Rwanda haina wakimbizi kwa sasa Tanzania, Na hakuna kambi yenye wakimbizi toka huko. Lakini wamejaribu kwa kweli katika hari zao za ukimbizi hawa walio andaa hiyo show .mungu awasaidie nchi zao zipate amani warudi kwenye maishaa ya kawaida.
Ila kusema kweli hapo ndipo wanapo patikana majambazi sugu sitakiiiiiii kuchambwa ila majambazi wengii ni watu tunao wajaribisha na kuwasaidia kwa wema tu badae ndio ivoo tena
Leo mumetuletea vichekesho ila nimefurahi nairejea mara tatu hii video kikweli Allah awatangulie wanajifurahisha wenyewe japo wana majonzi ya kupoteza ndugu zao
Acha hizo...kwani huelewi maana ya neno au watu wakimbizi wako kambini? Give them a break please....they don't have facilities or luxuries kama weye hapo...but still wanajitahidi kujifariji na kusahau matatizo yao.
@@kaitaramadan6340 pimbi naona ni weee unaepewe kioo watu wakachukua dhahabu na almasi na kuwasindikiza kani hakuna uwezekano wa kufanya hivyo maonye kwenye sehemu yenya mazingira yaliy bora zaidi ya hapo , au ndio kuwezi kufirika. na kutafakari , akili za kupewa kiooo. wenyr akili wanachukue dhahabu na almasi 🤣🤣🤣
Maana ya ushamba ni nini huwaga mkimbilia ushamba yawezekana wewe ndo mshamba zaidi yao na usishangae wanakuzidi hadi maisha chunga mdomo wako wewe bata mla tope
@@whatisthetruth.8793 ndugu yangu hao niwakimbizi.. hiyo ni sikukuu yao. Sio siku ya fashion show. Ni fashion show ndn ya sikukuu ya wakimbizi. Unaweza ukatumia elfu sabini KWA ajili yakujipepea?
Respect to you my sister ❤. DRCONGO. We love our country . One day yes
Akunaga wa Rwanda 🇷🇼 kwenye iyo kambi ni wa congo 🇨🇩 na wa Rundi tu 🇧🇮
Wapo
Hamna
Wapo Ila sio wengi tu
Acha ujinga akuna wakimbizi gutoka Rwanda Amani Rwanda 👍👍👍
Hapo ni wakimbizi wa Burundi na congo hakuna mkimbiz wa Rwanda muwe mnaweka habar kwa ufasaha zaidi acha kuwalisha watu matango poli
Wapo
Wanyaruwanda wapo kibao kambini. Wengine wanaosema wakirudi wataishi vp hawana chochote kwa hiyo wapo msibishe.
Wamependeza sana kwenye hii show
Rwanda haina wakimbizi kwa sasa Tanzania, Na hakuna kambi yenye wakimbizi toka huko. Lakini wamejaribu kwa kweli katika hari zao za ukimbizi hawa walio andaa hiyo show .mungu awasaidie nchi zao zipate amani warudi kwenye maishaa ya kawaida.
Duh aisee kumbe kambini Kuna visu hatari
👌🔥🔥
Mashallah, Mrembo
Se bein, 👏🏿 bravo.
Yanii wamezoea kukimbia sio kwa hizo pozi ila wamedamshi
Good ❤❤
Rwanda wanakibia nn ten bwna iche yao ina Aman
Bado wapo wakimbizi wa zamani
Mimi ngoja nikatafute zangu jiko huko
Majiko mazuri yapo kariakoo, mtaa wa congo na aggrey. Unapata la gas kabisa ya plates mbili, tatu,n.k.
We milardayo vipi yani unavyo chukia Congo mpaka unasema Rwanda badala ya congo umenisikitisha sana
Nimeona Hii. Sikuhudhuria kwani nilikuwa tight na CO training za wale wacongo wanaenda USA ila niliambiwa sherehe ilifana sana
Naomba kuishauli serekari yetu ya tanzania kuwa iwaruhusu hawa warwmbo waolewe huku kwetu
🔥🔥🔥🔥
Nipe number yako nikuunganishe nae
Wow nice
Sasa Rwanda Unakimbia Nni Burundi pia Yani bora Ukimbie DRC Apo kweli Ao Wengine Ludisheni kwao Kasolo pisi za Rwanda
🙏🙏🙏🙏
Waachen jaman hkuna wa kuwafarij hao weng Ndg zao walishatangulia mbele za hapo hawajitambui Wacha Wafarijiwe tu 😭
Wema sepetu ajitokeze
Wacha weeee
ukona kasoro rwanda kuna amani rekebisha ujinga zako plz
Mm hata sioni fashion yyte ninajionea nguo tuh
Vumbi namna hii
Kweli hawa ni wakimbizi😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂
Ila kusema kweli hapo ndipo wanapo patikana majambazi sugu sitakiiiiiii kuchambwa ila majambazi wengii ni watu tunao wajaribisha na kuwasaidia kwa wema tu badae ndio ivoo tena
Jmn gauni imetoboka arafu alivyowageuzia wale majaji kwa madaha wowow
02:26 pisi
wakimbizi why?
Hapa hakuna fashion
Leo mumetuletea vichekesho ila nimefurahi nairejea mara tatu hii video kikweli Allah awatangulie wanajifurahisha wenyewe japo wana majonzi ya kupoteza ndugu zao
😂😂😂
Akuna wa rwanda hapo please hahahahahahhhaa
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakimbizi kweli maana sio kwa kukimbia huko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwan hamjaona huyo mwenye gauni limeraruka nyuma🤦♀️
Utakuwa ndio mtindo wenyewe huo🤭🤭
Nilidhan nimeona pekeangu
Jmn munamacho kweli😃😃😂
ni mshono huo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔
Hawanajipya big ass tu
duh ! Africa jamani tupo nyuma sana kwa kila kitu , fashion show vumbini 🏃🏃🏃
😁😁😁🤣🤣🤣🤣
Yaani wewe ni pimbi kweli aisee umeambiwa hapo ni mjini hapo ni kambi ya wakimbizi sio dar hapo tumia akili pimbi wewe
Acha hizo...kwani huelewi maana ya neno au watu wakimbizi wako kambini?
Give them a break please....they don't have facilities or luxuries kama weye hapo...but still wanajitahidi kujifariji na kusahau matatizo yao.
@@kaitaramadan6340 pimbi naona ni weee unaepewe kioo watu wakachukua dhahabu na almasi na kuwasindikiza kani hakuna uwezekano wa kufanya hivyo maonye kwenye sehemu yenya mazingira yaliy bora zaidi ya hapo , au ndio kuwezi kufirika. na kutafakari , akili za kupewa kiooo. wenyr akili wanachukue dhahabu na almasi 🤣🤣🤣
Eti vumbini😂😂😂😂😂
Yan wote washamba Sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Sio washamba ila kumbuka hao niwakimbizi pia wapo ktk mazingira magumu wamejitahidi sana
Maana ya ushamba ni nini huwaga mkimbilia ushamba yawezekana wewe ndo mshamba zaidi yao na usishangae wanakuzidi hadi maisha chunga mdomo wako wewe bata mla tope
Fikiria kabla hujaongea wacha matharau ndogondogo
Mshukuru mungu kwa hali yako usidharau wengine
Kwanini wasirudi makwao maana naona Rwanda wanapokea wazungu huku wao watu wao wapo nje kama wakimbizi....msemo wa mnyeti baadhi ya nchi hazijitambui
🤣🤣🤣mbona wanatembea kama wanakimbizwa
😃😃😃😃😃😃
😂
Si ndio wakimbizi jamani
@@abuialmarjibi979 😂😂😂asee umewaza mbali
@@abuialmarjibi979 muone 😁🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa Fashion gani jamani 🤣🤣🤣
fashion dongoni na vumbini , hufanyika Africa tuu 🤣🤣🤣
@@whatisthetruth.8793 ndugu yangu hao niwakimbizi.. hiyo ni sikukuu yao. Sio siku ya fashion show. Ni fashion show ndn ya sikukuu ya wakimbizi. Unaweza ukatumia elfu sabini KWA ajili yakujipepea?
Wame tuletea vituko mie nzcheka tu nafurahi najisikia kucheka Allah awatangulie wamenifurahisha
Sio poa,,,Nyie mnadharau watu ambao situation zao mnazijua,
@@blackity10 nonsense kabisa sijui watapoteza nini wakikaa kimya??
Wamevaa kikimbizi ma wanatembea kikimbizi🤣
😂😂😂😂😂
Mbona hayo mavazi ni ya kawaida sn jmn🤣🤣🤣uyo mwenye kupasuka gauni kwema😁😁nacheka kama mazuri dah