Ndio Kanisa Katoliki hilo! Halikurupuki na mambo kisa ni ya maajabu. ✍️ Kanisa Katoliki wanaelewa kama ni cha Mungu, kitajidhiirisha na kitadumu. Maana Mungu sio awe na haraka na ufunuo wake.
I’m very disappointed, na uyu Baba ata deal na Holy Spirit of God kwaku haribu kipagi , Mama Bikira Maria mlinde uyo mtoto na mwanae in Jesus mighty name 🙏🏾😭
🤔🤔🤔💯Wamerudi Kenya kwao Baada Ya Kupiga Pesa nyingi✍🏽🗣️🗣️Hakuna Mataifa mbali mbali yamekuja Sikilizeni Kenya Yametokea Nini Wacheni Kushabidia Ujinga Huu Moto Unawasubiri🗣️
Huyo mchezo umekwisha toka romani katoliki wakaoa wanawake wengi mungu atachukua ridhiki zake zote na hao wote watatoweka na wanawake wenyewe watamkimbia ridhiki by
Yaani kupata umaarufu tu nikosa kwako mwanaume.umeshasahau mateso yte mliopata mamkeo,tumbo limeshiba nyumba umepata bass ukaona uoe sasa.Kweli binadamu tuwasahaulifu.
Wewe baba mkubwa wa yunis mbona mnafiki sana na uwongo mkubwa ulioweza kuwapa Wana habari nyinyi wanafamilia mmefanya nini au mnaona kutoa taarifa Kwa wanahabari ndio suluhu ya kusovu matatizo yenu?
Wajaluo ni jamii inapenda wanawake sana hata Akiwa masikini angalau ataoa wanawake 2 mpka3 .Sasa huyu baba uchumi Wa mtoto anaenda kuoa wanawake 2 kwa mpigo .Sasa kitega uchumi kimeondoka ndio zitajulikana mbichi na mbivu.
Baba Yuni Sasa atalijus Jiji lake. Jeuri yote Keisha. Atapata wapi pesa ya mtoto alafanyie umalays? Sasa ndio atajua kuwa be Majuto ni msanii au in mjukuu
Masikini akipata matako huliambwata. Wanaume wengi huawatulivu wakiwa masikini hasa hasa watu weusi. Mzee anaongeza wanawake kwa kipajicha mtoto..badala ya kuongeza mashamba anaongeza binadamu watakao mkula .stupid black man
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Wanaume wengi riziki ikiongezeka ndani hawanaga adabu Bora kaondoka na mwanaume acha jua limuakie
Mwanaume akisha pata pesa ni shida sana 😢 pole sana mama yunis
Ndiyo maana kanisa huwa linajizuia kushabikia haya mambo! Kanisa lingekuwa limejihusisha na haya mambo ingekua aibu
Ndio Kanisa Katoliki hilo! Halikurupuki na mambo kisa ni ya maajabu.
✍️ Kanisa Katoliki wanaelewa kama ni cha Mungu, kitajidhiirisha na kitadumu. Maana Mungu sio awe na haraka na ufunuo wake.
I’m very disappointed, na uyu Baba ata deal na Holy Spirit of God kwaku haribu kipagi , Mama Bikira Maria mlinde uyo mtoto na mwanae in Jesus mighty name 🙏🏾😭
Usherati na kazi ya mungu haiyendeshani
Nilisema mapema hapo hakuna Mungu ni unjanja wA Pepo watawala wA Anga ndungu zangu msidangnyike hata kidogo,
Pole sana
Imani ya hawa wazazi iliwekwa kwa test na mungu
Very TRUE
@@velmanyamusi7838 Satan succeeded
Huyo babake mkubwa is a real man
Akionekana Tena atakuw mungu sasa😅😅😅 itakuw kaenda mbinguni😂
Aisee jamani kaka yangu hela ndio umeshapata hela ndio unakuwa hivi
Pesa kidogo tu keshaongeza wake 2😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
Tutanyaona mengi kabla Yesu hajarundi
🤣🤣🤣🤣
Huyo Baba mbaya Sana atakiona cha moto
Dah izi ni issue
Huyo baba Eunice amepotesha baraka kubwa sana nani mwenyeziMungu ndio atamurehemu
Washapata pesa wameenda kutumia sasa😂😂😂😂 utapeli kwisha
God put a stop to this cult
🤔🤔🤔💯Wamerudi Kenya kwao Baada Ya Kupiga Pesa nyingi✍🏽🗣️🗣️Hakuna Mataifa mbali mbali yamekuja Sikilizeni Kenya Yametokea Nini Wacheni Kushabidia Ujinga Huu Moto Unawasubiri🗣️
Huo ndio mwisho wa utapeli na bado mungu atawanyoosha tu
Umeonae utaperitu
Kabisaaa
Wakristo kuoa ni mke mmoja. Mbona huyu anaowa wengi
Inawezekana ni kazi ya mungu lakini shetani naye hapendi
Daah!.
Total madness... In 🇺🇸 would be arrested... The kid can't even rest or enjoy childhood😮
Duuu baba kawa jeuri kweli hela ya mutoto hiyo imewatia kelele pole yangu miye
Baba mkubwa apewe maua YAKE
Ogot tamaa ndio imekufanya ndoa yako isarabatike.omba mama msamaha.withing 2 months unaoa kumanisha ulikuwa umemkombolea nyumba,mama watoto asijue.
Mtoto hata ishara ya msalaba haijui ...wizi mtupu
Haya mambo Huwa siyaamini Huwa Yana kipindi macho hivi
Nikikumbuka hata babu wa loliondo ni shida
Hongera ndugu Kwa kulitambua hilo kiufupi ni kwamba,hapo hakuna Mungu ni ujanja wA shetani,watawala wA Anga,
Watu wanapata hela kilaini sana
Shetani ameingilia hii familia,huyu mzee amejiharibia
Pesa ni mbaya inabandilisha tabiya ya mtu
Kheeeee baba anatamaa jaman😅😅
Aibu hana huyu baba nae mungu amewapa ufunuo wa mtoto wa ajabu leo hii unamtangisha tangisha mtoto kweli
Wanaume apunguze tamaa
Mzee alianza kulewa pesa
Sasa kitega uchumi chake kimeondoka,aongeze mke wa 3 na 4 sasa
Huyo mchezo umekwisha toka romani katoliki wakaoa wanawake wengi mungu atachukua ridhiki zake zote na hao wote watatoweka na wanawake wenyewe watamkimbia ridhiki by
Baba amekuwa na jeuli ya hela za mtoto baba jinga 😏😏
Pesa inaingia bila baba kufanya kazi hivo anaweza kuwa na kiburi anachotaka pesa imemchanganya baba
Uwongo na utaperi. Kwisha
Global hii habari cjaielewa mmeanza kuwaje
Hajapatikana?
Yaani kupata umaarufu tu nikosa kwako mwanaume.umeshasahau mateso yte mliopata mamkeo,tumbo limeshiba nyumba umepata bass ukaona uoe sasa.Kweli binadamu tuwasahaulifu.
Mijanaume mingine ulimbukeni tu😒😒😒
Wewe baba mkubwa wa yunis mbona mnafiki sana na uwongo mkubwa ulioweza kuwapa Wana habari nyinyi wanafamilia mmefanya nini au mnaona kutoa taarifa Kwa wanahabari ndio suluhu ya kusovu matatizo yenu?
Sasa?anaharibu kipawa cha mtoto
Wewe mzee ni wewe umetuma mama yunis aende mbona uoe bibi mwingine heee hiyo ni aibu kwako
Kasashiba pesa.
Borabu ni kisii kwetu whala mungu linda mtoto eunice na mama yake na hao wanawake ameoa wapiwe na radhi ya mungu
Hello am from kisii too 😊
Uyomzee unaongeza wake kwapesa yamtoto aliezaliwa na mama mungine huondoutajiri wa wafrika aisee
Kabisaaa
Doris na mama Ake huyo wa huba😂😂😂
Nidhida
Kapotea au Mama kamchukua baba kaw jeuri kisa pesa
Huyumuzee atalaniwa milele
Shetani ameamua kutawala hii familia na ameingilia mume waaa mungu awasaidie mama Yunis na mtoto
Huyo ni jini! Kawaida majini ndo yanapandikiza watoto wakijini kwenye tumbo na kuzaliwa! Unaweza kuona umezaa mtoto kumbe jini tu!
Wajaluo ni jamii inapenda wanawake sana hata Akiwa masikini angalau ataoa wanawake 2 mpka3 .Sasa huyu baba uchumi Wa mtoto anaenda kuoa wanawake 2 kwa mpigo .Sasa kitega uchumi kimeondoka ndio zitajulikana mbichi na mbivu.
Kumbe hawa ni wa kenya
Nonsense take the child to school
Toka upate A+ ya History unatutisha sana
Hee, kumbeee. HUYO NI SHETANI. BASI AKAISHI NAO MBALI HAO MABIBI ZAKE. HUUO MZEE ANAMAPEPO.
Mwacheni mtoto awe mtoto wazazi Tafuteni kaziiiiii Wacheni Huuu Utapeli Huyu Yunis Wazazi wakenya Hata kiswahili chao wakenya Hawa. Matapeli 🤔😏
Utapeli tu hana uganga
Sio wakenya ni wajaluo wa shirati rorya
Na hiyo ndio lafudhi yetu
Basinwspokwao kenya. Na huko kenya kumechafuka Fillmason kila kona huyomtoto warikuawanamtumiatu
@@winfridadavid4173ndiyo wapi huko
Apotea kama mbosso 😢
😂
Baba Yuni Sasa atalijus Jiji lake. Jeuri yote Keisha. Atapata wapi pesa ya mtoto alafanyie umalays? Sasa ndio atajua kuwa be Majuto ni msanii au in mjukuu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakupotea amechukuliwa na mamake.
Ni mganga Wala hakuna mungu hapo
Kekundu sio kenye pesa😅
Mmh maajabu😢😂😂😂
Hata mariamu alitoroka na yesu kwenda misri badae alilejea.
😅😅😅😅😅😅
nimecheka kwa sauti
@@inongee1141wako na uzumbukuku haya yote n kukosa kusoma mandiko...😅😅😅😅
Hajapotea bali mama kaondoka na mwanae.
Baba mkubwa umeongea vizuri,hujapindisha .
Mtawatambua Kwa matendo yao
Haya Mambo yanamhitaji hicho la 3 kuyaelewa
Mtawatambua Kwa matendo yao
Haya mambo yanahiitaji jicho la 3 kuyaelewa
Mbinu za adui ni za Siri mnooo
Tayari.roho ya kufarakanishwa hii familia imeshaingia ndani ya nyumba bila maombi hii huduma itayumba
Huyu baba vipi huyu kaoa mara 2 kha
Huyu baba tapeli kha
Hataki ushauri wala kuongea na MTU nimecheka
Wasijeikawa wameuawa!!
Najivunia kanisa katoliki halichukuliagi kila mambo yanayotokea ovyo bila uthibitisho kamili
Bora tu kamchukua anaempa jeuri
Wanawake why are you destroying this God mission.Huzuni mkubwa kabisa.
Masikini akipata matako huliambwata. Wanaume wengi huawatulivu wakiwa masikini hasa hasa watu weusi. Mzee anaongeza wanawake kwa kipajicha mtoto..badala ya kuongeza mashamba anaongeza binadamu watakao mkula .stupid black man
Acha ngano na magugu yakuwe pamoja.
Hiyo ni kazi ya shetani. Kwa nini huyu mzee ameacha kuomba? Ujinga wa hali ya juu.
Haya mambo Huwa siyaamini Huwa Yana kipindi macho hivi
Nikikumbuka hata babu wa loliondo ni shida