Al-Hatimy Amrekebisha Khatibu wa Vetenary Kwa Kusema "Mtume Muhammad S.A.W Hanufaishi wala Hadhuru".

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 ноя 2015
  • La Haula Wala Kuwwata Illa Billah! Leo kwatokea Mtu tena Katika Madaa'i na kutowa matamshi yasio na Heshima wala Adabu Juu ya Mtume Muhammad S.A.W Bila ya Kujali, tena akiwa Juu ya Mimbari ya Mtume Muhammad S.A.W.

Комментарии • 120

  • @ismailchilonga2878
    @ismailchilonga2878 4 года назад +7

    Kishki napenda ila Huyu sheikh yupo sawa hana makosa yupo sahihi kabisa mwenyezi mungu amzidishie imani

  • @aishamalaki1352
    @aishamalaki1352 6 лет назад +17

    ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie Sheikh Hatimy maisha marefu yenye kheri ili uwasomeshe nawengine zaidi maana haoulio wasomesha wameanza kusoma sasa INSHAALLAH ALLAH atawabadilisha wajuwe vizuri dini yao

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby3697 5 лет назад +13

    SubuanaAllah,, AstaghfiruAllah AstaghfiruAllah ewe mollah wetu tusamehee na utuweke ktk njia iliyo ya kheir

  • @ramadhanwilbard4685
    @ramadhanwilbard4685 4 года назад +6

    Mimi nadhani Shekh Kishiki alitaka kutuambia ya kwamba Mwenyezi mungu ndiye namba 1 na kila kiumbe kinamsujudia yeye tu na Mtume wetu Mohamedi naye katoka kwake na sisi tunamuheshimu katika imani yetu ya Uislamu Mtume wetu lakini hatumsujudii kama mwenyezi mungu mm kwangu naona Kishiki yuko sawa!

  • @abdulsanz7885
    @abdulsanz7885 5 лет назад +7

    uyu kishki atatuponza... asante Al Hatim kwa kumkosoa kiakili... Kishki usiwe na Kibri... Kafiri mwenyew hawez kusema ati Mtume hanufaishi wala hadhuru ww umepata wap jeur hii

  • @binmwerionlinetv1256
    @binmwerionlinetv1256 4 года назад +6

    Wallah elimu ni bahari
    allah atunufaishe kwa elimu za maulamaa wetu

  • @nganzirashidi1463
    @nganzirashidi1463 6 лет назад +11

    Huyu Sheikh mm nimemuelewa na ninamkubali sana

  • @burhanhaji769
    @burhanhaji769 6 лет назад +7

    "Na wala hatukuwatuma katka mitume (tuliowatuma), ispokuwa in lugha ya watu wake ili kuweza kuwabainishia(Haki)....QUR-AN 14:3, kwa mujib wa aya hii, imamu WA veterani yupo sahihi kutoa khutba kwa lugha ya watu anaowafikishia ujumbe.

  • @semenimtoka1121
    @semenimtoka1121 4 года назад +2

    Wallah shekh unaelimu kubwa sanaa lkn msipende kurekebshqn mtandaon mungu akuhifadh al hatimy

  • @jaafaralsadiqchannel1906
    @jaafaralsadiqchannel1906 8 лет назад +5

    احسن الله علينا و على المسلمين. و لنعلم ان هذه امتنا امة واحدة فرويدكم رويدكم

  • @swafiamohammed1708
    @swafiamohammed1708 5 лет назад +6

    Allah akukuhifadhi Sheikh Al hadi

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno5740 5 лет назад +9

    tunaomba masheikhe wetu wa ahlusunna watembee kote kufahamisha wengi waliopotezwa .wallahi wengi hawafahamu dini

  • @AhmedMohamed-hc6pp
    @AhmedMohamed-hc6pp 8 лет назад +6

    Subhan'Allah! what a beautiful reply. I hope you may reply to more of such sheiks INSH'ALLAH

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 года назад +5

    Alhatimi your right.May Allah bless you.

  • @shekhally5741
    @shekhally5741 3 года назад +3

    Maashaallh! Allh akujaalie kheri na ziada ktk elimu yako inshaallah.

  • @ustazzaghawiyustazzaghawiy7246
    @ustazzaghawiyustazzaghawiy7246 6 лет назад +4

    ALLAAH AKUHIFADHI NA SHARI ZA MAHAASIDI

  • @jumasalum5769
    @jumasalum5769 4 года назад +4

    Dah! Sheikh wangu #Al_Khatimy hiv nifanye nn ili nipate kuonana na wew live me niko Mwanza Tanzania Sheikh maana naham sana ya kukuona

  • @mohamedseph9379
    @mohamedseph9379 5 лет назад +6

    Sheikh Al - Hatimy achana na babu wa vetinari ss tunamjuwa kama mfanya biashara tu

  • @user-tl2jz5wg2p
    @user-tl2jz5wg2p 5 лет назад +4

    قال تعالى:فماذا بعد الحق إلا الضلالة..سورة يونس

  • @rachelevarist70
    @rachelevarist70 4 года назад +8

    Mimi napenda mauridi sana maana yametutoa mbali yametujenga kushkamana yalituonganisha kiukweli mtu anayepinga mauridi huyo ana ajenda yake

  • @rahmaabid447
    @rahmaabid447 4 года назад +3

    Mbona unapenda kumkosoa mwenzako....Au unataka umaarufu...

  • @alhajrialhajri4026
    @alhajrialhajri4026 3 года назад +3

    Kama kishki kakosea kamkosowe mwenyewe mkiwa wawili sio mitandaoni hii tabia haifae kwa mashekh kama nyinyi

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 3 года назад +3

    صلى الله عليه وسلم

  • @mbaroukznz2331
    @mbaroukznz2331 4 года назад +6

    Sheikh kishiki soma kwanza hayo maneno sio ya nahau fikiria kwanza kabla kuropoka . uwahabi utakuponza.

  • @rukiasalim1834
    @rukiasalim1834 7 лет назад +9

    Kuwa na Elim ni raha sana

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo5836 5 лет назад +6

    tatizo hupinga vitu bila kuvielewa katika branch zote lugha ya kiarabu.

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 4 года назад +2

    Aallah akuhifadhi nudin

  • @UNO-xt7we
    @UNO-xt7we 4 года назад +2

    يُؤْتِي الْحِكْمَةَ مَن يَشَاءُ ۚ وَمَن يُؤْتَ الْحِكْمَةَ فَقَدْ أُوتِيَ خَيْرًا كَثِيرًا ۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّا أُولُو الْأَلْبَابِ (269)

  • @salehpandu2250
    @salehpandu2250 3 года назад +3

    Salam amakweli kuwa mwarabu sio kujua tafsiri ya kur - ani imedhihirika kishk hanahamu tuwe makini nae

  • @kijeshiabdalla6316
    @kijeshiabdalla6316 3 года назад +4

    Kupitia haya, hivyo waislam tunapaswa kutafuta elimu popote pale ili kuufahamu vizuri uislamu.

  • @rc4370
    @rc4370 4 года назад +1

    Inshaa lah waislam kumbukeni kujenga hospitali na vyuo vya Kati ufundi na vyuo vikuu

  • @KO-gi3gp
    @KO-gi3gp 2 года назад +2

    آللهم افضل سلام عليه ♥️🤲🏽

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham6567 7 лет назад +5

    kishk amefeli sana hapo awezi kutoa mfano dhalili km huo..... msiba huu

  • @maryamoman5926
    @maryamoman5926 4 года назад +2

    Subhanaallah

  • @mohamadbakar7203
    @mohamadbakar7203 3 года назад +2

    mashalaa

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam6693 3 года назад +1

    shekh mimi kwa maoni yangu mimi huyu kishki ni muwahab wale mashekh ambao wanakuja kuuvunja uislam sababu wote wanakuja na sauti yao

  • @tiffahbby3697
    @tiffahbby3697 5 лет назад +4

    Asallama Allayku Sheikh Alhatimy naomba namba yko kakangu

  • @abdulhalimmohamed3643
    @abdulhalimmohamed3643 6 лет назад +2

    Kishki ıkiwa Allah subhanahu wataalaa na malaikat wake wameswalia mtu sallAllahu alayhi wasallam je sisi tunaweza kumpandisha deraja kuu zaidi?

  • @medymtoro7403
    @medymtoro7403 3 года назад +1

    Naaaaam shekhe umezungumza ki ilmu

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 6 лет назад +1

    Subhana Allah

  • @tajireco
    @tajireco 5 лет назад +2

    Naomba kujua jina la kasida iliyopo kwenye CD ya majibu anayotoa sheikh Alhady

  • @sulimounsulimoun699
    @sulimounsulimoun699 8 лет назад +6

    Mgema akisifiliwa tembo huitilia maji
    Ndivyo kisshki

  • @bdulkadirmahsen1826
    @bdulkadirmahsen1826 8 лет назад +8

    kishki mbona hujui kupima maji na unga wafananisha mtume mtukufu na rais wa tanzania

  • @asiamsellem9562
    @asiamsellem9562 7 лет назад +3

    kama mtume ananufaisha kwann asimnufaishe ami yke na yy mwnyw kwni alikua akishinda na njaa baadhi ya C ku.na kudhuru mbona hakuweza kuwadhuru waliokua wakimkera na kukusidia hadi kumuua. nani mwny uezo huo thn actumie uwezo wake

  • @twaibungwira8843
    @twaibungwira8843 6 лет назад +1

    Bismillah rahman rahim,Hivi waislam tunaenda wapi mbona kila kukicha ni kukosoana tu ,Yaani waislam wa zama hizi baada ya kuungana ili kuusambaratisha ukafili,wao wanafitiniana wenyewe kwa wenyewe,Jamani waislam tuungane siyo kufehezesheana haifai tumwogope mungu,mambo ya kuwahusia waumini yako mengi nyinyi mmeacha kuamrishana kazi kupondana tu,waislam tuwe kitu kimoja kama mtu amekosea zipo taratibu siyo tuchafuane mitandaoni sio vyema hivyo

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 3 года назад +1

    وعليكم السلام ورحمةالله وبركاته

  • @fetysukafetysuka9056
    @fetysukafetysuka9056 3 года назад

    Shekhe Allah akuongoz maana wewe huna unalolijua zaidi yakukosoa wenzio

  • @slamecktz
    @slamecktz 8 лет назад +5

    Shekh AL-Hatimy Mwenyezi Mungu akuongezee umri mrefu na akuongezee hekima uendeleee kuitangaza dini ya haki ya Mwenyezi Mungu.

  • @bintshariffmuhammad620
    @bintshariffmuhammad620 3 года назад +3

    ALLAHUMMA SWALI WASALIM ALAYH

  • @mugabekazimiriam6693
    @mugabekazimiriam6693 3 года назад

    mazuri mazuri yaku laghaii watou na vuarabu vingi sana basi sisi ma amuma tukisikia viarabu vingi basi tuna sema huyo ni shekh mkuuu kbs

  • @rachelevarist70
    @rachelevarist70 4 года назад +4

    Kishk usitake kilakitu unakijua sio vizuri usilazimishe watu wote tuwe wahabia sio siri wahabia nawachukia sana mmekuja kutuvurugia dini

  • @nccmndnd8065
    @nccmndnd8065 7 лет назад +2

    kweli yako

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 5 лет назад +2

    MASHA LLAH shekh wetu

  • @zainabudave1799
    @zainabudave1799 4 года назад +2

    ALLAHU AKBARU

  • @docdicha1131
    @docdicha1131 4 года назад +2

    Iman yangu ktk Islam mwanzo wake ni maisha tu ya mtume (S. A. W).
    Watu hawaelewi point kubwa ktk jambo hili vijana wangapi wame dhurika na wasanii?
    Na wangapi wame pata Imaan kutokana na watu wema?
    Allah atulinde sote.

  • @noffelsalim830
    @noffelsalim830 2 года назад +1

    Kishki anapotosha tu

  • @chrisbrown9657
    @chrisbrown9657 4 года назад +5

    Nam sheh Sisi tuko comoro wahabi wanatuharibia mambo mengi

  • @seifpandu9051
    @seifpandu9051 6 лет назад +1

    Lau wakusanyike watu wote ili wakunufaishe mpaka mtume awemo hawatakunufaisha isipokuwa alilolipanga Allah na wakikaa kukudhuru pia hawatakudhuru ila alilolipanga Allah. Naona kama hapa pana shirki mtume hajuwi kinachoendelea duniani kafa kama waliokufa wengine

  • @swafiamohammed1708
    @swafiamohammed1708 5 лет назад +5

    Astaghfirullaaah! Kishk salaaaala yaonekana una chuki na mtumi wetu Muhammad SALALLAHU ALAYHI WASALLAM mpk wamlinganisha na raisi? Ati Mtume hadhuru wala hanufaishi! Inna lillah wa inna ilayhi rajiun

  • @abdulkarim7856
    @abdulkarim7856 7 лет назад +2

    طيب: العلم اولي من مواقف

  • @alhabibismail3031
    @alhabibismail3031 4 года назад +2

    Alafu sioni haja ya kukusoana huku, uislamu hauna sfa izi..tujarbu kufanya vtu vnavyoleta umoja kuliko kutukosanisha Inshallah

  • @saidzainabomar1650
    @saidzainabomar1650 2 года назад

    TAKBIR

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 3 года назад +1

    The heading looks nice but there is nothing he corrects but just make a comedy

  • @mfaumeatimwanga9227
    @mfaumeatimwanga9227 4 года назад +1

    sijuwi kama unahabari kama huku mitaani yamepungua kiasi kikubwa. watu hawana mpango nayo.pole sana shekhe

  • @bashmargasalmy225
    @bashmargasalmy225 8 лет назад +4

    kishki sifa tuu mmh hatari Subhallah

  • @ismailiidarusi132
    @ismailiidarusi132 5 лет назад +1

    nimesoma zote ila comment ya asia mselem ndiyo kaongea kweli

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v 4 года назад

    Kishki uko sawa kabisa

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 6 лет назад +2

    MashaAllah kwa elimu yako

  • @saidbakhlaaofficialchannel3950
    @saidbakhlaaofficialchannel3950 3 года назад +2

    Hiko kishehe kishki kina matatizo ya ubongo.

  • @lolooman9170
    @lolooman9170 4 года назад

    Mtume Muhamad kapata wahay kwa Allah na yeye anamtegemea Allah jalajalal

  • @eliasamudiki9794
    @eliasamudiki9794 7 лет назад +5

    kishki rudi kasome brother.tabu yenu mnaabudu mishahara

  • @abdulrahmanbakar5416
    @abdulrahmanbakar5416 8 лет назад +4

    dah kusoma ni muhimu sanaa

  • @abuuabdulrahmanhafidh8443
    @abuuabdulrahmanhafidh8443 8 лет назад +1

    sheikh kishki allah amhifadhi na aelewe na aikubali manhaj iliyosalimika na bidaa na shirki

  • @yassiralbajun5065
    @yassiralbajun5065 4 года назад +1

    Husda sio jambo zuri hata kidogo

  • @thabitikioza6727
    @thabitikioza6727 4 года назад +1

    Kama yupo serious akutane na wahusika ana kwa ana wafanye mdahalo

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 2 года назад +1

    Kishk akasome asipotoshe watu

  • @abuuabdulrahmanhafidh8443
    @abuuabdulrahmanhafidh8443 8 лет назад +1

    qul inni laa amliku dhwarran wala rashada

  • @amohamed6948
    @amohamed6948 8 лет назад +1

    Alhamdulillah Sh Kishki amesharekebishwa katika kuwakufurisha wengi wanaopenda kuisoma wasila Shafi. Kwa hivyo ilo baki aje mbele ya mimbar aombe msamaha siye nyie.. Ikiwa hawezi basi asiengilie mambo ya mizozo kwani yaonekana ya kuwa Shaikh Al Hady hayupo tayari kumuacha apumuwe. Wapenzi wa Kishki nothing personal. Take it easy and see where truth lies,

  • @kenyanforever260
    @kenyanforever260 5 лет назад +2

    Allah awastiri mashekhe nyote wawili bali watu hawarekebishani kwa mavideo
    Hio ni riyaa.
    Kama kweli mnataka kurekebishana ni muitane mupange cha rekebishana sio kwa mavideo...

  • @mbossowcb1915
    @mbossowcb1915 4 года назад +4

    Kishk hana ilim ndio sababu kila aongealo anakosolewa

  • @thabitikioza6727
    @thabitikioza6727 4 года назад

    Msidhani kama anabishana na shk ana kwa ana bali yeye na cd

  • @jabirimabada3967
    @jabirimabada3967 6 лет назад +2

    Nakuomba nakuomba kishki kasome upya maana huna lolote nisauti tuu kinanda

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 4 года назад +1

    Swadakata

  • @haleemasulthan4894
    @haleemasulthan4894 4 года назад +2

    Kishik yupo sahii sana

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 3 года назад +1

    Kwa upande wa maurid shekhe Kishk yuko sahihi. Kuna qasda haramu kabisa na nmewahi kuskia kwa mashekhe pakstan, ndomana wengine awapendi kabisa madufu yenu ni mangoma huwezi msherekea Muhammad aliyakua hata sunna ya ndevu mtu hana wanaimba qasda za vijembe nawana dancing hakika ni bidaa kubwa na maaswiya.

  • @abusufyan2952
    @abusufyan2952 4 года назад +1

    Munashindana ama

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 4 года назад

    Mapambano nani zaid
    Mie nixhamjua astaghfllah

  • @alishariff8657
    @alishariff8657 5 лет назад +3

    Kishki ni celebrity sio sheikh hata kua bahati mbaya.

  • @alikaisaak3771
    @alikaisaak3771 6 лет назад +6

    Never judge someone in public if u see ur correct tell him in private not public

  • @khadijahussein692
    @khadijahussein692 6 лет назад +3

    Acha izo shekh mbona unakata hiyo CD, sababu kitu najua mm ni kuwa Sheikh Nurdin anapoanza khutba lazima amsifu Nabii Mohammad (S. A. W) kwa sifa zinazo stahiki acha kusema hivo

  • @sharifmuadham2454
    @sharifmuadham2454 6 лет назад +4

    wehunslolote. unaonekana km.unaupinzani.na (kishki

  • @user-tl2jz5wg2p
    @user-tl2jz5wg2p 5 лет назад +1

    من أحدث في أمرنا هذا ماليس منه فهورد

  • @madarakambegu4977
    @madarakambegu4977 5 лет назад +3

    shekh umesoma lakini elim yako hauna elim nayo waislam wanarekebishana sio kukosoana mitandaoni

  • @awadhhadi446
    @awadhhadi446 4 года назад +2

    Huyu kishki anajifanya ana ilmu sana kumbe hana k2

  • @Platnumz11
    @Platnumz11 4 года назад +1

    Jamani mtume hawezi kuzuru ila ni Allah tu

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 года назад +1

    Kishki yupo sawa sawa
    Anae weza kuzuru na kunufaisha ni mmoja tu
    Allah s w

  • @OmarOmar-jh8sq
    @OmarOmar-jh8sq 5 лет назад +1

    Zako n chuki tu na kishki wala si kitu nyingine ju ata kama ingekua io kukosoa lkn ungetumia lugha ambayo yaonyesha kukosoa lkn ww watumia kejeli ,,,,,Hakika ya Allah ndie hakimu mkuu kati ya wewe na huyo kishki na walimwengu woote kwa ujumla na kila mmoja Allah anamjua nia yake vyema

  • @omaryhaytham6567
    @omaryhaytham6567 7 лет назад +2

    kishk km mashia vile

  • @salehkhamis9978
    @salehkhamis9978 5 лет назад +1

    sheikh kishki upo sawa endelea kuelimisha jamii

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 8 лет назад +5

    huyo kishki akasome kwanza

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 8 лет назад +2

      +kishki,tafadhali usichafue uislam kama ulipewa dollar za American uje uchafue uislam,muogope MUNGU,muogope MUNGU,muogope MUNGU,muogope MUNGU

    • @user-qs9rn2je4c
      @user-qs9rn2je4c 6 лет назад

      Hussein Kazungu źma