Watu watano wajeruhiwa kwenye vurugu za mzozo wa ardhi mjini Eldoret
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Kizaazaa kilishuhudiwa mjini Eldoret mchana wa leo wakati mzozo wa shamba unaohusisha familia mbili kugeuka na kuwa uwanja wa makabiliano. Watu watano walijeruhiwa kwenye makabiliano haya. Shamba hili linazozaniwa kati ya mwanariasha mkongwe Kipchoge Keino na familia ya Kipkorom Kemboi mjini humo.
Uwaneni hiyo ndio maandamano yenu. Polise kazi yenu ni nzuri makosa mumefanya amujaua watu wamalizeni kabisa
Hustler Tano Tena
mungu kumbe halali. 😂😂😂. kazi nzuri polisi
Na bado....
Maajabu haya...shamba tulipata hapa na tutaacha hapa hapa tu
Wewe Ukona shamba ata?
Kumbe ata wakalee wanalia🤔🤔
William akuje afanye nini? Ako na kazi zingine
I blame william😅
Shareholders OYE! 😂