Watu watano wajeruhiwa kwenye vurugu za mzozo wa ardhi mjini Eldoret

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • Kizaazaa kilishuhudiwa mjini Eldoret mchana wa leo wakati mzozo wa shamba unaohusisha familia mbili kugeuka na kuwa uwanja wa makabiliano. Watu watano walijeruhiwa kwenye makabiliano haya. Shamba hili linazozaniwa kati ya mwanariasha mkongwe Kipchoge Keino na familia ya Kipkorom Kemboi mjini humo.

Комментарии • 10