Wanawake walalamikia vifo vinavyosababishwa na ulevi mjini Eldoret
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Kina mama katika mtaa wa marura mjini Eldoret wameandamana wakilalamikia ongezeko la unywaji pombe mtaani humo. Kina mama hawa wanasema kuwa wamechoshwa kushuhudia vifo vya mara kwa mara vinavyosababishwa na unywaji pombe haswa miongoni mwa vijana na wanaume wanaotelekeza majukumu yao.
From the said centre..really an urgent matter
They should tell there President Ruto to help them .
😂😂😂😂