Ben Pol - BADO KIDOGO (feat. Wyse) (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • #BenPol #BadoKidogo #Wyse #SlideDigital
    (c)Slide Digital
    Listen & Download Ben Pol Music Worldwide
    Follow Ben Pol On:
    / iambenpol
    / iambenpol
    / iambenpol
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 841

  • @robertmwanyama7656
    @robertmwanyama7656 5 лет назад +6

    Huu wimbo unanikumbusha mbali Ben Pol nakumbuka ulivyokua unafanya mazoezi usiku uwanjani ajentina kule yombo nakumbuka kuna siku usiku nilikua na baba yangu ulikua unafanya mazoezi baba alikua ananifundisha Gari akaja kukusalimia nakumbuka ulimwambia "ndo kama hv bro Napambana" akakuambia "unaweza sana mdogo wangu kaza utatokaa" leo hii yametimia I'm so proud of you cause I witnessed your struggle mungu akubariki sana na aendelee kukuinua

  • @SimuliziNaSauti
    @SimuliziNaSauti 7 лет назад +329

    Ni muda wa kuonesha tofauti kati ya muimbaji na msanii. Ben wewe ni muimbaji na Mungu amekupa sauti. Asante kwa wimbo huu. Utarudisha matumaini kwa watu wengi waliokata tamaa na maisha kutokana na changamoto zinazowakabili. Hakika, bado kidogo, mambo yatanyooka. Heko Hanscana, kwa kuupa wimbo huu video inayostahili. Mwaka 2018 umeanza kwa kishindo. Nina furaha

    • @fraviusmanyika7521
      @fraviusmanyika7521 7 лет назад +2

      SimuliziNaSauti Sijutii kukukubali kaka, #Skywalker unajua
      #Muimbaji Vs #Msanii

    • @suedissa7500
      @suedissa7500 7 лет назад +3

      SimuliziNaSauti true talk a wise words from the mouth of one of the best analyst in this music industry, it will live forever in any circumstances...

    • @bobleeswagger8166
      @bobleeswagger8166 7 лет назад +2

      Nimejikuta naangalia na kusikiliza tu nashangaa umeisha. Huu wimbo ni universal kiukweli unagusa wengi Sana kwa namna moja au nyingine

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72 7 лет назад +4

      Well said sns . You say it allllllll kaka

    • @BenPol
      @BenPol  7 лет назад +24

      Asante sana Kaka yangu Sky, nashukuru kwa blessings zako since day one nilipokusikilizisha

  • @benliboywa5078
    @benliboywa5078 2 года назад +1

    Ukimwaminia,Utajiaminia; MWENYEZI MUNGU.

  • @mch.deosinkala3120
    @mch.deosinkala3120 9 месяцев назад +1

    Njoo umwimbie Bwana Yesu Muumba wako naona unaenda hadi mataifa ya mbali ukimwimbia Mungu.
    Karibu

  • @recholeonard9457
    @recholeonard9457 2 года назад +1

    Dah ama kweli mung akubark Ben Po

  • @tujifunzepamoja2268
    @tujifunzepamoja2268 Год назад +1

    I can't believe cjawahi ckiliza huu wimbo till this day, I missed smthng worthy. Hongereni 🙌👏💪

  • @marymbwiga7985
    @marymbwiga7985 7 лет назад +1

    #Bado kidogo usife moyo ,,,, Amina ben Mungu yupo pamoja na wewe

  • @Yegon254
    @Yegon254 7 лет назад +6

    Huu wimbo ni bora zaidi na ninaamini kuwa hautatoka kwe ye chati za muziki kwa miaka na mikaka, Ben pol umedhibitisha kuwa sio lazima msanii aimbe kuhusu mapenzi na kuonyesha wasichana uchi ndio wimbo uhit, keep it up, Mombasa kenya ninakukubali naamini bado kidogo ndio nifanikiwe

  • @sekitauniquedesigns8813
    @sekitauniquedesigns8813 7 лет назад +13

    Huyu ndo Ben Paul ninayemfahamu tangu enzi za "Sikati tamaa" Thank you brother.
    Mambo ya kutekana waachie magaidi😃

  • @KINGSONPATRICK
    @KINGSONPATRICK 4 года назад +4

    Huu ndo wimbo wangu,hapa umeniimba mimi aiseee!!!very inspiring,heartouching!!!ahsante kwa hili song bro!!!

  • @janethmwema5928
    @janethmwema5928 7 лет назад +113

    kama huna kinyongo na benpol gonga like yako

  • @fabianmodern6752
    @fabianmodern6752 7 лет назад +21

    acha ni comment brohh dahhh ulikokuwa unaelekea kubaya na Yale makiki uliyoanza kufanya now umerudi benpol wa kipindi kile niliyekuwa nampenda safi sana nyimbo nzur sana

  • @samirahlaxman7375
    @samirahlaxman7375 4 года назад

    Na watu hawajui mangapi yanakukabili,Kabla ya jua kuzama kuzama utaona mengi yaliyofungwa kwako yatafunguliwa....... Best song ever

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 7 лет назад +5

    Ni wimbo Ambao Unatupa Matumaini Kwa watu Tunaopitia Changamoto Mbali Mbali katika hii Dunia .
    Benpol Hongera Kijana Kwa Nyimbo Nzuri Unayoinspire Jamii inayotuzunguuka Katika Hii dunia Blessed more ,, Hata Mie Najua Bado Kidogo Sana Ntafanikiwa Katika Hii Dunia Never Give up.

    • @rechodergrellah8840
      @rechodergrellah8840 2 года назад

      Nimesikiliza zaidi ya Mara tanoo Yan napata nguvu ya kupambana 2023

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 5 лет назад

    Duuh wimbo nzuri hivi hujafila 1M
    Kweli wabongo tunapenda mwimbo zisizokua na ujumbe

  • @cellynesombi6569
    @cellynesombi6569 7 лет назад

    Wallah ukisikiliza hii nyimbo unasahau matatizo yote na inaleta matumaini. Ben hongera kwa nyimbo nzuri sana.

  • @gospelvibestv3914
    @gospelvibestv3914 7 лет назад

    bwanaaa eehh sisi watanzania tunahitaji muda huu creativty na si vinginevyoo safi sana ben pol your very creative broooo,..............................

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 5 лет назад

    Wimbo upo powaa na zaidi umenivutia ulivyoimbia Lushoto kwenye jengo maarufu la Vuga Press ...Big up .

  • @subiramomburi9148
    @subiramomburi9148 6 лет назад

    Ben Paul vizuri sana. Yaan Mungu asikuache katika kazi hii ya uimbaji uliyonayo. Hakika hiki ni kipaji kitumie vizuri katika jamii uliyopewa kuinua Mioyo ya watu, kuelimisha lakini pia kuburudisha. Mungu akusaidie.

  • @vincenth.deoglatius5752
    @vincenth.deoglatius5752 4 года назад

    Natamani kumuona Ben akiendelea kuimba nyimba za kumwabudu #Mungu maana hata voice hii imefika mbali!ombi langu!

  • @elinikomniko4411
    @elinikomniko4411 6 лет назад

    Kuna tofauti kubwa Kati ya mwimvaji na msanii,umeimba n this is the song we sing tother forever n ever

  • @hawaabdallah4282
    @hawaabdallah4282 6 лет назад

    God bless you my dear brother hatujutiii kuwa na msaniii Kama wewe unae Angalia taifa zima bila kujali wewe ni mtu wa Aina gani Inshaallah mungu akupe maishaaa marefuuu yenye baraka na mafanikio mema 🙏🙏🙏🙏

  • @eliyagwinji6588
    @eliyagwinji6588 7 лет назад

    Daaa huwezi amini tangu wimbo huu utoke nimekuwa naurudia sana but leo naona ngoja nishiki japo kwa kucoment tuu ###BIG UP BEN### by shabiki makini wa ben pol from u started ur movement of music

  • @bplusinfotz2994
    @bplusinfotz2994 7 лет назад +3

    Ni muda sahihi kwa hii ngoma kulingana na Hali halisi iliyopo sasa ..Coz Naliona Kundi Kubwa la Watanzania waliokata tamaa.Ila hapa tunaamini Kupitia Hisia za Kimungu na kuamini kila Zito lina Wepesi wake ..#Asante Benard

  • @strongnana2226
    @strongnana2226 7 лет назад +10

    Kabla ya jua kutua kuna mengi yatafunguliwa..usife moyo sifi moyo kabisa..bado kidogo ..tuendelee kusugua hamamu kwa bidii..song of the year..from Kenya nimekubali 👊👊👊keep it up Ben unaenda mbali

  • @janethgitano92
    @janethgitano92 3 года назад

    Nikiwa na jambo langu napita huu wimbo unanifaliji Sana'a Ben Mungu azidi kukutunzaaa

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 7 лет назад +10

    Hili ndo G nalikubali bongo.. Greetings from mombasa 254

  • @godmancity1436
    @godmancity1436 6 лет назад

    Sauti angavu fikra bunifu na uhofu wa mungu. God b wit ben poul

  • @aswellalihoka8617
    @aswellalihoka8617 7 лет назад

    wimbo nzur unafarij sana aiseeeeeee kati ya wasaniii rnb wanaweza bas ni wew kaka benpol, tumefungua mwaka vyema kabisa

  • @naymah3560
    @naymah3560 6 лет назад

    Nafatijika na huu wimbo jmn sitokata tamaa bado kidogo, big up Ben pol. it's me from (Oman)

  • @micopeter7704
    @micopeter7704 2 года назад +1

    Ben pol brother ukija Dom tuonane

  • @eliasmichaelluambano295
    @eliasmichaelluambano295 7 лет назад

    umenipa matumaini kwa wimbo huu
    hakika unajua, yako sauti, wako ujumbe
    appreciate u ben pl

  • @ashuramohamedkimela3538
    @ashuramohamedkimela3538 6 лет назад

    kila nikitizama ama kusikiza huu wimbo nafarijika sana, mungu hamtupi mja Asante benpol

  • @mk_akili685
    @mk_akili685 6 лет назад

    Jaman kuna msanii na mwimbaji Ben n mwimbaj nac msanii ......bado kidg nackia kila wakat

  • @concolatakalinga3187
    @concolatakalinga3187 7 лет назад

    bado kidogo usife moyo yaani huu wimbo umenibariki mno kaka nakupa big up

  • @princekassim4089
    @princekassim4089 7 лет назад +142

    Like hapa Kama ww unamkubari huyu #Jamaa +255🇹🇿

  • @asteriakimaro4593
    @asteriakimaro4593 7 лет назад +2

    Umeanza mwaka vizuri mnoo.. Big up broo kwa kumbuka kutufariji nass

  • @raheljames2985
    @raheljames2985 2 года назад

    Never give up wimbo uliojaa ushindi katika maisha

  • @maryseriah157
    @maryseriah157 5 лет назад

    benpol siwez kujizuia for sure unanifariji sana na nyimbo zako hufanani na hao watoga masikio unajiheshim sana kaka Mungu akubarik

  • @ezeshama255
    @ezeshama255 7 лет назад

    Ben Paul this is really u mm huwa nakuwa shabiki wako kwa nyimbo hizi na ndo tunaiona tofaut kubwa sana kati ya "ujanja ujanja" na muziki mzurii... Big up sana

  • @inommjn5033
    @inommjn5033 6 лет назад

    Wimbo huu nautazama taaaratibu nikiwa na mamangu mzazi....hata sina wasiwasi wowote.....Tazama Mungu anatenda mambo mapya BADO KIDOGO.....Mwenezi Mungu akusitiri na akuepushe na kiburi unapozidi kuinuliwa.

  • @nurloy510
    @nurloy510 7 лет назад +2

    Big up aiseee Benpol. bagi kidogo. ...asante sana umenipa moyo sitakufa moyo

  • @bilhaanthony8842
    @bilhaanthony8842 7 лет назад

    kabla ya jua kuzama utaona meng yaliyofungwa yatafunguliwa..............bado kidogo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @afualusigi923
    @afualusigi923 2 года назад

    This is my best song to him,huwa nalia sana hasa kwenye mambo magumu nayopita Mungu nipe uvumilivu

  • @linuslivingstone9913
    @linuslivingstone9913 7 лет назад

    Moja ya wakali wa rnb ambao mungu ametupatia big up bro bado kidogo

  • @eddiemgogo5447
    @eddiemgogo5447 7 лет назад

    nam naamin bdo kdogo huu mwaka nam ntafanya kweli Ben ngoma anahamisisha sana thanks unatufarij wa2 Wengi keep it up

  • @magdalenamwalongo4999
    @magdalenamwalongo4999 4 года назад

    miongoni mwa ispiration song nzuri hapa bongo huwezi acha itaja na hii
    BIG UP TO U BEN

  • @dorcasysamwel5865
    @dorcasysamwel5865 6 лет назад

    Yan kila nikiusikilza wimbo huu napata nguvu mpyaaa love u Ben pol

  • @munirabreik
    @munirabreik 7 лет назад

    Ohhh... bado kidogo sounds beautiful yani bonge la nyimbo much love

  • @YouTuuuuuuube
    @YouTuuuuuuube 4 года назад

    Pamoja na CORONA lakini BADO KIDOGO inanipa moyo. Wimbo mzur sana . AMEN.

  • @prochesiusdtkabarerutaihwa2820
    @prochesiusdtkabarerutaihwa2820 6 лет назад

    Nimekuja kukupenda Ben poll baada ya kufatiria mikiki zako Aisee unatisha sana Hongera sana kaka

  • @neemamasaoe2077
    @neemamasaoe2077 7 лет назад +4

    hakika aliyekupa kipaji azid kukuinua kwa viwango vingine vya juu zaid,hongera sanaa

  • @shijafabianoormtanashatibo5457
    @shijafabianoormtanashatibo5457 7 лет назад

    unajua kaka kuimba ujumbe Mzuriii zaidi tusikate tamaa ktk maisha

  • @athumanisaid2044
    @athumanisaid2044 6 лет назад

    Unaweza bro na
    Unajua kuimba na pia allah kakujalia saut na mvuto wa ushawishi wa kuckilza nyimbo zako.
    Hongera kwa kipaji ulichokua nacho

  • @deuspetro6268
    @deuspetro6268 6 лет назад

    Tumainisha na kumbusha tanzania this is what i accepted to my country.we love u ben pol

  • @daudasajile813
    @daudasajile813 7 лет назад

    Nashangaa promo zinaenda kwa walopokaji wa nyimbo huku waimbaji mpo mmetulia bro your the best singer.. God bless u guy..

  • @neemambilinyi4730
    @neemambilinyi4730 7 лет назад

    hongera sana nyimbo yako ni nzur sn inatupa matumain mapya ss tuliokuwa tunaelekea kukata tamaa
    kwel bado kidogo

  • @godlovegeorge2334
    @godlovegeorge2334 7 лет назад

    Benpol nakukubali Sana hukurupuki, nyimbo ina mafundisho mengi tusikate tamaa

  • @powerofchoice3176
    @powerofchoice3176 7 лет назад

    Nice One Kwa Kawaida Msanii Inatakiwa Abadilike Na kuonyesha Uhalisia Sio Wakati Wote Nyimbo Za Mapenzi, Umefanya vizur kutia watu Moyo katika Maisha Yetu Ya kila Siku Tunakupanda N Kushuka hii Ni Moja Ya Hali Ambazo Watu Wanapitia.........................................MOTIVATION SONG

  • @NaiboiWorldwide
    @NaiboiWorldwide 7 лет назад +3

    I love this jam.... There's always light at the end of the tunnel..#Badokidogo

  • @gloriamahongo4603
    @gloriamahongo4603 7 лет назад +74

    Wow.. This is what we need in Tanzania.,
    Tired of love songs 😏

    • @sadingolo2088
      @sadingolo2088 7 лет назад +1

      gloria mahongo
      I Agree with you
      Na Sio Tz Bali Ulimwengu Mzima Ulitakiwa Uelekeze Ujumbe Wao Kwa Wa Mziki Ki Ushauri, Historia Mwelekeo wa Mahisha na Sio JEURI Mapenzi Na Matusi Kila Kukicha Unafikiri Mziki kama Huu nani Ataona Wanawake waliovaalia Nusu Uchi au Nani Ataona Ahibu Kuutazama ?

    • @raphaelgodlove1070
      @raphaelgodlove1070 7 лет назад +1

      gloria mahongo true

    • @josephmashishanga2396
      @josephmashishanga2396 7 лет назад +1

      exactly mamaah

    • @mudysagamba6706
      @mudysagamba6706 7 лет назад +1

      Good job

  • @gerrardantony6158
    @gerrardantony6158 7 лет назад

    wewe acha bongo freva mwimbie yesu' nakukubari forever

  • @hamisifuko4281
    @hamisifuko4281 7 лет назад

    Afadhari Bernard Paulo a.k.a mzee wa mafuta au Ben Pol umetuletea kitu tofauti. Tumeshachoka mapenzi tuuuuu, kila nyimbo mapenzi . Safi kabisa. Bado kidooooooooogo,bado kidoooooooooogo

  • @philljombs1151
    @philljombs1151 7 лет назад

    Ben Pol umebarikiwa kaka .nakuaminia kwa uimbaji ..so inspiring bro.

  • @affasaas3025
    @affasaas3025 7 лет назад

    hii nyimbo imenipa moyo kwa huk nilipo maan dah nashukru Allah kwakila jambo

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 7 лет назад

    Bonge la BIG UP kwako Ben Pol! Mmwimbo umetulia sana. Kazi nzuri.

  • @fridaelly5369
    @fridaelly5369 7 лет назад

    Touching song...unaganga Moyo,ben pol kama vile uje kwa gospel music iviii asee

  • @elisanjichanyange5485
    @elisanjichanyange5485 6 лет назад

    Walimwengu wakubezaa na wengine wakuchekaaaa😢😢 Kabla ya jua kuzamaa luna mambo mengii yaliyofungwa kwako wee yatafunguliwaaa, Bado kidogooo Bado kidogoo usiwe moyoo 🙏🙏

  • @lameckjohn3257
    @lameckjohn3257 7 лет назад

    sijuti kuwa shabiki wako, kwani uwa unaniburudisha,unanifundisha na kunielimisha asante Ben

  • @albertrukeisa9108
    @albertrukeisa9108 7 лет назад +7

    This is where you belong brother. This song is awasome. Be blessed.

  • @meshackyohana4525
    @meshackyohana4525 4 года назад

    Hakika Ben pol umeyagusa maisha yangu nimetokwa na machozi hakika wewe unastahili kuwa msanii

  • @afualusigi923
    @afualusigi923 Год назад

    My best song ever!huwa nalia tu nikisikiliza

  • @lazarokorduni9802
    @lazarokorduni9802 7 лет назад

    Hakika ngoma ya maana sana hii bado kidogo ubarikiwe sana benpol kwa ujumbe mzito huu

  • @nellymagesa8975
    @nellymagesa8975 7 лет назад

    Iko Guuuud sana umetupeleka kwenye ladha ingne, sio kila ngoma mapenz tu

  • @florianmasawe9520
    @florianmasawe9520 7 лет назад

    Ngoma kali 🙏bado kidogo / mambo itakaa sawa usife moyo dah!!! Ni 🔥🔥

  • @brianamiani1182
    @brianamiani1182 7 лет назад

    Good music...
    Bado kidogo. Big up Ben Paul...

  • @davidmorthon7268
    @davidmorthon7268 6 лет назад +1

    Mwimbo mzur sana ever, unatia moyo sana,unakupa nguv ya kusonga mbele zaid.......Naweza kuusikiliza kila siku na kila wakati na nisiukinai(hauchuji😊)

  • @PIPSLOGIC
    @PIPSLOGIC 7 лет назад

    hot song, thank benpol wimbo mzuri sana, unatia moyo

  • @clamvevo6472
    @clamvevo6472 7 лет назад +8

    Ngoma kali mdogo wang

    • @YohanaCharles-x4t
      @YohanaCharles-x4t 5 месяцев назад

      Duuuh beni kaka Yako BHN kaka clam snake boy, 2024

  • @crecenciamashauri298
    @crecenciamashauri298 7 лет назад

    We n msanii pekee wa Tanzania ambaye nikisikiliza nyimbo zake machoz huwa yananilenga, unajua kugusa moyo kwa sauti yako kaka... Keep up the good work

  • @leahmcharo7306
    @leahmcharo7306 7 лет назад

    Asante Sana Ben Paul wimbo mzuri Mungu akubariki sana

  • @jacksoneugene7955
    @jacksoneugene7955 7 лет назад

    So btfl song . na ujumbe safi ..Rwanda tuko together!

  • @benedictkosgei5670
    @benedictkosgei5670 4 года назад +1

    Bado tu kidogo. This is a blessing. Thanks Ben Paul

  • @barakaamini8002
    @barakaamini8002 7 лет назад

    God bless you,
    huu wimbo huwa nasikiliza tena na tena na tenaaa,
    huwa unani inspire sana,
    naamini umewatia moyo wengi wanaopitia kipindi kigumu.
    #RESPECT#

  • @lilianboimanda7443
    @lilianboimanda7443 7 лет назад

    ubarikiwe Sana Ben Pol Na Rafiki yako kwa Ujumbe mzuriii umenitoa mahali kwa imani wimbo huuu

  • @mosesthadeus3964
    @mosesthadeus3964 7 лет назад +10

    tuli kumiss kwenye game
    master wa masaut pol
    hapa ni kazi kazi

  • @oldonyolengai8049
    @oldonyolengai8049 7 лет назад

    That's my boy. Wimbo huu unatupanguvu ya kusimama tena pale tunapoanguka na kuendelea na safari. Bado kidogo utafika. Don't loose hope. This is the real meaning of vitamin music.👑👑👑👑👑

  • @evarisaernest8048
    @evarisaernest8048 7 лет назад

    Nyimbo ni nzuri pia inaleta tumaini Moyoni.Nice song

  • @tuombesunzuesperance5196
    @tuombesunzuesperance5196 7 лет назад

    Ubarikiwe Snaaa kwa wimbo huuu Mwenyezi Mungu amekupa sauti ya kuimba nyimbo za Gospel tunakuomba keep this up na watu wengi wataokoka kwa kupitia nyimbo zako nime barikiwa na wimbo wako my brother May the Lord give you more powerfully thanks so much

  • @marymgani2033
    @marymgani2033 7 лет назад

    Waooooh wimbo mzurii unatia moyo nakukubali Sana benpol we ndo Mkali wangu

  • @marcocosmas4266
    @marcocosmas4266 7 лет назад

    Hii song nimeielewa sana na mungu akusimamie katika mipango yako itimie @benPol

  • @elipokeandosy3945
    @elipokeandosy3945 6 лет назад

    kweli ulifikria chakutuambia Ben poo huna jua kuimba kwel

  • @MtalazeDickson
    @MtalazeDickson 7 лет назад +1

    nakuombeaga kila la kheri blood wyse..... mwanzo mzuri sana na hongereni kiujumla ni BONGE LA NYIMBO!!

  • @johanesedwin2004
    @johanesedwin2004 7 лет назад

    wimbo umebeba ujumbe nzito kaz nzuri sana ben kazana

  • @shabanclement6062
    @shabanclement6062 7 лет назад

    Bro ngoma zako ni kalisana wala huwa hazihitaji kiki, kizuri zaidi zinaishi kwenye maisha ya watu, huwa napenda sana ngoma zako hasa hasa JIKUBALI

  • @ebenezerykimendo7034
    @ebenezerykimendo7034 7 лет назад

    daawa kaka umeomba wimbo mzuri sana unanigusa kila kona. hiki ni kipindi nacho pitia japo kigumu nakaza moyo ile kiume. w

  • @victoriachesco35
    @victoriachesco35 6 лет назад

    Safiiiiiii xan kaka Benpol wap watu wa Dodoma jmn

  • @ema4west689
    @ema4west689 2 года назад

    Ukifeli usijione haufai,
    Give thanks n' praise to the most HIGH🙏🏻🙏🏻

  • @mantv3981
    @mantv3981 7 лет назад

    dogo pia umetisha yaan siku tu naiangalia this song nikajuwa tu itawagusa wengi sana thanks, My God.for giving us Ben pol