MTOTO ADAIWA KUUWAWA NA SHANGAZI YAKE, POLISI WACHUKUA MWILI, WANANCHI WAFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 82

  • @zanzibar2429
    @zanzibar2429 2 года назад +29

    Allah tulindie vizazi na sie tulipo hukumbali na uwape huruma tulio waachia ulezi huu atujaalie pia tupate hitahiji letu kwa sote tunahitaj

  • @lucymollel8212
    @lucymollel8212 2 года назад +4

    Mungu amtunze shangazi yangu ametulea kwa amani

  • @khadijakinyala9407
    @khadijakinyala9407 2 года назад +5

    Hivi kwa nini watu wana kuwa na roho mbay hivi kweli mtoto unamfanya hivi kakosa nini 😭😭😭😭😭😭

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g 2 года назад +6

    Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😢😿😭 sijui waja tunaenda wapi😭🙆🙆🙆

  • @linamacha7686
    @linamacha7686 2 года назад +7

    Eti wanahofia wananchi wangeondosha maisha yake hayo ya mtoto aliyoondosha siyo maisha pumbafu sana piga mjinga huyo napata hasira😪😪😭

    • @siwemamusa4868
      @siwemamusa4868 2 года назад

      Jamani chunguzeni kwanza inawezekana hata shangazi hajausika msimubebeshe huyu mama inawezekana aliyehusika nimtu mwingine kabisa

    • @muzdatsuleiman3186
      @muzdatsuleiman3186 2 года назад

      😭😭😭😭😭😭

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 2 года назад

      Mmhh kilicho kuwa kinamfraisha nn??wakati mtoto kapotea tena yeye mwanafamillya

  • @octavinamgulunde5183
    @octavinamgulunde5183 2 года назад +2

    Jamani sasa dunia inaenda wapi .tunaogopa panya road kumbe hata shangazi jamani

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 года назад +2

    Maeneo ta Arusha kuna shida kubwa,mauaji,ebu ombeni toba na rehema Kwa Mungu.

  • @halimasul6018
    @halimasul6018 2 года назад +1

    Duh polen Sana ka salum inaumaa jmni ilaa Allah awape subraa

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 2 года назад +3

    Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 😰 Jamani Tumuokope Allah Jamani dah Nini haswa mbona Kila kukicha mauwaji Subhanallah 😭🙏 Astaghfiru llah

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 2 года назад +2

    Subhan'Allah 😭😭😭😭kihama hiki ya Allah turehemu waja wako 💔😭

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Год назад

    Mtangazaji ovyoo unaulizaje eti,, kwanini la kikatili
    Aliyefanya mauaji Allah atamuhukumu mwanamke unakua na roho mbaya kiasi hicho subhanallah dunia imeisha

  • @salamakiwinga6310
    @salamakiwinga6310 Год назад +1

    ninavowapenda watoto wa kaka zangu mimi 😔 mwanamke mwenzangu umewazaje kufanya ukatili huo 🙄

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Год назад

    Nyakati za mwisho maasi yataongezeka la msingi tugeuke tuangalie msalabani yesu alipotukomboa

  • @SamsungA-sq9pi
    @SamsungA-sq9pi 2 года назад +2

    Shangazi kama ana chuki na wazazi wa mtoto kwann hasira zimalizie kwa mtoto wakati yy hajui lolote? Dunia inaelekea mwisho tukubali hili

  • @lilinziku1927
    @lilinziku1927 Год назад

    Kali xan xhangaz kuen na roh nzuri maana mm na we ni binadam

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 Год назад

    Mimi hata niwe na maisha gani ,kama nimewazaa mwenyewe basi nitawalea mwenyewe kama njaa tulale sio kumpa mtu daa mama yake na baba yake wako wapi uyo shangazi ni wakuuliwa tu astaili kuishi kabisa gaidi huenda mchaw

  • @fadhilingogota8108
    @fadhilingogota8108 2 года назад +2

    Dah wamemkatishia maisha yake ,wamemkatishia ndoto zake za baadae dah very sadly,

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 года назад +1

    Hicho kiswahili chako cha masasa sasa unapeleka wapi..tulia utoe habari tuelewe.sasa sasa sasa ndo nn

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 2 года назад

    Hii dunia hii wallaah maombi Yaitajika sana maana mauwaji kila siku daaa AISSEH Inaumiza sana mtoto mdogo kwl kosa gani kubwa halilolifanya Eeee mungu tunaomba utuokoe

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 2 года назад

    Subhannallah 😭😭 poleni sana Allah ampumzishe malaika huyo Inna lillah winna illayhi rajiun 🙏

  • @praisesteven7742
    @praisesteven7742 Год назад

    mchapa wap watto ad wanakufa?? mim sitak mazoea nakuchapa watto niliacha maaan niliona shetan anawza pitia apo apo

  • @umiy1971
    @umiy1971 2 года назад

    Nyinyi ni Vichaa Sana .Ni vipi mtu huyu akawa hajachapwa japo bakora kabla hamjampeleka Polisi ,

  • @juliethjustus5424
    @juliethjustus5424 Год назад

    Kama nikweri shangazi amefanya mauwaji Sheria ijukue mkondo

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Год назад

    Mhm binadamu ni Hatari

  • @nuruchengula11
    @nuruchengula11 2 года назад +7

    Inasikitisha Sana tuwaweke wap watoto wetu😭😭😭... Millard Ayo fukuza uyu mwandishi ataulizaje maswali ya kijinga kwenye issue sensitive Kama hii et kwann ni lakusikitisha😭😭

  • @praisesteven7742
    @praisesteven7742 Год назад

    mtangazaji saut ya kutangaza kweli

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +1

    Mungu atalipa

  • @modycombo7421
    @modycombo7421 2 года назад +2

    hii yote kukosa imani kwamba kuna mungu aliyetuumba kwamba nikifanya kitu watu hawatoniona lakini mungu ananiona yani tuwe naimani jamani tuache roho mbaya haya umeemuwa umepata nini jamani mtihani kwakweli

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 года назад +1

    inalilahi wainailah rajiun 😭 Dah! Elimu inahitajika Tanzania Kila siku mauwaji tu.

    • @missmoona4497
      @missmoona4497 2 года назад

      Hakuna elimu yoyote, ikiwa viongoz wa din wanawakemea hawasikii, unadhan watasikia la nan? Dawa ni moja tu🙅‍♂️🙅‍♀️ kunyongwa had kufa tena hadharan ili iwefundisho kwa wengine namna hii nimauwaji kiila siku

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt 2 года назад

    Huyo shangazi mnyama mungu amlaani kamuua malaika wa mungu

  • @adamelinewinga5571
    @adamelinewinga5571 Год назад

    Ukatiri wakijiga

  • @emmygeorge9415
    @emmygeorge9415 2 года назад +1

    Mashangazi jamani

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw Месяц назад

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 года назад +1

    Watu wa arusha mjitathim

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e Месяц назад +1

      Ardhi imemeza watu wengi!,Dam za watu zinalia mpaka watubu😢

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад

    Mungu atamlipa anachostaili mbwa mkubwa uyo

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 17 дней назад

    Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun

  • @D.P.O
    @D.P.O 2 года назад

    Haya mauaji mbona yametanda sana hapa Tanzania kuna nini?

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 2 года назад

    SubhanAllah 😭😭😭 kumbe bado mdogo miaka 4 jamani kakosa nini

  • @sinanamaulidi9488
    @sinanamaulidi9488 Год назад

    Jamani arusha mbona mauaji yamezii?

  • @halimajuma3945
    @halimajuma3945 Год назад

    Vichekesho

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад

    DuniyA hiiii ukisitaajabu ya musa utayaona yafriauna

  • @luluwillium1364
    @luluwillium1364 2 года назад

    Dah hii dunia jamn😭😭😭😭 kwann lakin

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 2 года назад

    Mbona binadamu Sasa ivi tunaroho mbaya sana jamani

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Mtihani anamuwa kwa nini kwa sababu gani mtihani hiii

  • @user-li3qo4mx5t
    @user-li3qo4mx5t 11 месяцев назад

    😢

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 2 года назад

    Mungu tunusuru binadamu tumekosa hutu 😢

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 2 года назад +1

    Shangazi ni kama baba lakini kwanini

  • @dapesastudiosalon6875
    @dapesastudiosalon6875 2 года назад +2

    daaaah aise TUMRUDIE MUNGU

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 2 года назад

    Jmn jmn ivi unauaje mtu 😭😭😭

  • @shebaminde1388
    @shebaminde1388 2 года назад

    Kwann alimuuwa sasa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Mtihani

  • @christercheru8328
    @christercheru8328 2 года назад

    Katili hana roho wala huruma

  • @sidebwaxmcbaridi3565
    @sidebwaxmcbaridi3565 2 года назад +3

    ruclips.net/video/pJaEMzAh9gs/видео.html
    KISOMO KIKUBWA CHA RUQYAH UANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI,NA MIKOSI NAVIFUNGO.VYOTE... *#*#
    ruclips.net/video/pJaEMzAh9gs/видео.html

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 2 года назад

    jamani anaeua mtoto na yeye auwawe kwann mnamwacha eti akae jela akati mtt ameshakufa ndo maana matukio yanaendelea watu wanaua watoto anajua ataachwa hai mi huwa naumia sana mtt mdogo amekukosea nn jamani dah 😭😭😭😭inauma sana

  • @agapepalangyo4316
    @agapepalangyo4316 2 года назад

    Mwili ufanyiwe uchunguzi kubaini

  • @janethmalaika5241
    @janethmalaika5241 Год назад

    Huyu mtangazaji anashida nae kichwani maswali ya kijinga sana

  • @Mahonda8080
    @Mahonda8080 2 года назад

    sababu haina mashiko kumtia hatiani shangazi

    • @waukweelinikkon6555
      @waukweelinikkon6555 2 года назад +1

      Shangazi lazima atiwe hatiani,maana yeye ndiyo alikuwa ameachiwa mtoto na mahali mwili wa mtoto ulipokutwa mtoni ,shangazi naye alionekana eneo hilo,lazima akajibu mashtaka

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 2 года назад

    Punguza matumizi ya neno sasa ndugu presenter!!

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 2 года назад

    Mtangazaji sasa zimekuwa nyingi

  • @aash4145
    @aash4145 2 года назад

    Mwandishi anaambiwa tukio la kikatil,,,,,,, anauliza Kw nini lakikatil,,? Hee,

  • @wow4408
    @wow4408 2 года назад

    Huyu mjamaa mjinga Kweli 🤣
    Ebu na wewe sikiliza Ujinga wake
    ruclips.net/video/_dCcqYllTjU/видео.html

  • @sidebwaxmcbaridi3565
    @sidebwaxmcbaridi3565 2 года назад +2

    ruclips.net/video/pJaEMzAh9gs/видео.html
    KISOMO KIKUBWA CHA RUQYAH UANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI,NA MIKOSI NAVIFUNGO.VYOTE... *#*#
    ruclips.net/video/pJaEMzAh9gs/видео.html