SHEIKH BAHERO NA SHEIKH NURDIN KISHKH 4/4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 76

  • @TheSanni2000
    @TheSanni2000 11 лет назад +2

    KEEP UP THE GOOD WORK,THE TRUE FOLLOWERS OF AUTHENTIC SUNNAH OF OUR PROPHET (SAW). MAY ALLAH REWARD FOR YOUR GOOD WORKS INSHALLAH. I LOVE THESE TWO SHAIKH FOR ALLAH SAKE BY IBN RAJAB AL MA'AWY,LONDON UK.

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 Год назад +1

    Maashaallah sheikh nurdin uko sawa kutokana na majibu uliyompa kijana huyo hao ni wazandiki wakubwa na ndio watupu

  • @afric01
    @afric01 Год назад

    Aslm alkm ww... Allah akulinde, akukinge, na akuhifadhi sheikh wetu kipenzi. Allah akupe noor na akujaalie Pepo firdous yaa Rabb 🙏. Waja kusema nikazi yao. Tenda wema malipo Kwa Allah.

  • @fatuma2061
    @fatuma2061 Год назад

    Assalamualaikum sheikh kweli kabisa fitina nyingi waambie ukweli Allah akujalie kila kheri hapa Dunia na khera

  • @yusuphtwaha8386
    @yusuphtwaha8386 4 года назад +3

    Shekh Nisamehe pia Allah anisamehe mm nurdin naomba mtoto wangu asome kwako ada ntazimudu lakn nikikosa nivumilie

  • @jemsalwa360
    @jemsalwa360 4 года назад

    Lahaula walaquwwata ills billah

  • @hamiskhatibu3200
    @hamiskhatibu3200 3 года назад

    maashaallah

  • @mhoussineaboubacar2655
    @mhoussineaboubacar2655 4 года назад

    ٱحب المسلمون كلهم

  • @granazhashim3609
    @granazhashim3609 10 лет назад

    Mashallah barakalllahu fiyq

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 года назад

    Shukraniii shekhe wangu tuko pamoja

  • @mwnaidibushuti9958
    @mwnaidibushuti9958 4 года назад

    Kurecod vedeo za darsa inafaida Sana Sana kunawatu hawapi Ata mda WA kwenda kusikiliza ila akiwa na cm yake mkono I uku a afanya kazi zake na huku anasijiliza mashalla mungu awape afya njema mashekeh wetu wallay

  • @ashaa4896
    @ashaa4896 4 года назад

    Shehe wangu mm nimejifunza mengi kupitia mawaidha yako tunakupenda sana mungu akuifadhi na husuda za waja wa Allah inshaa Allah

  • @ibrahimirab3472
    @ibrahimirab3472 9 лет назад

    jazakumullaah na mungu awabarikie nyote wawili na pia masheikh wote wa ahlul sunnah waljamaa

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 6 лет назад +2

    Allah awahfadh mashekhe wetu

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah1571 6 лет назад +3

    Shekhe kishki upo sahihi kabisa, mfano wamazingira ya kawaida kabisa,
    Sisi tunaoishi ughaibuni sehemu nyingi na nyenginezo hakuna miskiti,hakuna vikao vya kidini ambayo tutapata daawa na ukumbusho juu ya mambo mema.
    Basi alhmdllh tunafaidika kupitia hihi video za mashekhe wetu.
    Mungu atakupa kheri zaidi.

  • @abuahmad1206
    @abuahmad1206 5 лет назад +8

    Wallah shekh Uwe na subra kupigwa vita amepgwa mtume

  • @TheSanni2000
    @TheSanni2000 11 лет назад +1

    THE AHLUL SUNNAH WAL JAM'AH THEY HAVE DEEP LOVE FOR THEIR MASHAIKH AND LOTS OF RESPECT.

  • @husseinramadhani3605
    @husseinramadhani3605 7 лет назад +4

    kila anaewaandama masheikh au kuwahukumu watu ni wakosaji wakubwa allah ndie mjuzi wakumtambua mwema na muovu kila mtu apiganie nafsi yake sababu nafsi ndie adui mkubwa wa mwanadam

  • @AliShehe-tn6wb
    @AliShehe-tn6wb Год назад

    Kk

  • @greenflower2078
    @greenflower2078 6 лет назад

    Hongera kishki

  • @iddijuma3254
    @iddijuma3254 3 года назад

    Mungu awazidishie subra na hikma

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 5 лет назад +1

    Allah akuzidishie manufaa katik maish yako in shaa Allah

  • @73chengosaro4
    @73chengosaro4 8 лет назад +1

    BAHERO ni shehe anaye beba chuki katika kupinga kwake.MWANZO ANAWAKUFURISHA wenzake sana kwa chuki mbaya !!.asante Kishki kwa kuweka wazi!!.

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад

    Ni kweli kabisa na Mutume anasema kilajambo la kheiri katika uisilamu linaruhusiwa watakua kama makafiri ati kumuweka mutu damu ni zambi zambi gani nanijambo na kheiri .watu hawamujuwi MUTUME muhamadi ni vip kawa mutume wamwisho njo wanaketa ma bala ya maneno.

  • @shahnazakhtar4249
    @shahnazakhtar4249 2 года назад

    Please show the video of sheikh abdullah humeid.

  • @faridahfaa8856
    @faridahfaa8856 9 лет назад

    Sheik mm na wapende sana ,na nimefahidika na mawaidha yenyu, wacha waho ni chiki 2 na hawana chochote, mm niko saudia bat natoka kenya, pia mm niliclim 2, sada nafurahi sana kwa kupata ilimu kutoka kw mawaidha, na Allah awape umri mrefu na afia, ilimtuelemisha, insha allah

  • @fa2mrisho
    @fa2mrisho 12 лет назад +2

    Assalam aleykum.. I love sharing the videos u upload on facebook and the response is positive.. MashaAllah keep up the good work

  • @nccmndnd8065
    @nccmndnd8065 7 лет назад +1

    bahero nasema mungu ako mkono mguu na macho kwani mungu ni binadamu walam yakunlahu kufuan ahad ,mungu haifanani na chochote

    • @Enigma_66
      @Enigma_66 6 лет назад +1

      Nccm Ndnd kwa Qur'an yasemwa Mungu ana Mkono lkni haijasemwa inafanana na ya Binadamu

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 4 года назад +1

    shekhe wangu hata usiwe mnyonge wewe tupe daawah tuko nawewe

  • @ayubuzomboko7157
    @ayubuzomboko7157 5 лет назад +2

    Kila mpanda dhambi atavuna dhambi.wewe shekhe umesema shekhe Yusuf bin Ismail Nabahani mshirikina.bas Kama fitna we namba moja.Umemponda shekhe mkubwa huyo Dhambi yake ndo hiyo utabughudhiwa hadi mwisho.Nakibaya ndugu yangu mtu hajisifu.We Bado upo chini saaana kielim Rudi darasani kajifunze Ttawaadhui

    • @Elisahiminvisible
      @Elisahiminvisible 4 года назад +1

      Ayubu Zomboko hujamuelewa kabisa....usilete fitna katika dini

  • @hawaaswaleh8263
    @hawaaswaleh8263 3 года назад

    kabixa kenya ni kubayaa sanaa

  • @nccmndnd8065
    @nccmndnd8065 7 лет назад +2

    bahero ndiyo natukana shek na kabila ya bajuun, ndani khutba yake

  • @salaamclinicoftraditionalm3641
    @salaamclinicoftraditionalm3641 6 лет назад +1

    Watu wa Twariqa ndio wafuasi wakubwa wa Qur'an na Sunnah,na hakuna hadithi ya bwana Mtume SAW iliyo dhaifu...!

    • @ramamtetu2327
      @ramamtetu2327 4 года назад

      Al Marhumu Sheikh Abdallah Salehe Al Farsi Aliwahi Kusema;
      Debe tupu Haliishi Kelele Na Elimu chache ni Mzigo.
      Ukisomo Elimu Mustwalahu Al hadithi Utakuja jua
      Wanachuoni Wote Wanajua
      Kuna hadithi Sahihi
      Kuna hadithi Dhaifu
      Sababu hadithi ni Simulizi Za Maswahaba na Maswahaba Wakawafunza Wengine na Wengine wakawafunza pia Wengine.
      Hivyo ili Usimulie Hadithi Maulamaa wa hadithi wameweka Misingi Ya kukubali au Kuzikataa Khabari
      Kwa Sababu Ukiwaondoa Msahaba Waliobaki hapo Tunaweza kukataa maneno yao au kukubali.

  • @mimyorangekitchen5909
    @mimyorangekitchen5909 10 лет назад

    asalaaam aleiykum uko juuu sanaaa wakuachee zakooo

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 года назад

    Wengi wao tunapenda mawaidha yako

  • @khamisptrany9393
    @khamisptrany9393 Год назад

    Hawakutani masalafi wawili ila moja atampapura mwenzake, je wasemaje kwa wengine?

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад

    Ni Ahlisunna au Answar sunna waljamaa?

  • @aliaboud9262
    @aliaboud9262 5 лет назад

    Aaa

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 года назад

    Wewe endelea na darsa zako wala usiwajali shekhe wetu

  • @ibrahimirab3472
    @ibrahimirab3472 9 лет назад

    allah said in the quran O believer do not follow footstep of satan indeed he is ur great enemy

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад

    Vitu vidogo Shekhe Kishki umeshatunga kitabu gani? Tokea umeanza daawaa?

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад

    Kilakitu kitakuja ila muisilamu kwasababu ya MUTUME yuko na dictionary sioni tatizo na mutume kasafisha kilakitu duniyani na kesho akheira haramu zipo wazi na halali zipo wazi

  • @ashaa4896
    @ashaa4896 4 года назад

    Achananae kupitia watoto watemeke wamemfundisha atakuwa amehelewa

  • @sadhiyaiman6038
    @sadhiyaiman6038 8 лет назад +1

    sahih hawa ni wahabi shekhe lao anakubali maulid na hapa kishki anaongea tu asidanganye wacha watu wajiangalilie kwenye mtandao mwenye akili atajua haki

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 5 лет назад

    kishki tatizo wewe umesoma dini Lkn nikweli kishki hueleweki dhehebu lako ni lipi maana unatangatanga tu mana maibadhi unaungana nao mara mashia hueleweki

    • @shkjumaa7270
      @shkjumaa7270 3 года назад

      mmh unauhakika

    • @raiyaaaraiyaa6054
      @raiyaaaraiyaa6054 Год назад

      Niambie mtume s a w alikua dheheb gani. Coz alituachia vitu 2 Quran na Sunna. Hayo madhehebu mliyatoa wapi

  • @mathayogisosi9254
    @mathayogisosi9254 5 лет назад

    Hatar Sana, nurdin humjui sheikh kassim mafuta!

    • @adanletoo2530
      @adanletoo2530 5 лет назад

      Ahahahaaa n sawa tu

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 5 лет назад

      Matayo Marco dAa mtihani masheigh wetu hawa yani bora engelisema sijawahi kimuona ila namsikia tu clip zake km mm lkn asiseme hamjui qassim ni salafi mkubwa ktk nchi hii na sheghe mkubwa sana wa suna

    • @mwanaimaabdallah7825
      @mwanaimaabdallah7825 3 года назад

      Tatizo uelewa wako

  • @samakimwenyekiundaniyamaji8885
    @samakimwenyekiundaniyamaji8885 7 лет назад

    Maneno mazito

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад

    Ni rai ya mwanachuoni wa kiwahabbi,maana hillo angelitoa mwanachuoni wa Ahlisunna waljamaa ingekua bidaaaa,haraaam! Shirki!?

  • @kasimukhalifani1575
    @kasimukhalifani1575 4 года назад

    Bahero kasoma wap na wewe huna lolote

  • @osamashakau1397
    @osamashakau1397 7 лет назад

    Makafiri wakubwa

  • @asiahaji5081
    @asiahaji5081 4 года назад

    Ooooooo,kwani Albaani ni nani? Mtu wa juzi tu ndio mumemfanya kama Swahaba kuliko hao waliopita? Halafu Kishki unatoa fatwa za kujuzu kurikodi vedio kwa sababu ndio unavyofanya ili kueneza itikadi zako?

  • @asiahmagayane4021
    @asiahmagayane4021 4 года назад

    huyu shekh bakhero ni mjinga wa din anachukua kripu za mashekh yeye ni jahiri pia khurafii

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад

    Maashaallah