Allah atufanyie wepesi katika ibada na akujalie uwemiongoni mwawatu walio salimika nyoyo na ulimi wenye kusema kweli. Allah atufanyie wepesi katika hliii inshallah 🤲🤲🤲☝️
maashaallah shekh Osman m.mungu akupe afya njema ww pamoja nasi na m.mungu atukutanishe sote peponi .🤝🤲❤Swaum maqbur m.mungu atutakaqabalie swaum zetu na walioko mahospitalini wagonjwa na majumbani na magelezani awape subra na awaponye
Masha Allah. Nime kuwa namsikiliza sheekhe Othman. Nime ridhika na wa"adi yake. Huwa nasikiliza sheikh Jabutawi lakini najipata na tafuta funzo la sheikh Otjman
Kwa hakika Ramadhan inashuka ukiangalia kila mwaka Kuna kitu chapunguzwa hapa ilikuwa mwezi huu kila chumba imewekwa Qura'an na wa naisoma kidogo kidogo mwaka huu ni chumba moja tu nimeon6😢😢😢Subhana Allah
Nikweli Sheikh ila wengine hawajui kusoma pengine kwa kutopelekwa madhrasa au kusilimu ukubwani so nimtihani kulingana kwamba mtu anataka kujua ila muda na majukumu yanayo mzunguka imekuwa kikwazo kwake ila nina imani kubwa kwamba kila mja wnahamu ya kuijua vyema dini aliyo ipenda.asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh.
Umeletwa duniani kwajili gani ukijua ivo basi hutokua busy na dunia ukaipa mgongo Quran kama unaweza ukatenga mdaa kwajili ya kula bc pia unaweza kutenga mdaa kwajili ya kuijua quran hakuna kisingizio
Maa shaa Allah sheikh wangu nafatilia darasa zako sana kwa kwel nikisikiliza nafarajika sana pia najifunza mengi sana kupitia darasa zako Allah Akujaalie mwisho mwema
ALLAH ANIJAALIE MM NIJE KUMRECOD HUYU SHEKH AKISOMA QURAN ANASAUT YA PEKE YAKE INSHAALLAH IPO SIKU KWA UWEZO WZ ALLAH MM NITAMLIPA NIRECOD NAE JUZU 30❤❤❤
Naomba niulize swali ninarafiki yangu ameishi na mume wake Kwa muda wamiaka kumi na saba na ramadhani hii amwacha MKE wake kwasababu ya mchipuko je nisawa
Yaa alla ambariki shehe othman maalim siku ya malipo umpe malipo mema ❤❤❤
Amiin
Amiin
Sheikh Othman Hicho kisa cha Mbweha,Simba na Mbwa mwitu imenifundisha Wallah... MashaAllah
Allah atufanyie wepesi katika ibada na akujalie uwemiongoni mwawatu walio salimika nyoyo na ulimi wenye kusema kweli. Allah atufanyie wepesi katika hliii inshallah 🤲🤲🤲☝️
Masha Allah shekhe una soma mpaka unahisi ina gusa kwenye mwoyoni baraka Allahu fiki
Shekhe Allah akujaze kheri nying❤
Mashaaallah maashaallah sheikh letu Allah azidi kukutunza
Ya Allah akulipe mema duniani na akher alhauma amin
Mashallah Allah akulipe kheri pamoja na sisi wasikilizaji.... hakika huwa sichoki kusikiliza mawaidha yako hata nikiwa ofisini nasikiliza
Masha Allah tabarakallah uhibukii fiy llah Yaa shekh Othman Maalimu.. Yaa rabbi tujaalie tuwe ahalul qu'rian amiin yaarabbali ghalamiina shukran Sana swaumu maqbulu
MashaAllah shekh Allah atufungulie milango ya Ammin.
Allah akujaze kila la heri dunianii na kesho Akhera. Akukinge na mahasidi na maadui wa mbali na kariba.AMIYNA.
Mashalla
Allah akujaalie umri mrefu na akupe mwisho mwema inshaallaa shekhe wetu othuman maalim
Mashaallah shukuran shekhe Othman kwa mawaitha
Asante sana Allah akujalie mema Sheikh tokea Gisenyi Rwanda
Shekh Othman ana kipaji na anajua kutumia kipaji chake. Akiongea hutaki amalize. Mola akuweke shekh wetu.
Allahuma Amin
Aamin
Masha'Allah Alhamdullilah dullilah rabbil aalmin ❤❤❤❤❤❤❤❤❤Allah atuajalie kheri
maashaallah shekh Osman m.mungu akupe afya njema ww pamoja nasi na m.mungu atukutanishe sote peponi .🤝🤲❤Swaum maqbur m.mungu atutakaqabalie swaum zetu na walioko mahospitalini wagonjwa na majumbani na magelezani awape subra na awaponye
Amiin
Allahumma amiiiin
Amiin
INNA LWAHA JAMIILU HAKIKA YA MW ENYEZIMUNGU NI MZURI WA YUHIBBUL JAMAALA NA ANAPENDA MAZURI. Rawahu Musilim. Shukrani Kwa Darasa.
Mashallah sheikh Allah akuzidishie
Allah akujaze heri na akupe afiya njema uzidi kutufahamisha inshallah sheikh wetu
Mashallah Allah bless uJazakallah Sheikh wetu Allah akupe Afya yako kamili Frm Kenya❤Kenya's❤
Mashaallah ❤mashaallah tabarakallahu ❤may Allah bless you and your family and happiness ❤Allah give you shifa umuri tawilli❤
Sheikh kwa kazi unayo ifanya Allah atakulipa kilaheri na sisi tunao kusikiliza tuyafuate hayo utufundishao amina
Allah amzidishie umri mrefu shekhe wetu ili atoe elimu
Mashallh❤dini naipenda toko moyoni❤
❤❤❤❤❤❤❤Masha'Allah Alhamdulillah Rabbil aalamin ❤❤❤❤❤❤Allah atujaalie kheri
Hakika mmungu amzidishie elimu zaidi ya aliyonayo amiin
Shehe Othmani Maalim,Allah akulipe kila la kheri inshaallah
Masha Allah. Nime kuwa namsikiliza sheekhe Othman. Nime ridhika na wa"adi yake. Huwa nasikiliza sheikh Jabutawi lakini najipata na tafuta funzo la sheikh Otjman
Maashallah mungu akupe maisha mrefu
May Allah give you shifa❤❤❤
Mashallah best shekhe
Allah akulipe shekhe akuzidishiee afyaa
SAUM MAKBUL. Shukran sana Ustadh Sheikh Othman Maalim
Kwa hakika Ramadhan inashuka ukiangalia kila mwaka Kuna kitu chapunguzwa hapa ilikuwa mwezi huu kila chumba imewekwa Qura'an na wa naisoma kidogo kidogo mwaka huu ni chumba moja tu nimeon6😢😢😢Subhana Allah
Allah akulipe ujira ulio wa kheri sheikh Othman maalim
Swadakta tumeisoma hiyo shekh jazakallahu kheir.mwenye masikio afungue amin
Nikweli Sheikh ila wengine hawajui kusoma pengine kwa kutopelekwa madhrasa au kusilimu ukubwani so nimtihani kulingana kwamba mtu anataka kujua ila muda na majukumu yanayo mzunguka imekuwa kikwazo kwake ila nina imani kubwa kwamba kila mja wnahamu ya kuijua vyema dini aliyo ipenda.asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh.
Jiekee angaa kwa sku dkika kdgo y kujifundsha,hkna zito penye nia.unaeza tumia hta smu kuskiza
😊😊
@@bahjaabubakar2842 sehemu niliyo nina muda wasimu ndioman napata kusikiliza ila muda wakaa chini kiukweli ni shida
Kabisa 🤲
Umeletwa duniani kwajili gani ukijua ivo basi hutokua busy na dunia ukaipa mgongo Quran kama unaweza ukatenga mdaa kwajili ya kula bc pia unaweza kutenga mdaa kwajili ya kuijua quran hakuna kisingizio
Mashaa Allah Sheikh wetu Allah akuzidishie
Manshallah shekhe Othman Maalim ALLAH akupe sakh wa Afya YARABIY LLAH LLAAH AMEEN SHUKRAN KWA MIHADHALA YAKO MIZURI SAAANA
Assalam aleykum ahsante Kwa mafundisho yako mungu atakulipa InshaAllah
Mashaallah nasisimka kwa mawaidha mazuri Allah atujaalie mwisho mwema inshaallah
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Shukraan Shekh Othman Maalim Allah Akulipe Yalio. Mema
TabarakaAllah Ma Sha Allah Alhamdelilah 🤲
Ma sha llah jazakah llah
Mashallah mungu akupe ukitacho sheikh nayo ni pepo
Maa shaa Allah sheikh wangu nafatilia darasa zako sana kwa kwel nikisikiliza nafarajika sana pia najifunza mengi sana kupitia darasa zako Allah Akujaalie mwisho mwema
Allahuma Amin
Masha Allah sheikh mungu akuzidishie
Masha Allah tabaraka Allah mwenyezi Mungu akuifadhi shekh othuman maalim🙏
Jazakallah khairan baada khairan jannatul nnaym.
Mashallah Allah atujaalie wepesi
Maashaallah Maashaallah Jaazakallahu-kheir shukraaan mabroukk yaa sheikh ❤❤❤
Jazakallah khayran
Inshaallah mwenyezi mungu akupe umri
Mashala 😢😢😢
Shukran shehe qur'ani ni tamu saana ina ladha kubwa unapoisoma mashaallah
Sahihi hatakama hujui kusoma lkn ikisomwa wahis raha wasisimukwa
Allah tuongoze katika dining wenye kufaulu mwezi huu wa mtukufu wa ramadhan
Amin
Kumbe ndio maana huwa wanakuja huku kutukana ni adhari za Quran ❤❤❤❤
Shukurn sheikh wetu 🙏
MAA SHAA ALLAH TABARAKAALLAH
Machalla sheh mungu akulipe
Allah akibar .mola akulinde ustadhi.kila ninapo kusikiza Mimi hutokwa Na machozi
MashaAllah ❤❤
اطال الله في عمرك ويحفظك من كل سوء والمكروه
MashaAlla MashaAlla ❤❤❤❤
Mashallah❤
Mashaaallah Allah akupe kadiriojema Leo na kesho akhera
Nikweli kabisa Yani ❤
Asalamualeikum djameni nimeishi Congo napendeleya niongeye na sheikh Othman !
Miye nimeangamizwa. Lakin nimechinjiwa mbuzi. Kuku kwenye kichwa
Kwamganga. Wakumasai. Jee. Hii ndouislam
Asante shehe allah akulipe kheriy❤❤
Allahu Akbar.
Mashaallah tabarakallah
Jazaka Allah.
Asalam. Alaykum. Namiye napendasa. Mawaiz. Kwa ajili ya. AllwH
Mashallah akupe kadiriojema leo na kesho akhera
HASBI ALLAHU WA NEEMAL WAKIL
sasa ndege anasahau kuchuma
kwasababu ya sauti nzuri ya Quran mimi nani😢😢😢😢😢 tutajitaidi ❤
Namuomba Allah SW akupe afya njema na umri mrefu ili uweze kufanya kazi yako hii muhimu.
Mashaallah
Na amrehemu baba yako Allahu firlahu fil janna
Shukrani ❤❤❤allah atuzidishiye❤❤❤elimu nafiya wakaliba hashiya❤❤❤waamala mutakbal❤❤❤❤❤amini❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Mpaka as hii nimesoma juzuu 30 naomba atujaalie kheri tusome zaidi
Mashaa Allah ndugu
Mashallah
Mashaallah
Masha Allah
MASHA ALLAH
Mashallah Shukraan sheikh
Mashallah
Jazakallah sheikh
ALLAH ANIJAALIE MM NIJE KUMRECOD HUYU SHEKH AKISOMA QURAN ANASAUT YA PEKE YAKE INSHAALLAH IPO SIKU KWA UWEZO WZ ALLAH MM NITAMLIPA NIRECOD NAE JUZU 30❤❤❤
Aminii mungu akufanyie wepes ukutane tuzidi kuuneza uwislam
Mashallha ❤❤
Maishallah
Allahamdulillah
Masha allah allah akuhifadhi yaraab 🤲🏻
Amin lshaall
Jazakallah khair
Nikweli shehe
Naomba niulize swali ninarafiki yangu ameishi na mume wake Kwa muda wamiaka kumi na saba na ramadhani hii amwacha MKE wake kwasababu ya mchipuko je nisawa
Ustadhi Nina swali Mimi pengine najua t kias kusoma Qur'an sijui yote je naenza kurudia rudia zile zenye najua
Nikweli sheghe kama mm natamani sana kusoma lakini sijui
Ya Allah mpe malipo yaliyo mema