@@officer1208😂😂😂😂😂😂Safi Sana! Yaani kuna watu hata uwafanyie , hawaridhiki! Labda uwatie dole! Wanafikiri mpira NI kwenda sokoni kununua nyanya! YANGA inacheza kitimu ,na huo ndo mpira wakisasa! YANGA hujui utamzuia Nani asifunge! Kuna striker mkali Kama Hallandi? Watu wamemjulia hafurukuti ndo maana Man city hawafungi ! YANGA haitegemei strikers Tu! Msimu uliopita, Nani aliifungia YANGA mabao mengi Zaid!? Ni striker? TUACHE mpira WA kukariri eti lazima key striker ndo ategemewe! Dube akiwa on form ,HAZUILIKI!
Haupaswi kua na masikitiko.Mbona hapo ni hesabu rahisi tu. Kwenye hizo goal 4 za Yanga toa hilo 1la penalty. Harufu kwenye lile bao moja la simba toa bao la penalty moja. 😂😂😂
Yanga is a fantastic team marry chrismas wananchi🎉🎄
Anaee angaliaa narudiii xahv tujuane😂😂
😂😂😂
Niko hapa😂nikimaliza natupia macho ile ya 1-5 then nilale kwa amani zote💚💚😂👌
@@JosephineItambu 😂😂😂🎉🎉
Hahaha 😂😂
Nipo hap
Wananchiiiii !!
Nione LIKES ZENU na Merry Christmas Eeeebody 🎉
Natamani hii team 💚💚💚💚💛💛💛💛icheze Kila siku hakika ni burudani sana
Sanaaa😂😂😂😂😂
Hakika
hh haaya
My mchunu wangu yangaa nakupenda kuliko mapenzi yenyew
😊😊😊😊
Huyu mzizee kama halland😂😂😂
Yanga forever, from DRC🇨🇩
Pira la kijerumani lishaanza kueleweka, hongera kwa technical staff na wachezaji wote 👏🔰
Swadakta
Asante Mungu yanga imeanza kulejea
Asanteeee sana Mungu🙏🙏🙏🙏
Kabisa MUNGU ni mwema
Kocha wetu anashangilia vizuri jaman kama staling mflani hivii wa kihindi makopa kwake❤❤❤
😂😂😂😂😂
From canada young african bingwa 😅😅
Asante sana Mungu wa mbinguni,...
Tunakushukuru Baba,...umekuwa mwema sana kwetu.
yanga bingwa💚💛💚💛💚
Hii ndo yanga tuliyokuwa tunaijua wananchiiii💛🧡💛🧡🧡
Swadakta 😂😂😂😂
😂😂😂 utapotea
Wananchiiiiiii Humu Tuuuuuuuuuu
Stéphane Aziz ki ❤
N hatar ki
Mwaka huu nguzo zishamnyima km magoli 10 hivi, vitu vinakula mwamba tu
💛💚💛💚💛💚💛💚
Daaaaaah MUZINZE,AZIZI,DUBE,PAKOME wanangu sana
Akitangazaga mzinga huwa tunashenyenta watu vibaya ila akiwa yule wa umalila huwa ni papatupapatu NB; Hii ni baada ya research 😂😂😂
😂😂😂😂
Bora Pascal Kabombeee Huyuuu Nae Katangaza Jana Tumeshindwaa Kwenda Robo Fainal🤦🤦🤦
I Love Yanga ❤
I love yangaaaaaaaaaaa😊
like zetu wana nchi💚💛💚💛💚💛
Gusa achia twende kwao
Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa wee huogopi 💛💚💪🤸♀️🤸♀️
Mmeanza tena. Tambo ee mtasikia naa wimbo wwetu tuurudishe
@AthumaniAlly-t7x 🤣🤣🤣🤣🤣💚💛
Muna burdha mkia umsijisahau uto 🐸
Makolo hawatamani haya tunayoyafanya
@@AthumaniAlly-t7x mateso yetu ya muda mchache sana kuliko kolo fc mtateseka mpk mseme yesu atarudi lini
From Germany yanga bingwa
Waooooooooooooo wananchi nakubar❤❤❤❤❤❤❤
From Jamaica yanga rahaa
Christmas Safi kabisa
Gusa achia twende kileleni makolo mpoooooo😳😳😳😳
Mama yako anayo makolooooo
Yangaaaa ❤
I love you yangaaaaaaaaa
mambo beby
Mzize on fire 🔥 😍 👌
Mzinga tutangazie mechi za yanga una bahati na sisi sana
Kabisa 😂😂😂😂
Wengni wakitangaza wanabana pumbu
Sisi hatutegemei penati Makolo bira penati hamtoboii Kira mchiii😅😅😅😅😅😅
Kwani timu zote wameshinda Kwa penat simba?
Panya ww, highlights za timu yenu unaongelea timu nyngine... Km penalty ndo stair yet y ushnd inakuhus nin🚮
Dk 3 ndo zimeongezwa ila ingekuwa Simba anacheza apo Zingeongezwa dk 6 au 7 ili watafutiwe goliiii
Kweli kaka ikicheza YANGA dakika zinaongezwa kidogo Sana lakin wakicheza makolo Simba wanaongozwa dakika nying. Ila YANGA BINGWA TENA
Tumieni akili acheni kudanganyana nyuma mwiko.., game ya simba jkt walikuwa wanapotza sana muda asilimia kubwa yule goalkeeper
Ilimrad wapate penaty za bure
@@ellysadock7428 Wacha ukolo wako.simba makolo munabebwa munaongezewa dakika nyingi makolorodani FC. YANGA BINGWA TENA
Hizo dakika si timu zote zinacheza??
Weka like yako hapa kam wew ni kolo na umependa pila Pilau sotojo
💛💚
Mim hapa yan naona kam ni live kumb marudio
💚💛🧡💛💛💚💛
I love u yanga mkitoka uwanjani maji ya kuoga yenye mdalasini.hiliki .karafuu kwangukaribuni Sana kwa mtoto wa kitanga og.
asante sana b zuwena
Kipa akajua ki atapga kulia😅😅😅😅😅
Bado Yanga straika force Yao inahitajika. Wanaitaji Ku improve sanaa
Improve maisha yako kwanza mzee.
@officer1208 utakuwa Una akili ya mpira unaandika Tu ovyo ovyo .nyie ndio mnaopenda kulalamika pasipo kuelewa jifunze kuheshimu maoni ya mtu.
@@officer1208😂😂😂😂😂😂Safi Sana! Yaani kuna watu hata uwafanyie , hawaridhiki! Labda uwatie dole! Wanafikiri mpira NI kwenda sokoni kununua nyanya! YANGA inacheza kitimu ,na huo ndo mpira wakisasa! YANGA hujui utamzuia Nani asifunge! Kuna striker mkali Kama Hallandi? Watu wamemjulia hafurukuti ndo maana Man city hawafungi ! YANGA haitegemei strikers Tu! Msimu uliopita, Nani aliifungia YANGA mabao mengi Zaid!? Ni striker? TUACHE mpira WA kukariri eti lazima key striker ndo ategemewe! Dube akiwa on form ,HAZUILIKI!
😅😅😅nimecheka yani kuna watu kama wachawi@@officer1208
😂😂😂😂😂improve ur life first babuu
Yanga nakupenda Sana hiyo yanga yenyewe Sisi niwalewale,,,... ,,,🙌🙌🙌💚💚
Gari limewaka ni mwendo wa 4G🎉🎉🎉🎉
From Iraq yanga bingwa
Idumu Young Africans 🎉🤛🏻✊👏👏👏
Yanga tamu nyie💛💛
Like za kutosha APa wananchi💚💚
❤
Yanga forever
Sio muda makolo wataanza kutaka kuhama ligi
😂😂😂😂
Daima mbele nyuma mwiko
Pira mashambulizi pira machafuko pira Riotic.
Yanga forever
#timuyawananchi
Mimi hapa😂😂
💛💛💚💚
Udom 💥💥💥
Mamb vp🎉
Estamos juntos yanga
Tusiochoka kuangalia tujuwane
Wawoo ilove you yangaa
Anaeangalia hii 2025 like hapa❤
Asante Mungu wetu.
🙏🙏🙏
Daima mbele
Kila mutu ashinde mechi zake😂😂😂😂😂
Hilo ndo Neno mkuu!
Makolo mkae kwa kutulia
Tutachukua kombe NBC MPAKA 2034
Kila Mtu Ashinde Mechi zake kinamna yake😂😂😂
I love you wananchi hao💚💛💚🌟
Chama la wana Young Africans
Nomaaaaaa
Yanga Leo unatuumiza Dom yanga haina mzaa😂😂😂,💚💚🤣🤣🤣
PRINCE DUBE yupo juuuu gonga tano
Me ni yanga bhana😂❤
Asante Mungu
Walisema sana kuhus penalt leo vip? Kamdomo kila mtu ashinde mechi zake mtu hajaguswa refa anaweka tuta🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Marefa wasenge
Sawa tumeitoa hiyo moja
Tuitoe iyo penati tufanye ni 3
Haupaswi kua na masikitiko.Mbona hapo ni hesabu rahisi tu. Kwenye hizo goal 4 za Yanga toa hilo 1la penalty. Harufu kwenye lile bao moja la simba toa bao la penalty moja. 😂😂😂
Hatari😂
Kusa achia twende kwaoo😊😊
Asante yanga yangu jamani
Msiji saulishe awo ni matawi yen subir uende kwaibenge muone
Kama wewe ulivokuwa tawi letu😂😂😂
❤❤❤
💛💚💛💚
Asante Sana mwenyezimungu Kwa ushindi mnono Asante Sana mwenyezi mungu
From Antarctica,,no doubt yanga is a winner😂 in any competition 2025
Mimi had rah gusa achia twende kwao😅
Dubeeeeee baba
Aisee
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
From tz yanga bingwa
Azizi ki leo kapiga kulia safi
😭😭🙏🙏
Ndiyooooooo👍🏻
Merry Christmas wananchi
mzize Kuna mda Huwa anawaka mpaka raha
Pameanza kuchangamka🤑🤑🤑
yanga bingwa msimu huu
Nipo nrudia match Tena dah
Wakati wetu umerudi mukiokatia tamaa yanga bas jua mungu yupo na ww ktk Maisha yako jua Kuna wakati mwingine lazima utapitia changamoto
😊😊😊
Kuna Timu Inatumia Nguvu Kubwa Uwanjani.. Halafu..Matokeo Yenyewe..Ya Penalty..😂
Tutoeni penalty bc mnaolalamika tuone nyie mikia kama mtabaki na point zaid ya Moja,nyinyi wabebwaji fc hamjijui Kwan.