Aminaaa....Aminaaaa....Amina sanaaaa. Tangu kuamini nitalisifu jina lake. Hakika Mungu ni mwema sana ktk maisha yetu,ukimwamini Mungu hata magumu anayarahisisha. KAC mbarikiriwe sanaaaaaa❤❤❤
Mwende mbali kuelimisha kurudi ktk uimbaji wa kiadventsta navutiwa najinsi mnavyopangilia nyimbo hzi zimekuwa ni tamu sana duh tangu kuamini bwana awabariki sana sana tena sana
Hakika kila mtu ana wimbo wake tangu kuamini mbarikiwe
May God keep you safe Kirumba SDA choir am blessed. A lot without single songs my is powerless but with one song from you power dwells within me.
❤
ameen. listening from Kenya nairobi
Barikiwa sana
❤❤barikiweni sana, kwaya hii imenifanya kuuona mguso mkubwa katika nyimbo za Kristo
Waoooh!
Mungu awalinde KAC.
Nyimbo zenu zote ni Moto.
Aminaa!
Watching from Kisii - Ke
Nakumbuka December nilikaa kwa TV kuangalia season 3 Sasa mwanzo adi mwisho kwa kweli KAC Mungu awabaliki sana
Nawapenda
Karibu Dec homecoming
@@user-oq7zk8di8p Asante sana nitakaribia kipenzi
Naomba Mungu azidi kuwatumia. Be blessed
Waaaaoooooh
Hakika wimbo mtamu unabariki sana Mungu awabariki
Am blessed with the song, and the speech b4 the song
Waiting😊
Nilikua nasubiria kwa Hamu kubwa sana huu wimbo Mungu awabariki sana binafsi mnanibariki sana kirumba❤❤
Amen
Ameeeeeeeeeen Mungu apewe sifa 🙌🙌🙌dak 1 ya kuwaombea
I'm waiting for this song My Best be bleessed more
Bwana awabariki sana tunazidi kuwaombea ibirisi akawaepushe msonge mbele
Waiting. There
Tangu kuamini Bwana amenipa burudiko katikati ya changamoto tele
Nimebarikiwa na wimbo huu
Ameeeeeeen
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 Ameeeen
Aminaaa....Aminaaaa....Amina sanaaaa.
Tangu kuamini nitalisifu jina lake.
Hakika Mungu ni mwema sana ktk maisha yetu,ukimwamini Mungu hata magumu anayarahisisha.
KAC mbarikiriwe sanaaaaaa❤❤❤
Amen. Tubalikiwe sote
Amina!
Very sweet song, you made it not boring!! I am very blessed
Mungu atukuzwe sana. Tuna barikiwa kutoka drc bunia
Amina
Familia!❤️
Be blessed for the well organised and nicely unique arranged song ...
Mungu awabariki sana
Kwa kweli ninao wimbo mtamu rohoni... Baada ya dhiki faraja hufuatia
huuu wimbo niliusubiri kwa hamu saaaana balikiwa sana kirumba💔💔💔
Thankyou for the good music
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Nabarikiwa sana
Amen🙏🙏
Ameen
Amen
Next iwe tumesikia mbiu please 🙏
🤣 tumepokea
@@slyvestermayala7045 😂😂 Asante
A very blessing song
Mubarikiwe
BWANA ATUKUZWE SANAAAAA
Aminaaaaaa KAC
Praise be to God, indeed tangu kuamini nitazidi kusifu jina lake kwa mengi amenitendea!
Tangu kuamini, nitaendelea kulisifu Jina la Yesu.
Amen Amen
Hallelujah
Asanteni sana kwa nyimbo nzuri ..Mungu awabariki sana.
nabarikiwa sana na nyimbo hizi nzuri , zinaniamsha kiroho ❤
Tangu kuamini is my best song
Mwende mbali kuelimisha kurudi ktk uimbaji wa kiadventsta navutiwa najinsi mnavyopangilia nyimbo hzi zimekuwa ni tamu sana duh tangu kuamini bwana awabariki sana sana tena sana
Wimbo wako ni upi...??
Amen 🎉
Amen
Amen amen