Hicho kitu kisikie kwa mwenzako tuu .Nakumbuka 2008 nilipofiwa ilikuwa naenda kaburini kila siku 12 asb na jioni nikidhani naweza kukuta mr amefufuka i dont want 2 remember pole sana kipenzi hili suala ni zito mno mno.
Mungu ajfariji dada angu pole Sana nimeumizwa pia tupo pamoja nakupenda Sana mungu t awe faraja kwako ni ngumu ila nimipango ya mungu atuna budi kusema apumnzke kwa amn🙏
Mume wa wajane na baba wa Yatimaaa awashughulikie,nikiona hao watoto nakumbaka tulivyoachwa na wazazi wetu,tukiwa wadogo😢 Nashukuru mungu wa Yatima,hakutuwacha...take heart dear❤
Pole sana dada yetu Wacha mungu awatie nguvu pamoja na wadogo wetu yy n baba wa yatima na wajane don't give up mommy mungu 🙏 Yuko na hiyo ndio njia ya Kila mmoja na hipo siku tutakutana naye .
Pole sana tena sana maumivu uliyopitia na ambayo bado unaendelea kuyapitia hayaelezeki najaribu kuvaa viatu vyako naelewa una maumivu kiasi gani na hasa hasa ukichukulia kwamba ndoa yenu ilikuwa bado ni changa pili Marehem Marco amekuacha na mzigo mkubwa wa watoto wanne najaribu kuwaza lakini siipati picha kamili.ila dada yangu usife moyo kwani yeye aliyefanya na ndo huyo huyo atakaye yaponya maumivu ya vidonda vyako na kama utamtumainia yeye na kuamini ya kwamba YESU NI BWANA basi atamfufua siku ya mwisho.kuwa na aman na ubaki salama.amina!😭😭😭😭
Pole sana dada inauma sana. lakn Mungu yupo yeye ni mme wa wajane, na baba wa yatima. hatokuacha wala hatakupungukia 🙏🙏
Wah, jinsi maisha yanaweza kubadilika ghafla 😭😭😭. Pole sana dada...Mungu akupe nguvu za kuwalea hao malaika
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana dada mung yu pamoja nawe katika kipind hiki kigumu kwa kumpoteza kipenz chako 🙏🙏
Pole kipenzi 💞 Mwenyezi Mungu ameona unaliweza Hilo jaribu atafanya mlango wa kutokea mpendwa!
pole sana mdogo wangu MUNGU YUKO NA WEWE 🙏🙏
Hicho kitu kisikie kwa mwenzako tuu .Nakumbuka 2008 nilipofiwa ilikuwa naenda kaburini kila siku 12 asb na jioni nikidhani naweza kukuta mr amefufuka i dont want 2 remember pole sana kipenzi hili suala ni zito mno mno.
Ak pole dia 🙏😢 you are never a lone 🙏🙏🙏God is everything
May God comfort your heart dear,it's not Easy to forget your loved one, soo painful lndeed
Mungu ndo mfariji,yesu akutie nguvu sana
Mungu ajfariji dada angu pole Sana nimeumizwa pia tupo pamoja nakupenda Sana mungu t awe faraja kwako ni ngumu ila nimipango ya mungu atuna budi kusema apumnzke kwa amn🙏
Pole sana Dada mungu Yuki pamoja na wewe
Pole sana Dada mungu Yuko na wewe man's kazi ya mungu haina makosa
Pole saana Dada Mungu atakuzaidia sio rahisi lkni Mungu yupo, Limeniuma saana
Pole sana dada angu
Mume wa wajane na baba wa Yatimaaa awashughulikie,nikiona hao watoto nakumbaka tulivyoachwa na wazazi wetu,tukiwa wadogo😢 Nashukuru mungu wa Yatima,hakutuwacha...take heart dear❤
Pole sana dada inauma Ila Mungu yiko nawewe
Pole sana dada yetu mungu akutie nguvu
Pole sana dada yetu Wacha mungu awatie nguvu pamoja na wadogo wetu yy n baba wa yatima na wajane don't give up mommy mungu 🙏 Yuko na hiyo ndio njia ya Kila mmoja na hipo siku tutakutana naye .
May our good Lord give you strength
Pole sana,Mungu akutie nguvu
😢😢pole sana dada Mungu akutie nguvu, akupe ujasiri wa kuweza kusimama ili wanao na future yao🙏
pole sana Mungu akuongoze akupe amani❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢
Pole saaan dada ,Mungu awe mfariji kwakooo
Pole sana dada yangu
mungu muweza wayote Awe nawewe daima kwa falaja isiyo kuwa nakikomoo
Pore sana Mungu nyu nawewe dad
😢😢😢😢😢km ndoto
Mungu ndiye mfariji wako tu
Pole sana dada kua pole 😢
Pole sana mungu awe mfariji wako katika wakati huu my dear friend ❤
Pole sana from Kenya kisii Dada
Pole sana
Pole san
Pole dada linauma sana Mungu akufariji
Pole sn dear, Mungu atakufanyia njia.
My dear sister pole Mungu awe faraja kila ihitwapo leo
Polesana dada mungu awepamoja nawew tunakuombea sana
Pole kipenzi jipe moyo
Pôle Sana dada mungu akutiye nguvu binafikaka dada
Mungu akutie nguvu my dear
Heavenly comfort 🙏
Pole sana dad' najua unalopitia
Pole sana dad inauma sana mungu yupo hawezi kukutupa ivo nikumwombea kwa babba😂😂😂
Pole sana tena sana maumivu uliyopitia na ambayo bado unaendelea kuyapitia hayaelezeki najaribu kuvaa viatu vyako naelewa una maumivu kiasi gani na hasa hasa ukichukulia kwamba ndoa yenu ilikuwa bado ni changa pili Marehem Marco amekuacha na mzigo mkubwa wa watoto wanne najaribu kuwaza lakini siipati picha kamili.ila dada yangu usife moyo kwani yeye aliyefanya na ndo huyo huyo atakaye yaponya maumivu ya vidonda vyako na kama utamtumainia yeye na kuamini ya kwamba YESU NI BWANA basi atamfufua siku ya mwisho.kuwa na aman na ubaki salama.amina!😭😭😭😭
Pole sana dada
Pole Sana jamani mungu akupe nataka hulee watoto
Mungu yu pamoja nawe, never give up
Dada Mungu ataklipa kwa magumu unayoptia
Be strong mamii 🥰
Pole sana my dear
Mungu akutie nguvu dada inauma sana ila basi tu
Pole sana dadangu, Mungu akustiri😢
pole xana mamaa ucjali mungu ana mpango na wewe
Inauma sana ak Mungu akutie nguvu 😭😭😭😭
Pumzika Kwa amani 😭 pole Sana mama mungu yu pamoja nawe
Mungu awe pamoja nawe its not easy
take hrt dear 😢, even me l lost my hubby 2015.. l was very young na akaniachia 3 kinds,, jipe moyo
😢😢😢 Mungu azidii kukutia nguvu sio rahisi
Kwa kweli pole dada yangu😭😭😭😭
😭😭😭🤲🙏 pole sana dr
Pole sana 😢😢😢😢😢😢😢😢
Hebu mtazame Mungu dadangu akupe nguvu yupo kwa ajili yetu
Mungu aendelee kukupigania dada😢
Inauma sana
Pole kipenz
May God give her peace
Inauma sana jmn
It's very Saad to loose your best partner 😭😭😭😢
Pole
Mungu akupe faraja kubwa Sana dada,pia naomba namba yako
😢😢😢
Uyu mtoto ndio haamini babake hayuko tena😢😢😢😢😢
Mwee Pole sana Dada inauma ila jipe moyo sote Njia ni 1Mwenyez tujarie mwisho mwema.
Msiba usikie tu kwa mwenzako uvae nguo uende du inauma sana.mungu akutie nguvu kwa yote
Masikin pole dad
Hivi wasabato hawaweki maua kwenye makaburi yao?
Wanaweka bt uone wamejenga smart ,ak kifo wewe Marco ulale salama Hadi Ile asubui njema😢
Amen🙏🙏🙏@@viviankemunto4435
😭😭😭 in the shoe I know what she is going through
Huyu mtoto nilikua namuona kila Mara na marehem baba yakeee maskini daaaah😢😢💔
Najikuta natoa machozi 😭😭😭
😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtegemee yupo mume wa wajane atakupigania
Naomba namba yako dada
😭😭😭😭😭😭😢😢😢🫂🫂🫂🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana
😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana
Pole Sana,sana
😭😭😭😭
😭😭😭