SIMBA MKONGWE ] [FULL MOVIE ] [ BEST ACTION MOVIE IN TANZANIA ] [ FULL HD ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024

Комментарии • 95

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Год назад +6

    Movie kali hongereni sema Mwamba umetisha san movie inaanz mpk inaisha hujabadilisha Cap 🧢
    Chengine jaribuni kufany vitu kweny uhalisia siamini fight zote sijaona hata shati kuchanika wala kuchafuka
    Cha mwisho actors wavae uhalisia wao 🎉
    Big up one step more

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Год назад +5

    Waaah jmn,mumetisha ckwa action hio,mpk nahepa mm naona kama mateke namangumu yatanifikia, thnx I have enjoyed ur movie

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Год назад +4

    Kaza Pambana. Bongo Movies to the World

  • @aminahussain3058
    @aminahussain3058 Год назад +12

    Tamu sanaa nataka nyingine❤❤❤❤💯💯

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад +17

    Tunaoangalia na kuikubali move hii weka like yako tujuane 22. 11. 2022

  • @mwasimwajambo4686
    @mwasimwajambo4686 11 месяцев назад +2

    Congratulations guys so much love from kenya

  • @HusseinJuma-wz3md
    @HusseinJuma-wz3md Год назад +1

    Iko pow brother nimeikubali sana💪💪💪💪💪

  • @yusuphmahimbo5659
    @yusuphmahimbo5659 Год назад +3

    Nimeipenda Sanaa na Sanaa 👍👍👍💯💯💯🔥🔥💪💪

  • @yusuphshedafa7406
    @yusuphshedafa7406 Год назад +3

    Oya mumetisha Sana movie kali sana

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Год назад +1

    Wow kaz nzuri sana hongera ❤❤❤

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 5 месяцев назад +1

    Kazi nzur nawapenda nyote

  • @njkayembeyoutube7331
    @njkayembeyoutube7331 Год назад +3

    📢umupe yesu kristo maisha yako,muisho umefika Yesu ekonakuja,tutubu na tujitayarishe kumupokea matayo 24:42

  • @geoffrey9833
    @geoffrey9833 Год назад +3

    Wow unapendesa

  • @mduduthegreat558
    @mduduthegreat558 11 месяцев назад

    Naitwa jastine or mdudu ,,,, Naweza action na najiamian ,,naweza kufight ,,,kuigiza pya hivyoo kama utamind nichek tutengeneze ktu ,,,napenda bongo movie broo,,,

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Год назад +4

    Movie nzuri sana wadau 👌💪

  • @davidandrew-yy1bx
    @davidandrew-yy1bx 3 месяца назад

    Respect sana kaz nzur

  • @MicahWasilwa-iz2yl
    @MicahWasilwa-iz2yl 5 месяцев назад +1

    Good job bro

  • @AbuswahbuMjuwa
    @AbuswahbuMjuwa 26 дней назад

    Kali movie my brother

  • @wamzimedia
    @wamzimedia Год назад +1

    Movie iko vizuri tatzo rangi tu😢😢😢😢

  • @MwambamizabanUzaban
    @MwambamizabanUzaban 11 дней назад

    Hiii chaneli nimeikubali

  • @SalimAlhusaini
    @SalimAlhusaini 2 месяца назад

    Nani jina lake acter

  • @MozesGalus
    @MozesGalus 6 месяцев назад

    Yeah move kali hila 2ongeze juudi zaidi hili 2fike mbali.

  • @jesussavesus2210
    @jesussavesus2210 Год назад +1

    Yohana 14:5-6 Tomaso akamwambia, Bwana, hatujui uendako; na jinsi gani tunaweza kujua njia? Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
    Kwa yeyote anayefikiri kwamba Biblia haiwezi kuwa ya kweli na kwamba Yesu Kristo si Mungu. Sodoma na Gomora, kuvuka kwa Bahari Nyekundu na Safina ya Nuhu zote zimepatikana, mahali ambapo Biblia inasema ziko, na kila unabii uliowahi kuandikwa umetimia, kutia ndani sasa katika siku zetu. Ulimwengu wetu wote unategemea maisha ya Yesu Kristo, BC na AD, kwa sababu, kwa sababu Mungu alitoa ushuhuda wa yeye ni nani. Usiache zawadi ya bure ya uzima wa milele bila kumtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwanza na kumuuliza ukweli ni upi, maana Yesu Kristo ndiye njia pekee ya kwenda mbinguni kama alivyotuambia, anakupenda sana na anataka ufanye hivyo. uwe na uzima wa milele. Mungu akubariki.❤🙏🕊

  • @WilleMsamba
    @WilleMsamba 3 месяца назад

    Imekaa poa😢😢😢

  • @mose6138
    @mose6138 3 месяца назад

    Very fantastic.

  • @RealChui
    @RealChui 9 месяцев назад

    noumaaaaa sanaaaaaa

  • @ZuberOmar-z4z
    @ZuberOmar-z4z Год назад

    no sio watu kochin sema vifa au vitendea kazi Tanzania hatuna waigizaj wanajitoa Sana tu sema wako vzr

  • @COMEDIANBABAMAPICHA
    @COMEDIANBABAMAPICHA 9 месяцев назад

    Wowo❤❤❤❤hi movie 🎥🎥🎥 iko moto

  • @harunaabrahaman1679
    @harunaabrahaman1679 Год назад

    Bongo kwa action sasa hivi tuko vizuri ubora umeongezeka

  • @IgnatiusIgnatius-f5o
    @IgnatiusIgnatius-f5o 7 месяцев назад

    Nice work

  • @BongoclipsTrailerstz
    @BongoclipsTrailerstz Год назад +2

    nice bro nakukubali kazi mzuri

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 Год назад

    Movie nzuri,action nzuri ila camera jaribuni kuituliza ischeze saana ili tuone izo actions clearly,,,,,good job

  • @evanssauti8965
    @evanssauti8965 Год назад +1

    Move siombaya ila watu wenyewe ndio bado wako chini hawana confidence

  • @aminashuruty126
    @aminashuruty126 Год назад +2

    So nice😍❤️❤️

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Год назад +1

    Mwanzo Ili Movie Sijalipenda Ila Palipo anza Mkono Nimependa

  • @JOBNYABUTO-ox7do
    @JOBNYABUTO-ox7do 5 месяцев назад

    Ikon sawa

  • @DavidJames-rv6hj
    @DavidJames-rv6hj Год назад

    Omulimu omulunge

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Год назад +2

    Jama Wamanywele Anapiga Mkono Kama Kweli Vile

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Год назад +2

    Jamani mwendelezo 😋🤣🤣🤣🤣

    • @jahuromary8950
      @jahuromary8950 Год назад +1

      Usjal jamilla soon tunawaleteaa muv kalii zaid ya hii

  • @karimnguvumali1594
    @karimnguvumali1594 Год назад

    nice vtu vdogo san kulekbsh mtu anpgwa mpk kofia inavuk akisi mam ipo kchwan mtu

  • @OmondiDavid-vy3li
    @OmondiDavid-vy3li Год назад +1

    Ninaipenda sana

  • @zepheniamnubi736
    @zepheniamnubi736 Год назад +1

    Broo umetisha san

  • @Sinkoi-cn1fm
    @Sinkoi-cn1fm Год назад

    Ipo freshi barida kaka

  • @BahatiLyimo
    @BahatiLyimo Год назад

    Ipo fresh sana😂😂😂

  • @humphreyzofundia1892
    @humphreyzofundia1892 Год назад +1

    Tamu Sana nyingne

  • @zabulonikwigizeyusufyusufu8269
    @zabulonikwigizeyusufyusufu8269 Год назад +1

    Kali kwelii

  • @eliudsancheztz4003
    @eliudsancheztz4003 Год назад

    Jamani muvie nzuli sana ila saut hampangilii jitahidin jaman saut iwe nzuli

  • @Nashondaniel
    @Nashondaniel Год назад +1

    Mko vizur sana

  • @mohdissa9224
    @mohdissa9224 Год назад +2

    🔥🔥

  • @khalidkassm1054
    @khalidkassm1054 Год назад

    Sikubali Inawezekn vp mtu unamkimbiza half amekuacha unajuwa yuko sehem fulani

  • @IbrahimMagaza
    @IbrahimMagaza 9 месяцев назад

    Kaz ya kiume

  • @bakarikhamis2803
    @bakarikhamis2803 10 месяцев назад

    Bhana huyu jamaa alochukuliwa mtoto bado hawez kusimama kwenye uhalisia wake wa kuwa yeye ni staring na amechukuliwa mtoto wake na yule mwanamke anatoa nafas ya kupigwa sana kizembe

  • @IreneMwarusha-ux2sc
    @IreneMwarusha-ux2sc Год назад

    Mmetisha kwakweli😊😊😊

  • @tigerman83
    @tigerman83 Год назад +1

    Kumbe saivi bongo kuna movie kali hivi na hamsemi watu mnasiri

  • @SirajiKhalidi
    @SirajiKhalidi 10 месяцев назад

    Asa mbn haumtafuti mtoto Kwanza alf nd uje kwa binti sikuelewen mtoto kafa au

  • @user-pv3ei3np9t
    @user-pv3ei3np9t 11 месяцев назад

    Ntak part nyungind

  • @KalvinJoseph-k9e
    @KalvinJoseph-k9e Год назад

    Kelvin Joseph

  • @eddyclassic8996
    @eddyclassic8996 Год назад +1

    Mbele pamoja

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Год назад +1

    🥰

  • @MRPMAWENGEMAWENGE
    @MRPMAWENGEMAWENGE 2 месяца назад

    nyie jama muko vizul

  • @wamzimedia
    @wamzimedia Год назад

    Mara msogelee, mara mng'ate
    Nadhini Editer anatakiwa ajitahid kuwa makin

  • @HAMISIMajuju-d9v
    @HAMISIMajuju-d9v Год назад

    2:45

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Год назад +1

    waah

  • @AbuuHaydarimsuya
    @AbuuHaydarimsuya Год назад

    ipo good

  • @naomikaema1841
    @naomikaema1841 Год назад +1

    Hapo kwa mwalimu wamechemsha hawapo makini kabisa

  • @HAMISIMajuju-d9v
    @HAMISIMajuju-d9v Год назад

    Iko poa move

  • @zehe449
    @zehe449 Год назад

    Werr

  • @qassimmzungu143
    @qassimmzungu143 Год назад

    Hii kali kaka pull up

  • @HajiKhamis-ez9vk
    @HajiKhamis-ez9vk Год назад

    dhh

  • @nellyofficial2225
    @nellyofficial2225 Год назад

    Sasa mtoto ulikyokuwa unatafuta yupo wap

  • @khadijabakari-q5w
    @khadijabakari-q5w Год назад

    Omulimu omulunge

  • @MwanaidiSembe-cz8mr
    @MwanaidiSembe-cz8mr Год назад

    Omulimu omulunge

  • @athanasianyumayo1706
    @athanasianyumayo1706 Год назад

    Omulimu omulunge

  • @AliomondiAliomondi-kx3jv
    @AliomondiAliomondi-kx3jv Год назад

    Omulimu omulunge

  • @HaeishiChuma
    @HaeishiChuma Год назад

    Omulimu omulunge

  • @mudhihirimzomoka7753
    @mudhihirimzomoka7753 Год назад

    Omulimu omulunge

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 месяцев назад

      Huyu simba wenyew bado hajakamilika anatia huruma sana

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 месяцев назад

      Hawez kusimama kwenye uhalisia wake na jinsi alivyo mwili mzuri wa mazoez ila bado anakubali kupigwa hovyo hovyo kama yeye siyo staring wa mchezo

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 месяцев назад

      Ajikaze sana na afanye mazoez yakutosha halafu asitiye huruma wakati anapambania hak yake

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 месяцев назад

      Maana sisi tunajifunza kitu na pia anatoa elimu kwa watu wenye tabia kama ya hao maadui zake lakin kawapata watu wake kiubabaishaj sana kama vile wanampa sehemu ya kupiga

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 месяцев назад

      Eti yeye anamshika kibi adui nyuma wakati yuko na kisu na huyoyo adui mikono yake iko huru ya kufanya chochote si alimchoma kisu cha paja hule uzembe kwanza