Padre Maxmilllian na Padre Edmund Watoa Shukrani kwa miaka 25 ya Upadre kwa waamini.
HTML-код
- Опубликовано: 7 авг 2023
- Shukrani kutoka kwa Padre Max na Padre Edmund wakati wa Adhimisho la Misa takatifu kwa Jubilei ya miaka 25 ya Utume wa Upadre Jimbo Katoliki la Bukoba, Katika Parokia ya Mt Yohane Paulo II - Rwamishenye Jimbo Katoliki la Bukoba.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Hongereni sana wapendwa Mwenyezi Mungu awaimarishe daima
Namuona pdr Edmund .