MEENYEZMUNGU Aamuongoze mwanaumehuyu wa urusi raisi wa dunia ambae kila mwenye akili timamu kama mimi namuombea dua ata kwenye swala afaulu kuwanyuka washenzi na atunuanyue wanyonge amiin yaa ALLAAAH .
Akombora ya iran yameletea israel maafa makubwamno ila israel wanafic ha kwa kudanganya ulimwengu. Kifupi israel kapigika mbaya mbovu, anajikaza kisabun
Israel ni taifa teule hata iweje hakuna nchi itakayoweza kusimama na Israel mmarekani a na anategemea Israel maana wagunduz wengi na magenius wengi wanatokea Israel ndo maana mmarekani nawatumia kwahy lazima wasaidiane
Mmekalili kugundua kitu ni kawaida nawapanga ila vita ni mtihani mzito sana hakuna taifa la mungu Wala nn kweny vita wanamjua vzur adoph Hitler hao na taifa lao
Nani kakudanganya kuwa taifa teule kwanza hakuna taifa israel bali kuna mtu ambaye ni yaqubu ndiye israel hili taifa unalofikiria wewe limeundwa mwaka 1949 au ninakosea soma vizuri vitabu ili uelewe uteule maneno ya nani ni mtu kapenda kuandika hivyo nawe ukala matango pori ingelikuwa teule inchi zingine zingelifutika na hiyo ichi ya wazayuni ingelikuwa kubwa mno duniani lakini mbona imekaa kimkoa tuau ki wilaya tu palestine ni kubwa kuliko hiyo halafu wewe useme teule @@godfreyfrugence4176
Kaka hao wazidi tu kupigwa sana wote ikibidi kumupiga hata huyo marekani kibomu kya nyuklia vizuri tusana kabisa,hao washenzi wanatuaribiya inchi zetu za Afrika hao wa Nato😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤❤😂😂😂
Mara nyingi ukweli au uongo utadhihirika mwishoni, wakati ni dawa, Zelensky hana utofauti na viongozi wa sasa wa Afrika, Marekani na vibaraka wake mwisho wa ubaya wao ni aibu.
Hapa Mimi nakuelewa marekani ni mnufaika mkuu wa mashaliki ya kati ndio mana lziraeli ni shina lao la kuvuruga Kanda ya Asia lli wapole vizuri na ulagh'ai akipora anaenda uzia wenzaka ujerumani na nchi nyingine
Kawaida nchi ambayo imepambwa Kwa mengi mazuri kama Israel kwamba haipigwi kiurahisi na inaulinzi Bora wa anga hata kama zimepenya za uso 5 lazima ajitete aseme kweli kunamoja yauso bila ya kuikwepa ingenilaza, lkn Kwa Hakika Israel imepigika na hawawezi kukiri na mpaka mashoga zao hawata kubali kusema ukweli kwamba malaika wao kapokea kadhaa za uso
Wajinga sana nyinyi. Uwezo wenu mdogo wa kufikiria mnaona kuwa vita ni sawa na mpira wa yanga na simba. Pumbavu sana. Mnafikiri kushabikia mtakuwa salama . Nincompoops!
Huyu kijana kakosa maarifa. Na hawa ni wingi hawa wataharibu nchi zao wote. Afrika ndio muda wao wa kuamka na BRICS haraka Sana Sana
❤team Russian cc ndio wataamu wa vita father plans putin ni kiboko ya wendazimu wa kimarekan wameyakanyaga kwa mfale wa vita vldmr Putin
Team putin bado hatuja sikia kile tunacho hitaji kukisikia kutoka Ukraine 😮
Jay boy hapa Kama kawaida yangu
❤❤❤😂😂😂HAHAHAHA bado sanaaa,RUSSIA/PUTIN endelea kutoA kichapo zaidi ❤❤🎉.
Kwan kinachokufurahisha ninn, acha ujinga wewe
Nn wew Benjamin netanyah
MEENYEZMUNGU Aamuongoze mwanaumehuyu wa urusi raisi wa dunia ambae kila mwenye akili timamu kama mimi namuombea dua ata kwenye swala afaulu kuwanyuka washenzi na atunuanyue wanyonge amiin yaa ALLAAAH .
Nawewe ni mpumbavu acha ujinga
Benjamin netanyah upo huku 😂😂😂
😂😂@@user-rt1wf6se5f
Akombora ya iran yameletea israel maafa makubwamno ila israel wanafic ha kwa kudanganya ulimwengu. Kifupi israel kapigika mbaya mbovu, anajikaza kisabun
Hongera Gwido
Nakubal kaka uko vizur
🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪
Sf sana Putin ww nimpenda haki hiyo kinzhali nionyo kwa wazayuni
AFIRICA TUAMKE TUUNGANI NA BRICS WAKAITI NI HUU WAKAITI NI SASA TUMENYONYWA SANA TUMEPUUZWA SANA SASA MWISHO.
Urus oy oy iran fanya kazi
HUYU ZELENSKI KUMANYOKOZAKE NDIO ZAWADIYAKE LEO.
Ibrahim rais hakika ni mwamba kama putni❤❤❤❤
Kumbe waisrael wanategemea Marekani hao wenyewe waisrael hawajimudu kivita na mbwembwe tu na ushoga mwingi
Israel ni taifa teule hata iweje hakuna nchi itakayoweza kusimama na Israel mmarekani a na anategemea Israel maana wagunduz wengi na magenius wengi wanatokea Israel ndo maana mmarekani nawatumia kwahy lazima wasaidiane
😂😂😂😂akili yako kavu sana @@godfreyfrugence4176
Acha kutafuta lahana mjinga wewe
Mmekalili kugundua kitu ni kawaida nawapanga ila vita ni mtihani mzito sana hakuna taifa la mungu Wala nn kweny vita wanamjua vzur adoph Hitler hao na taifa lao
Nani kakudanganya kuwa taifa teule kwanza hakuna taifa israel bali kuna mtu ambaye ni yaqubu ndiye israel hili taifa unalofikiria wewe limeundwa mwaka 1949 au ninakosea soma vizuri vitabu ili uelewe uteule maneno ya nani ni mtu kapenda kuandika hivyo nawe ukala matango pori ingelikuwa teule inchi zingine zingelifutika na hiyo ichi ya wazayuni ingelikuwa kubwa mno duniani lakini mbona imekaa kimkoa tuau ki wilaya tu palestine ni kubwa kuliko hiyo halafu wewe useme teule @@godfreyfrugence4176
Jaalia China nayo inaivamia Taiwan, sijui Marekan ataelekea wp kutoa misaada wkt huo huo kuna Korea kusini na Kaskazini zinaviziana
Bora saana bwana Gwedo
Tuletee kaka❤
Tujiandae kujenga nyumbani hu nje hapata kalika.
Marekani mshenzi huu ndio mwisho wao watajuta wanacho kifanya itafika muda na wao kuomba msaada wame yakanyaga
UKRENI SASA BASI UKRENI SASA IMEFIJA MWISHO URUSI VIVA VIVA VIVA
Hao Ukraine bado kuliwa kiboga tuu kwa hali hyo
Kaka hao wazidi tu kupigwa sana wote ikibidi kumupiga hata huyo marekani kibomu kya nyuklia vizuri tusana kabisa,hao washenzi wanatuaribiya inchi zetu za Afrika hao wa Nato😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤❤😂😂😂
Huyu zelesky chizi huyuuu
ataolewaa!😁😂
MAGARIBI WAMETUNYONYA WAMMETUPUZA SANA WA AFRIKA SASA MWISHO TUJIUNGE NA BRICS
Naomba group
Nice
😂😂😂kumbe wadudu watu maarufu.
❤🎉
Duh hatari,, kweli wamemtafuna
Uraaa
Mimi nipo pamoja na Iran, Urusi, Palestine, Hezbollah nk.
ALEX UWE NA AFYA UHENDELEE KUTUPA AMBALI TIMO RÚSSIA
Yukrein
Watajikuta inchi yote ya Ukraine umechukuliwa na Urusi kisha watahaza kudai watu binafsi . Urusi itachukuwa mikoa yote tajiri
Mchezo unaisha soon tu😅😅😅 tupo kyiv now Moto unawaka
Gwido wewe nimkweli hiyo kusema mabomu haya kuathiri kitu sikweli 😂😂😂
Zeresk amecha nganikiwa ubongo wake umepwaya
Gwido nimecheka eti kama wadudu wa chuga manayake pamoja kinyonyo
Umepotea sana ww jamaa
Eti niwkeli wamezuia makombora ¢”%90 mbona kama wanatudanganya, Israel wamepigwa kipigo Cha mbwa koko
😊😊😊😊😊😊😊
Nawapata vyema kutoka Nchini sweden
Uko sweden! Sehem gani?
ILA BRO KUWA MAKINI HAWA JAMAA WASIJE KUKUFUNGIA BLG YAKO.
Mara nyingi ukweli au uongo utadhihirika mwishoni, wakati ni dawa, Zelensky hana utofauti na viongozi wa sasa wa Afrika, Marekani na vibaraka wake mwisho wa ubaya wao ni aibu.
Kuna watu mwanzo walikuwa wanamsaport zelensky na kusema urusi itapigwa sahv hawacomment
Gwido nimekupata kiukweli ww noma ila siasa umeisomea wapi maana hii imepitiliza nikama unabiii?....
Siasa kaisomea CUBA 😅😅😅😅😅😅😅😅
Oyaaaaaaaaa
Bado hawajasema
Urusi ni shujaa
Wewe ni mjinga kwani putin amefanya uzur gani achen ujinga kushabikia ujinga na amjui siasa
Wachambuzi wa kibongo wanafurahisha sana mbona kaka kama unaegemea upande mmoja??. Tell people the truth
Hapa Mimi nakuelewa marekani ni mnufaika mkuu wa mashaliki ya kati ndio mana lziraeli ni shina lao la kuvuruga Kanda ya Asia lli wapole vizuri na ulagh'ai akipora anaenda uzia wenzaka ujerumani na nchi nyingine
Hiyo media yako inaitwa kimeumana?.Mbona kila Habari kimeumana?.Fanya research acha janjajanja
Chizi fresh huyo
Oii Arex tunaomba kuona uwalibifu huko Israel Kwa makombola yaliyopigwa na Iran mbona hatuoni
😂😂😂ewaaa 🎉saport iran💪🇷🇺🇮🇷🇰🇵🇵🇸🇹🇿🇨🇳
Kawaida nchi ambayo imepambwa Kwa mengi mazuri kama Israel kwamba haipigwi kiurahisi na inaulinzi Bora wa anga hata kama zimepenya za uso 5 lazima ajitete aseme kweli kunamoja yauso bila ya kuikwepa ingenilaza, lkn Kwa Hakika Israel imepigika na hawawezi kukiri na mpaka mashoga zao hawata kubali kusema ukweli kwamba malaika wao kapokea kadhaa za uso
Na tunajua Israel na marekani baada ya urusi na Korea kaskazini anaogopa sana Iran mtoto mtukutu
Hongera russia
Viva putin
Wapi kiduku 😂😂 nimemmisi
Yap
BAB KUBWA
msaada hulipiwa vipi ?
apa tusubiri mjinga afe
Wewe mtangazaji ni mpumbavu
Mtangazaji yupo sawa shida ipo kwako
Iran mkande mburu matopeni
😂😂😂😂
😮 this is really good zombie and isn't he taking a lot of opium drink, such as cocaine if not heroin? Naona waukreine wamechagua mvulana chizi 😮 13:40
Nimjinga sana zelensk kwann asikubali yaishe au amkabizi putin inchi ili awe salama ataolewa namalekan yuko ❤❤🇷🇺🇷🇺❤💪 tayari kwaloloye😂😂😂
H ii jl
Wajinga sana nyinyi. Uwezo wenu mdogo wa kufikiria mnaona kuwa vita ni sawa na mpira wa yanga na simba. Pumbavu sana. Mnafikiri kushabikia mtakuwa salama . Nincompoops!
😅😅😅 unaogopa kufa Ukraine hapigwi anafundishwa adabu ukitaka kuona kipigo Cha mrusi waambie NATO wajichanganye live
@@salumumakombohhahahhahhah....
Wenae kwanza hausomeki we timu mashoga