Billnass ft Mbosso - Number One (Official Lyrics Video)
HTML-код
- Опубликовано: 26 фев 2024
- #Billnass
(C) Nenga
Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/billnassxmbossonumberone
Written & Performed by Billnass
For Booking : billnass16@gmail.com
Follow Billnass on:
/ billnass
/ bill_nass
. BillnassTZ Видеоклипы
Yaani nyimbo ni kali ila mbosso kwanini na nenga mtu wa watu sio poa,tunasubili kideo kingine mkiwa pamoja mtakua mmeua kinyama 🙌nimekubali tz moja
Hi vp
Waziza Billnas tangu apate Nandi amekua unstoppable🎉🎉😊❤
Vp
Number one ❤🎉🎉
Big up nenga hapa umeuwa hii ndo mana ya mziki ukisikiliza ngoma huichoki kuirudia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bonge 1 la ngoumaaa, kati ya walioumiza Lishangazi limeumiza sio kidogo 🔥🔥🔥
Vp
Bonge la ngoma, nimependa Billnass unavoimba
🔥🔥🔥🔥
Nakubalii 🔥🔥🔥
Mbosso unajua kaka naomba mungu ufike internationally
Hi vp
Vp
Kama wamatambua mbosso finya like ❤
Kazi juu ya kazi bro nakubali sana.
Tuna subiri kwa hamu kubwaa ABEDI from USA 🇺🇸 tuna wapenda sana ndugu zetu
Nenga fire🌹🌹💐
BILNASS HAFAI KAMA UNA MKUBALI GONGA LIKE TUKISONGA 🔥 🔥
Mimi wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh inatosha ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Kama unaikubali hii ngoma gonga like twende sawa ❤️❤️❤️🌹💐
Wa kwanza kutoka congo naomba muni follow
Please from 254 naomba 255 likes
Hi vp
Mbosso kalitendea haki kolabo asee😢😢❤❤
Sema kukosekana kwenye video kaipoza
Kwanini hayumo kideoni
🔥🔥🔥
What happened mbosso kills but no views😢😢😢mbosso fans let's meet here
Kama una wakubali mbosso ft bilinass like hapa
Vp
Naitwa juhanny sijuw wewe
Arusha
niko na moto sana na hii ngoma naingoja hivi kwa hamu na mimi ni wa kwanza kutoka likoni naomba likes🤑😇
❤
Mbosso nailed it 🔥
Good idea,Good locations,mixing 💯,beat 💯
In nenge we need no mboso hatutambui wasafi 4rom bmb mombasa
Wakwanza mm Leo jaman naomba likes 🎉
Ngomaaa qaliii sanaaaa next yupo na mboso hii ni lyrics tu
Kama unamkubali na unaamini billinasi na mboso khani wanaweza weka like zako hapa 🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉❤
Kwenye ma bilions wwe ndio no..1
Hiii ngoma inaondoa shida ya maji , mgao wa umeme na inashusha bei ya sukar na ukali wa maisha 😮😮
Vp
Hii ngoma tungemuona mshedede ndani ingechangamka sana
Number one moto 🔥 Nenga & Mbosso 🙌
Mbosso kill it🔥🔥🔥
Mbosso kila time
Mbosso kuma make hata hajaonekana humu bonge la goma kazingua
Number One🎉❤
Gonga like ya bure km unapenda mziki mzuri...❤❤🔥🔥🔥🔥
Chuma hiyooo
Khan mwana wa Kilungi ❤
Hi ngoma sio mchezo hapa nenga kauwaaa nipeni like zangu
rapper in love fear dat shit
Mbosso yupo wapi sasa siyo poa
Hii kwel sio poa video mbona mbosso hayupo
Bonge Moja la ngoma Yan 🎉🎉🎉
Amazing video
Hii nandy hawez kupost
Nzuri❤❤❤❤❤❤
Billnass NGOMA Kali sana kinomanoma
Oyaaa Nenga Tunatambua kazi zako Tajiri 🇰🇪 kilifi, We love your music
Wakwanza from Kenya 🇰🇪 and
Mbona mbosso hayupo bana,,ina boesha sas
Rangi nyeupe bhana yaaan zile alama za bra bado zipo kifuani na zinapendeza kwa kweli yaaan
Wakwanza mimi leo kama unampenda Nenga na Mbosso naomba like zangu jamani
Mbosso Khan 🎉🎉🎉🎉Nenga 🔥 🔥 🔥 🔥
Mbosso and nenga with an amazing number one song. Tuifikishe number one kote
Kwani Mbosso alipotea kweli?? Likes zangu basi jamani
Mbosso Yuko wapi???😢
Mbona hamna mbosso jamani humu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hata mimi imeniuma
Nc kitu icho nakumbali 😮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Thanks amapiano byeeeee
Mbosso Anaimba Bhana Akitulia 🔥🙌
Ngoma kali xna ❤❤mbossok napendaga hio sauti Yako🙏🙏
Ngoma kali bba kenaya 🔥🔥🔥🔥
Chemistry safi mbosso na bilnenga 👏👏🇰🇪
Mboso sauti yake huyo ndo mbo muimbaji wa pwani kabisa tunakosheka sana
Tunaenda kuzizika amapiano🎉🎉 good song
Mbosso Khan big up❤
Aweee hii ngoma ni nomaaaaa sanaaaaaaaa
Tanzania 🇹🇿 support since day 1
selemaaaaan
Wa tano leo jamani nipeni like zangu😮
The best musc
Eeeh Leo nimechelewa kukoment lakini sio sana kama umeielewa vers ya nenga jua upo pamoja na mm
Daaa watu mnakesha mitandaon
Oy Kama umekubal audioo woteeee tu like hapaa
Umetisha kaka
Dahhh hapa nenga na mbosso mliumiza kinoma aiseh chukueni 🎉🎉🎉🎉🎉 Yenu
chuma cha baridi like hapo na Qumban sapoti zenu jaman naombeni fungua hapo kwenye hiyoo picha hapo
Baba kenayaa🙌
Tu sapoti vya NYUMBANI jamani mana Hawa ndo wasani wetu 🎉🎉 tu wape mauwa yao
Kaka shida nini sijamuona mbosso um ndani
Hiiiii ngoma kari alipo pita nenga mwenyewe🔥🔥🔥, sioni haja ya kuwepo mboso
Vp apo
Number one 🔥❤🔥
Mwandamiz NENGA mungu akuweke Mzee wangu
Vp
@@JHNNYBOY-fr6hm fresh kaka kwema
Nimependa hii song sana imekill
Representing ug
Kazi Mzuri sana❤❤
Mbosso mbn ximwoni
Looks to be amazing to see tz producing such a good song. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Im from 254 but you guys nailed hit…We’ve got your back
mbosso verse is fire
Nenga Nenga Tronix❤ ❤
Kama unamkubali mbosso mtaalamu wamashairi dondosha like
Daaaa music muzuri sanaaa...mbosso hajatokea brooh ...
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ jamani utamu mwingi
KAZI NZURI🔥🔥🔥🔥🔥
Yakawaida Ngoma ni dharau tu toka kwa ibraahhhhhhh
Nenga unajua sana Shemej yetu ❤
Kwanini umemuacha alie ngonga refre mbosso khan ♥️
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
mbosso fundi sana..