Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki . Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali . Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako. BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
Watakuja kulikabizi lilishachoka na pili kama kweli lingekuwa linashida wasingepanda unamaanisha sumu ya panya mara ya kwanza kuileta bongo kunamtu aliitest kwa kunywa @@brandsmedia4861
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
mimi kama mkenya 🇰🇪
Nasema hongera kwa kazi nzuli ariofanya Magufuri,mbio za East ➡️ Africa ziendelee 🇰🇪🇺🇬🇹🇿
Tutamkumbuka Magufuli milele ametufungua macho Tanzania inaweza
Huu ni mpango wa Mkapa, Ila hitimisho ni hao wengine, ila mama katenda sana
@@birianination7097 mpango wa Nyerere huu
well said @birianination7097
@@birianination7097 Mpango kila mtu anaweza, ni sawa na kuchora tu ila mtelezaji ndiyo Mwamba. JPM your legacy is here to stay forever
Bibi mkubwa apewe maua yake,kwa kufanikisha zoez zima la SGR congole sana
Rip baba magu.tumeona kazi yako😢😢😢
😂😂😂achana misimu ww
Nikweli vpofu viziwa vichaa nawasiojua nakuthamini chanzo chamto hawafkiriagi kua kunamaali ayo maji yalianzia.naww ni miongoni mwao
Magufuli 💯
JPM for maisha
Hongera Jpm
Magufuri nijuudi zako daima tutakukumbuka mzeewetu
hizoo nijuhudiii za mama yetu acheni chukiii na wala hatutorudii kbs enziii ya mwalimmmm😂😂😂😂
@@hemedrashid2921 Uongo peleka kwenu hata like aupat ushtuk
Wewe mfwate basi
mfuate huko alipo umpe pongezi
Acha afe tu katuachiaa bungee la hovyo sana
RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama
RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu
Dodoma ni samia
@@birianination7097 mradi ni wa mgufuli mama ni mwendelezo tu.
@@mwawekomiuda9779 mradi ni wa jakaya, wote ni mwendelezo
Hongera magufur
Pongezi zimfikie mjomba Magufuli
Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.
Unaweza ku edit ilo neno kwa kasi
Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli
Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪
Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye
MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA
Magufuli. Dreams
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
VIVA JPM ULITHUBUTU BABA
Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM
Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.
@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee
Ameacha alama
Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa
Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
Mashallah...
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public
Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂
Oh wow!
Hongera Mama samia piga kazi
yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂
Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH
Inabariki sana
Tukumbuke kumshukuru Mungu.
Niceeee
Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...
Good news
Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu
Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉
Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm
Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu
Good
Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu
Point
Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme
Duh gharama kubwa mno but big up to JPM
Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme
Nenda kaongeze ubunifu
Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo
OKE
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
Tujulishsni....nauli
UchaguZI UBAKARIBIA
Bei iwe rafik
I'm in love with you 😍 masanja kadogosa
Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.
Rip magu
Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .
Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?
Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!
#NASIMAMA NA SAMIA
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki .
Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali .
Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako.
BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮
Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.
@@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour
HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
Dosho hilo treni
chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂
achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo
Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza
WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂
😁😁😁😁😂😂😂
MAGUFULI hoyeeeee
hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli
Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.
Hajui kuongea
Engineer na kuongea ni vitu viwili tofauti
Acheni kumsahau aliyedhubutu wamepita wangapi RIP Magufuli
Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2
Rip uncle Magufuli
Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅
Magufuli😢😢😢
NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅
Biashara za mabasi sasa basii😂
Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida
Wanaunganisha pale vingunguti
JPM ulale salama!!
Magufuli alikuwa kiongozi.
Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer
Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm
Jpm
Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢
Ww acha kuongea pumba kama si magu tungeendelea kuona kwenye tv tu wamepita wangu mbona hata wazo hawakuleta magu tunakukumbuka
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
Magufuli tunakupenda daima
Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini
Faida ipo kubwa mno
Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano
Rest in peace Jmp 🕊🙏
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????
Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?
Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje
Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini
QttMlisema kichwa cha nyoka mbona sikioni 😂
Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana
Mnazingua kila cku majaribio tunataka lianze kaz
Kutest ni muhimu sana, unataka ajali zisizo za lazima?
Watakuja kulikabizi lilishachoka na pili kama kweli lingekuwa linashida wasingepanda unamaanisha sumu ya panya mara ya kwanza kuileta bongo kunamtu aliitest kwa kunywa @@brandsmedia4861
Usimpambe saana mama apongezwe magufuli kuwa mkwel acha sela
Kama asingeendeleza ungefanya nn
Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom
Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu
Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo
Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini
Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri
Wakupongezwa mama samia
@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa
Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!
Subir tuliza moyo
Magufuli ndio alikua mwanaumee