MKE WA MAREHEMU MARCO JOSEPH BUKURU MWALIMU WA ZABRON SINGERS AONYESHA PICHA ZA KABURI YA BWANA YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • #kenya #ktnnews #kenyadigitalnews

Комментарии • 94

  • @TeklaNdekeja
    @TeklaNdekeja 3 дня назад +13

    Pole sana dada inauma sana. lakn Mungu yupo yeye ni mme wa wajane, na baba wa yatima. hatokuacha wala hatakupungukia 🙏🙏

  • @KamwathiColleta
    @KamwathiColleta 3 дня назад +14

    Wah, jinsi maisha yanaweza kubadilika ghafla 😭😭😭. Pole sana dada...Mungu akupe nguvu za kuwalea hao malaika

    • @benjaminzabron1409
      @benjaminzabron1409 3 дня назад +2

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @SuzanaPonela
    @SuzanaPonela 3 дня назад +7

    Pole sana dada mung yu pamoja nawe katika kipind hiki kigumu kwa kumpoteza kipenz chako 🙏🙏

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 3 дня назад +4

    Pole kipenzi 💞 Mwenyezi Mungu ameona unaliweza Hilo jaribu atafanya mlango wa kutokea mpendwa!

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 3 дня назад +4

    pole sana mdogo wangu MUNGU YUKO NA WEWE 🙏🙏

  • @AshaChambo-qf2pv
    @AshaChambo-qf2pv 3 дня назад +7

    Hicho kitu kisikie kwa mwenzako tuu .Nakumbuka 2008 nilipofiwa ilikuwa naenda kaburini kila siku 12 asb na jioni nikidhani naweza kukuta mr amefufuka i dont want 2 remember pole sana kipenzi hili suala ni zito mno mno.

  • @VioletNyabonyi-wi8ge
    @VioletNyabonyi-wi8ge 3 дня назад +2

    Ak pole dia 🙏😢 you are never a lone 🙏🙏🙏God is everything

  • @carolineunguku9163
    @carolineunguku9163 3 дня назад +2

    May God comfort your heart dear,it's not Easy to forget your loved one, soo painful lndeed

  • @NSiyaMajangito
    @NSiyaMajangito 3 дня назад +2

    Mungu ndo mfariji,yesu akutie nguvu sana

  • @NeemaSamweli-mt7ho
    @NeemaSamweli-mt7ho 3 дня назад +1

    Mungu ajfariji dada angu pole Sana nimeumizwa pia tupo pamoja nakupenda Sana mungu t awe faraja kwako ni ngumu ila nimipango ya mungu atuna budi kusema apumnzke kwa amn🙏

  • @BrightonAzory
    @BrightonAzory 3 дня назад +2

    Pole sana Dada mungu Yuki pamoja na wewe

    • @BrightonAzory
      @BrightonAzory 3 дня назад

      Pole sana Dada mungu Yuko na wewe man's kazi ya mungu haina makosa

  • @fionanzuki6772
    @fionanzuki6772 3 дня назад +1

    Pole saana Dada Mungu atakuzaidia sio rahisi lkni Mungu yupo, Limeniuma saana

  • @AdrianoBaraka
    @AdrianoBaraka 3 дня назад +1

    Pole sana dada angu

  • @user-xk5we1iz6c
    @user-xk5we1iz6c 3 дня назад +1

    Mume wa wajane na baba wa Yatimaaa awashughulikie,nikiona hao watoto nakumbaka tulivyoachwa na wazazi wetu,tukiwa wadogo😢 Nashukuru mungu wa Yatima,hakutuwacha...take heart dear❤

  • @MeryNdama
    @MeryNdama День назад

    Pole sana dada inauma Ila Mungu yiko nawewe

  • @MamaKaila-u3j
    @MamaKaila-u3j День назад

    Pole sana dada yetu mungu akutie nguvu

  • @MamakeFaith-b7e
    @MamakeFaith-b7e 2 дня назад

    Pole sana dada yetu Wacha mungu awatie nguvu pamoja na wadogo wetu yy n baba wa yatima na wajane don't give up mommy mungu 🙏 Yuko na hiyo ndio njia ya Kila mmoja na hipo siku tutakutana naye .

  • @esthermusimbi8771
    @esthermusimbi8771 3 дня назад +1

    May our good Lord give you strength

  • @jestinamagembe2125
    @jestinamagembe2125 2 дня назад

    Pole sana,Mungu akutie nguvu

  • @leoniaathuman1038
    @leoniaathuman1038 2 дня назад

    😢😢pole sana dada Mungu akutie nguvu, akupe ujasiri wa kuweza kusimama ili wanao na future yao🙏

  • @rehemaachileus3238
    @rehemaachileus3238 19 часов назад

    pole sana Mungu akuongoze akupe amani❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 2 дня назад

    Pole saaan dada ,Mungu awe mfariji kwakooo

  • @DelphinaMande
    @DelphinaMande 13 часов назад

    Pole sana dada yangu

  • @PerusAloyce
    @PerusAloyce 3 дня назад +1

    mungu muweza wayote Awe nawewe daima kwa falaja isiyo kuwa nakikomoo

  • @user-vn6jr8nu4y
    @user-vn6jr8nu4y 21 минуту назад

    Pore sana Mungu nyu nawewe dad

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 3 дня назад +2

    😢😢😢😢😢km ndoto

  • @EsterLauranceShayo
    @EsterLauranceShayo 3 дня назад +1

    Mungu ndiye mfariji wako tu

  • @HaluaKaschana
    @HaluaKaschana День назад

    Pole sana dada kua pole 😢

  • @danielSulle-v1k
    @danielSulle-v1k 3 дня назад

    Pole sana mungu awe mfariji wako katika wakati huu my dear friend ❤

  • @Shemgwaro
    @Shemgwaro 3 дня назад

    Pole sana from Kenya kisii Dada

  • @MwashiteMukosa
    @MwashiteMukosa 20 часов назад

    Pole sana

  • @AnathJose
    @AnathJose 52 минуты назад

    Pole san

  • @user-km9cz5uz8y
    @user-km9cz5uz8y 4 дня назад

    Pole dada linauma sana Mungu akufariji

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 3 дня назад

    Pole sn dear, Mungu atakufanyia njia.

  • @anthoniaanthony4573
    @anthoniaanthony4573 4 дня назад

    My dear sister pole Mungu awe faraja kila ihitwapo leo

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 3 дня назад

    Polesana dada mungu awepamoja nawew tunakuombea sana

  • @jojo-tj8ol
    @jojo-tj8ol День назад

    Pole kipenzi jipe moyo

  • @ChristianAganze-b7b
    @ChristianAganze-b7b 2 дня назад

    Pôle Sana dada mungu akutiye nguvu binafikaka dada

  • @Reginamideke
    @Reginamideke 3 дня назад

    Mungu akutie nguvu my dear

  • @rosekeruboonchiri2789
    @rosekeruboonchiri2789 2 дня назад

    Heavenly comfort 🙏

  • @AsiaBakari-rb2ok
    @AsiaBakari-rb2ok 3 дня назад

    Pole sana dad' najua unalopitia

  • @JescaMaloda
    @JescaMaloda День назад

    Pole sana dad inauma sana mungu yupo hawezi kukutupa ivo nikumwombea kwa babba😂😂😂

  • @josephshija3117
    @josephshija3117 3 дня назад

    Pole sana tena sana maumivu uliyopitia na ambayo bado unaendelea kuyapitia hayaelezeki najaribu kuvaa viatu vyako naelewa una maumivu kiasi gani na hasa hasa ukichukulia kwamba ndoa yenu ilikuwa bado ni changa pili Marehem Marco amekuacha na mzigo mkubwa wa watoto wanne najaribu kuwaza lakini siipati picha kamili.ila dada yangu usife moyo kwani yeye aliyefanya na ndo huyo huyo atakaye yaponya maumivu ya vidonda vyako na kama utamtumainia yeye na kuamini ya kwamba YESU NI BWANA basi atamfufua siku ya mwisho.kuwa na aman na ubaki salama.amina!😭😭😭😭

  • @MarthaFaida-hk2gr
    @MarthaFaida-hk2gr 3 дня назад

    Pole sana dada

  • @FathyAsuman
    @FathyAsuman 3 дня назад

    Pole Sana jamani mungu akupe nataka hulee watoto

  • @AnnNyanchoka-u1f
    @AnnNyanchoka-u1f 3 дня назад

    Mungu yu pamoja nawe, never give up

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 День назад

    Dada Mungu ataklipa kwa magumu unayoptia

  • @Junither
    @Junither 3 дня назад

    Be strong mamii 🥰

  • @siavera2197
    @siavera2197 3 дня назад

    Pole sana my dear

  • @JanefActing
    @JanefActing 3 дня назад

    Mungu akutie nguvu dada inauma sana ila basi tu

  • @JacklineIgadwa-y8d
    @JacklineIgadwa-y8d 3 дня назад

    Pole sana dadangu, Mungu akustiri😢

  • @morris-s4w
    @morris-s4w 3 дня назад

    pole xana mamaa ucjali mungu ana mpango na wewe

  • @Roseline-ld8ed
    @Roseline-ld8ed 3 дня назад

    Inauma sana ak Mungu akutie nguvu 😭😭😭😭

  • @NiceCharles-vs8wn
    @NiceCharles-vs8wn 4 дня назад

    Pumzika Kwa amani 😭 pole Sana mama mungu yu pamoja nawe

  • @catherinenelson2304
    @catherinenelson2304 2 дня назад

    Mungu awe pamoja nawe its not easy

  • @annoyua5642
    @annoyua5642 День назад

    take hrt dear 😢, even me l lost my hubby 2015.. l was very young na akaniachia 3 kinds,, jipe moyo

  • @leah606
    @leah606 3 дня назад

    😢😢😢 Mungu azidii kukutia nguvu sio rahisi

  • @gloriaamase9764
    @gloriaamase9764 3 дня назад

    Kwa kweli pole dada yangu😭😭😭😭

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk 3 дня назад

    😭😭😭🤲🙏 pole sana dr

  • @DianaKwamby
    @DianaKwamby 3 дня назад

    Pole sana 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 2 дня назад

    Hebu mtazame Mungu dadangu akupe nguvu yupo kwa ajili yetu

  • @ElizabethFinias
    @ElizabethFinias 3 дня назад

    Mungu aendelee kukupigania dada😢

  • @edefridalivigha6049
    @edefridalivigha6049 3 дня назад

    Inauma sana

  • @HappyBarnOwl-ug5kt
    @HappyBarnOwl-ug5kt 3 дня назад

    Pole kipenz

  • @raeloyuga7814
    @raeloyuga7814 3 дня назад

    May God give her peace

  • @mamasia9741
    @mamasia9741 3 дня назад

    Inauma sana jmn

  • @nancynyaboke2719
    @nancynyaboke2719 3 дня назад

    It's very Saad to loose your best partner 😭😭😭😢

  • @WinfridaMathias
    @WinfridaMathias 3 дня назад

    Pole

  • @NSiyaMajangito
    @NSiyaMajangito 3 дня назад

    Mungu akupe faraja kubwa Sana dada,pia naomba namba yako

  • @LENCEROTIENO-l1g
    @LENCEROTIENO-l1g 2 дня назад

    😢😢😢

  • @emmilyngina5405
    @emmilyngina5405 3 дня назад

    Uyu mtoto ndio haamini babake hayuko tena😢😢😢😢😢

  • @HannahElykana-k2z
    @HannahElykana-k2z 4 дня назад +1

    Mwee Pole sana Dada inauma ila jipe moyo sote Njia ni 1Mwenyez tujarie mwisho mwema.

  • @ReginaUshaky
    @ReginaUshaky 3 дня назад

    Msiba usikie tu kwa mwenzako uvae nguo uende du inauma sana.mungu akutie nguvu kwa yote

  • @NaomiAbdallah-y9b
    @NaomiAbdallah-y9b 3 дня назад

    Masikin pole dad

  • @siavera2197
    @siavera2197 3 дня назад +2

    Hivi wasabato hawaweki maua kwenye makaburi yao?

    • @viviankemunto4435
      @viviankemunto4435 3 дня назад

      Wanaweka bt uone wamejenga smart ,ak kifo wewe Marco ulale salama Hadi Ile asubui njema😢

    • @TeklaNdekeja
      @TeklaNdekeja 3 дня назад

      Amen🙏🙏🙏​@@viviankemunto4435

  • @80s952
    @80s952 3 дня назад

    😭😭😭 in the shoe I know what she is going through

  • @aselaabeli853
    @aselaabeli853 3 дня назад

    Huyu mtoto nilikua namuona kila Mara na marehem baba yakeee maskini daaaah😢😢💔

  • @RenathaKayombo
    @RenathaKayombo 3 дня назад

    Najikuta natoa machozi 😭😭😭

  • @gloryndemas3681
    @gloryndemas3681 3 дня назад

    😭😭

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 2 дня назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @Subiramwaijumba
    @Subiramwaijumba 3 дня назад

    Mtegemee yupo mume wa wajane atakupigania

  • @NSiyaMajangito
    @NSiyaMajangito 3 дня назад

    Naomba namba yako dada

  • @BerthaWambuzi
    @BerthaWambuzi 3 дня назад

    😭😭😭😭😭😭😢😢😢🫂🫂🫂🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Angeline-k5l
    @Angeline-k5l 2 дня назад

    Pole sana

  • @ZenaKhamis-b6r
    @ZenaKhamis-b6r 3 дня назад

    😭😭

  • @user-gx4if4dk3m
    @user-gx4if4dk3m 3 дня назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @NiyomufashaForolance
    @NiyomufashaForolance 3 дня назад

    Pole sana

  • @Alex_Anania
    @Alex_Anania 2 дня назад

    Pole Sana,sana

  • @SusanMuyaya
    @SusanMuyaya 3 дня назад

    😭😭😭😭

  • @NeemaKimario-o7h
    @NeemaKimario-o7h 3 дня назад

    😭😭😭