+H_Official H_Official we kuma la mamayako kaimba nini humu au walikufilana ww kwny wale wanafunzi waliotombwa na hawa wabakaji nyimbo gani huu unafilwa na baba yako ww
Alikuona ukiomba na alikuskia.. Hakuna heshima inyozidi uhai... I love you mooooore!!!! Gonga like kama umebarikiwa na gizani imengaa mwanga mkali!!!! Waambie.. ni fire 🔥...
Wengi wanaichukulia kama nyimbo tu mm naichukulia ni maneno mazito ya nayoish daima kiukwel imenisisimua mno walah..... na inatufunza kutokata tamaa na inafundisha kuomba mungu na kuamin ipo siku mungu atajibu kilio chako
This is what we call music I'm sound engineer in uk ,and I would like to say some people are born with gift and this chap is one of them ,the producer new what he was doing the mixing and the arrangements of instrument is very good and vocals arrangements is very good too good plus the back up vocals I just wonder if he could produce one more song because I can hear a special voice from a female back up it is sweet I do believe she is special too get her out her voice is special . please she is gifted.
Unapo kosa Tumaini La Kuona Dunia imekuzonga Huu ndio wimbo wa kuusikiliza unatoa Matumaini kwa mtu Alie kata Tamaa Kuona Kwamba Hapa Duniani si mahala sahihi pa kuishi ila kupitia Huu wimbo utapata matumaini thabiti
Papii waambie wanao dislike wajue mungu yupo kazi nzur km hii mijitu inadislike akat still unashukuru Mungu na kwamba tujue Mungu yupo anatuskiliza maombi na kutujibu lkn wana dislike wanakera kinoma
Mungu Akutie Nguvu Kaka Angu! Mungu Akisema Ndiyo Hakuna Wakusema Hapana aijalishi itapita miaka mingapi? Nakuombea Mwanzo Mpya Wenye Ushindi Mkubwa!! Sahau yote Hatua zako zote Fanya Na Mungu Atakutetea katikati ya adui zako
Kiukweli Watanzania tubadilike kutokana Na hali tuliyo nayo changamoto za maisha Mitihani kila mtu anapitia Tuache kufata utamaduni wa wazungu kuangalia nyimbo zisizo na uhalisiia wa maisha yetu wa Africa zaidi ya kupotoka kimaadil hii song inakutia moyo na imani ya kwamba Mungu ni mueza na ipo siku utaheshimika tena na kuwa Na Furaha kama zamani please Team zote tuache tofauti zetu tufikishe 1M views Na usisahau kusubscribe kwa account yake Amini Ubalikiwe ila jiulize kwa nini wanaoenda jela ni maskini na Wengi wanakwenda kwa kesi za Kusingiziwa
Ally Malick umeanza kuandika vizuuuuri sana but umeharibu mwishoni kusema tutakuwa na furaha kama zamani labda useme utakuwa na furaha kama zamani unafikili kila mtu alikuwa anafuraha zamani??!ukitaka kupata furaha upate kitu kihalali haya ni maisha yanatengenezwa kwa ajili ya kizazi chako I wonder kwann Watz mnaona bora mngekandamizwa lakini mpate hela.
Song Lyrics Verse 1. Dunia inazamaa,naiangaliaa/ Sina cha kufanyaa,rohoni naumia/ Mawazo yangu ooh,naangamiaa/ Uko wapi MUNGU wangu wee, hunioni naliaa/ Kumbe ulikuwaa unanisikia,unaniangaliaa wewee/ Likapoteaa tumaini languu,ila imani ikaingiaaa/ Kumbee ulikuwaa unanisikiaa aah/ Na likapotea Tumaini langu ila imani ikaingiaa/ Chorus. MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/ Verse 2. Waambiee kila siku ni zawadii,hakuna heshima inayozidi uhaiii/ Ni Neema na Rehema wawe na hekima unazitimiza ahadii/ Waambiee,hawapaswii kukata tamaa,sababu daima haupo mbalii/ Ukipotea mwangaa gizani ndo nyota hung'aa mwanga mkalii/ Waambiee wasiache Tumaini ndo imanii/ Wasiache kukuaminii ndo amanii/ Chorus. MUNGU waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefiikaa/ MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/ MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/ MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/ MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/ Produced by:- EmaTheBoy
leave aside all the controversy surrounding him, all the politics, all the hearsay. leave alone the history, and every string that could possibly be attached to the artiste. this piece of art is pure glorification to the most high, the Almighty. its moving.
Good melody na ladha tofauti kabisa na miziki inayofanywa na wasanii wengine kwa sasa, wengi walijua ataimba rumba lkn amethibitisha yeye ni Musicians ...
Aisee.....kipaji hakipotei hata iweje, idea ni nzuri pia tena sana. Jela miaka 14 and still alive and healthy na mwaeza fanya mengi...Kweli Mungu wa maajabu yani.
KING WA MUSIC.. VIDEO ☑️ SONG ☑️ VOICE ☑️ BEAT ☑️ LOCATION ☑️ RELEVANCE TO NOWADAYS LIFE *100%* HAO 222 DISLIKERS NI WA SAYARI GANI ,WIMBO HUU UNAPIGWA DISCO HADI KANISA..
I was looking for the Sea and got me googling more about this guys, I was shocked to read what had happened. I didn't even know that walikua jela all those years. Hu wimbo umenigusa sana. "Mungu waambie ni wewe tu"
Papii kocha, ama kweli wewe ni kocha wa Mizuki wa Tanzania na Africa kwa ujumla, mbali na kupenda muziki huu pia umenitia moyo juu ya magumu nayoyapitia na kuamini kuwa ipo cku Nami mungu atanijibu,
Wimbo huu, UNA nguvu ya Mungu, kuna mkono wa Mungu katika ngoma hii!
Kama unaguswa na Ngoma hii gong like
Yap......wimbo mkali sana huu....mungu waambie ni ww tu uliesababisha leo imefika
Kall🙏
Natamani watu wangefaham nini maana ya huu wimbo coz umebeba maana kubwa sana katika maisha tunayopitia katika dunia tunayoishi sasa
I guess I am pretty off topic but does anyone know of a good website to stream new tv shows online ?
Sana
kila siku ni zawad hakuna heshima inayozid uhai, 2024 plz gonga like
30 August 2024
Wimbo huu umebeba ujumbe wa moja kwa moja kutoka kwa Mungu kutufundiaha kitu sisi wanadamu♥️
kama na wewe umejifunza kitu kupitia wimbo huu, plz tupia like yako hapa😭😭😭
Nimejifunza mengi mno.
Hivi nyimbo naipenda melody yake hatari hata kama hujui maana yake
Hakuna heshima inayozidi uhai hivyo inatupasa tuwe na subira kwani Mungu ni mjuzi wa kila kitu
H
Hakika
Kama umeikubal ngoma ya papi like hapo chin
Nashukuru kwa kumpa bro moyo #1 pamoja sana
Hii ngoma naikubali hatari
Naipenda sana iyi nyimbo inanifaridji sana
Hakuna heshima inayozid uhai, Mungu wambie
Kama umefurahi kurudi kwa Papii Kocha gonga like 🔥🔥🔥
Mambo ni motooooooo
hawa wabafiki nani akugongee like ss wimbo mmbovuuuu ka walivyowabovu wao
+Jimmy Mwandenuka
fala we kweli kaimbe we tyuone kama utoimba k ya mama ako k ya mama ako
+H_Official H_Official we kuma la mamayako kaimba nini humu au walikufilana ww kwny wale wanafunzi waliotombwa na hawa wabakaji nyimbo gani huu unafilwa na baba yako ww
+Jimmy Mwandenuka?????
I see mungu ni mwema cku zote nimelia hii nyimbo na imenipa Iman kubwa ya maisha yangu
Hi
Alikuona ukiomba na alikuskia..
Hakuna heshima inyozidi uhai...
I love you mooooore!!!!
Gonga like kama umebarikiwa na gizani imengaa mwanga mkali!!!!
Waambie.. ni fire 🔥...
in love with this song...kama umetoka kenya gonga like tukisonga
Wengi wanaichukulia kama nyimbo tu mm naichukulia ni maneno mazito ya nayoish daima kiukwel imenisisimua mno walah..... na inatufunza kutokata tamaa na inafundisha kuomba mungu na kuamin ipo siku mungu atajibu kilio chako
Hongera Papii a very inspirational song i,nagusa .
True
Nyimbo video zote kali mkuu jamaa wanajua hawa
Himid Hareed ata mm yn inanip nguv
Himid Hareed hakika IPO siku tuu!! Bado namngoja mungu IPO cku atanisikia tuu🙏
KAMA BADO HAIJAKUKINAI HII NGOMA GONGA LIKE
Nate dogg
Wengine wameshindwa kucomment kwakuwa walikuwa wakitokwa na machozi na wengine wamejitahidi kucomment hali ya kuwa machozi yakiwatoka. Ahsante Papii🤧
Hawapasw kukata tamaa sababu daima haupo 😢
Huu wimbo utadumu tena sana. A very nice song.
mungu waambie na cc ni binadamu kama wao wasituue bila hatia
hakika kila ajishushaye hukwezwa,Mungu azid kuwapigania.
This is what we call music I'm sound engineer in uk ,and I would like to say some people are born with gift and this chap is one of them ,the producer new what he was doing the mixing and the arrangements of instrument is very good and vocals arrangements is very good too good plus the back up vocals I just wonder if he could produce one more song because I can hear a special voice from a female back up it is sweet I do believe she is special too get her out her voice is special . please she is gifted.
I noted the same bro..let's link up
+254703292171 WhatsApp
Yusef W ndena san
Papa J so so spot ...arranged in a meticulous way...and that female voice in the background is angelic...we need more of such music
She called Natasha she's the one who's wrote the song
Yaani kwa mara ya kwanza wimbo unaniliza dah I can't resist tears aisee nashukuru Mungu you are back
video haina mbwembwe na imekuwa bora zaid
Hii ngoma qali sana inatibu hasira mawazo na mengine mengi sharaut kwa papii x nguza💯✔
The voice daaamnnnnn aisee hii sauti inaweza kukupa mkopo wa masharti nafuu🙌
Maaamaaaaaa Daaaaaaaaaaah,,,,!!!! Mwimbo mzuri sana na unatia moyo aseeeeh,,,,, mtatisha wazeeeeeeee ninyi jamoniiii👏👏👏👏👏👏👍👍👍👏👏👏👊👊👊👊
Dah nliisaka hii audio two month nlikuwa naikuta mwishoni ikipigwa kwa radio nkairecord sound
Sexi vidéos
tuache tu unafiki jamaaa wanajua kuimba.
Abdalah Mjomba nyimbo imetulia nzur sana nahata unaposkiliza ulipokua na makosa au nashida huwez kata tama
hii ndio pure Music.
we missed you a lot.
purity and maturity.
kweli Mungu Husikia, Huona Na Hufika...
ya trrrruuueee
Thank you Lord kwa kurudisha matumaini ya waliokata tamaa kwa kupitia hawa watu, tusichoke kuomba Mungu anasikia ....MWAMBIE ANASIKIA
Unapo kosa Tumaini La Kuona Dunia imekuzonga Huu ndio wimbo wa kuusikiliza unatoa Matumaini kwa mtu Alie kata Tamaa Kuona Kwamba Hapa Duniani si mahala sahihi pa kuishi ila kupitia Huu wimbo utapata matumaini thabiti
Mathias Wambua kweli kabisa
New K Hamza Nyimbo Ambazo Zinaleta Inspiration Kubwa Katika Maisha Yetu ya Kila siku ......Conglts Papiiii kocha
Amen
Mathias Wambua amen
Mathias Wambua very nice song
Nyimbo nzurisana
Everything has a reason, only God knows that reason! Usichoke kuomba
Sanaaaaa
Papii waambie wanao dislike wajue mungu yupo kazi nzur km hii mijitu inadislike akat still unashukuru Mungu na kwamba tujue Mungu yupo anatuskiliza maombi na kutujibu lkn wana dislike wanakera kinoma
paschal nhigula weng awajui kutofautisha best ata mm mwanzo nilikuwa nabonyeza tyu bila kueleeawa
فیلم سرت
Ee Mungu wangu machozi yamenitoka kwa huu wimbo jamani.
Beatrice Kihehe dah!! Wallaah cjiwez na Leo kutwa nimeuskiza uu wimbo
Mungu Akutie Nguvu Kaka Angu! Mungu Akisema Ndiyo Hakuna Wakusema Hapana aijalishi itapita miaka mingapi? Nakuombea Mwanzo Mpya Wenye Ushindi Mkubwa!! Sahau yote Hatua zako zote Fanya Na Mungu Atakutetea katikati ya adui zako
Sipati pale papikocha huku christian bella kule kiba fundi. Hzo sauti doh noma
Noz Banx umeona eeeee safi sana
kunywa soda nakuja kulipa...mambo yatakuwa 👉🏻🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Noumaaaa
Nakuunga mkono
fireeeeeee
Mungu waambie uliona, nlipokuomba ulisikia na Ukaitika🙌🏽🥰
Karibu sana Papii nimependa ngoma lako lkn linanifanya naumia kila nikiisikiliza kwa ujumbe uliomo
Kama ulitaka kumsikia BABU SEYA akiimba na hujasikia gonga like hapa
Laiboni mario 😂😂😂😂
Nawakubali vilivyo
Hahahahhaa
Fala sana wewe🤣🤣🤣🤣🤣
Nyimbo nzuri sana...nikisikiliza nahisi kulia...Mungu yupamoja nanyi awabariki sana.
Amina
Aliyerud 2020 gonga like tujuane,, hakuna hexhima inayozid uhai
Kiukweli Watanzania tubadilike kutokana Na hali tuliyo nayo changamoto za maisha Mitihani kila mtu anapitia Tuache kufata utamaduni wa wazungu kuangalia nyimbo zisizo na uhalisiia wa maisha yetu wa Africa zaidi ya kupotoka kimaadil hii song inakutia moyo na imani ya kwamba Mungu ni mueza na ipo siku utaheshimika tena na kuwa Na Furaha kama zamani please Team zote tuache tofauti zetu tufikishe 1M views Na usisahau kusubscribe kwa account yake Amini Ubalikiwe ila jiulize kwa nini wanaoenda jela ni maskini na Wengi wanakwenda kwa kesi za Kusingiziwa
Ally Malick umeanza kuandika vizuuuuri sana but umeharibu mwishoni kusema tutakuwa na furaha kama zamani labda useme utakuwa na furaha kama zamani unafikili kila mtu alikuwa anafuraha zamani??!ukitaka kupata furaha upate kitu kihalali haya ni maisha yanatengenezwa kwa ajili ya kizazi chako I wonder kwann Watz mnaona bora mngekandamizwa lakini mpate hela.
Ally Malick UA. very true
Ally Malick
Ally Malick nyimbo mzur xana weny music ndio haoooo washarud
Ally Malick ok
Mungu waambie "WASIACHE TUMAINI NDIO IMANI, WASIACHE KUKUAMINI NDIO AMANI" Mungu anaweza yote❤
Song Lyrics
Verse 1.
Dunia inazamaa,naiangaliaa/
Sina cha kufanyaa,rohoni naumia/
Mawazo yangu ooh,naangamiaa/
Uko wapi MUNGU wangu wee, hunioni naliaa/
Kumbe ulikuwaa unanisikia,unaniangaliaa wewee/
Likapoteaa tumaini languu,ila imani ikaingiaaa/
Kumbee ulikuwaa unanisikiaa aah/
Na likapotea Tumaini langu ila imani ikaingiaa/
Chorus.
MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/
MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/
MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/
MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/
Verse 2.
Waambiee kila siku ni zawadii,hakuna heshima inayozidi uhaiii/
Ni Neema na Rehema wawe na hekima unazitimiza ahadii/
Waambiee,hawapaswii kukata tamaa,sababu daima haupo mbalii/
Ukipotea mwangaa gizani ndo nyota hung'aa mwanga mkalii/
Waambiee wasiache Tumaini ndo imanii/
Wasiache kukuaminii ndo amanii/
Chorus.
MUNGU waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/
MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/
MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/
MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefiikaa/
MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/
MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/
MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/
MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/
Produced by:- EmaTheBoy
Safi san kakà
Charles Ased
❤
Peterson Sha Ezra Pamoja mkuu
Upendo Glory 😘
DAH TULIKOSA VITU ADIMU MUDA MREFU WACHA TUUGEUZE UWE WA TAIFA
leave aside all the controversy surrounding him, all the politics, all the hearsay. leave alone the history, and every string that could possibly be attached to the artiste. this piece of art is pure glorification to the most high, the Almighty. its moving.
franc temba sure say bro,so poignant
tuna kila sababu ya kumshukuru mungu
nyimbo inaujumbe mzito sana nimeipenda keep it up papiii
Kama unacheki hii nyimbo 2019 gonga like twende sawa
Ulituria san hadi ukaimba nyimbo bor San upo vzr ten na ten wengine hawajuwi thamani ya wimbo huhu ila mm naijuwa ten san 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🎤
Huu wimbo utadumu daima
Papi kocha atabakia kua yeye kama yeye 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 uhu wimbo umenifanya nilie kabisaa 😭😢😭 mungu awepe nguvu yaku tenda kazi
Sifa Avijawa hakika ninyimbo bor ndumian
Ni furaha kuona bado uwezo wa kupangilia mashairi wanao!!.
mziki ka baiskeli.... ukijua umejua tu
Nice song,hakuna kama Mungu,na kamwe ashindwi,wimbo unaleta matumaini na aman moyon.
Wimbo mzurii papiii ni Neema na rehema hatupaswi kukata tamaaa ....👏👏👏👏
Ikapotea tumain langu
Felix Lukuna
kaz nzur san jamna dah kam umeirudia hii ngam zaid ya mar 1 gonga like yak hap
Justine Nunda mara ya tisa hapa naisikiliza
Ramadhani Salumu duh
Ww kweli nimnomasana
Super emotional, my current favorite song, I just love the chemistry between u guys,
Mungu awabariki,
Mungu bariki Tanzania.
Proud to be Tanzanian
Mungu hamwachi mja wakr..thanx papii kwa kuanza na huu wimbo wa shukrani kwa Mungu..Waambie wote wamjue yeye kuwa hashindwi.
kweli Leo imefika ni mungu tu 🙏🏾👏🏾👌🏾
Asanteni sana na karibuni tena muamshe mziki uliolala😍😍😍😍
😭😭😭😭so sad dah! hakika Mungu ndie kl kitu.😍
Wenye music wameludi
SuperDuper Tv nyimbo ina gusa moyo kweli
SuperDuper Tv sanaaaaa! wenye mziki wao wamerudi
Vita vya masauti yaanze
wimbo umeutendea haki video pia haki imefanyika, hakika mungu amekutendea jambo kubwa lazima kumshukuru
Good melody na ladha tofauti kabisa na miziki inayofanywa na wasanii wengine kwa sasa, wengi walijua ataimba rumba lkn amethibitisha yeye ni Musicians ...
inatia majonzi sana big Up papii kocha
Kama unawapenda Hawa jamaa na utawasupport like hapa
Joyful Mtwa we ndo utasaidia nini
Kuingia kwenye show upendo Robert
Sawa heshima kwake jamani
Wenye music wamerudi #Respect my Brother Papii Kocha
Nani bado anaangalia ngoma hii mpk leo 2019 gonga like twende
Naangalia 2020
Ngoma kali
Huu wimbo una ujumbe mzito sanaa ahsante papii
Nyimbo nzuri sana na inaujumbe mzito, Maisha sio yakukata tamaa ipo siku Tu waambie MUNGU NI MWEMA
Francis Kilimo Labda nami Nitafanikiwa siku
Mungu mwema sana
Francis Kilimo
Mutoto ya mfalme...
Papii Kocha..
2020 right here...
Dah too emotional,nimeshindwa kuzuia machozi...Mungu yupo na anaishi hakika...akupeni mwanzo mpya na wa heshima kubwa😥
mungu anatuskia kila wakati kueeni radhi na maisha yenu mungu atubarik sotee ameeen
Nyimbo nzur unaifeel mpka kwa heart
Nyimbo ina ujumbe mzito sanaaa.....Tumuache mungu aitwe mung.
Aisee.....kipaji hakipotei hata iweje, idea ni nzuri pia tena sana. Jela miaka 14 and still alive and healthy na mwaeza fanya mengi...Kweli Mungu wa maajabu yani.
The kind of gospel music i'll always love listening,,..Glory b to God AMEEN...
Kazi nzuri sana ya kumtukuza Mungu baada ya yote mliyoyapitia.Hongera sana Papii Kocha na Nguza Viking
"Waambie kila siku ni zawadi, hakuna heshima inayozidi uhai" Amen to that.
hasiyo sikiliza hii nyimbo amekosa kitu nyimbo tamu sana
Nyimbo nzuri sana yaani wanajua kuimba tangu long time hlf papii handsome jaman 😘🙈
Jameni nilipo skia kweli kuna kitu kime ingia kwenye moyo daa bro big up.and you will never go down sapot kwa bro kutoka Holland
i love papiii love you so much,😢😢,mungu akupe nguvu zaidi ukamilishe malengo yako nakupenda sanA i wish to see you with my eyes love you so much
nawapenda sana wazazi mko vizuri kwenye soko zima la muziki mungu awabariki na awazidishie baraka kwa kla jambo mnalotaka kulifanya full respect
Bonge 1 la Ngoma...#Hakuna heshima inayozid Uhai🙏❤
ciachi kuisikiza hii nyimbo iko vizuri ina maneno ya mungu ndani yake
Tuko pamoja toka Democratic Republic of Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💚
Bukavu Town ❤
this is it.......very nice motivation song.......keep it up....when God says Yes nobody can say No
Dah.kweli mungu waambie....god job .....karibuni kitaa wakongwe
Good music yaan ile kuanzia unaplay tuu unasema damnnnnnnn sooo guud!!!
Asanteni
Benjamin Leonard 👊👊
Partson Mutayoba vzjsiw
Real Inspiration Papiii....Mungu ni Wewe tu.
Fantastic...bravo papii,, ngoma moja na Bushoke pliizzz
KING WA MUSIC..
VIDEO ☑️
SONG ☑️
VOICE ☑️
BEAT ☑️
LOCATION ☑️
RELEVANCE TO NOWADAYS LIFE *100%*
HAO 222 DISLIKERS NI WA SAYARI GANI ,WIMBO HUU UNAPIGWA DISCO HADI KANISA..
Kamaulikuwa unaisubiri ngoma yaho kwahamu like hapa
Ngoma nimeikubari. kinomanoma
bradock shomary shodri nikafikiri kali kumbe ya kuabudu😚😚😚😚
Prince M95 🤣🤣
wimbo mzuri sana
bradock shomary shodri
Hakika Mungu ni mwaminifu kwa kila amtumainiye...Great song Papii
I was looking for the Sea and got me googling more about this guys, I was shocked to read what had happened. I didn't even know that walikua jela all those years. Hu wimbo umenigusa sana. "Mungu waambie ni wewe tu"
Hakika ni maamuzi mazuri sana kumtumikia Mungu. Hakika ni yeye aliesababisha sisi kufika hapa I Appreciate you brother
Daaaah bonge la ngoma linagusa sana .big up
Na wakubali sana ndugu zangu na mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kazi yenu yote Amen.
Papii kocha, ama kweli wewe ni kocha wa Mizuki wa Tanzania na Africa kwa ujumla, mbali na kupenda muziki huu pia umenitia moyo juu ya magumu nayoyapitia na kuamini kuwa ipo cku Nami mungu atanijibu,
Daah nimependa sana ujumbe
😰😰😰😰😰😰
Tulimis nyimbo kama hzi kila rika linaweza kukaa na kusikiliza 😚😚😍😍😘😘😘
DAWA ZA ASILI/TIBA ZA ASILI/: ruclips.net/p/PL_DSXHfkoymz_mON4Y4rJ7Tu9HulfT8W7
Always returning back to this song!!pure Gospel Papii uliimba kwakweli RIP magufuli
Mungu waambie ulinion nilipokuomb ukaniskia
Dh hatar san
Brother brother saaaaafi umerudi vizuri nakulubali sana sanaaaaaa🔥🔥