🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • 🔴#LIVE: AZIZ KI AWAUMIZA KICHWA YANGA / SIMBA YAINGIA MAWINDONI (SPORTS ARENA 09-07-2024)

Комментарии • 15

  • @AnthonyShinji-ct6vr
    @AnthonyShinji-ct6vr 3 месяца назад

    Yanga oyeeeee

  • @adophadophkahitirabankaboy8443
    @adophadophkahitirabankaboy8443 3 месяца назад

    Mim naona azizi k asiwangize garama kubwa yanga kwa sababu inaweza kutuumiza mbele waangalie kinacho wezekana uwezo anao ila kama kakataa wamche

  • @jumannejuma5864
    @jumannejuma5864 3 месяца назад +2

    Jumanne Juma ,,jjj kwanini Azizi ki hajasaini hadi leo raisi unakwama wapi

  • @daudyjohn-b2s
    @daudyjohn-b2s 3 месяца назад

    Wachezaji wangap Simba imewasaji li Kwa kuwavunjia. Mikataba na wangap ni free agent by David arusha

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 3 месяца назад +3

    Azizi k aondoke tu tuna chama pale

  • @EmmanuelSolomon-yj7su
    @EmmanuelSolomon-yj7su 3 месяца назад +1

    Mhhh mbn hy code gumu sna

  • @BerenadetaJulius
    @BerenadetaJulius 3 месяца назад +1

    Kila kitu kinakuja na kuondoka wamuache naeakatafute anakohisi panamnufaisha

  • @JacksonJulius-o3m
    @JacksonJulius-o3m 3 месяца назад +1

    Mbona fei kawekewa masharti magum kwenda Simba he fei yeye anasemaje