Haya mahusiano ndio yanayotakiwa kwenye nchi zetu za Kiafrica kenya wanajirudisha nyuma kimaendeleo uongozi wao wa kujitazama tena, hongereni Wamalawi kwa kuona umuhimu wa ujirani mwema
Safi sana hivi ndivyo inavyotakiwa wanadamu tuishi kwa amani na pia amani ndio inayofanya ivyo tuishi vizuri sio wale wanao payuka payuka kule ughaibuni marekani kutanga tanga na miji alafu wanasema tanzania akuna amani pumbavu zao
Said Kulwa . Mkoloni ndie alietenganisha kwa kugawa mipaka, lakini kabla ya mipaka hao watu unawaona eneo Hilo ni wamoja tu na huko nyuma walikuwa hawana mipaka, Yaani hakukuwepo na nchi, Yaani MFano Hii Malawi au hii Tanzania palikuwa tambalale tu. Bara lote hili la Africa lilikuwa bara tu, bila mipaka au nchi ndani yake,
Nimefurahi sana kuona Hata wamalawi wakiongea kiswahili Yaan dah mungu mkubwa sisi wote ni waafrika lazima tupendane
Sisi ni ndg watoto wa baba mmoja tupendane.
watangazaji professional ase .. good job!
Aaah ni vizuri tu
Aaah waendelee vizuri tu
Aaah gonga like tu
Sisi wote ni wa Mungu
Mipaka ni kurahisisha utawala tu.
Sisi ni ndugu
Uko sahihi kabisa mwamba sisi wote ni ndugu mipaka haina maana yoyote
Mama Chris mama chrisr uko busy sana na mitandao
@@kuchimillionaire6683 bando ni langu
@@williamsville3493 p
Maashallah hadi raha
Nipo mbali nimefurahi Sana ISONGOLE kwetu
Mungu ni mwema kila iitwapo leo
Wandari wangu
Tare
Aiseee
Nice 👍
Nice
Tanzania ya bwina
Hahaaa nawaona wandali mnaongea kidari safi sana
Tulipo jama
😊😊😊😊😊
Uhusiano wetu ni wa miaka mingi, tuimarishe amani yetu!.
Daraja vipi? Tafadhali fanya follow up ya kipindi hiki.
yes kikubwa amani tu nakuzingati taratibu za mipakan
yaani hadi kiswahili wanakijua? walijulia wapi
Upepo nimwingi
Wema Peter lete kavelo tuwek
Mmmm
Hongera mkuu wetu kweli Mungu aeendelee kukupa uzima
Mzunguko wa Pesa unaongezeka
Haya mahusiano ndio yanayotakiwa kwenye nchi zetu za Kiafrica kenya wanajirudisha nyuma kimaendeleo uongozi wao wa kujitazama tena, hongereni Wamalawi kwa kuona umuhimu wa ujirani mwema
wakenya ???? nope
Huku Kenya uongozi bure
nyumban halizi
Mungu mkubwa . Ndi zabwino
Ileje ndiyo nyumbani mulibhakafu bhogwamwitu
Nilifika hapo,Nina kumbukumbu ya maneno" echibuzi cho kulipila" ha ha haaaaaa !!
Ichibuzi chokulipila nakumbuka pindi niko nkhotakota
Chimbuzi sio chibuzi hahahahaa
Yap
🤛🤙🤛🤙🤛🤙🤛🤙🤛🤙
@dr.mumbishow must watch this...
Safsafi yani
Safi sana hivi ndivyo inavyotakiwa wanadamu tuishi kwa amani na pia amani ndio inayofanya ivyo tuishi vizuri sio wale wanao payuka payuka kule ughaibuni marekani kutanga tanga na miji alafu wanasema tanzania akuna amani pumbavu zao
Anuary Ally
Anuary Ally hhhhhhh nikweli ndugu yangu tuishi kwa upendo Kwan ss sote n ndugu moja tofaut ytu ni mataifa2
Said Kulwa . Mkoloni ndie alietenganisha kwa kugawa mipaka, lakini kabla ya mipaka hao watu unawaona eneo Hilo ni wamoja tu na huko nyuma walikuwa hawana mipaka, Yaani hakukuwepo na nchi, Yaani MFano Hii Malawi au hii Tanzania palikuwa tambalale tu. Bara lote hili la Africa lilikuwa bara tu, bila mipaka au nchi ndani yake,
Leta vitu
Namshaur maguful afanye mipngo tz iungane na malaw .jina TANZAMALA. Thn tudumishe km ulivo dumishw wa tngnyk na znzb
Theory
Yaani hamjui kuhoj kabisa na hamjui kutazama wa kuhoji
Nenda kahoji wewe
hakuna uhamiaji
Wapo lkn kwa anayeenda na kurudi haitaji uhamiaji ila tu asipande gari kwenda mbali lkn hapohapo hakuna shida