'Msichana anayedaiwa kutembea na Gwajima hata sura yake haionekani' Askofu Kakobe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 177

  • @sospeter.pmosile9638
    @sospeter.pmosile9638 5 лет назад +2

    powerfully msg ever. asante Yesu kwa hekima hii

  • @flowerhaule7545
    @flowerhaule7545 5 лет назад +2

    Ukomavu wa IMANI.good Zachary kakobe

  • @pasikamamy1268
    @pasikamamy1268 5 лет назад +5

    Pole gwajima Kwa udhalilishaji uliodhalilishwa waliofanya ivyo mungu anawaona

  • @lucasmsemwa2494
    @lucasmsemwa2494 5 лет назад +12

    alaaniwe mtu yule aliyetenda uovu huu kuchafua watumishi wa Mungu tena nasema alaaniwe

  • @davidchungu2701
    @davidchungu2701 5 лет назад +5

    BABA YANGU KAKOBE NDIOMAANA NAKUPENDA

  • @jenambarikiwa4554
    @jenambarikiwa4554 5 лет назад +2

    Ubarikiwe baba

  • @annajackson8538
    @annajackson8538 5 лет назад +2

    Kama mmesoma sura ya gwajima inasema nini gonga like hapa

    • @emmanuelhema1218
      @emmanuelhema1218 5 лет назад

      Anna Jackson inahuzuni sana. Ila ukweli anaujuwa mungu.

  • @evethaasey1791
    @evethaasey1791 5 лет назад +7

    Good huu ndio umojaa wa kristo Kakobe upo vema

  • @aloycelwigwano3358
    @aloycelwigwano3358 5 лет назад +2

    kiukweli mim ningekua nipo hapo nazani amen zingekua zakutoha mzee yupo vizur bhana!!! kwashughuli ilee

  • @zawadisangawe8875
    @zawadisangawe8875 5 лет назад +11

    Don't trust any body, Mungu pekee wakuaminiwa

    • @henrymatebe1492
      @henrymatebe1492 5 лет назад

      Munamuamini Mungu muaminini na manabii wake ili mpate kufanikiwa hilo ni neno la Mungu

  • @elisantej5512
    @elisantej5512 5 лет назад +3

    Mungu anaujua ukweli

  • @reachthegoal7624
    @reachthegoal7624 5 лет назад

    Udhihirisho wa kazi ya Mungu unaendelea na muda si mrefu watumishi makanjanja watakuwa wazi, watatupwa kabisa. Watumishi fanyeni kazi ya Mungu. Acheni kuendekeza ulimwengu unaopita haraka. Thamani ya utumishi wenu ni mkubwa kuliko kazi nyinginezo zilizoko duniani. Huyo ni baba wa imani Tanzania ya sasa. Hao hapo ni kaka katika kazi ya Mungu. Shetani hutetemeka juu yao.

  • @nabiisaasita769
    @nabiisaasita769 5 лет назад

    Mungu akuwinuwe

  • @wolframchikomo8873
    @wolframchikomo8873 5 лет назад +3

    Kwa kweli NAOGOPA na INATISHA SANA tunapoanza kuwashuhudia Maaskofu wakianza kuyatumia vibaya Maandiko Matakatifu kwa KUYAPINDISHA kwa makusudi ili yakithi haja zetu. nashauri tabia hizi ZISIPATE NAFASI na zikemewe kwa kweli

    • @johnmassawe6680
      @johnmassawe6680 5 лет назад

      Wolfram Chikomo maandiko yaliyo tumika vibaya hapo ni yapi wewe sema nimiongoni mwao wanao shambulia watumishi wa mungu hakika hamtafanikiwa herodi yuko wapi farao yuko wapi kanisani liko imara

    • @wainainaduncan1576
      @wainainaduncan1576 3 года назад

      Karibu Kenya huku kwetu watumishi,

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 5 лет назад +4

    Hey Guys, its simple jifunzeni kitu kwenye sura ya huyo anayetetewaa, jibu liko hapo jamani Muogopeni Mungu Mimi Nina wasiwasi sana na mwenendo WA hili scandal dah Tusichezee Jina LA Mungu kwenye Mauzinzi ye2.

  • @rhimarhima4785
    @rhimarhima4785 5 лет назад +1

    Gwajima Mungu anakuona hata kuangalia kwako tu usitudanganye

  • @ambelamwaitebele7540
    @ambelamwaitebele7540 5 лет назад +3

    Bishop gwajima usimwache mpaka apatikane anaechafua uwinjiliti au Huduma apigweee

  • @yohanawillimas8826
    @yohanawillimas8826 5 лет назад +4

    songa mbele watumishi wa YESU alie hai.

  • @edinasimon4775
    @edinasimon4775 5 лет назад +1

    Daaah, Dunia simama nishuke

  • @bahatimpudi6514
    @bahatimpudi6514 5 лет назад

    Kama umemuona mchungaji aliesema kamtoa amber luty gonga like

  • @rebekamsukwa4770
    @rebekamsukwa4770 5 лет назад +16

    Kwahyo askofu kakobe nawew uliangalia ile video hahahaha

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 5 лет назад +1

      Tena inaonekana ni shabiki mkubwa wa video zake akikata mauno🤭🤭🤭

    • @witnessjosephmtanke4757
      @witnessjosephmtanke4757 5 лет назад

      rebeka msukwa hahahahaaa! Rebekaaa umejua kuvunja mbavu zangu

    • @bintkirunga4274
      @bintkirunga4274 5 лет назад

      Tena shabiki ukuangalia uchafu mungu atamuhumbua tu

    • @winnerschapelintlsingidata3197
      @winnerschapelintlsingidata3197 5 лет назад +1

      Mjiangalie maneno yenu nyie,amesema inasemekana msichana wenyewe sura aionekani

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 лет назад +1

      Ili kuupata ukweli, wewe ungefanyaje? Unajua watumishi wanajua mangapi yaliyo ya siri? Jifunze ndugu.

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 5 лет назад

    mungu awalinde

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 5 лет назад +6

    yani watu niwabishi tu hats yule Dada alikuwa aleti ushirikiano kwa like tendo kwa sababu ni kitu ambacho si cha hisia ni tamaa ya ela tu

  • @jeniphatarimo572
    @jeniphatarimo572 5 лет назад +4

    Du!! Hapo Mimi sijawaelewa kabisa

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 5 лет назад +3

    Nailifurahi kuona wawili wanapatanishwa leo hii haya yameibuka na kwa nini awe makonda jamani

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 5 лет назад +9

    Ukweli utajulikana , naamini kasingiziwa kutokana na maelezo lakini ngoja tulipe muda . Mimi si mpenzi wa gwajima lakini sipendi asingiziwe .

    • @naomiathuman9903
      @naomiathuman9903 5 лет назад

      rushoke ignace kweri kasingiziwa sisi ni wataalam wa move ile ni edit imetengenezwa

  • @venturemalobo
    @venturemalobo 5 лет назад

    I do films ... Kama kweli mnakubali ile ilikua ni sura ya Gwajima Kwenye Video, Then Gwajima Akili Hicho kitendo alikifanya. there is no any manipulation in the video. Wachungaji Mungu awasaidie pia. This is serious He Did it. Bora Angekataa Sio sura yake. ila kama kakubali ni sura yake, mashaidi wa nini tena.

  • @makwaya7668
    @makwaya7668 5 лет назад +1

    Sie kama binadam mtatudanganya tu lakini mjue mungu anawaona nyie mteteeni sie tunamwachia mungu atafanya yake kwa njia ingine

  • @mariahuka2460
    @mariahuka2460 5 лет назад

    Mwacheni gwajima afanye Nazi ya mwenzi mungu, msimsumbue,huuu no usumbufu,ache kufanya Nazi ,aanze kupambana na majaribio ya kishetani kama hyo, nasematena hsjazalilishwa gwajimapekee nisisi sote tuuitwao wazazi tuzaooo.

  • @rhimarhima4785
    @rhimarhima4785 5 лет назад +2

    Hujui kwann alitaka Kiki gwajima

  • @edinarasta5608
    @edinarasta5608 5 лет назад

    Mmh jamni MUNGU atusamehe ht watumishi wanatumia Biblia za kwenye simu loh! hapana hiyo cjapenda watembee na biblia wanatufundisha nn sisi waumini?

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 5 лет назад +7

    Mnatumia nguvu nyigi kukanusha ukweli mbona mnapanik sana

    • @bernadinangasi7664
      @bernadinangasi7664 5 лет назад

      Kama wewe usinge pabiki

    • @reachthegoal7624
      @reachthegoal7624 5 лет назад

      Siku ukipata neema ya kuijua kweli ya Mungu utalia sana inaonyesha uko mbali pembeni karibu na shimo la kuangamia. Omba kuijua kweli.

    • @henryjohn4781
      @henryjohn4781 5 лет назад

      Reach the goal Nieleweshe nikuelewe

    • @freddokuckelmann8502
      @freddokuckelmann8502 5 лет назад

      Mbona na wewe umeficha sura kama yule msichana? Bahau mkubwa

  • @penanahome5191
    @penanahome5191 5 лет назад

    Emmanuel mbasha nyinyongeeeed

  • @anthonymsemakweli9250
    @anthonymsemakweli9250 5 лет назад +3

    Kwa kweli waliopanga huo ujinga watafutwe haswa yule aliyepost ndio wa kuanza naye atawatafuta wenzie

  • @princessjerad7655
    @princessjerad7655 5 лет назад +4

    mwacheni ngwajima wetu ataliamsha dude tena

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 3 года назад

    Kesi ya mbuzi ukimpa fisi🤣🤣

  • @penanahome5191
    @penanahome5191 5 лет назад

    Ameeeeeddeniiii

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 лет назад +1

    Mwache aliamshe dude mwenyewe,msimteteee

  • @shadrackmwakipesile1750
    @shadrackmwakipesile1750 5 лет назад

    Sasa unakataa wewe sawa,Mungu je

  • @musakihama5480
    @musakihama5480 5 лет назад

    umeichukia dhambi baada ya kupiga dhahabu,au sio?

  • @unitytzdar9553
    @unitytzdar9553 5 лет назад

    KILA WAKATI NIKIANGALIA UTETEZI WA HUYU ASKOFU NAJIHISI HASIRIA, ETI " SURA YA MSICHANA HAIONEKANI " UNAJUAJE KUWA YULE ALIKUWA MSICHANA NA SI MKE KAMILI ? LAKINI PIA KAMA ANGEFANYA PUNYETO ISINGEKUWA KASHFA AU DHAMBI ?
    ILIFAA MTU AVAE MAGUNIA NA KUTUBU HATA KAMA ZINGEKUWA TUHUMA TU

  • @toytv89
    @toytv89 5 лет назад +3

    Subscribe kwenye chanel yangu na m ntafanya hivyo kwako

  • @omarybabuutv972
    @omarybabuutv972 5 лет назад +1

    Kinacho endelea hapo ni kwamba mtu anatetea ugali wake. Maana akikubali tu ni kweli itakuwa imekwisha

  • @erastomushi6525
    @erastomushi6525 5 лет назад +1

    Hivi kusafishwa hivi ni bei gani?

  • @shukranoberd2490
    @shukranoberd2490 5 лет назад

    watakua na macho lkn hawataona watakua na masikio wala hawatasikia acha neno litime yesu awahi kuja

  • @nezryallyan6344
    @nezryallyan6344 5 лет назад +2

    Binadam hashndw na lake kweli nimeamini hlo kma hyu askofu ni muhalifu Kw nn musimkamate na muna uhakika na hli?

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 лет назад

    Ila msimsingizie Makonda, mtafuteni yule Mwanamke.

  • @nurdinhemed6
    @nurdinhemed6 5 лет назад

    Sema mwanamke sio fund kabisa yani. Hata kukatika

  • @rhimarhima4785
    @rhimarhima4785 5 лет назад +1

    Nyamaza unatia kichefuchefu

  • @nurdinhemed6
    @nurdinhemed6 5 лет назад

    Gwajima kakojoa kwa dakika 1 nasekunde 24...

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 5 лет назад

    jamanitulisahauflora

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 лет назад +1

    😂😂😂😂😂
    Hawa watu vchwa kwel

  • @paulbinezekiel8225
    @paulbinezekiel8225 5 лет назад +2

    Mmmmh wachache tutaksofika mbinguni

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 лет назад +1

    Kwa hiyo ni sura tu, kiwiliwili je? ni cha nani?

  • @sportsentertainmentvideo6633
    @sportsentertainmentvideo6633 5 лет назад

    Duuu!!! Hakika huu Ni msiba watu wakubwaa hoja za kitotooo na watu wanaosadikika kuwa ni wa kristo wanashangilia!!!

  • @Abdallah_mussa
    @Abdallah_mussa 5 лет назад +2

    Gwajima kala mate na kakojolea humo humo,

  • @jasmineshechambo3401
    @jasmineshechambo3401 5 лет назад

    😏😏mtajua wenyewe

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa3988 5 лет назад +1

    lkn km sura ya mwanamke imefichwa tuna nabii Mashimo atuongoze ktk hilo

    • @penanahome5191
      @penanahome5191 5 лет назад

      Baba mwenyewe ni nabii

    • @triplejtv682
      @triplejtv682 5 лет назад

      Mbarikiwa Mbarikiwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rhimarhima4785
    @rhimarhima4785 5 лет назад +2

    Ww kakobe fanya yako ya kuchukua Vito vya dhahabu za watu na kunyoa nywele za wanawake huoni haya

    • @loycesubila6144
      @loycesubila6144 4 года назад +1

      Ongea machache ubarikiwe au nyamaza
      Kabisa kulik tutafut laana kamwe

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад

    Mmmmhu yeye huyo gwajima aache kujitetea kama kweli hakufanya hicho kitendo Mungu ndiye anayejua. Na kama umefanya hukumu yako iko kwa Mungu. Hata ujitetee vipi mbele za wanadamu hautasafishika kamwe.

  • @everickosanga611
    @everickosanga611 5 лет назад +2

    Wizi mtupuuu mzeeee ni yy mwenyewe.mnazima moto kwa petrol. Wadanganywe wasioelewaaa. But ukweli anao yeye.

    • @naomiathuman9903
      @naomiathuman9903 5 лет назад

      Evericko Sanga hata kama hauna akili bas angalizia, ivi unajua kabisa uzinzi ni zambi, alafu ukajipiga picha mwenyewe ukaipost mwenyewe inakuingia akilini hiyo? gwajima hajafanya usije ukamtenda mungu zambi bule

  • @abdulukwachu4447
    @abdulukwachu4447 5 лет назад

    Eeeeeeh Mungu Baba simamisha Dunia nishuke hahahaha

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv 5 лет назад +2

    Huo ulikua mchongo wa demu aliefanya nae huo upumbavu ,halafu huyo (gwa) hawara alimuacha demu akatoa mchongo wa hela ,gwa ,akazingua watu wakamwaga mboga na ugali....acheni kumtetea mnajifanya hamna dhambi...hio ishu ilimtokea marehemu baba yangu ...long time ....hiyo ni sawa na kesi ya kina Amber ruty na wema ,mkijifanya wakaidi tutamwaga mboga na ugali huyo mwanamke tutamuweka wazi....

    • @bernadinangasi7664
      @bernadinangasi7664 5 лет назад +1

      Kama unauhakika mnasubili nini acha ujinga na ipo siku yata kukuta

    • @margaretkarambu936
      @margaretkarambu936 Год назад

      Ama wewe ndiwe ulimsingizia mtumishi wa Mungu? ushindwe sana.

  • @renatussima5274
    @renatussima5274 5 лет назад +1

    Watu wanashangilia dhambi hatar sana, kwahiyo upo karibu na Gwajima ili kumsaidia nimeelewa

  • @babagwwsgeradiws6819
    @babagwwsgeradiws6819 5 лет назад +1

    Kakobe uyo ngwajima umesha mtetea japo unajua emteteepia mchungaji kapinga wacolud midia

  • @musakihama5480
    @musakihama5480 5 лет назад

    kwa maelezo yako ni kama unakili jamaa kafanya,ila hakuna mashahidi.au sio?harafu yeye in baba askofu kiongozi was kanisa lake nani atamsimamisha kuendesha huduma zake?lakini baridi yangu macho.

  • @nezryallyan6344
    @nezryallyan6344 5 лет назад +4

    Mulitaka kumkashifu tu yaan binadam akitaka lake hashindwiiii

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus3764 5 лет назад +2

    Kwani aliyekuwa anashoot video ninani? Kwa mujibu wa kiintelijensia yangu huyu jamaa hana ujanja. Kwa kuwa hakuna mashitka hakuna wa kumhukumu Bali hukumu utatoka kwa Mungu. Hakuna aliye mkamilifu katika amri ya sita..

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 5 лет назад +4

    mtetee mchafu mwenzio

  • @nikitarewis2598
    @nikitarewis2598 5 лет назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mambo mengu kuliko kulia nibira tucheke 🤣🤣🤣

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 лет назад +1

    Hivi vdio alibugi tu atakuwa alimpa mtu cm ikanyonywa.

  • @tonyfredy8975
    @tonyfredy8975 5 лет назад

    Paul makonda ameamua kumtumia kakobe ili kumaliza utata,na kweli ameweza coz ni baba wa kiroho ila mwambie makonda akome.iko siku itamtokea puani.

  • @bertinmvungi530
    @bertinmvungi530 5 лет назад +3

    Mti wenye matunda hupigwa Mawe yakila aina.

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 5 лет назад

    Mnatumia kanisa kutetea ushetani?shame on you

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 5 лет назад +4

    Picha zinatengezwa sana tu ,yaani fake videos ni kazi za washenzi,hata hao wanaopinga hazipo waweke sura zao ,hadharani watashangaa picha zao zitakavyosambaa bila wao kuhusika, Ushenzi na uchafu huu tusiushabikie ni Upumbavu mtupu wahusika walaaniwe.

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 5 лет назад +1

    Sisi ni wana wa nuruni kamwe giza halina nafas Leo ningekuwa ubungo ningepiga shangwee
    Km wew ni mwana ufufuo na uzima nakusalimu
    Majeshi majeshi

  • @mawazorose755
    @mawazorose755 5 лет назад

    Unajua wengi hawajaiona ile video ya ngono mnatetea bila kujua. Teteeni tu ila Mungu anawajali. (KAMA YALIMSHINDA BABA YETU ADAM )ni vipi huyu Gwajima.haya machungaji yote yanayo mtetea ni makata mauno.

  • @kokudo8389
    @kokudo8389 5 лет назад

    Je wewe ni Binti /Mdada? Je unafahamu kufanya masoko (marketing) na uko mkoa wa shinyanga? Ninakupa fursa hii Uje Ufanye na kampuni yetu. Kwanza Utaanza kwa kujitolea....
    Unaweza kuwasiliana na Mimi kwa Whatsapp tu 0713131366
    Sifa
    √ Miaka 18-30
    √ Uwe Unatoka Shinyanga mjini au una Ndugu hapa
    √ Kama umesomea poa lakini kama una Kipaji ni nzuri zaidi.

  • @mariammbughi2702
    @mariammbughi2702 5 лет назад

    Gwajiboy tubu tu baba

  • @dariuslimbu2325
    @dariuslimbu2325 5 лет назад

    Sifa mtuhumiwa ni kukana tuhuma

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 5 лет назад

    Mohamed hahahaaa

  • @amosphoustine5375
    @amosphoustine5375 5 лет назад

    Kuangalia ile video ni sawa na kukodolea macho xxx movies,nyie wote mmeshatenda dhambi tu.

  • @mwitagabriel7042
    @mwitagabriel7042 5 лет назад +4

    Mnajitetea tu wanafiki wakubwa nyie

    • @nuurinkluge7584
      @nuurinkluge7584 5 лет назад

      Mwita Gabriel stupid ngajima knows everything

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 5 лет назад

      Wamelichukulia neno la Mungu kuwa mdhaha kwao. Radi itakayowapiga itatoka mbinguni.

    • @rityemma4344
      @rityemma4344 5 лет назад

      @Paradisethadey Mmbaga hakika neno ulilotamka juu ya watumishi wa Mungu yatakurudia

    • @kilimolutambi3003
      @kilimolutambi3003 5 лет назад

      Mwita Gabriel mpuzi wewe

  • @musakiswaga2835
    @musakiswaga2835 5 лет назад

    Fuck ****wote apo

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 5 лет назад

    Kwamba uliambiwa sura haionekani au uliangalia wewe mwenyewe?

  • @triplejtv682
    @triplejtv682 5 лет назад +2

    Mbona utetezi mwingi kulikoni au mzee kakobe alikuwa baunsa on that day make sielewi ... mnamshutumu Mh. Makonda kinacho thibitisha niyeye kafanya propaganda kusambaza au kuitengenezesha ile video na pics ni kipi ?? Badala ya kufanya uchunguzi mnatukulupukia tu eti ni Makonda nyie vipi , kama kafanya sex ni Kawaida tu ni binadam na kizuri zaidi jamaa sio hanisi so lazima akaze ... anyway mim naona kikubwa tu apa ni uchunguzi then conclude later ndo mtupe taarifa ya kuaminika sio kutuaminisha hisia zenu ... come on people ... kama uli zungusha mithili ya feni lile uno mbona fresh tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 napita tu jamani 🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️🏃🏽‍♂️

  • @jocelinejonathan7530
    @jocelinejonathan7530 5 лет назад

    Nyote ni wale wale kasoro tarehe, lazima umtete gwajima ila ukweli utabaki pale pale, jamaa ni mlaji wa kondoo wa mungu

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +1

    Sura ya nini labda mke wa mtu

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 5 лет назад +2

    Gwajima mambo yake yanatsha mara pombe mara uzinzi..eti mazebaon mchungan anaelezea gwajima alivyotomba nakunyonywa mboo dadek macho yagwajima tu zair anatumia bange

    • @BarakaWaya
      @BarakaWaya 5 лет назад

      Prisca Siame Wewe unatumia petrol

    • @jacksonjuma2220
      @jacksonjuma2220 5 лет назад

      Mmmmmh ameelez wapi mbona sjaskia

  • @AbdulRahman-wx6iv
    @AbdulRahman-wx6iv 5 лет назад

    Ile video sote tumeiona halafu Kuna waandishi professional mnasapoti huu ujinga kwa maslahi yenu ,swali kuna tofauti gani Kati ya video ya wema au Amber ruty ,sheria ifate mkondo wake tusiangalie sura na utajiri wa mtu ,hao mitume wa dining zote walikua na makosa yao ,ije kua SS hakuna binadamu aliyekamilika.

    • @bernadinangasi7664
      @bernadinangasi7664 5 лет назад

      Wewe umeina wapi mwanamke anafanya mapenzi kanyoka kama Nyoka hata ushilikiano haonyeshi acha hizo Fanya yako

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад

    Mchawi kakutana na mzinzi

    • @bernadinangasi7664
      @bernadinangasi7664 5 лет назад

      Ukiona mtu anamjuwa mchawi ujuwe na yeye ni mchawi na ukimuona mchawi ujuwe na wewe ni mchawi

  • @kingofkings7525
    @kingofkings7525 5 лет назад

    Hao mapasta wanakula sadaka na wene sadaka Tanzania Sodoma kweli

  • @mammymim3909
    @mammymim3909 5 лет назад

    Lol

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 5 лет назад

    Hata washangiliaji safari hii wamejificha maana wanajua wazi mchungaji anakula kondoo. Badala awalishe neno anawalisha shahawa.
    Sikuzote hujitetea leo anatetewa? Kweli umalaya haujawahi kumuacha mtu salama. Makonda hoyeee. Radi itakayowapiga nyinyi iko mbinguni inafanyiwa marekebisho sons of baali.

  • @penanahome5191
    @penanahome5191 5 лет назад

    Ameeeeeddeniiii

    • @stephanokaaya1881
      @stephanokaaya1881 5 лет назад

      Mzee kakobe jiondoe kwenye hili. Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe. utakuja kuchomwa kwa sababu ya Gwajima.