MAJIBU KWA MUHAMMAD AL-HATIMIY | SEHEMU YA PILI | Muhammad Bachu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 68

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад +8

    ALLAH amuifadhi na mpe afya njema shekh Muhammad Bachu , karibu tena na tena na tena Mombasa

  • @zuberihoza-lt7rg
    @zuberihoza-lt7rg Год назад +2

    Assalamu aleykum Sheikh Muhammad I Alla akihifadhi wallahi twakupenda sana kwajili ya allah

  • @HuzayfaKibua
    @HuzayfaKibua Год назад +2

    Asante 🙏🏿🙏🏿

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 Год назад +2

    Hatari kubwa sheikh chambuwa chambuwa each and every word kigogo wetu WA nguvu Allah akuhifadhi.

  • @kassimmsuleyman1055
    @kassimmsuleyman1055 Год назад +8

    ماشاءاللہ جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад +7

    Allaah akubariki Shekh Muhammad

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Год назад +1

    Allah akhifadhi shekh unakuja vizur kuokoa umma ..anayekuchukia si kwamba anakuchukia kweli bal bado hajakuelewa vzr ...inshaallah watakuelewa....unakuja na dalili za kutosha sana ...hapa nahis baba yako kama yuko hai kwa maneno yako kama baba yako Allah amrehemu.

  • @aishahassan3214
    @aishahassan3214 Год назад +6

    Allah akuzidishie na akuhifadhi ostadh Muhammad. Wallah anavyoongea utadhan Al maruhum nasoro bachu Allah ampe qaul thabiti

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад +2

    Allah akujaalie kher ostadh wetu

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Год назад +4

    Yani mimi natamani ningekuwa Niko hapo msikitini sheikh Allah akubariki twaailimika twafaidika alhamdulillah

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 Год назад +8

    Mashaallah kweli kabisa unayoyasema.

  • @abuutasniym2675
    @abuutasniym2675 Год назад +4

    Baaraka Llaahu Laka Yaa habiybiy somo zuri sana hili namuhim sana ktk jamii zetu maana shirki imekithiri nawengi hawajitambui Allaah Akupeni nguvu mzidi kutuelimisha nasi pia Atupe uelewa nakufanyia kazi yale tulio yaelewa

  • @yasiryusra3333
    @yasiryusra3333 Год назад +4

    Nakupnda sana kijana mwenzangu nww ndio sheikh wangu pendwa nakuelewa sana allah kuhufazi mashallah ❤

  • @yussufhamis4136
    @yussufhamis4136 Год назад +4

    Allahamdullilah sheikh wetu Muhammad Bachu wepe kwanza hii mambo ishapitwa na wakati miaki ingine 10 yaja Hakuna mtu atakuwa anayafanya TAWHEED

  • @saidyusuf9245
    @saidyusuf9245 Год назад +5

    Mashaa allah wafundishe hawo watu bidaa nimaduwi wa tawhid ndio wakipatikana na mitihani wengi wao hukimbilia kwa ku omba makaburi na kwaganga Mungu atuongidhe ammin

  • @abynduwimana1767
    @abynduwimana1767 Год назад +2

    Bachu kwajili y'a alla nitakupenda mpakabasi

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Год назад +1

    Bismilaaah maasha allaah. Yaaraby azidi kukuongowa na kukuongoza katika njia iliyo nyooka wewe pamoja na sisi na vizazi vyetu AAMEENA YAARABY. NA WAKUELEWEEEE. WEWE NI WA NASSOR BACHOU WENGINE WOOTE NI FAKE NA WACHEZEE HAO HAOO ILA HAPO. WATAPOWAAA🤝🤝🤝👍👍👍

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад +4

    Kuitakasa TAWHEED ni waajib

  • @omarally6819
    @omarally6819 Год назад +3

    Na akulipe kila la kheri

  • @ahmedsalim4930
    @ahmedsalim4930 Год назад +1

    Asalaam aleykum ya jamaa huyu shekh ni mtoto wa marhemu Nasro bachu ?? MashaaAllah sauti kama ya marehemu kabsaaa

  • @saidmohammed2830
    @saidmohammed2830 Год назад +1

    Yani shekh Mohamed bachu ukweli unasema ilaa kuna mizuka bado wapinga na wasema haumpendi mtume Muhammad SWS mungu atuongeze..................hemu ndungu kubaliyeni ukweli ili mupate pepo

    • @midahalomwanga9328
      @midahalomwanga9328 Год назад

      Kumpenda mtume ni kufuata kile alichokifundisha na bacho anampenda sana ndio maana anamtetea mtume kwa wanayomsifia kuliko daraja yake

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan3809 Год назад +1

    Hawa watu wa maulidi musiwape nafasi kabisa wame tuburuza kwa miaka mingi sana

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Год назад +1

    Basi kunamitu itakuja kumsema shekh inavyojuwa wao lakini kabla yakumsema shekh huyu shekh hakusema chochote kwamapenz yake yote alosema ametowa ktk vitabu nduguyangu epuka kuichukiya haki bali ichukie batil shekh Muhammad yuko juu yamstar we unayechukiya chukiyatu ilahuo ndoukweli barzanji ni shirki

  • @diinkimanxariifa3842
    @diinkimanxariifa3842 Год назад

    Hawana mpangu tafuteni kazi yakifanya

  • @athmanbabusa8020
    @athmanbabusa8020 Год назад

    Kusoma aya ya Quran zilizolenga makafiri kuzielekeza kwa waislamu ni alama za Kikhawariji.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Год назад

      Nenda soma dini yako ya jaahil

    • @athmanbabusa8020
      @athmanbabusa8020 Год назад

      @@mohagurey2214 Ubora wa mawahabi ni matusi, kejeli na kukufurisha.

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 Год назад

      @@athmanbabusa8020 Nenda soma dini yako imekuwa kejeli tena??? Mungu akupe fahamu na uache maisha ya bid'a. Bid'a mwisho yake ni moto wa jahanam. Tafakari

    • @trucking2298
      @trucking2298 Год назад

      Kwa hivo aya zingine hazifai?

    • @trucking2298
      @trucking2298 Год назад +1

      @@athmanbabusa8020 Matusi kama gani? Mushrk ni sifa ukiwa nayo utasifiwa kwayo.

  • @khalidsaid796
    @khalidsaid796 Год назад

    wewe umezaliwa miaka ya 90/85 Wamepita Magwiji ambao Wamemfundisha mpk mzee wako na hawakuwahi kuikosoa Barzanj.Mashekhe wote duniani hamna alowah kuikosoa kwamba ww ndo unailmu kubwa sana,Kiazi tu

    • @selemanmartin
      @selemanmartin Год назад

      Acha hizo sufi wewe

    • @khalidsaid796
      @khalidsaid796 Год назад

      kaeni msome dini vikanzu vifupi,sio mnaleta ubishi halaf hata lugha tu hamjui.

    • @khalidsaid796
      @khalidsaid796 Год назад

      Anatafsiri kiarabu kama translation ya english to swahili,Arud darasan asomeshwe lugha na nahw

    • @trucking2298
      @trucking2298 Год назад

      Weee ushawahi kuwaskiza masheikh wote duniani? Hujataka wala huna time ya kusjiza watu wa msimamo huu, utabaki huko gizani na ushirikina.

    • @khalidsaid796
      @khalidsaid796 Год назад

      @@trucking2298elimu ulokuwa nayo hapo hata nahw haujui ,halaf unaongelea ushirikina😂Kiazi kiazi tu

  • @eastzooadmin6416
    @eastzooadmin6416 Год назад +4

    Ahlu bida'a wameichafua dini kwa wasokua waislam, waislam tunaonekana watu wa waganga waganga tu kwa sababu ya hawa mazumbukuku wasioitaka haqq

    • @tawhiidwasunnah2023
      @tawhiidwasunnah2023 Год назад +1

      Wala dini ya Allah haija chafuka na ujinga wao wala shirki yao bali wajichafuwa wenyewe na Allah yote haya ni mwenyd kuyaona

    • @midahalomwanga9328
      @midahalomwanga9328 Год назад

      Sana kabsa mpaka makafiri wanajua na sister tunamwabudu mtume mohamad S.A.W kwa ajili yao na unakuta wengine wanaapa kwa mtume

  • @alijuma80
    @alijuma80 Год назад +2

    Mambo haya ya kubishana bishana kuhusu maulid yashapitwa na wakati....... Maneno haya Kayasema Alhabiib Ahmad Ahmad Ahmad Badawy جمل اليل🤪🤪🤪

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Год назад +2

    Huyu kijana hana elimu,hana ufahamu wala hana hikma.

    • @abdulazizmapendano4692
      @abdulazizmapendano4692 Год назад

      Ameee wagoga Sanaa na badoo muache uzushi mufate hakii!

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад

      Mie sikatai ikiwa utatoa dalili kuwa hakusema sahihi kwa kutoa aya au hadithi lakin sio mawazo yako.kumuona mtu hana elimu .kumbe pengine dini unaichukulia mazoea na hapa nhekuwa na ilmu ungemtolea aya au hadithi kumkosoa sheikh Muhammad Bachu. Mie nimemuelewa na kazungumza kwa elimu

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Год назад

      @@canoksancomprehensivelearn7182 kitendo cha kusema watu wanaosoma maulidi ni washirikina wataingia motoni ni maneno ya kipuuzi tena ya kichaa mtembea uchi.

    • @mohammedbaraka9230
      @mohammedbaraka9230 Год назад

      Brother maneno yamekugusa Sanaa ila haqi ndivyoilivyo lazima ikugonge, Soma Dini Yako Ili usipelekwe kibubusa..., Allah akuongoze wewe na sisi Kwa ujumla aamin..

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Год назад +1

      @@mohammedbaraka9230 huyo ni mpuuzi na hajafikia levo za wanazuoni wakubwa kama akina Barzanji.Nani anayemjua katika ulimwengu wa wanawazuoni kinyago kama hicho.