KUMENUKA! Urus yapeleka makombora "KINZHAL" Iran /Ukrain Yalia kutelekezwa na Marekan kwenye PATRIOT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 апр 2024

Комментарии • 92

  • @kitosio
    @kitosio 20 дней назад +12

    Huyu kijana kakosa maarifa. Na hawa ni wingi hawa wataharibu nchi zao wote. Afrika ndio muda wao wa kuamka na BRICS haraka Sana Sana

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 20 дней назад +5

    ❤team Russian cc ndio wataamu wa vita father plans putin ni kiboko ya wendazimu wa kimarekan wameyakanyaga kwa mfale wa vita vldmr Putin

  • @muddypote8377
    @muddypote8377 20 дней назад +6

    Team putin bado hatuja sikia kile tunacho hitaji kukisikia kutoka Ukraine 😮

  • @JacobJoel-cb3ni
    @JacobJoel-cb3ni 20 дней назад +5

    Jay boy hapa Kama kawaida yangu

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 20 дней назад +9

    ❤❤❤😂😂😂HAHAHAHA bado sanaaa,RUSSIA/PUTIN endelea kutoA kichapo zaidi ❤❤🎉.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 20 дней назад +3

    MEENYEZMUNGU Aamuongoze mwanaumehuyu wa urusi raisi wa dunia ambae kila mwenye akili timamu kama mimi namuombea dua ata kwenye swala afaulu kuwanyuka washenzi na atunuanyue wanyonge amiin yaa ALLAAAH .

  • @simonmartin5358
    @simonmartin5358 20 дней назад +3

    Akombora ya iran yameletea israel maafa makubwamno ila israel wanafic ha kwa kudanganya ulimwengu. Kifupi israel kapigika mbaya mbovu, anajikaza kisabun

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 20 дней назад +2

    Hongera Gwido

  • @user-vj8eu7ih4k
    @user-vj8eu7ih4k 20 дней назад +2

    Nakubal kaka uko vizur

  • @Masele85207
    @Masele85207 20 дней назад +5

    🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪

  • @MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
    @MnyorokaAhmadSimba-wk4gr 20 дней назад +4

    Sf sana Putin ww nimpenda haki hiyo kinzhali nionyo kwa wazayuni

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s 19 дней назад +2

    AFIRICA TUAMKE TUUNGANI NA BRICS WAKAITI NI HUU WAKAITI NI SASA TUMENYONYWA SANA TUMEPUUZWA SANA SASA MWISHO.

  • @user-ce7eb1vz8l
    @user-ce7eb1vz8l 20 дней назад +2

    Urus oy oy iran fanya kazi

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 20 дней назад +2

    HUYU ZELENSKI KUMANYOKOZAKE NDIO ZAWADIYAKE LEO.

  • @hamadimziraymziray-ry4vi
    @hamadimziraymziray-ry4vi 19 дней назад

    Ibrahim rais hakika ni mwamba kama putni❤❤❤❤

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 20 дней назад +5

    Kumbe waisrael wanategemea Marekani hao wenyewe waisrael hawajimudu kivita na mbwembwe tu na ushoga mwingi

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 20 дней назад

      Israel ni taifa teule hata iweje hakuna nchi itakayoweza kusimama na Israel mmarekani a na anategemea Israel maana wagunduz wengi na magenius wengi wanatokea Israel ndo maana mmarekani nawatumia kwahy lazima wasaidiane

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 20 дней назад

      😂😂😂😂​akili yako kavu sana @@godfreyfrugence4176

    • @benjaminasukulu4955
      @benjaminasukulu4955 19 дней назад

      Acha kutafuta lahana mjinga wewe

    • @user-rt1wf6se5f
      @user-rt1wf6se5f 19 дней назад

      Mmekalili kugundua kitu ni kawaida nawapanga ila vita ni mtihani mzito sana hakuna taifa la mungu Wala nn kweny vita wanamjua vzur adoph Hitler hao na taifa lao

    • @obaidothmanalbulushi9196
      @obaidothmanalbulushi9196 19 дней назад

      Nani kakudanganya kuwa taifa teule kwanza hakuna taifa israel bali kuna mtu ambaye ni yaqubu ndiye israel hili taifa unalofikiria wewe limeundwa mwaka 1949 au ninakosea soma vizuri vitabu ili uelewe uteule maneno ya nani ni mtu kapenda kuandika hivyo nawe ukala matango pori ingelikuwa teule inchi zingine zingelifutika na hiyo ichi ya wazayuni ingelikuwa kubwa mno duniani lakini mbona imekaa kimkoa tuau ki wilaya tu palestine ni kubwa kuliko hiyo halafu wewe useme teule ​@@godfreyfrugence4176

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 20 дней назад +2

    Jaalia China nayo inaivamia Taiwan, sijui Marekan ataelekea wp kutoa misaada wkt huo huo kuna Korea kusini na Kaskazini zinaviziana

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 20 дней назад +1

    Bora saana bwana Gwedo

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 20 дней назад +1

    Tuletee kaka❤

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 20 дней назад +2

    Tujiandae kujenga nyumbani hu nje hapata kalika.

  • @alisaid9920
    @alisaid9920 18 дней назад

    Marekani mshenzi huu ndio mwisho wao watajuta wanacho kifanya itafika muda na wao kuomba msaada wame yakanyaga

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s 19 дней назад

    UKRENI SASA BASI UKRENI SASA IMEFIJA MWISHO URUSI VIVA VIVA VIVA

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 20 дней назад +2

    Hao Ukraine bado kuliwa kiboga tuu kwa hali hyo

  • @user-zn4mt1wy5h
    @user-zn4mt1wy5h 19 дней назад

    Kaka hao wazidi tu kupigwa sana wote ikibidi kumupiga hata huyo marekani kibomu kya nyuklia vizuri tusana kabisa,hao washenzi wanatuaribiya inchi zetu za Afrika hao wa Nato😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤❤😂😂😂

  • @hadijaossi7821
    @hadijaossi7821 20 дней назад +2

    Huyu zelesky chizi huyuuu

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 20 дней назад +3

    ataolewaa!😁😂

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s 19 дней назад +1

    MAGARIBI WAMETUNYONYA WAMMETUPUZA SANA WA AFRIKA SASA MWISHO TUJIUNGE NA BRICS

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 20 дней назад +1

    Naomba group

  • @sibomanaadrien8957
    @sibomanaadrien8957 20 дней назад +1

    Nice

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 20 дней назад +3

    😂😂😂kumbe wadudu watu maarufu.

  • @mohamedmzeemohammed3739
    @mohamedmzeemohammed3739 20 дней назад +1

    ❤🎉

  • @SubiraMwaibanje-ie5oe
    @SubiraMwaibanje-ie5oe 19 дней назад

    Duh hatari,, kweli wamemtafuna

  • @user-jp7ix6fc6y
    @user-jp7ix6fc6y 19 дней назад

    Uraaa

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 18 дней назад

    Mimi nipo pamoja na Iran, Urusi, Palestine, Hezbollah nk.

  • @MatiasAlberto-mj7kh
    @MatiasAlberto-mj7kh 19 дней назад

    ALEX UWE NA AFYA UHENDELEE KUTUPA AMBALI TIMO RÚSSIA

  • @user-ze7dg2uu3r
    @user-ze7dg2uu3r 15 дней назад

    Yukrein

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 20 дней назад +1

    Watajikuta inchi yote ya Ukraine umechukuliwa na Urusi kisha watahaza kudai watu binafsi . Urusi itachukuwa mikoa yote tajiri

    • @salumumakombo
      @salumumakombo 20 дней назад

      Mchezo unaisha soon tu😅😅😅 tupo kyiv now Moto unawaka

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 20 дней назад +2

    Gwido wewe nimkweli hiyo kusema mabomu haya kuathiri kitu sikweli 😂😂😂

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j 19 дней назад

    Zeresk amecha nganikiwa ubongo wake umepwaya

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 19 дней назад

    Gwido nimecheka eti kama wadudu wa chuga manayake pamoja kinyonyo

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 20 дней назад +1

    Umepotea sana ww jamaa

  • @user-vj9ku6mi6o
    @user-vj9ku6mi6o 20 дней назад +1

    Eti niwkeli wamezuia makombora ¢”%90 mbona kama wanatudanganya, Israel wamepigwa kipigo Cha mbwa koko

  • @AlamSanga-cz8ob
    @AlamSanga-cz8ob 20 дней назад +1

    😊😊😊😊😊😊😊

  • @babad1288
    @babad1288 20 дней назад +2

    Nawapata vyema kutoka Nchini sweden

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo 18 дней назад

    ILA BRO KUWA MAKINI HAWA JAMAA WASIJE KUKUFUNGIA BLG YAKO.

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 19 дней назад

    Mara nyingi ukweli au uongo utadhihirika mwishoni, wakati ni dawa, Zelensky hana utofauti na viongozi wa sasa wa Afrika, Marekani na vibaraka wake mwisho wa ubaya wao ni aibu.

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 20 дней назад +5

    Kuna watu mwanzo walikuwa wanamsaport zelensky na kusema urusi itapigwa sahv hawacomment

  • @godfreyjoseph5604
    @godfreyjoseph5604 20 дней назад +2

    Gwido nimekupata kiukweli ww noma ila siasa umeisomea wapi maana hii imepitiliza nikama unabiii?....

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j 20 дней назад +1

    Bado hawajasema

  • @Nangale
    @Nangale 20 дней назад +1

    Urusi ni shujaa

  • @benjaminasukulu4955
    @benjaminasukulu4955 19 дней назад

    Wewe ni mjinga kwani putin amefanya uzur gani achen ujinga kushabikia ujinga na amjui siasa

  • @ChristopherNjaiko
    @ChristopherNjaiko 19 дней назад

    Wachambuzi wa kibongo wanafurahisha sana mbona kaka kama unaegemea upande mmoja??. Tell people the truth

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o 20 дней назад

    Hapa Mimi nakuelewa marekani ni mnufaika mkuu wa mashaliki ya kati ndio mana lziraeli ni shina lao la kuvuruga Kanda ya Asia lli wapole vizuri na ulagh'ai akipora anaenda uzia wenzaka ujerumani na nchi nyingine

  • @manofdeeds23
    @manofdeeds23 19 дней назад

    Hiyo media yako inaitwa kimeumana?.Mbona kila Habari kimeumana?.Fanya research acha janjajanja

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 20 дней назад

    Chizi fresh huyo

  • @JacobJoel-cb3ni
    @JacobJoel-cb3ni 20 дней назад

    Oii Arex tunaomba kuona uwalibifu huko Israel Kwa makombola yaliyopigwa na Iran mbona hatuoni

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 20 дней назад

    😂😂😂ewaaa 🎉saport iran💪🇷🇺🇮🇷🇰🇵🇵🇸🇹🇿🇨🇳

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 18 дней назад

    Kawaida nchi ambayo imepambwa Kwa mengi mazuri kama Israel kwamba haipigwi kiurahisi na inaulinzi Bora wa anga hata kama zimepenya za uso 5 lazima ajitete aseme kweli kunamoja yauso bila ya kuikwepa ingenilaza, lkn Kwa Hakika Israel imepigika na hawawezi kukiri na mpaka mashoga zao hawata kubali kusema ukweli kwamba malaika wao kapokea kadhaa za uso

    • @allyhuyu1892
      @allyhuyu1892 18 дней назад

      Na tunajua Israel na marekani baada ya urusi na Korea kaskazini anaogopa sana Iran mtoto mtukutu

  • @josephwaigama-sb8hz
    @josephwaigama-sb8hz 19 дней назад

    Hongera russia

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 19 дней назад

    Viva putin

  • @kassiannyamba805
    @kassiannyamba805 20 дней назад

    Wapi kiduku 😂😂 nimemmisi

  • @user-rn1en4tq5z
    @user-rn1en4tq5z 20 дней назад

    Yap
    BAB KUBWA

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 20 дней назад

    msaada hulipiwa vipi ?

  • @user-xw1ty7pb8h
    @user-xw1ty7pb8h 20 дней назад

    apa tusubiri mjinga afe

  • @benjaminasukulu4955
    @benjaminasukulu4955 19 дней назад

    Wewe mtangazaji ni mpumbavu

  • @muhitira
    @muhitira 20 дней назад

    Iran mkande mburu matopeni

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 20 дней назад

    😮 this is really good zombie and isn't he taking a lot of opium drink, such as cocaine if not heroin? Naona waukreine wamechagua mvulana chizi 😮 13:40

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 20 дней назад +1

    Nimjinga sana zelensk kwann asikubali yaishe au amkabizi putin inchi ili awe salama ataolewa namalekan yuko ❤❤🇷🇺🇷🇺❤💪 tayari kwaloloye😂😂😂

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 13 дней назад

    H ii jl

  • @petsmore9955
    @petsmore9955 20 дней назад

    Wajinga sana nyinyi. Uwezo wenu mdogo wa kufikiria mnaona kuwa vita ni sawa na mpira wa yanga na simba. Pumbavu sana. Mnafikiri kushabikia mtakuwa salama . Nincompoops!

    • @salumumakombo
      @salumumakombo 20 дней назад +1

      😅😅😅 unaogopa kufa Ukraine hapigwi anafundishwa adabu ukitaka kuona kipigo Cha mrusi waambie NATO wajichanganye live

    • @muhammadmbaraka4515
      @muhammadmbaraka4515 20 дней назад

      ​@@salumumakombohhahahhahhah....

    • @simonmartin5358
      @simonmartin5358 20 дней назад +1

      Wenae kwanza hausomeki we timu mashoga