RAIS WA MALAWI ALIYEFARIKI TANGU 1994 'ANAISHI KISHUA'?/UMEME HAUJAWAHI KUKATIKA KABURINI KWAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Kamuzubanda #Malawi #Nyasabigbullets

Комментарии • 147

  • @sultanamour8501
    @sultanamour8501 2 года назад +22

    Tunaishi kwenye dunia ambayo wafu wanaishi katika majumba mazuri lakini maskini ya Mungu ambao ni wazima wanaishi katika vibanda vya nyasi

  • @ErickChrispin
    @ErickChrispin 2 года назад +20

    Mtangazaji umefanya kazi nzuri sana, hongera mnoo

  • @brandsmedia4861
    @brandsmedia4861 2 года назад +6

    Safi sana, Mtangazaji umeweka maneno vyema

  • @mjukuuumachoz1599
    @mjukuuumachoz1599 2 года назад +10

    Mtangazaji unajua mpk unajua Tena kongole brother 👊

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +8

    Nic story you work had

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 2 года назад +9

    Africans yaani jitu limewatesa na kuwaua bado wanalijengea kaburi zuri.. waafrika macho yetu yafunguke

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 года назад +13

    Asante mtangazaji kuna baadhi ya viongozi wanajuwa waitaishi milele kwa aliyofanyia binaadam wenzie kuwauwa bila hati Mwenyeezi Mungu ndie anae juwa hukumu yake unajuwa ukiwatesa sana watu lazima wakuombee mabayaa au ufe yote kwa yote tunamshukuru Rais wetu hayat Mwl Julias Kambarage Nyerere kwa kuitetea nchi angekuwa mzembe Tanzania ingekuwa ndogo sana alipambana sana kila aliyekuwa anataka kuimega nchi

  • @g_forcemusician4242
    @g_forcemusician4242 2 года назад +6

    Huyu alikuwa muhuni tu tena siyo m.malawi ni mu ghana.walipipigwa nyundo

    • @elwinluwe4631
      @elwinluwe4631 2 года назад

      Mmalawi pure. Watu walikuwa wanazusha tu kwasababu aliishi sana nje na alisoma sana

  • @amirikoshuma6022
    @amirikoshuma6022 2 года назад +6

    Broo respect

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 2 года назад +13

    Mimi nikiwa kijijini kwetu,miaka ya 1980 hadi miaka ya 1989 nilishuhudia watanzania wakitakiwa kua na kadi za ccm ili kupata huduma mbalimbali za kiserikali,na ilikua ni lazima uwe mwanachama wa ccm ili uhudumiwe vizuri,kwahio hata ubinafsi unaoendelea kwa watawala wa tz,ni matunda yaliostawishwa na ccm.

    • @dottoamos2902
      @dottoamos2902 2 года назад +1

      Ilikuwa upinzani bado was vyama vya siasa kipindi inco

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 2 года назад +1

      Tanzania ilikuwa na Chama kimoja tu CCM so zamani ilikuwa kama sheria ni kama kuwa na kitambulisho Cha NIDA sasa

    • @dottoamos2902
      @dottoamos2902 2 года назад +1

      @@lucasmhagama8166 kweli ilikuwa hamna upinzani kipindi incho

  • @ulaweboy9826
    @ulaweboy9826 2 года назад +12

    Uyo rais alikuwa mshenzi aliuwa watu Sana na pia alikufa bila mke

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 года назад +5

      Walimfanyia kitu mbaya Waingereza kwenye mfumo wake wa uzazi😂😂, maana alikua daktari hodari

    • @heritier5119
      @heritier5119 2 года назад +1

      Alikuwa ni mchawi hatari

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 2 года назад +1

      @@TM.Sullusi walimfanyaje 😂😂😂😂😂 walimfinya pumbu nini

    • @bintysele6999
      @bintysele6999 2 года назад +2

      Atari babu alikimbia uwo utawala najua Tanzania 😭😭😭 nchi ya aman

  • @MosesMsomba-jp7zq
    @MosesMsomba-jp7zq 4 месяца назад

    Hongera xana boss

  • @luckyngumbi4243
    @luckyngumbi4243 2 года назад +3

    Huo mjengo ulipaswa kwahuku tz🇹🇿 ajengewe kipenzi magufuli

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 года назад

      Halafu iweje??? kabrii linajengwa kwa matendo mema na ucha mungu tu ayo mapambo hayasaidii chochote ndugu yangu.

  • @aloysfussi3900
    @aloysfussi3900 2 года назад +5

    Nice

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 2 года назад +4

    Niko hapa ujerumani na nzi zipogo tu hasa summer season ..nashangaa eti kashangaa lugha yake mmmh unaanzaje

  • @omarymakota8252
    @omarymakota8252 2 года назад +5

    Somba Ni samaki kwa kwetu uku Zambia Ila hongera Sana somba

    • @khadijajacobo4660
      @khadijajacobo4660 2 года назад +1

      Na kota ni zile nyumba za kupanga ndogo ndogo huku kwetu Tanzania 😂😂😂😂

    • @omarymakota8252
      @omarymakota8252 2 года назад +1

      @@khadijajacobo4660 🤣🤣🤣 umenishinda

    • @faustinpesambili7085
      @faustinpesambili7085 2 года назад +1

      Wamuyaya yaani wamilele

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 года назад

      Hata kwetu Makete somba ni samaki tena zikitokea ziwa Nyasa na ni tamu kweli.

    • @omarymakota8252
      @omarymakota8252 2 года назад

      @@dicksonkilupa2258 🤣🤣🤣 uwongoooo

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 года назад +7

    My boy😃😂😃

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +4

    Haya yapo afrika tu huwezi kuta ulaya wanachezea pesa kujenga makaburi

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 2 года назад +10

    Makala nzuri sana, mtangazaji umeitendea haki hii makala

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +5

    Ingekuwa ukiua mtu unaishi milele watawala wengi wasingekufa, yafaa nini kuuwa watu then nawe unakufa

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 года назад +4

    Hatali sana aisee afrika watawala niwabinafs sana

  • @kassimmustapha456
    @kassimmustapha456 2 года назад +3

    Kamuzu banda alikua ajui lugha yoyote ya Malawi ajua English tu ni wa kutoka Ghana kapewa zawadi na queen Elizabeth

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад +6

    Same as Tanu party during Nyerere

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 2 года назад +5

    I have been at this place

  • @salehaliy7198
    @salehaliy7198 2 года назад +3

    Akachezewe vizuri huko aliko

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 года назад +3

    Napafahamu hapo....
    Ila ukifa hakuna kuishi kishuwa
    Kufa ni kufa tu hata ujengewe kabuki la ghorofa 100 juu

  • @dottoamos2902
    @dottoamos2902 2 года назад +6

    Naukubali Sana natamani namimi nije nione

  • @dottoamos2902
    @dottoamos2902 2 года назад +6

    Ngoja nisablakilabu

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 2 года назад +2

    Masikini... Alikua mtana shati, lakini leo yuko chini uchafu huo huo

  • @zainabmahmoud5501
    @zainabmahmoud5501 2 года назад +11

    Ok ndoma na kwetu z'bar hii sera ya kama huna kadi ya chama tawala hupati kazi serekalini kumbe wamechukua malawi kwa huyu mjeda du!

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Год назад

    asante sana kaka kwa muda wako na kutuletea habari ambazo tulikuwa hatuzijui...Ubarikiwe sana..ila humu duniani kuna watu wengine wamekufa lkn bado wana enjoy maisha...very beatiful place..mm nilidhani kanisa...lkn sio mbaya ni kivutio kwa watalii pia...kaka nenda Zimbabwe utuletee taharifa za mugabe na mahali alipozikwa...maana hawa wote historia zao zinafanana...
    madaktari wa Queen waliominywa mmmh nani iiii... naogopa kusema

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 2 года назад +1

    Daaah

  • @silengombanga7817
    @silengombanga7817 2 года назад +4

    Duuuuuuuuuh hii yenyewe na limekula gharama kubwa

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Haya tuone yario ya dunia🤳

  • @brightbautbright8028
    @brightbautbright8028 2 года назад

    Safi sana

  • @maddybongo
    @maddybongo 2 года назад

    #Somba umetisha mwanangu kwenye hii simulizi. ukishawahi kumuhoji MH. JK kwake Msoga

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад +1

    Pamoja na fahari zote lakini kaishia kuzimu

  • @osssimohamed2483
    @osssimohamed2483 2 года назад +1

    Siri ya Huko aliko aijua yeye mwenyewe. Adhabu za mungu ni kali zinatisha

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад

    tupe historia ya Rais Jomo Kenyatta wa Kenya tafadhali tunaomba Kolumba

  • @kingschannelvoiceofjustice6255
    @kingschannelvoiceofjustice6255 2 года назад

    Hiyo habari nzuri kweli.

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 Год назад

    Hatareeeeee huyo mzee

  • @ramazonejohnson2831
    @ramazonejohnson2831 2 года назад +1

    Maajabu haya

  • @rosemuniu1171
    @rosemuniu1171 2 года назад +2

    Alikuwa wa mansion

  • @gilbertonindo1135
    @gilbertonindo1135 Год назад

    Sasa maana gani ya kua na iyo Mali yote na huna bibi, watoto ,kuumiza tu raiya wenzako weusi

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 2 года назад +10

    Waliokuwa wanamlinda waliokuwa wajinga

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад

    Huyo aliyetengeza kaburi ali haribu pesa za nchi maana hakuwa kiongozi mzuri

  • @sekedonelson4760
    @sekedonelson4760 2 года назад

    Somba unajua sana, kazi ya kiwango hii..

  • @fahimbakari5104
    @fahimbakari5104 2 года назад

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun,Jamaa alikuwa aaswi kwelikweli

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 2 года назад +2

    Pumbavu,tangazo

  • @hamisihashimhusseinhussein6465

    Nazarethmwandi

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 2 года назад +1

    KAmuzu alijifanya mudhungu akasahau alipotoka

  • @mariamushemazunde4369
    @mariamushemazunde4369 2 года назад +1

    Tufanye ibada

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +1

    Yafaa nini SAsa hizo pesa si wangenunulia matreka tu

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta8083 2 года назад +1

    Izo ndo tunataka hbr kama izi

  • @malengamsombwa3115
    @malengamsombwa3115 Год назад

    Pamoja na ubabe na ukatili yuko chini ya udongo sasa, viongozi acheni ukatili maana sote tu wapitaji akuna mbabe mbele ya kifo

  • @AllyAwadh-m3c
    @AllyAwadh-m3c 6 месяцев назад

    Sasa hayo yote yanamasidia nn?kama hakuwa na matendo mama imekula kwakwe,harafu chakushaza wamemuwekea umeme juu ya kaburi vp khs ndani ya kabuli?wakristo bwana akili zao ni ndogo sana wanahisi kwakufanya hivyo labda ndio itamsaidia.

  • @shidavis5029
    @shidavis5029 2 года назад

    Huyo sio mtu wa kukumbukwa, hiyo kaburi inatakiwa kumbomolewa na kusahaulika.

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Год назад

    HUYU ANGETUPWA KAMA TUNAVYOTUPWA WENGINE HAKUFAA KUJENGEWA HIVI KABISA🤣🤣

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 Год назад

    elimu mzuri

  • @daytonantwale8175
    @daytonantwale8175 2 года назад

    Huyu mzee arikuwa katili sana alikuwa akija kwenye mikutano wananchi wote walitakiwa kukaa chini hakuna kusimama

  • @medardnhungwa685
    @medardnhungwa685 2 года назад +4

    somba hiyo!

  • @mr.dbenchannel727
    @mr.dbenchannel727 2 года назад +1

    Dah huyu mwamba alikua adiko yaan hajawai kung'oa demu

    • @sharifuamuri4638
      @sharifuamuri4638 Год назад

      Alikuwa anagonga ila udikiteta ndo ulikuwa unamsumbua

  • @kurwak.m3875
    @kurwak.m3875 2 года назад

    Mbona Wamekosea miaka ya Kuzaliwa,,?

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад

    Watu walio hai wanaushi kwenye vibanda marehemu wanamlaza sehemu nzuri ya kishua😏😏😏😏

  • @christinenthambi4028
    @christinenthambi4028 2 года назад

    Kube c Kenya pekee Raise wa kwanza Jakawai zikwa ! From 1978 now 2022

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +1

    Madikteta wote walikuwa washirikina

  • @festongonyani152
    @festongonyani152 Год назад

    Lakini ndiyo keshakufa Yote hayo hayana Maana

  • @marrymenas
    @marrymenas 2 года назад

    Hee! Nimeogopa ulivoingiza huo mkono hapo kwenye nondo kutuonesha alipalala Simba wa Malawi. Mara ghafla usikie unavutwa kwa ndani, mamaaaaa...🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 2 года назад

    Matumizi mabaya ya. Fe

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 Год назад

    safi sana somba

  • @yakobolusasu1821
    @yakobolusasu1821 Год назад

    Sasa huyu c alikuwa Malaya tu kashidwa kuwa na mke kisa umalaya wake

  • @sandinaadrian2837
    @sandinaadrian2837 Год назад

    Bado tu kufufuka mbona

  • @aash4145
    @aash4145 2 года назад

    Yan kwakwel,,, tajir mfu anaish ktk jengo lakifahar,,,,, lililotumia garama kubwa, lakin maskin anaish ktk kibanda kilichoezekewa nyas,,,, nakimachovuja,,,

  • @vidmore2180
    @vidmore2180 Год назад

    I don't understand Swahili very well but I tried to Google translator for the comments to my surprise everyone is negative about him, that's very wrong. He was way better than you are thinking about him and so developmental than any of the president malawi has ever have

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 9 месяцев назад

    Haha kaburi TU wanaxhea pesa

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Unaua binadamu wenzio kisha na wewe unakufa inasaidia nini, thus watawala wa kiafrica wapo kuzimu, Hakuna aliyeenda mbinguni hata mmoja, sababu wananuka damu za watu

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Wengi wao wanakuwa ni wachawi thus wanaua watu

  • @EzekielyMnyama
    @EzekielyMnyama 14 дней назад

    Julian ngus

  • @grande9657
    @grande9657 2 года назад

    Hawa ndio watangazaji sasa

  • @heritier5119
    @heritier5119 Год назад

    Maisha ya duniani si zaidi ya kula na kunywa

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 2 года назад

    Yote no ubatiri mtupu Yuko wapi sasa

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 года назад +5

    Mugabe, banda, savimbi, hawa ni waafrika wapumbavu walifanya mambo kama awajakwenda shule. Walitumia vibaya Sana elimu zao kuzibomoa nchi zao.

    • @sadih5333
      @sadih5333 2 года назад

      Umesahau mmoja kikulacho

    • @bazilkisibo5811
      @bazilkisibo5811 2 года назад

      Wewe acha kumuingiza Mugabe kwenye uozo wako huo

    • @heritier5119
      @heritier5119 2 года назад +1

      @@bazilkisibo5811 kipi cha maana alichofanya kwa elimu yake, zaidi ya kuubomoa uchumi wa nchi yake. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus wao ni matajiri waafrika ni masikini.

  • @valentinochaffu1421
    @valentinochaffu1421 Год назад

    Hakuna nafsi ambayo Haitaonja Mauti

  • @babianliza
    @babianliza 2 года назад

    Dunia ina mambo ndugu mabwenyenye hayo ndio yamekalipia nchi ziingine cha muhimu ni mungu tu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад

    Mbona unaongea uku unakunja sura

  • @meyotamphirii9439
    @meyotamphirii9439 2 года назад

    Yani mupaka leo tunamu kumbuka san

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 2 года назад

    Kamuzu kafa mwaka gani unasema??1994???

  • @alisuleiman8110
    @alisuleiman8110 2 года назад

    dictator huyo

  • @kushkabulika4074
    @kushkabulika4074 2 года назад

    Huyu Ali kuwa sio malawi mbwa kabisa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад

    Saf Sana somba

  • @sadih5333
    @sadih5333 2 года назад +2

    Tunavyo ona maraisi wa wenzetu na wa kwetu wanaonekana hivyo hivyo , tulikua tunakaa foleni ya unga wa muhogo nili tupwa lockup kwa kuonekana na sabuni moja ya Lux niliyo pewa zawadi.

  • @sharifarashid4463
    @sharifarashid4463 Год назад

    ☝️❤️❤️♥️😂😂

  • @grande9657
    @grande9657 2 года назад

    Viongozi wa kiaafrika balaa tu

  • @josephlucas5798
    @josephlucas5798 2 года назад

    Umenikosha mkuu mwaka 2014 nilitembelea hapa Hakika haujakosea

  • @dickchambilo9138
    @dickchambilo9138 2 года назад +5

    Sasa kwa ukatili huo aloufanya ,mbona wamemjengea kaburi lenye dhamani Sana?

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي 2 года назад +1

      Hata nami nimepatwa na mshangao baada ya kuliona kabur huenda wamemjengea mwenyewe alitaka afanyiwe hivyo au wameona wamjengee kwa kuikomboa nchi yao

    • @heritier5119
      @heritier5119 2 года назад

      Ilitakiwa lipigwe bomu Ili kufuta historia, maana wapumbavu kama hawa ndio wamesababishwa waafrika tudharauliwe

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي 2 года назад +3

      @@heritier5119 yaani mtihani pesa ya serikali inatumika hapo kwa kulipa walinzi wanaomlinda marehemu SubhanAllah wapo wanachi wenye njaa wagonjwa na mitihan mbalimbali hakuna anaejali dunia hii inatuhadaa

    • @heritier5119
      @heritier5119 2 года назад +1

      @@رقيهالخصيبي ujinga wa muafrika SAsa nani ataiba mzoga

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 2 года назад +1

      Ndugu yangu wala usiuumize akili yako hii ni kawaida Yao watawala kupenda kupeana sifa nzuri nzuri tu hata kama alikua maaluuni kupita kiasi utawasikia kwenye misiba Yao oohhh sjui alikua mpenda haki sjui mchapa kazi mara muadilifu kumbe hkn kitu km hicho mafasiQ na uhabisii tu mwingi.

  • @nyotaphina8167
    @nyotaphina8167 2 года назад +9

    Kwa historia yake hakupaswa kupoteza vitu vya thamani kumjengea hivyo. Mmeviharibu bure vingetumika kwa watu waadilifu. Ni kama kupuliza perfume jalalalani ukitaka linukie.

  • @hamisihashimhusseinhussein6465

    Nazarethmwandi

  • @hamisihashimhusseinhussein6465

    Nazl

  • @benedictmwambanga9544
    @benedictmwambanga9544 Год назад

    But nimesikia kuwa hajawai kuwa na mke !?
    Kama ume sikia kama Mimi nipe kongole 👍👍👍

  • @bettympaka767
    @bettympaka767 2 года назад +1

    All is vanity,hawezi amka ata kwa hizo garama zote

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 2 года назад

    Eti unaupiga mwingi😂😂 kwahiyo hizi ni kauli za watu machawa