa kitambo kuipata channel bora kama hii nimejifunza mengi toka mornie❤❤
Yes😍its work mamaa thank u a lot nafuraha now
Stay positive
Nakuomba nisaidie na mimi tafadhali nivuke
Na enjoy sanaaa kusikiliza jumbe zako nakujifunza vingi2
Ubarikiwe sanaaa dia
asante
❤❤ asante sana rafiki yangu kipenzi
daah! Umeongea kama unanijua dada Mungu akuzidishie sana umenifundisha kitu kikubwa sana
Asante
@@Ninamagnet nipe namb zako dada angu nateseka sana sister huyu mwanamke ananitesa sana
It builds love
Asante sana dada nimekuelewa vyema
Je kama ameshanzisha mahusiyano mapya je anawezakurudi kwa kufanya hivyo
Fantastic 🔥
Maelezo ni mazuri dada hongera
Yanii wewe dada naona km umenizungumzia mimi kwakweli, daaaah! Acha nijifunze
Nafurahia mafundisho yako na enjoy my dia
Asante
Mim boy wangu alipata msichana mwingine nikakimya sai anamwambia dadangu japo kuwa tuliachna lakini tuongee tuu je niongee nae ama ziii
Nice
Really najisikia hata mwepes
Nakupenda sana unanijenga
Asante xn dad angu maana unanifungua akili kila napo angalia video zako Mungu akujalie maisha marefu sana
Asante
Nisha choka kulia 😭 sasa natulia zangu jomn
Asante dadaetu
Daah jinsi ninavyo mpenda ctaman ata mwingine najaribu kusahau lakin wapi mm atakama amesema ana mpenz mwingine s waz an bd nampenda tyu
Mim wangu jana nimechat nae nikamwomba msamah nilipomkosea akasema.nishakusamehe na Mim naomba nisamehe pale nilipokukwaza Nikamwbia OK aksema asante sana Nafurahi sasa hiv tukaagana asante asante lakin nilijikuta nataman tuendele kuchat ila nikasema tulia kwanza
kingine Namshukuru Mungu nikiwa na shida ni mwepes sana kunisaidia kwa njia zozote zil hajawah kataa kunisaidia napokuwa na shida ananijal sana Namshukuru Mungu sana japo hatupo sawa ila hajawah acha kusimama kweny shida zangu daima amekuwa msaa mkubwa kwangu
Dada me wangu kachange gafla nampigia cm anakata just a week cjampigia Tena tk nilipompgia alipokuwa ankt cm. Je nifnyj??
Yes,madam
Mimi ninaye lakini amefunga roho amekataa
Dah mm wa kwangu atarudi kweli maana tumegombana hadi tumepigana lkn,bdo nna upendo juu yke
🤣🤣
@@sophiashabani5278 😆😆😆😆
🤣🤣😂
😂
Iddi wewe mkorofi sasa Miaka mbili imepita..Lete mrejesho mlirudiana au ndio ilibaki stori
Je kama ana mwanamke mwingine
Hngre nmejfunzaaaa ni motooo
Nakupenda sana ww dada unafundisha sana,sauti yenyewe inavutia nataman tu nikusikilize
Asante😃❤️
Kwel atarud nataman angerud pia tuna mtoto
Kama anakupenda anarudi hata kama anamtu,
Mpenzi wako kazaa kwengine,anaweza akarudi kweli?
Ni ukweli mtupu uloyaongea.
😊
Mimi nilimkosea wakwangu nikamuomba msamaha wiki ya kwanza akawa mgumu wa kunisamehee japo niliamini ananipenda na Mimi nampenda wiki ya pili akaanza kunipigia simu anakaa siku 3 ananitafuta baadae akaniomba nimwache anaenda kufanya mitihani akimaliza atanitafuta ila nilijua ana mahusiano mengine baada ya sk 5 akanipigia kunisalimia tuna kama mwezi hatujaonana je nimtafute au nisubiri anitafute
Jamani Mimi nina mwezi nimeachwa yani hapa moyo unanilipuka hata nikitembea njiani naona kila mtu anafanana nae tu na ndotoni namwona nmejarbu kupenda kwingine ila nmeshindwa
Bc uyo anakaribua kurud
Atarudi sooon huyo
🤣🤣🤣
😂😂😂pole
😂😂😂
Kama mpo mbali mbali unamrudishaje sasa
Ivo ivo kfkra nzur