TAZAMA WAREMBO WAKIMBIZI KUTOKA RWANDA NA BURUNDI KWENYE FASHION SIKUKUU YA WAKIMBIZI DUNIANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 95

  • @emmanuellkfightforjusticea2474
    @emmanuellkfightforjusticea2474 2 года назад +6

    Respect to you my sister ❤. DRCONGO. We love our country . One day yes

  • @deborahjm8890
    @deborahjm8890 2 года назад +11

    Akunaga wa Rwanda 🇷🇼 kwenye iyo kambi ni wa congo 🇨🇩 na wa Rundi tu 🇧🇮

  • @NapoleonDusingizimana
    @NapoleonDusingizimana 17 дней назад

    Acha ujinga akuna wakimbizi gutoka Rwanda Amani Rwanda 👍👍👍

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 года назад +14

    Hapo ni wakimbizi wa Burundi na congo hakuna mkimbiz wa Rwanda muwe mnaweka habar kwa ufasaha zaidi acha kuwalisha watu matango poli

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 года назад

      Wapo

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 2 года назад

      Wanyaruwanda wapo kibao kambini. Wengine wanaosema wakirudi wataishi vp hawana chochote kwa hiyo wapo msibishe.

  • @beatricekipela9100
    @beatricekipela9100 2 года назад +4

    Wamependeza sana kwenye hii show

  • @deniskimenyi899
    @deniskimenyi899 2 года назад +5

    Rwanda haina wakimbizi kwa sasa Tanzania, Na hakuna kambi yenye wakimbizi toka huko. Lakini wamejaribu kwa kweli katika hari zao za ukimbizi hawa walio andaa hiyo show .mungu awasaidie nchi zao zipate amani warudi kwenye maishaa ya kawaida.

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 2 года назад +2

    Duh aisee kumbe kambini Kuna visu hatari

  • @Hearts4rucyah
    @Hearts4rucyah 2 года назад +4

    👌🔥🔥

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +2

    Mashallah, Mrembo

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 года назад +1

    Se bein, 👏🏿 bravo.

  • @sazanahussen6715
    @sazanahussen6715 2 года назад +3

    Yanii wamezoea kukimbia sio kwa hizo pozi ila wamedamshi

  • @marieakili3005
    @marieakili3005 Год назад

    Good ❤❤

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 года назад +3

    Rwanda wanakibia nn ten bwna iche yao ina Aman

    • @mcback4384
      @mcback4384 2 года назад

      Bado wapo wakimbizi wa zamani

  • @theosaimon6933
    @theosaimon6933 2 года назад +5

    Mimi ngoja nikatafute zangu jiko huko

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 2 года назад

      Majiko mazuri yapo kariakoo, mtaa wa congo na aggrey. Unapata la gas kabisa ya plates mbili, tatu,n.k.

  • @kigomanow5413
    @kigomanow5413 2 года назад +1

    We milardayo vipi yani unavyo chukia Congo mpaka unasema Rwanda badala ya congo umenisikitisha sana

  • @mwombekimajura1973
    @mwombekimajura1973 2 года назад +1

    Nimeona Hii. Sikuhudhuria kwani nilikuwa tight na CO training za wale wacongo wanaenda USA ila niliambiwa sherehe ilifana sana

  • @meshackmarwa9
    @meshackmarwa9 2 года назад

    Naomba kuishauli serekari yetu ya tanzania kuwa iwaruhusu hawa warwmbo waolewe huku kwetu

  • @mawazomwamba2667
    @mawazomwamba2667 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 года назад +2

    Nipe number yako nikuunganishe nae

  • @mamitaamashausi5164
    @mamitaamashausi5164 2 года назад

    Wow nice

  • @frankkashamakula838
    @frankkashamakula838 2 года назад +1

    Sasa Rwanda Unakimbia Nni Burundi pia Yani bora Ukimbie DRC Apo kweli Ao Wengine Ludisheni kwao Kasolo pisi za Rwanda

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 года назад +1

    🙏🙏🙏🙏

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042 2 года назад +3

    Waachen jaman hkuna wa kuwafarij hao weng Ndg zao walishatangulia mbele za hapo hawajitambui Wacha Wafarijiwe tu 😭

  • @sumayananabintimusa6321
    @sumayananabintimusa6321 2 года назад +2

    Wema sepetu ajitokeze

  • @yuzzohcrayze
    @yuzzohcrayze 2 года назад +1

    Wacha weeee

  • @musanachantal5867
    @musanachantal5867 2 года назад

    ukona kasoro rwanda kuna amani rekebisha ujinga zako plz

  • @omarhome2260
    @omarhome2260 2 года назад

    Mm hata sioni fashion yyte ninajionea nguo tuh

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 года назад

    Vumbi namna hii

  • @miriamwinston9908
    @miriamwinston9908 2 года назад +4

    Kweli hawa ni wakimbizi😂😂

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 2 года назад +1

    Ila kusema kweli hapo ndipo wanapo patikana majambazi sugu sitakiiiiiii kuchambwa ila majambazi wengii ni watu tunao wajaribisha na kuwasaidia kwa wema tu badae ndio ivoo tena

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад

    Jmn gauni imetoboka arafu alivyowageuzia wale majaji kwa madaha wowow

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy 2 года назад

    02:26 pisi

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 2 года назад

    wakimbizi why?

  • @alextercisio
    @alextercisio Год назад

    Hapa hakuna fashion

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 2 года назад +2

    Leo mumetuletea vichekesho ila nimefurahi nairejea mara tatu hii video kikweli Allah awatangulie wanajifurahisha wenyewe japo wana majonzi ya kupoteza ndugu zao

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад +1

    😂😂😂

  • @oliverwema8646
    @oliverwema8646 2 года назад +1

    Akuna wa rwanda hapo please hahahahahahhhaa

  • @sharifaabdullah1161
    @sharifaabdullah1161 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakimbizi kweli maana sio kwa kukimbia huko

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @halimaally8668
    @halimaally8668 2 года назад +4

    Kwan hamjaona huyo mwenye gauni limeraruka nyuma🤦‍♀️

  • @dlumala
    @dlumala Год назад

    Hawanajipya big ass tu

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 2 года назад +3

    duh ! Africa jamani tupo nyuma sana kwa kila kitu , fashion show vumbini 🏃🏃🏃

    • @jeniferemmanuel4251
      @jeniferemmanuel4251 2 года назад

      😁😁😁🤣🤣🤣🤣

    • @kaitaramadan6340
      @kaitaramadan6340 2 года назад

      Yaani wewe ni pimbi kweli aisee umeambiwa hapo ni mjini hapo ni kambi ya wakimbizi sio dar hapo tumia akili pimbi wewe

    • @LishaPasha
      @LishaPasha 2 года назад +1

      Acha hizo...kwani huelewi maana ya neno au watu wakimbizi wako kambini?
      Give them a break please....they don't have facilities or luxuries kama weye hapo...but still wanajitahidi kujifariji na kusahau matatizo yao.

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад

      @@kaitaramadan6340 pimbi naona ni weee unaepewe kioo watu wakachukua dhahabu na almasi na kuwasindikiza kani hakuna uwezekano wa kufanya hivyo maonye kwenye sehemu yenya mazingira yaliy bora zaidi ya hapo , au ndio kuwezi kufirika. na kutafakari , akili za kupewa kiooo. wenyr akili wanachukue dhahabu na almasi 🤣🤣🤣

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 2 года назад

      Eti vumbini😂😂😂😂😂

  • @samwelipaul1462
    @samwelipaul1462 2 года назад +2

    Yan wote washamba Sana 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nelsonjonathan7660
      @nelsonjonathan7660 2 года назад +1

      Sio washamba ila kumbuka hao niwakimbizi pia wapo ktk mazingira magumu wamejitahidi sana

    • @mahamuduabubakar5909
      @mahamuduabubakar5909 2 года назад +2

      Maana ya ushamba ni nini huwaga mkimbilia ushamba yawezekana wewe ndo mshamba zaidi yao na usishangae wanakuzidi hadi maisha chunga mdomo wako wewe bata mla tope

    • @brenda1083
      @brenda1083 2 года назад

      Fikiria kabla hujaongea wacha matharau ndogondogo

    • @blackity10
      @blackity10 2 года назад +1

      Mshukuru mungu kwa hali yako usidharau wengine

  • @nicholouswaryoba1474
    @nicholouswaryoba1474 2 года назад

    Kwanini wasirudi makwao maana naona Rwanda wanapokea wazungu huku wao watu wao wapo nje kama wakimbizi....msemo wa mnyeti baadhi ya nchi hazijitambui

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 2 года назад +6

    🤣🤣🤣mbona wanatembea kama wanakimbizwa

  • @beatricebertin2940
    @beatricebertin2940 2 года назад

    Kwa Fashion gani jamani 🤣🤣🤣

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 2 года назад +1

      fashion dongoni na vumbini , hufanyika Africa tuu 🤣🤣🤣

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 2 года назад

      @@whatisthetruth.8793 ndugu yangu hao niwakimbizi.. hiyo ni sikukuu yao. Sio siku ya fashion show. Ni fashion show ndn ya sikukuu ya wakimbizi. Unaweza ukatumia elfu sabini KWA ajili yakujipepea?

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 2 года назад

      Wame tuletea vituko mie nzcheka tu nafurahi najisikia kucheka Allah awatangulie wamenifurahisha

    • @blackity10
      @blackity10 2 года назад +3

      Sio poa,,,Nyie mnadharau watu ambao situation zao mnazijua,

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 2 года назад

      @@blackity10 nonsense kabisa sijui watapoteza nini wakikaa kimya??

  • @stellah3844
    @stellah3844 2 года назад

    Wamevaa kikimbizi ma wanatembea kikimbizi🤣

    • @sumayananabintimusa6321
      @sumayananabintimusa6321 2 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад +1

      Mbona hayo mavazi ni ya kawaida sn jmn🤣🤣🤣uyo mwenye kupasuka gauni kwema😁😁nacheka kama mazuri dah