Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Je ukiota unanunua samak hii inamaana gan?
Nmeota nakula pweza mkavu inamaana gan
Shee je kuota samaki amemeza watu wengine lkn kuna mtoto nikamwambia usiende atakumeza
Amen 🤲🤲🤲🤲
Je uki ota unanunua samaki hii inamaana gani?
Mm nimelala nikaota nanunua samak mkavu Yan kibambara maana yake nin shehe
Shehe je ukiota unauwawa kwa kutupwa gorofani inamaana gani? Yani juu hadi chini
Mimi nimeota samaki mmoja kaozo
@@athmanmayeko5076 maana yake kama unamiliki mke Basi hakufai au umrekebishe kitabia.Kama hujaona Basi utaona mke maharim Na asie faa
Mim nimeota aina ya kambare naletewa samaki kipande nikala
Sijaelewa kuota samaki mbichi Alie chomwa ??
Ukiota samaki wakubwa wengi wapo juu ya migomba alafu shamba pia limemea na ninawakata samaki vipande wakiwa juu
Ukiota umeokota pessa mia tano tano
Je ukiota unanunua samak hii inamaana gan?
Nmeota nakula pweza mkavu inamaana gan
Shee je kuota samaki amemeza watu wengine lkn kuna mtoto nikamwambia usiende atakumeza
Amen 🤲🤲🤲🤲
Je uki ota unanunua samaki hii inamaana gani?
Mm nimelala nikaota nanunua samak mkavu Yan kibambara maana yake nin shehe
Shehe je ukiota unauwawa kwa kutupwa gorofani inamaana gani? Yani juu hadi chini
Mimi nimeota samaki mmoja kaozo
@@athmanmayeko5076 maana yake kama unamiliki mke Basi hakufai au umrekebishe kitabia.
Kama hujaona Basi utaona mke maharim Na asie faa
Mim nimeota aina ya kambare naletewa samaki kipande nikala
Sijaelewa kuota samaki mbichi Alie chomwa ??
Ukiota samaki wakubwa wengi wapo juu ya migomba alafu shamba pia limemea na ninawakata samaki vipande wakiwa juu
Ukiota umeokota pessa mia tano tano