DULLAYO ATAJA MAZITO ALIYOPITIA Baada ya KUSHUKA KIMUZIKI, KULALA BARAZANI | UNLOCK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • DULLAYO ATAJA MAZITO ALIYOPITIA Baada ya KUSHUKA KIMUZIKI, KULALA BARAZANI | UNLOCK
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 28

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Год назад +14

    Mtangazaji unajifanya Star kuliko Unaemuhoji.....Be have baaaasi

  • @MsodokiSokoine-k2x
    @MsodokiSokoine-k2x Год назад +1

    Dulayo noma diamond haoni ndani hapa

  • @RukhaiyaNassir
    @RukhaiyaNassir 13 дней назад

    Nakuelewa sana poleeee sana

  • @giftrevocatus8040
    @giftrevocatus8040 Год назад +2

    Daaaaa utangazaji siyo 2 kipaji hata darasa linaitajika

  • @RukhaiyaNassir
    @RukhaiyaNassir 13 дней назад

    ❤❤❤dullayooo

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Год назад +3

    We mwandishi hujui kumhoji mtu yaan unauliza suali mtu hajibu unasahau kumrudisha msanii kwnye suali ulilouliza#kwa mfno uliuliza”ukiachana na pombe ulishawahi kutumia bangi au Ngada”???hakuna majibu yaliotoka!!

    • @Fundikichwa
      @Fundikichwa Год назад

      Hujaskiza vzuri wew, unarusha rusha

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 Год назад +2

    Wasafi ntakuuwa jamani...
    Nimependa sn gisi imesetiwa iyo seemu...

  • @RukhaiyaNassir
    @RukhaiyaNassir 13 дней назад

    Kama hujarogwa hujui nikweli unachosema ata hao wanahoji unafikiri hawajui wao we yewe wanarogana sana tu uctumie nguvu kumuelezea

  • @imeldangoda2319
    @imeldangoda2319 Год назад

    Ok kama umejitambua basi simama tena ...mungu yupo pamoja na wewe .tunajifunza kutokana na makosa yetu

  • @abdullyswamad
    @abdullyswamad Год назад +1

    I'm waiting

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Год назад +1

    Mbona me naona jamaa anapresent fresh tuu pia sio kila kipnd lazima kiwe shangwe kama vipindi vengine manake hiki ni kipindi cha usiku sio the switch yani kama lavidavi uwe na swagga kama xxl hapana kila kipndi kina maudhui yake kwahyo sio mbaya jamaa ni mkali mpaka kukaa wasafi sio kazi rahisi kama rahisi fanya wewe tukuone kama kupaji najua mnatamani kua kama yeye manake mnajifanya mnajua sana kujaji mamayo zenu ninyi

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 Год назад +1

    Aache kwanza pombe kali zinamkaanga mdomo anapanik wapi huyu akae atulie ajipange upya Hana haja ya kupanik maisha kushuka kupanda kawaida

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Год назад +1

    💪

  • @Haizurumakombo-cu5cu
    @Haizurumakombo-cu5cu Год назад +3

    We we ni muongeaji sio mtangazaj

  • @hassanstoch7607
    @hassanstoch7607 Год назад +1

    Mtangazaji unafosi sana kumudu kipindi pasipo kujua unajikuta unaharibu. Haufit kabisa

  • @raufsaid3691
    @raufsaid3691 Год назад +2

    Mtangazaji ndio anaonekana msanii,msanii anaonekana mtangazaji 😀😀

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 Год назад +1

    Mtangazaji mweupe kabisa, hamna kitu

  • @wazoboy1319
    @wazoboy1319 Год назад +1

    uhakika mbaba

  • @jorumkiungo303
    @jorumkiungo303 9 месяцев назад

    Hakuna mtangazaji hapo

  • @yusuphswai6851
    @yusuphswai6851 Год назад

    Mtangazaj apo akuna kabisa yani

  • @HusseinRj
    @HusseinRj Год назад

    Mtangazaji😂😂😂

  • @westhamtznalenale3093
    @westhamtznalenale3093 Год назад

    Double kick

  • @christophergeorge5490
    @christophergeorge5490 Год назад

    😂😂😂 Msanii ndo yupi hapo