Al-Hatimy Amrekebisha Khatibu wa Vetenary Kwa Kusema "Mtume Muhammad S.A.W Hanufaishi wala Hadhuru".
HTML-код
- Опубликовано: 26 ноя 2015
- La Haula Wala Kuwwata Illa Billah! Leo kwatokea Mtu tena Katika Madaa'i na kutowa matamshi yasio na Heshima wala Adabu Juu ya Mtume Muhammad S.A.W Bila ya Kujali, tena akiwa Juu ya Mimbari ya Mtume Muhammad S.A.W.
Kishki napenda ila Huyu sheikh yupo sawa hana makosa yupo sahihi kabisa mwenyezi mungu amzidishie imani
ALHAMDULILLAH ALLAH akujaalie Sheikh Hatimy maisha marefu yenye kheri ili uwasomeshe nawengine zaidi maana haoulio wasomesha wameanza kusoma sasa INSHAALLAH ALLAH atawabadilisha wajuwe vizuri dini yao
SubuanaAllah,, AstaghfiruAllah AstaghfiruAllah ewe mollah wetu tusamehee na utuweke ktk njia iliyo ya kheir
Mimi nadhani Shekh Kishiki alitaka kutuambia ya kwamba Mwenyezi mungu ndiye namba 1 na kila kiumbe kinamsujudia yeye tu na Mtume wetu Mohamedi naye katoka kwake na sisi tunamuheshimu katika imani yetu ya Uislamu Mtume wetu lakini hatumsujudii kama mwenyezi mungu mm kwangu naona Kishiki yuko sawa!
uyu kishki atatuponza... asante Al Hatim kwa kumkosoa kiakili... Kishki usiwe na Kibri... Kafiri mwenyew hawez kusema ati Mtume hanufaishi wala hadhuru ww umepata wap jeur hii
Wallah elimu ni bahari
allah atunufaishe kwa elimu za maulamaa wetu
Huyu Sheikh mm nimemuelewa na ninamkubali sana
"Na wala hatukuwatuma katka mitume (tuliowatuma), ispokuwa in lugha ya watu wake ili kuweza kuwabainishia(Haki)....QUR-AN 14:3, kwa mujib wa aya hii, imamu WA veterani yupo sahihi kutoa khutba kwa lugha ya watu anaowafikishia ujumbe.
Wallah shekh unaelimu kubwa sanaa lkn msipende kurekebshqn mtandaon mungu akuhifadh al hatimy
احسن الله علينا و على المسلمين. و لنعلم ان هذه امتنا امة واحدة فرويدكم رويدكم
Allah akukuhifadhi Sheikh Al hadi
Ameen
tunaomba masheikhe wetu wa ahlusunna watembee kote kufahamisha wengi waliopotezwa .wallahi wengi hawafahamu dini
Subhan'Allah! what a beautiful reply. I hope you may reply to more of such sheiks INSH'ALLAH
Alhatimi your right.May Allah bless you.
Maashaallh! Allh akujaalie kheri na ziada ktk elimu yako inshaallah.
Amiin
ALLAAH AKUHIFADHI NA SHARI ZA MAHAASIDI
Dah! Sheikh wangu #Al_Khatimy hiv nifanye nn ili nipate kuonana na wew live me niko Mwanza Tanzania Sheikh maana naham sana ya kukuona
Sheikh Al - Hatimy achana na babu wa vetinari ss tunamjuwa kama mfanya biashara tu
قال تعالى:فماذا بعد الحق إلا الضلالة..سورة يونس
Mimi napenda mauridi sana maana yametutoa mbali yametujenga kushkamana yalituonganisha kiukweli mtu anayepinga mauridi huyo ana ajenda yake
Mbona unapenda kumkosoa mwenzako....Au unataka umaarufu...
Kama kishki kakosea kamkosowe mwenyewe mkiwa wawili sio mitandaoni hii tabia haifae kwa mashekh kama nyinyi
صلى الله عليه وسلم
Sheikh kishiki soma kwanza hayo maneno sio ya nahau fikiria kwanza kabla kuropoka . uwahabi utakuponza.
Kuwa na Elim ni raha sana
tatizo hupinga vitu bila kuvielewa katika branch zote lugha ya kiarabu.
Aallah akuhifadhi nudin
يُؤْتِي الْحِكْمَةَ مَن يَشَاءُ ۚ وَمَن يُؤْتَ الْحِكْمَةَ فَقَدْ أُوتِيَ خَيْرًا كَثِيرًا ۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّا أُولُو الْأَلْبَابِ (269)
Salam amakweli kuwa mwarabu sio kujua tafsiri ya kur - ani imedhihirika kishk hanahamu tuwe makini nae
Kupitia haya, hivyo waislam tunapaswa kutafuta elimu popote pale ili kuufahamu vizuri uislamu.
Inshaa lah waislam kumbukeni kujenga hospitali na vyuo vya Kati ufundi na vyuo vikuu
آللهم افضل سلام عليه ♥️🤲🏽
kishk amefeli sana hapo awezi kutoa mfano dhalili km huo..... msiba huu
Subhanaallah
mashalaa
shekh mimi kwa maoni yangu mimi huyu kishki ni muwahab wale mashekh ambao wanakuja kuuvunja uislam sababu wote wanakuja na sauti yao
Asallama Allayku Sheikh Alhatimy naomba namba yko kakangu
Kishki ıkiwa Allah subhanahu wataalaa na malaikat wake wameswalia mtu sallAllahu alayhi wasallam je sisi tunaweza kumpandisha deraja kuu zaidi?
Naaaaam shekhe umezungumza ki ilmu
Subhana Allah
Naomba kujua jina la kasida iliyopo kwenye CD ya majibu anayotoa sheikh Alhady
Mgema akisifiliwa tembo huitilia maji
Ndivyo kisshki
kishki mbona hujui kupima maji na unga wafananisha mtume mtukufu na rais wa tanzania
😠
kama mtume ananufaisha kwann asimnufaishe ami yke na yy mwnyw kwni alikua akishinda na njaa baadhi ya C ku.na kudhuru mbona hakuweza kuwadhuru waliokua wakimkera na kukusidia hadi kumuua. nani mwny uezo huo thn actumie uwezo wake
Bismillah rahman rahim,Hivi waislam tunaenda wapi mbona kila kukicha ni kukosoana tu ,Yaani waislam wa zama hizi baada ya kuungana ili kuusambaratisha ukafili,wao wanafitiniana wenyewe kwa wenyewe,Jamani waislam tuungane siyo kufehezesheana haifai tumwogope mungu,mambo ya kuwahusia waumini yako mengi nyinyi mmeacha kuamrishana kazi kupondana tu,waislam tuwe kitu kimoja kama mtu amekosea zipo taratibu siyo tuchafuane mitandaoni sio vyema hivyo
وعليكم السلام ورحمةالله وبركاته
Shekhe Allah akuongoz maana wewe huna unalolijua zaidi yakukosoa wenzio
Shekh AL-Hatimy Mwenyezi Mungu akuongezee umri mrefu na akuongezee hekima uendeleee kuitangaza dini ya haki ya Mwenyezi Mungu.
ALLAHUMMA SWALI WASALIM ALAYH
mazuri mazuri yaku laghaii watou na vuarabu vingi sana basi sisi ma amuma tukisikia viarabu vingi basi tuna sema huyo ni shekh mkuuu kbs
Kishk usitake kilakitu unakijua sio vizuri usilazimishe watu wote tuwe wahabia sio siri wahabia nawachukia sana mmekuja kutuvurugia dini
kweli yako
MASHA LLAH shekh wetu
ALLAHU AKBARU
Iman yangu ktk Islam mwanzo wake ni maisha tu ya mtume (S. A. W).
Watu hawaelewi point kubwa ktk jambo hili vijana wangapi wame dhurika na wasanii?
Na wangapi wame pata Imaan kutokana na watu wema?
Allah atulinde sote.
Kishki anapotosha tu
Nam sheh Sisi tuko comoro wahabi wanatuharibia mambo mengi
Lau wakusanyike watu wote ili wakunufaishe mpaka mtume awemo hawatakunufaisha isipokuwa alilolipanga Allah na wakikaa kukudhuru pia hawatakudhuru ila alilolipanga Allah. Naona kama hapa pana shirki mtume hajuwi kinachoendelea duniani kafa kama waliokufa wengine
Astaghfirullaaah! Kishk salaaaala yaonekana una chuki na mtumi wetu Muhammad SALALLAHU ALAYHI WASALLAM mpk wamlinganisha na raisi? Ati Mtume hadhuru wala hanufaishi! Inna lillah wa inna ilayhi rajiun
طيب: العلم اولي من مواقف
Alafu sioni haja ya kukusoana huku, uislamu hauna sfa izi..tujarbu kufanya vtu vnavyoleta umoja kuliko kutukosanisha Inshallah
TAKBIR
The heading looks nice but there is nothing he corrects but just make a comedy
sijuwi kama unahabari kama huku mitaani yamepungua kiasi kikubwa. watu hawana mpango nayo.pole sana shekhe
kishki sifa tuu mmh hatari Subhallah
nimesoma zote ila comment ya asia mselem ndiyo kaongea kweli
Kishki uko sawa kabisa
MashaAllah kwa elimu yako
Hiko kishehe kishki kina matatizo ya ubongo.
Hhhhhhh
Mtume Muhamad kapata wahay kwa Allah na yeye anamtegemea Allah jalajalal
kishki rudi kasome brother.tabu yenu mnaabudu mishahara
dah kusoma ni muhimu sanaa
sheikh kishki allah amhifadhi na aelewe na aikubali manhaj iliyosalimika na bidaa na shirki
Husda sio jambo zuri hata kidogo
Kama yupo serious akutane na wahusika ana kwa ana wafanye mdahalo
Kishk akasome asipotoshe watu
qul inni laa amliku dhwarran wala rashada
Alhamdulillah Sh Kishki amesharekebishwa katika kuwakufurisha wengi wanaopenda kuisoma wasila Shafi. Kwa hivyo ilo baki aje mbele ya mimbar aombe msamaha siye nyie.. Ikiwa hawezi basi asiengilie mambo ya mizozo kwani yaonekana ya kuwa Shaikh Al Hady hayupo tayari kumuacha apumuwe. Wapenzi wa Kishki nothing personal. Take it easy and see where truth lies,
Allah awastiri mashekhe nyote wawili bali watu hawarekebishani kwa mavideo
Hio ni riyaa.
Kama kweli mnataka kurekebishana ni muitane mupange cha rekebishana sio kwa mavideo...
Kishk hana ilim ndio sababu kila aongealo anakosolewa
Msidhani kama anabishana na shk ana kwa ana bali yeye na cd
Nakuomba nakuomba kishki kasome upya maana huna lolote nisauti tuu kinanda
Swadakata
Kishik yupo sahii sana
Kwa upande wa maurid shekhe Kishk yuko sahihi. Kuna qasda haramu kabisa na nmewahi kuskia kwa mashekhe pakstan, ndomana wengine awapendi kabisa madufu yenu ni mangoma huwezi msherekea Muhammad aliyakua hata sunna ya ndevu mtu hana wanaimba qasda za vijembe nawana dancing hakika ni bidaa kubwa na maaswiya.
Munashindana ama
Mapambano nani zaid
Mie nixhamjua astaghfllah
Kishki ni celebrity sio sheikh hata kua bahati mbaya.
Never judge someone in public if u see ur correct tell him in private not public
Acha izo shekh mbona unakata hiyo CD, sababu kitu najua mm ni kuwa Sheikh Nurdin anapoanza khutba lazima amsifu Nabii Mohammad (S. A. W) kwa sifa zinazo stahiki acha kusema hivo
wehunslolote. unaonekana km.unaupinzani.na (kishki
من أحدث في أمرنا هذا ماليس منه فهورد
shekh umesoma lakini elim yako hauna elim nayo waislam wanarekebishana sio kukosoana mitandaoni
Huyu kishki anajifanya ana ilmu sana kumbe hana k2
Jamani mtume hawezi kuzuru ila ni Allah tu
Kishki yupo sawa sawa
Anae weza kuzuru na kunufaisha ni mmoja tu
Allah s w
Zako n chuki tu na kishki wala si kitu nyingine ju ata kama ingekua io kukosoa lkn ungetumia lugha ambayo yaonyesha kukosoa lkn ww watumia kejeli ,,,,,Hakika ya Allah ndie hakimu mkuu kati ya wewe na huyo kishki na walimwengu woote kwa ujumla na kila mmoja Allah anamjua nia yake vyema
kishk km mashia vile
sheikh kishki upo sawa endelea kuelimisha jamii
huyo kishki akasome kwanza
+kishki,tafadhali usichafue uislam kama ulipewa dollar za American uje uchafue uislam,muogope MUNGU,muogope MUNGU,muogope MUNGU,muogope MUNGU
Hussein Kazungu źma