Dodoma Jiji 0-4 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League | 25/12/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 403

  • @PeterNjiku-l9c
    @PeterNjiku-l9c Месяц назад +25

    Yanga is a fantastic team marry chrismas wananchi🎉🎄

  • @KianaMsema21
    @KianaMsema21 Месяц назад +93

    Anaee angaliaa narudiii xahv tujuane😂😂

    • @AaAa-tf7sl
      @AaAa-tf7sl Месяц назад +2

      😂😂😂

    • @JosephineItambu
      @JosephineItambu Месяц назад +5

      Niko hapa😂nikimaliza natupia macho ile ya 1-5 then nilale kwa amani zote💚💚😂👌

    • @AaAa-tf7sl
      @AaAa-tf7sl Месяц назад +1

      @@JosephineItambu 😂😂😂🎉🎉

    • @KianaMsema21
      @KianaMsema21 Месяц назад

      Hahaha 😂😂

    • @SangauKashiro
      @SangauKashiro Месяц назад

      Nipo hap

  • @allymohamed8140
    @allymohamed8140 Месяц назад +41

    Wananchiiiii !!
    Nione LIKES ZENU na Merry Christmas Eeeebody 🎉

  • @MlishoChomba
    @MlishoChomba Месяц назад +21

    Natamani hii team 💚💚💚💚💛💛💛💛icheze Kila siku hakika ni burudani sana

  • @MartinMyula
    @MartinMyula Месяц назад +13

    My mchunu wangu yangaa nakupenda kuliko mapenzi yenyew
    😊😊😊😊

  • @kbthebes
    @kbthebes Месяц назад +25

    Huyu mzizee kama halland😂😂😂

  • @josuemuhoya
    @josuemuhoya Месяц назад +20

    Yanga forever, from DRC🇨🇩

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ Месяц назад +23

    Pira la kijerumani lishaanza kueleweka, hongera kwa technical staff na wachezaji wote 👏🔰

  • @deusmagesa266
    @deusmagesa266 Месяц назад +5

    Asante Mungu yanga imeanza kulejea

  • @KaungaDory
    @KaungaDory Месяц назад +13

    Asanteeee sana Mungu🙏🙏🙏🙏

  • @HabibaKhamisi-xo8tz
    @HabibaKhamisi-xo8tz Месяц назад +2

    Kocha wetu anashangilia vizuri jaman kama staling mflani hivii wa kihindi makopa kwake❤❤❤

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 Месяц назад +9

    From canada young african bingwa 😅😅

  • @LucyVictor-c9c
    @LucyVictor-c9c Месяц назад +12

    Asante sana Mungu wa mbinguni,...
    Tunakushukuru Baba,...umekuwa mwema sana kwetu.

  • @RechoBahati-r2g
    @RechoBahati-r2g Месяц назад +7

    yanga bingwa💚💛💚💛💚

  • @MohamedMasiroli
    @MohamedMasiroli Месяц назад +27

    Hii ndo yanga tuliyokuwa tunaijua wananchiiii💛🧡💛🧡🧡

  • @FemidaYahaya
    @FemidaYahaya Месяц назад +10

    Wananchiiiiiii Humu Tuuuuuuuuuu

  • @ModouTop-h3g
    @ModouTop-h3g Месяц назад +16

    Stéphane Aziz ki ❤

    • @HadijaSwedy
      @HadijaSwedy Месяц назад

      N hatar ki

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      Mwaka huu nguzo zishamnyima km magoli 10 hivi, vitu vinakula mwamba tu

  • @legendElias
    @legendElias Месяц назад +8

    💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @Msovelo9017
    @Msovelo9017 Месяц назад +2

    Daaaaaah MUZINZE,AZIZI,DUBE,PAKOME wanangu sana

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr Месяц назад +5

    Akitangazaga mzinga huwa tunashenyenta watu vibaya ila akiwa yule wa umalila huwa ni papatupapatu NB; Hii ni baada ya research 😂😂😂

  • @SweeterlitahMunyiva
    @SweeterlitahMunyiva Месяц назад

    I Love Yanga ❤

  • @HawaShaban
    @HawaShaban Месяц назад

    I love yangaaaaaaaaaaa😊

  • @EdwardSimon-t8o
    @EdwardSimon-t8o Месяц назад +17

    like zetu wana nchi💚💛💚💛💚💛

  • @Lupembeajua
    @Lupembeajua Месяц назад +12

    Gusa achia twende kwao

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Месяц назад +15

    Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa wee huogopi 💛💚💪🤸‍♀️🤸‍♀️

    • @AthumaniAlly-t7x
      @AthumaniAlly-t7x Месяц назад +2

      Mmeanza tena. Tambo ee mtasikia naa wimbo wwetu tuurudishe

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 Месяц назад +1

      @AthumaniAlly-t7x 🤣🤣🤣🤣🤣💚💛

    • @amanizo96
      @amanizo96 Месяц назад +1

      Muna burdha mkia umsijisahau uto 🐸

    • @RubenGodfrey-mf6hk
      @RubenGodfrey-mf6hk Месяц назад +1

      Makolo hawatamani haya tunayoyafanya

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Месяц назад +1

      @@AthumaniAlly-t7x mateso yetu ya muda mchache sana kuliko kolo fc mtateseka mpk mseme yesu atarudi lini

  • @frankdaniel7735
    @frankdaniel7735 Месяц назад +2

    From Germany yanga bingwa

  • @GervasTayomba
    @GervasTayomba Месяц назад +3

    Waooooooooooooo wananchi nakubar❤❤❤❤❤❤❤

  • @isayamushi9543
    @isayamushi9543 Месяц назад +4

    From Jamaica yanga rahaa

  • @PriscaBenjamin-ub7lu
    @PriscaBenjamin-ub7lu Месяц назад +10

    Christmas Safi kabisa

  • @FatmaAlly-t6x
    @FatmaAlly-t6x Месяц назад +14

    Gusa achia twende kileleni makolo mpoooooo😳😳😳😳

  • @georgesylvester9680
    @georgesylvester9680 Месяц назад +7

    Yangaaaa ❤

  • @MaikoMasnja
    @MaikoMasnja Месяц назад +5

    I love you yangaaaaaaaaa

  • @Yassin-z6o
    @Yassin-z6o Месяц назад +5

    Mzize on fire 🔥 😍 👌

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Месяц назад +5

    Mzinga tutangazie mechi za yanga una bahati na sisi sana

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Месяц назад +7

    Sisi hatutegemei penati Makolo bira penati hamtoboii Kira mchiii😅😅😅😅😅😅

    • @KhalfaniFarisy-c3w
      @KhalfaniFarisy-c3w Месяц назад

      Kwani timu zote wameshinda Kwa penat simba?

    • @rukaiyakondo5265
      @rukaiyakondo5265 Месяц назад

      Panya ww, highlights za timu yenu unaongelea timu nyngine... Km penalty ndo stair yet y ushnd inakuhus nin🚮

  • @SalumKibangu
    @SalumKibangu Месяц назад +20

    Dk 3 ndo zimeongezwa ila ingekuwa Simba anacheza apo Zingeongezwa dk 6 au 7 ili watafutiwe goliiii

    • @tawakalimankasim82
      @tawakalimankasim82 Месяц назад

      Kweli kaka ikicheza YANGA dakika zinaongezwa kidogo Sana lakin wakicheza makolo Simba wanaongozwa dakika nying. Ila YANGA BINGWA TENA

    • @ellysadock7428
      @ellysadock7428 Месяц назад +1

      Tumieni akili acheni kudanganyana nyuma mwiko.., game ya simba jkt walikuwa wanapotza sana muda asilimia kubwa yule goalkeeper

    • @DoryGeorge
      @DoryGeorge Месяц назад

      Ilimrad wapate penaty za bure

    • @tawakalimankasim82
      @tawakalimankasim82 Месяц назад

      ​@@ellysadock7428 Wacha ukolo wako.simba makolo munabebwa munaongezewa dakika nyingi makolorodani FC. YANGA BINGWA TENA

    • @emmanuelkitadu120
      @emmanuelkitadu120 Месяц назад +1

      Hizo dakika si timu zote zinacheza??

  • @robie360
    @robie360 Месяц назад +3

    Weka like yako hapa kam wew ni kolo na umependa pila Pilau sotojo

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi Месяц назад

    💛💚

  • @MariaIshila
    @MariaIshila Месяц назад +1

    Mim hapa yan naona kam ni live kumb marudio

  • @JanethFrancis-e9b
    @JanethFrancis-e9b Месяц назад

    💚💛🧡💛💛💚💛

  • @ZuenaRamadhani-qi3fv
    @ZuenaRamadhani-qi3fv Месяц назад +3

    I love u yanga mkitoka uwanjani maji ya kuoga yenye mdalasini.hiliki .karafuu kwangukaribuni Sana kwa mtoto wa kitanga og.

  • @Emanueli-vz6fd
    @Emanueli-vz6fd Месяц назад +2

    Kipa akajua ki atapga kulia😅😅😅😅😅

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 Месяц назад +5

    Bado Yanga straika force Yao inahitajika. Wanaitaji Ku improve sanaa

    • @officer1208
      @officer1208 Месяц назад +2

      Improve maisha yako kwanza mzee.

    • @b.warron4631
      @b.warron4631 Месяц назад

      @officer1208 utakuwa Una akili ya mpira unaandika Tu ovyo ovyo .nyie ndio mnaopenda kulalamika pasipo kuelewa jifunze kuheshimu maoni ya mtu.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Месяц назад +2

      ​@@officer1208😂😂😂😂😂😂Safi Sana! Yaani kuna watu hata uwafanyie , hawaridhiki! Labda uwatie dole! Wanafikiri mpira NI kwenda sokoni kununua nyanya! YANGA inacheza kitimu ,na huo ndo mpira wakisasa! YANGA hujui utamzuia Nani asifunge! Kuna striker mkali Kama Hallandi? Watu wamemjulia hafurukuti ndo maana Man city hawafungi ! YANGA haitegemei strikers Tu! Msimu uliopita, Nani aliifungia YANGA mabao mengi Zaid!? Ni striker? TUACHE mpira WA kukariri eti lazima key striker ndo ategemewe! Dube akiwa on form ,HAZUILIKI!

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 Месяц назад

      😅😅😅nimecheka yani kuna watu kama wachawi​@@officer1208

    • @emaculathammbando
      @emaculathammbando Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂improve ur life first babuu

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif Месяц назад +5

    Yanga nakupenda Sana hiyo yanga yenyewe Sisi niwalewale,,,... ,,,🙌🙌🙌💚💚

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Месяц назад +8

    Gari limewaka ni mwendo wa 4G🎉🎉🎉🎉

  • @PhilipoFaustine
    @PhilipoFaustine Месяц назад

    From Iraq yanga bingwa

  • @MatanoNdaro-m3s
    @MatanoNdaro-m3s Месяц назад

    Idumu Young Africans 🎉🤛🏻✊👏👏👏

  • @yunisimaiko
    @yunisimaiko Месяц назад

    Yanga tamu nyie💛💛

  • @TeacherTz-g8h
    @TeacherTz-g8h Месяц назад +1

    Like za kutosha APa wananchi💚💚

  • @Marthawilliumsaguti
    @Marthawilliumsaguti Месяц назад

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA Месяц назад

    Yanga forever

  • @MashakaMashaka-g9c
    @MashakaMashaka-g9c Месяц назад +6

    Sio muda makolo wataanza kutaka kuhama ligi

  • @shomarinamwandu7930
    @shomarinamwandu7930 Месяц назад +5

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA Месяц назад

    Pira mashambulizi pira machafuko pira Riotic.
    Yanga forever
    #timuyawananchi

  • @AssadSalum
    @AssadSalum Месяц назад

    Mimi hapa😂😂

  • @HALIMASHABAN-xd9rj
    @HALIMASHABAN-xd9rj Месяц назад +2

    💛💛💚💚

  • @yonasmaulid
    @yonasmaulid Месяц назад +2

    Udom 💥💥💥

  • @Nyakisalubunda
    @Nyakisalubunda Месяц назад

    Mamb vp🎉

  • @rajabuwajuma-k1n
    @rajabuwajuma-k1n Месяц назад

    Estamos juntos yanga

  • @directorabiero340
    @directorabiero340 Месяц назад +1

    Tusiochoka kuangalia tujuwane

  • @Thuwaiba-c8y
    @Thuwaiba-c8y Месяц назад

    Wawoo ilove you yangaa

  • @NuruKindema-sr6dc
    @NuruKindema-sr6dc Месяц назад

    Anaeangalia hii 2025 like hapa❤

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад

    Asante Mungu wetu.

  • @AllyHassan-l3o
    @AllyHassan-l3o Месяц назад

    🙏🙏🙏

  • @officialchuwa5866
    @officialchuwa5866 Месяц назад +4

    Daima mbele

  • @JonasiMwaipaya
    @JonasiMwaipaya Месяц назад +6

    Kila mutu ashinde mechi zake😂😂😂😂😂

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Месяц назад +3

    Makolo mkae kwa kutulia
    Tutachukua kombe NBC MPAKA 2034

  • @yussuphmalimi
    @yussuphmalimi Месяц назад +2

    Kila Mtu Ashinde Mechi zake kinamna yake😂😂😂

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif Месяц назад

    I love you wananchi hao💚💛💚🌟

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 Месяц назад

    Chama la wana Young Africans

  • @JackSlyde-bp9he
    @JackSlyde-bp9he Месяц назад

    Nomaaaaaa

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif Месяц назад +1

    Yanga Leo unatuumiza Dom yanga haina mzaa😂😂😂,💚💚🤣🤣🤣

  • @suleimansuleiman5498
    @suleimansuleiman5498 Месяц назад

    PRINCE DUBE yupo juuuu gonga tano

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Месяц назад

    Me ni yanga bhana😂❤

  • @julianamahalende7558
    @julianamahalende7558 Месяц назад

    Asante Mungu

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 Месяц назад +10

    Walisema sana kuhus penalt leo vip? Kamdomo kila mtu ashinde mechi zake mtu hajaguswa refa anaweka tuta🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 Месяц назад +1

      Marefa wasenge

    • @ernestdismaseryd1677
      @ernestdismaseryd1677 Месяц назад +3

      Sawa tumeitoa hiyo moja

    • @mauaadamu7657
      @mauaadamu7657 Месяц назад +2

      Tuitoe iyo penati tufanye ni 3

    • @jafafibashiri4246
      @jafafibashiri4246 Месяц назад +5

      Haupaswi kua na masikitiko.Mbona hapo ni hesabu rahisi tu. Kwenye hizo goal 4 za Yanga toa hilo 1la penalty. Harufu kwenye lile bao moja la simba toa bao la penalty moja. 😂😂😂

    • @Muna-en4yq
      @Muna-en4yq Месяц назад

      Hatari😂

  • @AishaAdili
    @AishaAdili Месяц назад

    Kusa achia twende kwaoo😊😊

  • @HadijaRamadhan-e3q
    @HadijaRamadhan-e3q Месяц назад

    Asante yanga yangu jamani

  • @MohamedMwalimu-c7q
    @MohamedMwalimu-c7q Месяц назад +1

    Msiji saulishe awo ni matawi yen subir uende kwaibenge muone

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw Месяц назад

      Kama wewe ulivokuwa tawi letu😂😂😂

  • @DolissSimon
    @DolissSimon Месяц назад

    ❤❤❤

  • @AnnieChikasa
    @AnnieChikasa Месяц назад

    💛💚💛💚

  • @MamaRoja-g2b
    @MamaRoja-g2b Месяц назад

    Asante Sana mwenyezimungu Kwa ushindi mnono Asante Sana mwenyezi mungu

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 Месяц назад

    From Antarctica,,no doubt yanga is a winner😂 in any competition 2025

  • @AshaChilumba-f1l
    @AshaChilumba-f1l Месяц назад

    Mimi had rah gusa achia twende kwao😅

  • @sebaedward2162
    @sebaedward2162 Месяц назад +1

    Dubeeeeee baba

  • @AsiaJuma-e8g
    @AsiaJuma-e8g Месяц назад

    Aisee

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @OmbeniKapange-s4q
    @OmbeniKapange-s4q Месяц назад

    From tz yanga bingwa

  • @tospend
    @tospend Месяц назад

    Azizi ki leo kapiga kulia safi

  • @MiliarasamwueliMepukori
    @MiliarasamwueliMepukori Месяц назад

    😭😭🙏🙏

  • @MnyakoboyG
    @MnyakoboyG Месяц назад +1

    Ndiyooooooo👍🏻

  • @VailetMasha
    @VailetMasha Месяц назад +1

    Merry Christmas wananchi

  • @YasintaKisholi-fl3iy
    @YasintaKisholi-fl3iy Месяц назад +1

    mzize Kuna mda Huwa anawaka mpaka raha

  • @marialumbanga
    @marialumbanga Месяц назад +1

    Pameanza kuchangamka🤑🤑🤑

  • @EliaChristopher-xl3nl
    @EliaChristopher-xl3nl Месяц назад +1

    yanga bingwa msimu huu

  • @NelsonMwigullu
    @NelsonMwigullu Месяц назад +1

    Nipo nrudia match Tena dah

  • @AbdulKane-x9t
    @AbdulKane-x9t Месяц назад +1

    Wakati wetu umerudi mukiokatia tamaa yanga bas jua mungu yupo na ww ktk Maisha yako jua Kuna wakati mwingine lazima utapitia changamoto

  • @IddyRajabu-d2r
    @IddyRajabu-d2r Месяц назад +1

    😊😊😊

  • @Tassyomy
    @Tassyomy Месяц назад +1

    Kuna Timu Inatumia Nguvu Kubwa Uwanjani.. Halafu..Matokeo Yenyewe..Ya Penalty..😂

  • @LeonceMjuni
    @LeonceMjuni Месяц назад +2

    Tutoeni penalty bc mnaolalamika tuone nyie mikia kama mtabaki na point zaid ya Moja,nyinyi wabebwaji fc hamjijui Kwan.