RAIS WA MALAWI ALIYEFARIKI TANGU 1994 'ANAISHI KISHUA'?/UMEME HAUJAWAHI KUKATIKA KABURINI KWAKE
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Kamuzubanda #Malawi #Nyasabigbullets
Tunaishi kwenye dunia ambayo wafu wanaishi katika majumba mazuri lakini maskini ya Mungu ambao ni wazima wanaishi katika vibanda vya nyasi
Hao wanao ishi kwenye nyasi, kwanini na wao wasiishi kwenye nyumba nzuri
Sio shida zao😄
Mtangazaji umefanya kazi nzuri sana, hongera mnoo
Safi sana, Mtangazaji umeweka maneno vyema
Mtangazaji unajua mpk unajua Tena kongole brother 👊
Kvkv
Nic story you work had
Africans yaani jitu limewatesa na kuwaua bado wanalijengea kaburi zuri.. waafrika macho yetu yafunguke
Asante mtangazaji kuna baadhi ya viongozi wanajuwa waitaishi milele kwa aliyofanyia binaadam wenzie kuwauwa bila hati Mwenyeezi Mungu ndie anae juwa hukumu yake unajuwa ukiwatesa sana watu lazima wakuombee mabayaa au ufe yote kwa yote tunamshukuru Rais wetu hayat Mwl Julias Kambarage Nyerere kwa kuitetea nchi angekuwa mzembe Tanzania ingekuwa ndogo sana alipambana sana kila aliyekuwa anataka kuimega nchi
Huyu alikuwa muhuni tu tena siyo m.malawi ni mu ghana.walipipigwa nyundo
Mmalawi pure. Watu walikuwa wanazusha tu kwasababu aliishi sana nje na alisoma sana
Broo respect
Mimi nikiwa kijijini kwetu,miaka ya 1980 hadi miaka ya 1989 nilishuhudia watanzania wakitakiwa kua na kadi za ccm ili kupata huduma mbalimbali za kiserikali,na ilikua ni lazima uwe mwanachama wa ccm ili uhudumiwe vizuri,kwahio hata ubinafsi unaoendelea kwa watawala wa tz,ni matunda yaliostawishwa na ccm.
Ilikuwa upinzani bado was vyama vya siasa kipindi inco
Tanzania ilikuwa na Chama kimoja tu CCM so zamani ilikuwa kama sheria ni kama kuwa na kitambulisho Cha NIDA sasa
@@lucasmhagama8166 kweli ilikuwa hamna upinzani kipindi incho
Uyo rais alikuwa mshenzi aliuwa watu Sana na pia alikufa bila mke
Walimfanyia kitu mbaya Waingereza kwenye mfumo wake wa uzazi😂😂, maana alikua daktari hodari
Alikuwa ni mchawi hatari
@@TM.Sullusi walimfanyaje 😂😂😂😂😂 walimfinya pumbu nini
Atari babu alikimbia uwo utawala najua Tanzania 😭😭😭 nchi ya aman
Hongera xana boss
Huo mjengo ulipaswa kwahuku tz🇹🇿 ajengewe kipenzi magufuli
Halafu iweje??? kabrii linajengwa kwa matendo mema na ucha mungu tu ayo mapambo hayasaidii chochote ndugu yangu.
Nice
Niko hapa ujerumani na nzi zipogo tu hasa summer season ..nashangaa eti kashangaa lugha yake mmmh unaanzaje
Somba Ni samaki kwa kwetu uku Zambia Ila hongera Sana somba
Na kota ni zile nyumba za kupanga ndogo ndogo huku kwetu Tanzania 😂😂😂😂
@@khadijajacobo4660 🤣🤣🤣 umenishinda
Wamuyaya yaani wamilele
Hata kwetu Makete somba ni samaki tena zikitokea ziwa Nyasa na ni tamu kweli.
@@dicksonkilupa2258 🤣🤣🤣 uwongoooo
My boy😃😂😃
Haya yapo afrika tu huwezi kuta ulaya wanachezea pesa kujenga makaburi
Makala nzuri sana, mtangazaji umeitendea haki hii makala
Ingekuwa ukiua mtu unaishi milele watawala wengi wasingekufa, yafaa nini kuuwa watu then nawe unakufa
Hatali sana aisee afrika watawala niwabinafs sana
Kamuzu banda alikua ajui lugha yoyote ya Malawi ajua English tu ni wa kutoka Ghana kapewa zawadi na queen Elizabeth
Same as Tanu party during Nyerere
I have been at this place
Akachezewe vizuri huko aliko
Napafahamu hapo....
Ila ukifa hakuna kuishi kishuwa
Kufa ni kufa tu hata ujengewe kabuki la ghorofa 100 juu
Naukubali Sana natamani namimi nije nione
Ngoja nisablakilabu
Masikini... Alikua mtana shati, lakini leo yuko chini uchafu huo huo
Ok ndoma na kwetu z'bar hii sera ya kama huna kadi ya chama tawala hupati kazi serekalini kumbe wamechukua malawi kwa huyu mjeda du!
KARUME MNYASA.
Hizi sera za Zanzibar zilitoka Malawi kwani karume alitokea Malawi ndio kwao
asante sana kaka kwa muda wako na kutuletea habari ambazo tulikuwa hatuzijui...Ubarikiwe sana..ila humu duniani kuna watu wengine wamekufa lkn bado wana enjoy maisha...very beatiful place..mm nilidhani kanisa...lkn sio mbaya ni kivutio kwa watalii pia...kaka nenda Zimbabwe utuletee taharifa za mugabe na mahali alipozikwa...maana hawa wote historia zao zinafanana...
madaktari wa Queen waliominywa mmmh nani iiii... naogopa kusema
😄
Daaah
Duuuuuuuuuh hii yenyewe na limekula gharama kubwa
Haya tuone yario ya dunia🤳
Safi sana
#Somba umetisha mwanangu kwenye hii simulizi. ukishawahi kumuhoji MH. JK kwake Msoga
Pamoja na fahari zote lakini kaishia kuzimu
Siri ya Huko aliko aijua yeye mwenyewe. Adhabu za mungu ni kali zinatisha
tupe historia ya Rais Jomo Kenyatta wa Kenya tafadhali tunaomba Kolumba
Hiyo habari nzuri kweli.
Hatareeeeee huyo mzee
Maajabu haya
Alikuwa wa mansion
Sasa maana gani ya kua na iyo Mali yote na huna bibi, watoto ,kuumiza tu raiya wenzako weusi
Waliokuwa wanamlinda waliokuwa wajinga
Wajanja kama wewe waliuliwa kama nguruwe kwa kukosa kumsikiliza
Alikuwa mchawi
Huyo aliyetengeza kaburi ali haribu pesa za nchi maana hakuwa kiongozi mzuri
Somba unajua sana, kazi ya kiwango hii..
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun,Jamaa alikuwa aaswi kwelikweli
Pumbavu,tangazo
Nazarethmwandi
KAmuzu alijifanya mudhungu akasahau alipotoka
Tufanye ibada
Yafaa nini SAsa hizo pesa si wangenunulia matreka tu
Izo ndo tunataka hbr kama izi
Pamoja na ubabe na ukatili yuko chini ya udongo sasa, viongozi acheni ukatili maana sote tu wapitaji akuna mbabe mbele ya kifo
Sasa hayo yote yanamasidia nn?kama hakuwa na matendo mama imekula kwakwe,harafu chakushaza wamemuwekea umeme juu ya kaburi vp khs ndani ya kabuli?wakristo bwana akili zao ni ndogo sana wanahisi kwakufanya hivyo labda ndio itamsaidia.
Huyo sio mtu wa kukumbukwa, hiyo kaburi inatakiwa kumbomolewa na kusahaulika.
HUYU ANGETUPWA KAMA TUNAVYOTUPWA WENGINE HAKUFAA KUJENGEWA HIVI KABISA🤣🤣
elimu mzuri
Huyu mzee arikuwa katili sana alikuwa akija kwenye mikutano wananchi wote walitakiwa kukaa chini hakuna kusimama
somba hiyo!
Dah huyu mwamba alikua adiko yaan hajawai kung'oa demu
Alikuwa anagonga ila udikiteta ndo ulikuwa unamsumbua
Mbona Wamekosea miaka ya Kuzaliwa,,?
Watu walio hai wanaushi kwenye vibanda marehemu wanamlaza sehemu nzuri ya kishua😏😏😏😏
Kube c Kenya pekee Raise wa kwanza Jakawai zikwa ! From 1978 now 2022
Madikteta wote walikuwa washirikina
Lakini ndiyo keshakufa Yote hayo hayana Maana
Hee! Nimeogopa ulivoingiza huo mkono hapo kwenye nondo kutuonesha alipalala Simba wa Malawi. Mara ghafla usikie unavutwa kwa ndani, mamaaaaa...🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Matumizi mabaya ya. Fe
safi sana somba
Sasa huyu c alikuwa Malaya tu kashidwa kuwa na mke kisa umalaya wake
Bado tu kufufuka mbona
Yan kwakwel,,, tajir mfu anaish ktk jengo lakifahar,,,,, lililotumia garama kubwa, lakin maskin anaish ktk kibanda kilichoezekewa nyas,,,, nakimachovuja,,,
I don't understand Swahili very well but I tried to Google translator for the comments to my surprise everyone is negative about him, that's very wrong. He was way better than you are thinking about him and so developmental than any of the president malawi has ever have
una uhakika gani?
@@ikwisamwakatobe4460 atakua mwana familia huyu🤣🤣🤣
Haha kaburi TU wanaxhea pesa
Unaua binadamu wenzio kisha na wewe unakufa inasaidia nini, thus watawala wa kiafrica wapo kuzimu, Hakuna aliyeenda mbinguni hata mmoja, sababu wananuka damu za watu
Wengi wao wanakuwa ni wachawi thus wanaua watu
Julian ngus
Hawa ndio watangazaji sasa
Maisha ya duniani si zaidi ya kula na kunywa
Yote no ubatiri mtupu Yuko wapi sasa
Mugabe, banda, savimbi, hawa ni waafrika wapumbavu walifanya mambo kama awajakwenda shule. Walitumia vibaya Sana elimu zao kuzibomoa nchi zao.
Umesahau mmoja kikulacho
Wewe acha kumuingiza Mugabe kwenye uozo wako huo
@@bazilkisibo5811 kipi cha maana alichofanya kwa elimu yake, zaidi ya kuubomoa uchumi wa nchi yake. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus wao ni matajiri waafrika ni masikini.
Hakuna nafsi ambayo Haitaonja Mauti
Dunia ina mambo ndugu mabwenyenye hayo ndio yamekalipia nchi ziingine cha muhimu ni mungu tu
Mbona unaongea uku unakunja sura
Yani mupaka leo tunamu kumbuka san
Kamuzu kafa mwaka gani unasema??1994???
Kasema 1997
dictator huyo
Huyu Ali kuwa sio malawi mbwa kabisa
Saf Sana somba
Tunavyo ona maraisi wa wenzetu na wa kwetu wanaonekana hivyo hivyo , tulikua tunakaa foleni ya unga wa muhogo nili tupwa lockup kwa kuonekana na sabuni moja ya Lux niliyo pewa zawadi.
Dah pole
Kweli kabisa
☝️❤️❤️♥️😂😂
Viongozi wa kiaafrika balaa tu
Umenikosha mkuu mwaka 2014 nilitembelea hapa Hakika haujakosea
Sasa kwa ukatili huo aloufanya ,mbona wamemjengea kaburi lenye dhamani Sana?
Hata nami nimepatwa na mshangao baada ya kuliona kabur huenda wamemjengea mwenyewe alitaka afanyiwe hivyo au wameona wamjengee kwa kuikomboa nchi yao
Ilitakiwa lipigwe bomu Ili kufuta historia, maana wapumbavu kama hawa ndio wamesababishwa waafrika tudharauliwe
@@heritier5119 yaani mtihani pesa ya serikali inatumika hapo kwa kulipa walinzi wanaomlinda marehemu SubhanAllah wapo wanachi wenye njaa wagonjwa na mitihan mbalimbali hakuna anaejali dunia hii inatuhadaa
@@رقيهالخصيبي ujinga wa muafrika SAsa nani ataiba mzoga
Ndugu yangu wala usiuumize akili yako hii ni kawaida Yao watawala kupenda kupeana sifa nzuri nzuri tu hata kama alikua maaluuni kupita kiasi utawasikia kwenye misiba Yao oohhh sjui alikua mpenda haki sjui mchapa kazi mara muadilifu kumbe hkn kitu km hicho mafasiQ na uhabisii tu mwingi.
Kwa historia yake hakupaswa kupoteza vitu vya thamani kumjengea hivyo. Mmeviharibu bure vingetumika kwa watu waadilifu. Ni kama kupuliza perfume jalalalani ukitaka linukie.
Kweli kabisa ! Shida hiyi IPO has a Afrika
Nazarethmwandi
Nazl
But nimesikia kuwa hajawai kuwa na mke !?
Kama ume sikia kama Mimi nipe kongole 👍👍👍
All is vanity,hawezi amka ata kwa hizo garama zote
Eti unaupiga mwingi😂😂 kwahiyo hizi ni kauli za watu machawa