"Diamond ana roho mbaya" MWIJAKU amchana BAMBO bila huruma nilikuonya kuhusu mwambino
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1 - Развлечения
Mmmmh
Mwaijaku nyumba ya kukodi unajifanya unahera wazazi wako wanachula acha ujinga wewe mdomo 😮 fikilia maisha huna maisha tungekua tunaona hata biashara zako sawa lkn kazi kulopoka umekua bro njoo Zambia tukunyee ukakambile kusogolo full fish wewe
Mtangazaji usutuletee habari mchwara na za kipuuzi Lete habari zenye ukweli, sasa mwijaku si ni kunguru kama kunguru wengine, hebu fukiza kunguru, usilete ushumbwanda hapa
Umeona uyu dada mwajuma hajawai kuwa mkweli na tatizo lake njaaa anapenda kuishi maisha marahisi ya kumsifia mtu ampe michongo sasa mwenye akili akimkataa na kumuweka pembeni tayari ni adui yako