Bongo Star Search 2015 Finale Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Bongo Star Search 2015 Grand Finale
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch

Комментарии • 128

  • @MikaChavala
    @MikaChavala 9 лет назад +11

    Fonabo I believe you're gonna take bongo music to the international level keep it up man ...Kayumba hongera sana kipaji unacho endelea kuwa mnyenyekevu utafika mbali

  • @hildandunguru5399
    @hildandunguru5399 4 года назад +13

    Tulipangalia hii show 2020 tujuane

  • @mapenziekela7136
    @mapenziekela7136 4 года назад +3

    I love y'all you're the best

  • @abshiradiis9499
    @abshiradiis9499 9 лет назад +14

    Washiriki wote wanajua kuimba bt kanumba umetisha kaka mungu azidi kukubariki kila ufanyacho hongera

  • @omarali2144
    @omarali2144 9 лет назад +8

    mumetisha bongo star search. .. !! loved this season from the very 1st time. . all the top 6 were winners. . real winners!! bt at da end kayumba u rly deserved it..!! thanks R.J. good work👍

  • @bahatizainab9023
    @bahatizainab9023 9 лет назад +3

    Kayumba am very happy you.
    though am far away from Tz nor am not healing from your country.
    But it have been said that "una chota kali"
    Have been lighting my candle and saying a little prayer for you since I heard about your family background.
    Receive more funs from Germany.
    and pliz usikalie Talent yako lifanyie kazi.
    Na kumbuka leta mabidiliko katika familia yako.
    And stay blessed Kayumba.

  • @mumujey8265
    @mumujey8265 9 лет назад +9

    hogera kayumba doh!!! iyo nyimbo imenigusa sana kila laheri mdigo Wangu mashaallah

  • @elizabethkabanda4105
    @elizabethkabanda4105 4 года назад +1

    Uzungu na bongo wapi na wapi kayumba kajua kucheza na mood ya kibongo dah hatareeee

  • @joelisaacthomas4705
    @joelisaacthomas4705 4 года назад +2

    2020 tunaangalia ila 2015 ilikuwa ya moto kwakweli vijana walipambana

  • @barakasamson5622
    @barakasamson5622 9 лет назад +4

    I like it nice job...

  • @hakimally4273
    @hakimally4273 6 лет назад +14

    Kayumba juma umetisha ila funabo anajuw bt uswahil ndio umemfanya kayumba akubalike ......😘😘

  • @breezy9ine
    @breezy9ine 4 года назад +2

    2020

  • @kilahunjakilahunja810
    @kilahunjakilahunja810 9 лет назад +4

    Kayumba u did it...fonabo uko pouwa but uko more international....i love u angel, u good

  • @westnetworksolutionsltd2357
    @westnetworksolutionsltd2357 9 лет назад +4

    Kayumba please keep it up. God will Bless you in your vision

  • @godfreyhaule8388
    @godfreyhaule8388 4 года назад +1

    Umetisha sana kayumba

  • @dethynduwa3354
    @dethynduwa3354 9 лет назад +8

    Love this boy kayumba

  • @thebesttynednkuny8316
    @thebesttynednkuny8316 Год назад

    Isso é um marketing Kayumba, ulichora kile ambae waiishi wanakipenda umeshinda das🇲🇿2022

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 4 года назад +5

    Daa kuna watu Wana jua Bana.. kayumba oyeeeee

  • @gurishamndeme6564
    @gurishamndeme6564 5 лет назад +9

    Fonabo pia anajua sn ila nyimbo za kingereza weng wetu wabongo atuzielew tumezoea nymbo za uswahili big up kayumba juma

  • @frankrome1428
    @frankrome1428 4 года назад +3

    Kayumba nifund san jamn

  • @nestorynicholaus9190
    @nestorynicholaus9190 6 лет назад +3

    Nasiibu najua wabongo hawakuelewi ila ipo cku watakuelewa tu, hongera kayumbumba.

  • @jescarrabson8475
    @jescarrabson8475 9 лет назад +3

    ilkuwa poa...Frida we n mkali hommie...luv u
    halaf hao majaji final nmependa mlikuwa original

  • @zhuubae7264
    @zhuubae7264 9 лет назад +10

    hongera sana mshindi Kayumba Juma , u deserve it ur show WAS EPIC nyota yako ni shidaaa... , Naseeb Fonabo ur exceptional go for tusker project fame please... they will understand u moree and i love ur voice fonabo .., the show was nice ...but Runtown show was so short though was nice , and wabongo tujifunze kushangilia wasanii wakiwa wanapeform na sio kuwa kama tumetiwa maji ya baridi, , a bit shame ni mtazamo tu ......majudges kazi yenu was rea nice na imeonekana , no matter what end of the day the winner is just one person , but i guess among of the changes mnazotakiwa kufanya in up coming season mtoe zawadi kwa washindi wa 3 bora and not ony one 1 person....Bila salama Jabir am not enjoying the show , she is so real, honest and strait...love u salama. madam Rita u have a good heart and big up for the idea of bringing Bongo star search unawasaidia sana vijana waonekane and u change their status in real life......Master J most of the time ur on point and u help washiriki to reach the top level, well done and God bless all of u ... I ENJOYED WATCHING THE SHOW .

  • @MikaChavala
    @MikaChavala 9 лет назад +5

    Fonabo I believe u'll take bongo music to the international level ....keep it up man , Kayumba hongera sana unakipaji sana

  • @karimumanji7415
    @karimumanji7415 4 года назад +1

    Ahahahaha nimejikuta tu nathrow back kuangalia haya maigizo na jinsi watu wanavyojipa raha za bandia😂😂...Atlast!! vijana wanaambulia ela walizotunzwa jukwaani🚶...Wabongo tunajua sana kuigiza aiseeeeeeeeee anashangilia hadi anageukia mashabiki Wewe Madam wewe hv hata Mungu humuogop jmni kweli?

  • @josephinemalakurwa1315
    @josephinemalakurwa1315 9 лет назад +7

    i predicted the winner and am happy for you Kayumba God above all fonabo uko vizuri pia n you swt girl frida i knew you will come this far keep it up .Salama I heart you n i wish to meet with

  • @DeejayJulius254
    @DeejayJulius254 6 лет назад +1

    Kayumba walahi kajaliwa kipaji na mola amzidishie mema na maarifa bila ya kusahu ujasiri, love you bro,

  • @nururajabu3450
    @nururajabu3450 Год назад

    Hii ndo bss Sasa,,wasanii wakali.sana walikua

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 7 лет назад +5

    Nassib nassib yu r grt nomatter wat ni ile tu watz hawajui

  • @hamisikiyonga1932
    @hamisikiyonga1932 4 года назад +8

    2019 tupo

  • @agathakatondo4630
    @agathakatondo4630 9 лет назад +9

    jamani fonabo ndoyuko mzuka sasa mmefanya nini

  • @ayubdafa9394
    @ayubdafa9394 8 лет назад +4

    Kayumba cjui niseme nn m nasra xhekidele find plz

  • @christinawambura5646
    @christinawambura5646 9 лет назад +7

    kayumba hongera sana kaka mungu aendelee kukuweka fonabo gud boy!

  • @ayubdafa9394
    @ayubdafa9394 8 лет назад +7

    Fonabo lov u much bro

  • @shamaamohamed1609
    @shamaamohamed1609 9 лет назад +4

    ONGERA SANA KANUMBA ILA HIYO NYIMBO YA MAMA IMENIGUSA SANA

  • @anitaphilip2070
    @anitaphilip2070 8 лет назад +8

    Hki majaji mgekua mwachagua washindi watatu thafadhali kwani wote wanashida fonabo wakwanza kayumba watatu na angle wakwanza apewe milion 30millions wapili apewe 15 nawatatu apewe 5 pls

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus6237 6 лет назад +3

    Hongera sana kayumba

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 4 года назад +2

    Uchguzi wa nyimbo ni muhimu sana

  • @blandinekandjadi3172
    @blandinekandjadi3172 8 лет назад +3

    Hi

  • @eberayimkedija2306
    @eberayimkedija2306 6 лет назад +2

    Nice

  • @brianmekere325
    @brianmekere325 8 лет назад +5

    nassib unajua kaka watanzania hawawezi kukuelewa.lakin pia tusisahau band imejitahid sana kupiga vizur

  • @thuminthumz5536
    @thuminthumz5536 9 лет назад +3

    hii nyimbo mama kama mama kayumba umenigusa saaaaaana

  • @BarakaAndrew
    @BarakaAndrew 9 лет назад +11

    Wabongo kwa u-rough! nenda weka pesa sepa, kuanza kumshikashika akiboronga hapo ndo iweje sasa? Waafrika tuko very disorganized kwa kweli.

    • @selenabendera6685
      @selenabendera6685 6 лет назад +1

      Baraka Andrew umenena baba😂😂😂yaan seriously mtu anaenda anamtikisa kichwa 🤦🏾‍♀️

    • @hadijarashid5200
      @hadijarashid5200 6 лет назад +1

      +Selena Bendera mmmh vzr

    • @tausak4568
      @tausak4568 5 лет назад +1

      Baraka Andrew 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @brigitajumamash4483
    @brigitajumamash4483 9 лет назад +6

    kayumba juuuuuuuuuuu

  • @maryseriah157
    @maryseriah157 6 лет назад +5

    Yani kayumba na Huyo mnyama wa kaskazini ni nouma

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 8 лет назад +7

    Kayumba anajua ila nasibuu ni bora mara ×4 yake

  • @alicemmbaga7954
    @alicemmbaga7954 8 лет назад +2

    kayumba uko juu sana dogo

  • @petitkizzomusic5026
    @petitkizzomusic5026 4 года назад +1

    Kayumba is number one

  • @antoniamtega2879
    @antoniamtega2879 9 лет назад +4

    nice kayumba

  • @cynthiajuliane5978
    @cynthiajuliane5978 3 года назад

    Kayumba really blessed

  • @IreneMutambo-hk5mm
    @IreneMutambo-hk5mm Год назад

    Iike

  • @mhujoaloyce8766
    @mhujoaloyce8766 8 лет назад +8

    Nassib unajua bhana wabongo hawaelewi tyu

  • @musaaziza2285
    @musaaziza2285 9 лет назад +5

    nyc

  • @killer-zy2jn
    @killer-zy2jn 4 года назад

    Kayumba jeshiiiiiiiiiiiiiii

  • @rachelemmanuel6244
    @rachelemmanuel6244 4 года назад +2

    kila ki2 nawakati wake wakat wake umefka

  • @mawazomgassa6400
    @mawazomgassa6400 6 лет назад +2

    kayumba alistahili kabisa,dogo anajua

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 5 лет назад +6

    Mii naamini wote ni wazuri lkn kwavile anatakiwa mmoja bas sio mbaya

  • @richardwanga831
    @richardwanga831 6 лет назад +8

    English ya nn kayumba safi sana

  • @jassyjastine3489
    @jassyjastine3489 8 лет назад +4

    Noma sanaaaaa ilikua

  • @prettyshiii5153
    @prettyshiii5153 3 года назад

    Wow..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️🙌🔥🔥🔥

  • @sarahsamwel3019
    @sarahsamwel3019 6 лет назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @minnaomar9250
    @minnaomar9250 9 лет назад +4

    I love you salama ur my idol

  • @mercykagori
    @mercykagori 9 лет назад +7

    #katoto kayumba congrats

  • @babycombo2635
    @babycombo2635 9 лет назад +5

    salama unajiamin vibayaaaaa hadi raha

  • @majanja3466
    @majanja3466 6 лет назад +3

    2018????????????????

  • @Asma-ud5oz
    @Asma-ud5oz 7 лет назад +1

    Yani mm ningekufa apo apo akiamungu daaaah

  • @stylistofficial1405
    @stylistofficial1405 6 лет назад +11

    Fonabo mshindi apo

  • @magrethalex2639
    @magrethalex2639 9 лет назад +7

    daaah kayumba umefanya kwel kama isha

  • @davidmanase2913
    @davidmanase2913 5 лет назад +2

    kayumba katisha

  • @hawamkuya3108
    @hawamkuya3108 9 лет назад +2

    waooooooh

  • @hasiyakeniyausiachiebabu7634
    @hasiyakeniyausiachiebabu7634 6 лет назад +2

    kayumba we nimshindi mpaka mashauzi

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад +3

    WAPIII ISHA MASHAUZI WEEEE MIMI PENDA SANAWEYEEEEEE

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 6 лет назад +1

    Juma sijui kaishia wapi.

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад +3

    YAANI umewateka hadi wanaume

  • @rehematawalani7472
    @rehematawalani7472 6 лет назад +2

    Hadi salama kamkubali

  • @ezramnyaki
    @ezramnyaki 9 лет назад +11

    Ritha You are too emotional, I always want to hear what Salama as to say. i think she knows what she is doing. am sorry but truth be told ;)

  • @yohanashawala9148
    @yohanashawala9148 4 года назад +1

    Safii

  • @carrfavour6964
    @carrfavour6964 6 лет назад +2

    Mlivokua mnamzingira Jamani doh

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim9757 5 лет назад +1

    Nampenda dada salama

  • @khadijamalifedha5862
    @khadijamalifedha5862 9 лет назад +8

    kayumba baba kila rakheri

  • @harryvicemsele9973
    @harryvicemsele9973 8 лет назад +6

    fonabooooo noumaaa xanaaa

  • @Zanzibar_quiztv
    @Zanzibar_quiztv 5 лет назад

    Asante kayumbaaaaaaaaaaaa

  • @ngemabohero2853
    @ngemabohero2853 6 лет назад +1

    uko vizuri kayumba kaza kaza usilewe sifa.

  • @ayubdafa9394
    @ayubdafa9394 8 лет назад +6

    Cjawahi ona bss kali km hii

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 5 лет назад +1

    Duh eti nimetokwa na machozi mmmh honger J

  • @YoungVee994
    @YoungVee994 4 года назад

    khamisi alienda wapi ama kuna bss ya watoto inaendelea swali tu masela

  • @hadijarashid5200
    @hadijarashid5200 6 лет назад +1

    unajua

  • @faridamwaje2211
    @faridamwaje2211 9 лет назад +4

    mashaallah kipaji anacho

  • @jassyjastine3489
    @jassyjastine3489 8 лет назад +2

    Iko vzriiiii

  • @iddeydarusi9357
    @iddeydarusi9357 4 года назад +1

    Cjawahi chukia tanzania isipokuwa kwa BSS,kamati ya roho chafu

  • @ngororehonore2673
    @ngororehonore2673 8 лет назад +2

    N

  • @stevenmaleko9027
    @stevenmaleko9027 5 лет назад +2

    fonabo

  • @vincentpaulo6431
    @vincentpaulo6431 3 года назад

    irikua hatar sana

  • @hasiyakeniyausiachiebabu7634
    @hasiyakeniyausiachiebabu7634 6 лет назад +1

    majaji pia mnabidii

  • @brthegreat9715
    @brthegreat9715 4 года назад

    Naikumbuka ile cku et nackia kayumba anaanza imba taarabu nilixhika kchwa na kulala chn na kuxema kayumba unafanya nn ila ikaturn out gud. Mxhkaj anajua alikua mxhnd wngu tangu mwanzo. Km xalama alvyoxema apa bongo bhna nymbo za mbele n mbele

  • @omanjalan7892
    @omanjalan7892 6 лет назад +2

    Jmn

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 5 лет назад

    Fonabo ndo alistahiki kupewa tunzo jaman duh

  • @michaelmadebele5194
    @michaelmadebele5194 6 лет назад +4

    Fonabo mkali

  • @katembokr4427
    @katembokr4427 4 года назад

    jamn wimbo aliyo imba mshiriki wa pili Nosa sjui nn kaimba nan

  • @athumaniramadhani2570
    @athumaniramadhani2570 8 лет назад +4

    Nabbo unajua kaka ang