Papii Kocha - Waambie (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Papii Kocha - Waambie (Official Video)
    Written by Natasha (THT)
    Audio Production: Ema The Boy
    Video Directed: Destro / Wanene Film
    DOP: Aanand Lonkar

Комментарии • 1,6 тыс.

  • @motishatv3273
    @motishatv3273 6 лет назад +363

    Wimbo huu, UNA nguvu ya Mungu, kuna mkono wa Mungu katika ngoma hii!
    Kama unaguswa na Ngoma hii gong like

    • @joharisalehei9596
      @joharisalehei9596 4 года назад +2

      Yap......wimbo mkali sana huu....mungu waambie ni ww tu uliesababisha leo imefika

    • @sammmwalongo4586
      @sammmwalongo4586 4 года назад

      Kall🙏

    • @godlivingmosha1044
      @godlivingmosha1044 3 года назад +3

      Natamani watu wangefaham nini maana ya huu wimbo coz umebeba maana kubwa sana katika maisha tunayopitia katika dunia tunayoishi sasa

    • @jadielmarvin6725
      @jadielmarvin6725 3 года назад

      I guess I am pretty off topic but does anyone know of a good website to stream new tv shows online ?

    • @nmkandawile
      @nmkandawile Год назад

      Sana

  • @kadekade___cor
    @kadekade___cor 3 месяца назад +27

    kila siku ni zawad hakuna heshima inayozid uhai, 2024 plz gonga like

  • @ishekellyfredy9714
    @ishekellyfredy9714 Месяц назад +4

    Wimbo huu umebeba ujumbe wa moja kwa moja kutoka kwa Mungu kutufundiaha kitu sisi wanadamu♥️

  • @beatriceshadrack9995
    @beatriceshadrack9995 6 лет назад +261

    kama na wewe umejifunza kitu kupitia wimbo huu, plz tupia like yako hapa😭😭😭

    • @johnmbegu1554
      @johnmbegu1554 5 лет назад +2

      Nimejifunza mengi mno.

    • @mfaumeally644
      @mfaumeally644 5 лет назад +1

      Hivi nyimbo naipenda melody yake hatari hata kama hujui maana yake

    • @omaryshafii50
      @omaryshafii50 5 лет назад +1

      Hakuna heshima inayozidi uhai hivyo inatupasa tuwe na subira kwani Mungu ni mjuzi wa kila kitu

    • @michaelmasusu8364
      @michaelmasusu8364 4 года назад +1

      H

    • @priscaseverin4967
      @priscaseverin4967 7 месяцев назад

      Hakika

  • @issackmush6602
    @issackmush6602 6 лет назад +284

    Kama umeikubal ngoma ya papi like hapo chin

  • @yusuphsamwel7949
    @yusuphsamwel7949 6 лет назад +60

    Hakuna heshima inayozid uhai, Mungu wambie

  • @sonohub
    @sonohub 6 лет назад +408

    Kama umefurahi kurudi kwa Papii Kocha gonga like 🔥🔥🔥

    • @lazarocharles5085
      @lazarocharles5085 6 лет назад +2

      Mambo ni motooooooo

    • @jimmymwandenuka8690
      @jimmymwandenuka8690 6 лет назад

      hawa wabafiki nani akugongee like ss wimbo mmbovuuuu ka walivyowabovu wao

    • @mrsinteanta5394
      @mrsinteanta5394 6 лет назад +1

      +Jimmy Mwandenuka
      fala we kweli kaimbe we tyuone kama utoimba k ya mama ako k ya mama ako

    • @jimmymwandenuka8690
      @jimmymwandenuka8690 6 лет назад

      +H_Official H_Official we kuma la mamayako kaimba nini humu au walikufilana ww kwny wale wanafunzi waliotombwa na hawa wabakaji nyimbo gani huu unafilwa na baba yako ww

    • @mrsinteanta5394
      @mrsinteanta5394 6 лет назад

      +Jimmy Mwandenuka?????

  • @husnaalhabsi4244
    @husnaalhabsi4244 6 лет назад +53

    I see mungu ni mwema cku zote nimelia hii nyimbo na imenipa Iman kubwa ya maisha yangu

  • @magrethkawa4841
    @magrethkawa4841 6 лет назад +84

    Alikuona ukiomba na alikuskia..
    Hakuna heshima inyozidi uhai...
    I love you mooooore!!!!
    Gonga like kama umebarikiwa na gizani imengaa mwanga mkali!!!!
    Waambie.. ni fire 🔥...

  • @beatricewanjiru5019
    @beatricewanjiru5019 4 года назад +24

    in love with this song...kama umetoka kenya gonga like tukisonga

  • @himidhareed4784
    @himidhareed4784 6 лет назад +71

    Wengi wanaichukulia kama nyimbo tu mm naichukulia ni maneno mazito ya nayoish daima kiukwel imenisisimua mno walah..... na inatufunza kutokata tamaa na inafundisha kuomba mungu na kuamin ipo siku mungu atajibu kilio chako

  • @africafunnyanimals
    @africafunnyanimals 5 лет назад +147

    KAMA BADO HAIJAKUKINAI HII NGOMA GONGA LIKE

  • @bakarisalim3313
    @bakarisalim3313 6 лет назад +32

    Wengine wameshindwa kucomment kwakuwa walikuwa wakitokwa na machozi na wengine wamejitahidi kucomment hali ya kuwa machozi yakiwatoka. Ahsante Papii🤧

  • @ammymarwa-mh5sh
    @ammymarwa-mh5sh 10 месяцев назад +6

    Hawapasw kukata tamaa sababu daima haupo 😢

  • @stevenpeter2260
    @stevenpeter2260 6 лет назад +63

    Huu wimbo utadumu tena sana. A very nice song.

  • @saidibiyege416
    @saidibiyege416 6 лет назад +22

    mungu waambie na cc ni binadamu kama wao wasituue bila hatia

  • @neemamasaoe2077
    @neemamasaoe2077 6 лет назад +31

    hakika kila ajishushaye hukwezwa,Mungu azid kuwapigania.

  • @papaj6795
    @papaj6795 6 лет назад +87

    This is what we call music I'm sound engineer in uk ,and I would like to say some people are born with gift and this chap is one of them ,the producer new what he was doing the mixing and the arrangements of instrument is very good and vocals arrangements is very good too good plus the back up vocals I just wonder if he could produce one more song because I can hear a special voice from a female back up it is sweet I do believe she is special too get her out her voice is special . please she is gifted.

    • @kenbaroofficial
      @kenbaroofficial 6 лет назад

      I noted the same bro..let's link up

    • @kenbaroofficial
      @kenbaroofficial 6 лет назад

      +254703292171 WhatsApp

    • @merinanasan3343
      @merinanasan3343 5 лет назад

      Yusef W ndena san

    • @MrSimbawanje
      @MrSimbawanje 2 года назад

      Papa J so so spot ...arranged in a meticulous way...and that female voice in the background is angelic...we need more of such music

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 2 года назад +4

      She called Natasha she's the one who's wrote the song

  • @HASASON
    @HASASON 6 лет назад +29

    Yaani kwa mara ya kwanza wimbo unaniliza dah I can't resist tears aisee nashukuru Mungu you are back

  • @theresiankoyi9418
    @theresiankoyi9418 6 лет назад +49

    video haina mbwembwe na imekuwa bora zaid

  • @omarymchana6380
    @omarymchana6380 6 лет назад +28

    Hii ngoma qali sana inatibu hasira mawazo na mengine mengi sharaut kwa papii x nguza💯✔

  • @stephcisse2304
    @stephcisse2304 6 лет назад +55

    The voice daaamnnnnn aisee hii sauti inaweza kukupa mkopo wa masharti nafuu🙌

  • @edsonsimon7041
    @edsonsimon7041 6 лет назад +39

    Maaamaaaaaa Daaaaaaaaaaah,,,,!!!! Mwimbo mzuri sana na unatia moyo aseeeeh,,,,, mtatisha wazeeeeeeee ninyi jamoniiii👏👏👏👏👏👏👍👍👍👏👏👏👊👊👊👊

    • @dixonibra9966
      @dixonibra9966 4 года назад

      Dah nliisaka hii audio two month nlikuwa naikuta mwishoni ikipigwa kwa radio nkairecord sound

    • @ousmantaxi3724
      @ousmantaxi3724 4 года назад

      Sexi vidéos

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 6 лет назад +45

    tuache tu unafiki jamaaa wanajua kuimba.

    • @rahimahawadh6443
      @rahimahawadh6443 6 лет назад

      Abdalah Mjomba nyimbo imetulia nzur sana nahata unaposkiliza ulipokua na makosa au nashida huwez kata tama

  • @jasminejustin1825
    @jasminejustin1825 6 лет назад +83

    hii ndio pure Music.
    we missed you a lot.
    purity and maturity.
    kweli Mungu Husikia, Huona Na Hufika...

  • @tinamuller6942
    @tinamuller6942 6 лет назад +13

    Thank you Lord kwa kurudisha matumaini ya waliokata tamaa kwa kupitia hawa watu, tusichoke kuomba Mungu anasikia ....MWAMBIE ANASIKIA

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 6 лет назад +200

    Unapo kosa Tumaini La Kuona Dunia imekuzonga Huu ndio wimbo wa kuusikiliza unatoa Matumaini kwa mtu Alie kata Tamaa Kuona Kwamba Hapa Duniani si mahala sahihi pa kuishi ila kupitia Huu wimbo utapata matumaini thabiti

    • @newkhamza1339
      @newkhamza1339 6 лет назад +2

      Mathias Wambua kweli kabisa

    • @mathiaswambua7643
      @mathiaswambua7643 6 лет назад +2

      New K Hamza Nyimbo Ambazo Zinaleta Inspiration Kubwa Katika Maisha Yetu ya Kila siku ......Conglts Papiiii kocha

    • @donaldmutegeki5031
      @donaldmutegeki5031 6 лет назад +2

      Amen

    • @qutej3827
      @qutej3827 6 лет назад +1

      Mathias Wambua amen

    • @amrybakary8009
      @amrybakary8009 6 лет назад

      Mathias Wambua very nice song

  • @swaggagamingtv6841
    @swaggagamingtv6841 6 лет назад +90

    Nyimbo nzurisana

  • @lilianleonard8106
    @lilianleonard8106 6 лет назад +26

    Everything has a reason, only God knows that reason! Usichoke kuomba

  • @paschalnhigula6600
    @paschalnhigula6600 6 лет назад +56

    Papii waambie wanao dislike wajue mungu yupo kazi nzur km hii mijitu inadislike akat still unashukuru Mungu na kwamba tujue Mungu yupo anatuskiliza maombi na kutujibu lkn wana dislike wanakera kinoma

    • @linajuma9141
      @linajuma9141 4 года назад +1

      paschal nhigula weng awajui kutofautisha best ata mm mwanzo nilikuwa nabonyeza tyu bila kueleeawa

    • @علیجعفری-ز1ك
      @علیجعفری-ز1ك 4 года назад

      فیلم سرت

  • @beatricekihehe3733
    @beatricekihehe3733 6 лет назад +10

    Ee Mungu wangu machozi yamenitoka kwa huu wimbo jamani.

    • @yusuphsalim6469
      @yusuphsalim6469 6 лет назад

      Beatrice Kihehe dah!! Wallaah cjiwez na Leo kutwa nimeuskiza uu wimbo

  • @estherjoshua2250
    @estherjoshua2250 6 лет назад +7

    Mungu Akutie Nguvu Kaka Angu! Mungu Akisema Ndiyo Hakuna Wakusema Hapana aijalishi itapita miaka mingapi? Nakuombea Mwanzo Mpya Wenye Ushindi Mkubwa!! Sahau yote Hatua zako zote Fanya Na Mungu Atakutetea katikati ya adui zako

  • @noeljohnkiboko4786
    @noeljohnkiboko4786 6 лет назад +105

    Sipati pale papikocha huku christian bella kule kiba fundi. Hzo sauti doh noma

  • @brendanyambo9644
    @brendanyambo9644 2 года назад +3

    Mungu waambie uliona, nlipokuomba ulisikia na Ukaitika🙌🏽🥰

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 6 лет назад +35

    Karibu sana Papii nimependa ngoma lako lkn linanifanya naumia kila nikiisikiliza kwa ujumbe uliomo

  • @laibonimario6235
    @laibonimario6235 6 лет назад +134

    Kama ulitaka kumsikia BABU SEYA akiimba na hujasikia gonga like hapa

  • @hadijamcha7824
    @hadijamcha7824 6 лет назад +17

    Nyimbo nzuri sana...nikisikiliza nahisi kulia...Mungu yupamoja nanyi awabariki sana.

  • @tinahtinahmashaka4278
    @tinahtinahmashaka4278 4 года назад +10

    Aliyerud 2020 gonga like tujuane,, hakuna hexhima inayozid uhai

  • @allymalick5959
    @allymalick5959 6 лет назад +68

    Kiukweli Watanzania tubadilike kutokana Na hali tuliyo nayo changamoto za maisha Mitihani kila mtu anapitia Tuache kufata utamaduni wa wazungu kuangalia nyimbo zisizo na uhalisiia wa maisha yetu wa Africa zaidi ya kupotoka kimaadil hii song inakutia moyo na imani ya kwamba Mungu ni mueza na ipo siku utaheshimika tena na kuwa Na Furaha kama zamani please Team zote tuache tofauti zetu tufikishe 1M views Na usisahau kusubscribe kwa account yake Amini Ubalikiwe ila jiulize kwa nini wanaoenda jela ni maskini na Wengi wanakwenda kwa kesi za Kusingiziwa

    • @agnestamajaliwa142
      @agnestamajaliwa142 6 лет назад +2

      Ally Malick umeanza kuandika vizuuuuri sana but umeharibu mwishoni kusema tutakuwa na furaha kama zamani labda useme utakuwa na furaha kama zamani unafikili kila mtu alikuwa anafuraha zamani??!ukitaka kupata furaha upate kitu kihalali haya ni maisha yanatengenezwa kwa ajili ya kizazi chako I wonder kwann Watz mnaona bora mngekandamizwa lakini mpate hela.

    • @isayamwidete6844
      @isayamwidete6844 6 лет назад

      Ally Malick UA. very true

    • @agnethaalkwin9896
      @agnethaalkwin9896 6 лет назад

      Ally Malick

    • @bakaringitu6503
      @bakaringitu6503 6 лет назад

      Ally Malick nyimbo mzur xana weny music ndio haoooo washarud

    • @eng.paulmalikajj2798
      @eng.paulmalikajj2798 6 лет назад

      Ally Malick ok

  • @ishekellyfredy9714
    @ishekellyfredy9714 Месяц назад +1

    Mungu waambie "WASIACHE TUMAINI NDIO IMANI, WASIACHE KUKUAMINI NDIO AMANI" Mungu anaweza yote❤

  • @charlesased
    @charlesased 6 лет назад +167

    Song Lyrics
    Verse 1.
    Dunia inazamaa,naiangaliaa/
    Sina cha kufanyaa,rohoni naumia/
    Mawazo yangu ooh,naangamiaa/
    Uko wapi MUNGU wangu wee, hunioni naliaa/
    Kumbe ulikuwaa unanisikia,unaniangaliaa wewee/
    Likapoteaa tumaini languu,ila imani ikaingiaaa/
    Kumbee ulikuwaa unanisikiaa aah/
    Na likapotea Tumaini langu ila imani ikaingiaa/
    Chorus.
    MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/
    MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/
    MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/
    MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/
    Verse 2.
    Waambiee kila siku ni zawadii,hakuna heshima inayozidi uhaiii/
    Ni Neema na Rehema wawe na hekima unazitimiza ahadii/
    Waambiee,hawapaswii kukata tamaa,sababu daima haupo mbalii/
    Ukipotea mwangaa gizani ndo nyota hung'aa mwanga mkalii/
    Waambiee wasiache Tumaini ndo imanii/
    Wasiache kukuaminii ndo amanii/
    Chorus.
    MUNGU waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/
    MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/
    MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/
    MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefiikaa/
    MUNGU Waambiee,ulinionaa nilipokuomba uliskiaa na ukaitikaa/
    MUNGU waambiee,uliposema uwaja wala hukukosea njia na ulifikaa/
    MUNGU waambiee,ni wewe tuu ni wewe tuu ooh/
    MUNGU waambiee ni wewe tuu ooh uliesababisha Leo imefikaa/
    Produced by:- EmaTheBoy

  • @theresiankoyi9418
    @theresiankoyi9418 6 лет назад +18

    DAH TULIKOSA VITU ADIMU MUDA MREFU WACHA TUUGEUZE UWE WA TAIFA

  • @masterfranxtemba
    @masterfranxtemba 6 лет назад +49

    leave aside all the controversy surrounding him, all the politics, all the hearsay. leave alone the history, and every string that could possibly be attached to the artiste. this piece of art is pure glorification to the most high, the Almighty. its moving.

  • @lucianjr6807
    @lucianjr6807 6 лет назад +28

    nyimbo inaujumbe mzito sana nimeipenda keep it up papiii

  • @elvnuselpdius7334
    @elvnuselpdius7334 5 лет назад +18

    Kama unacheki hii nyimbo 2019 gonga like twende sawa

  • @davidshemufufulu1400
    @davidshemufufulu1400 5 лет назад +4

    Ulituria san hadi ukaimba nyimbo bor San upo vzr ten na ten wengine hawajuwi thamani ya wimbo huhu ila mm naijuwa ten san 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🎤

  • @japharraychausa6138
    @japharraychausa6138 3 года назад +6

    Huu wimbo utadumu daima
    Papi kocha atabakia kua yeye kama yeye 🙏🙏🙏🙏

  • @agnesjohnson2393
    @agnesjohnson2393 6 лет назад +7

    Amen 🙏 uhu wimbo umenifanya nilie kabisaa 😭😢😭 mungu awepe nguvu yaku tenda kazi

    • @sesielitha9744
      @sesielitha9744 5 лет назад

      Sifa Avijawa hakika ninyimbo bor ndumian

  • @eugenepaull9513
    @eugenepaull9513 6 лет назад +12

    Ni furaha kuona bado uwezo wa kupangilia mashairi wanao!!.

  • @markjason2035
    @markjason2035 6 лет назад +14

    mziki ka baiskeli.... ukijua umejua tu

  • @tammysalum5475
    @tammysalum5475 6 лет назад +4

    Nice song,hakuna kama Mungu,na kamwe ashindwi,wimbo unaleta matumaini na aman moyon.

  • @felixlukuna7957
    @felixlukuna7957 6 лет назад +14

    Wimbo mzurii papiii ni Neema na rehema hatupaswi kukata tamaaa ....👏👏👏👏

  • @mkaliwenuoriginalpleasesub9297
    @mkaliwenuoriginalpleasesub9297 6 лет назад +49

    kaz nzur san jamna dah kam umeirudia hii ngam zaid ya mar 1 gonga like yak hap

  • @christinatweve138
    @christinatweve138 6 лет назад +18

    Super emotional, my current favorite song, I just love the chemistry between u guys,
    Mungu awabariki,
    Mungu bariki Tanzania.
    Proud to be Tanzanian

  • @kitoijeremia5794
    @kitoijeremia5794 6 лет назад +20

    Mungu hamwachi mja wakr..thanx papii kwa kuanza na huu wimbo wa shukrani kwa Mungu..Waambie wote wamjue yeye kuwa hashindwi.

  • @rhouzieferdienyomindi784
    @rhouzieferdienyomindi784 6 лет назад +12

    kweli Leo imefika ni mungu tu 🙏🏾👏🏾👌🏾

  • @cutelove2686
    @cutelove2686 6 лет назад +18

    Asanteni sana na karibuni tena muamshe mziki uliolala😍😍😍😍

  • @halimaathumani3435
    @halimaathumani3435 6 лет назад +12

    😭😭😭😭so sad dah! hakika Mungu ndie kl kitu.😍

  • @tiktoktanzania2832
    @tiktoktanzania2832 6 лет назад +153

    Wenye music wameludi

  • @barbiemdoo6598
    @barbiemdoo6598 6 лет назад +6

    wimbo umeutendea haki video pia haki imefanyika, hakika mungu amekutendea jambo kubwa lazima kumshukuru

  • @abdulwakilranda5223
    @abdulwakilranda5223 6 лет назад +25

    Good melody na ladha tofauti kabisa na miziki inayofanywa na wasanii wengine kwa sasa, wengi walijua ataimba rumba lkn amethibitisha yeye ni Musicians ...

  • @amanijolam4140
    @amanijolam4140 6 лет назад +22

    inatia majonzi sana big Up papii kocha

  • @joetchatv1453
    @joetchatv1453 6 лет назад +135

    Kama unawapenda Hawa jamaa na utawasupport like hapa

  • @djstee2559
    @djstee2559 6 лет назад +5

    Wenye music wamerudi #Respect my Brother Papii Kocha

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 5 лет назад +18

    Nani bado anaangalia ngoma hii mpk leo 2019 gonga like twende

  • @cellyjoseph9478
    @cellyjoseph9478 6 лет назад +5

    Huu wimbo una ujumbe mzito sanaa ahsante papii

  • @franciskilimo5322
    @franciskilimo5322 6 лет назад +45

    Nyimbo nzuri sana na inaujumbe mzito, Maisha sio yakukata tamaa ipo siku Tu waambie MUNGU NI MWEMA

  • @naseebyusuph9798
    @naseebyusuph9798 3 года назад +4

    Mutoto ya mfalme...
    Papii Kocha..
    2020 right here...

  • @angelmisholy6478
    @angelmisholy6478 6 лет назад +7

    Dah too emotional,nimeshindwa kuzuia machozi...Mungu yupo na anaishi hakika...akupeni mwanzo mpya na wa heshima kubwa😥

  • @bongonSee
    @bongonSee 6 лет назад +5

    mungu anatuskia kila wakati kueeni radhi na maisha yenu mungu atubarik sotee ameeen

  • @bernardmhagama3258
    @bernardmhagama3258 6 лет назад +17

    Nyimbo nzur unaifeel mpka kwa heart

  • @josephkessy9841
    @josephkessy9841 6 лет назад +6

    Nyimbo ina ujumbe mzito sanaaa.....Tumuache mungu aitwe mung.

  • @edwardkigoni5849
    @edwardkigoni5849 6 лет назад +10

    Aisee.....kipaji hakipotei hata iweje, idea ni nzuri pia tena sana. Jela miaka 14 and still alive and healthy na mwaeza fanya mengi...Kweli Mungu wa maajabu yani.

  • @salashlily5518
    @salashlily5518 6 лет назад +19

    The kind of gospel music i'll always love listening,,..Glory b to God AMEEN...

  • @firstladyafrica8635
    @firstladyafrica8635 6 лет назад +3

    Kazi nzuri sana ya kumtukuza Mungu baada ya yote mliyoyapitia.Hongera sana Papii Kocha na Nguza Viking

  • @vincenttambara2480
    @vincenttambara2480 4 года назад +6

    "Waambie kila siku ni zawadi, hakuna heshima inayozidi uhai" Amen to that.

  • @allychikoko1849
    @allychikoko1849 6 лет назад +36

    hasiyo sikiliza hii nyimbo amekosa kitu nyimbo tamu sana

  • @dorothyobunde2931
    @dorothyobunde2931 6 лет назад +1

    Nyimbo nzuri sana yaani wanajua kuimba tangu long time hlf papii handsome jaman 😘🙈

  • @aminminiofficial2381
    @aminminiofficial2381 6 лет назад +8

    Jameni nilipo skia kweli kuna kitu kime ingia kwenye moyo daa bro big up.and you will never go down sapot kwa bro kutoka Holland

  • @lilianjoseph3767
    @lilianjoseph3767 6 лет назад +1

    i love papiii love you so much,😢😢,mungu akupe nguvu zaidi ukamilishe malengo yako nakupenda sanA i wish to see you with my eyes love you so much

  • @veronicamchwemba972
    @veronicamchwemba972 6 лет назад +3

    nawapenda sana wazazi mko vizuri kwenye soko zima la muziki mungu awabariki na awazidishie baraka kwa kla jambo mnalotaka kulifanya full respect

  • @aminazahibu8065
    @aminazahibu8065 6 лет назад +1

    Bonge 1 la Ngoma...#Hakuna heshima inayozid Uhai🙏❤

  • @ziadasaidi6792
    @ziadasaidi6792 6 лет назад +3

    ciachi kuisikiza hii nyimbo iko vizuri ina maneno ya mungu ndani yake

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula Месяц назад +1

    Tuko pamoja toka Democratic Republic of Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩💚
    Bukavu Town ❤

  • @nicky3025
    @nicky3025 6 лет назад +26

    this is it.......very nice motivation song.......keep it up....when God says Yes nobody can say No

  • @michanomichano4931
    @michanomichano4931 6 лет назад +1

    Dah.kweli mungu waambie....god job .....karibuni kitaa wakongwe

  • @Mutayoba247
    @Mutayoba247 6 лет назад +29

    Good music yaan ile kuanzia unaplay tuu unasema damnnnnnnn sooo guud!!!

  • @aditifus8083
    @aditifus8083 5 лет назад +3

    Real Inspiration Papiii....Mungu ni Wewe tu.

  • @ramadhanisalumu4984
    @ramadhanisalumu4984 6 лет назад +8

    Fantastic...bravo papii,, ngoma moja na Bushoke pliizzz

  • @flashvideos2287
    @flashvideos2287 6 лет назад +4

    KING WA MUSIC..
    VIDEO ☑️
    SONG ☑️
    VOICE ☑️
    BEAT ☑️
    LOCATION ☑️
    RELEVANCE TO NOWADAYS LIFE *100%*
    HAO 222 DISLIKERS NI WA SAYARI GANI ,WIMBO HUU UNAPIGWA DISCO HADI KANISA..

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 лет назад +373

    Kamaulikuwa unaisubiri ngoma yaho kwahamu like hapa

  • @ejkishosha
    @ejkishosha 6 лет назад +7

    Hakika Mungu ni mwaminifu kwa kila amtumainiye...Great song Papii

  • @vincenttambara2480
    @vincenttambara2480 4 года назад +3

    I was looking for the Sea and got me googling more about this guys, I was shocked to read what had happened. I didn't even know that walikua jela all those years. Hu wimbo umenigusa sana. "Mungu waambie ni wewe tu"

  • @romymjelwa5528
    @romymjelwa5528 6 лет назад +2

    Hakika ni maamuzi mazuri sana kumtumikia Mungu. Hakika ni yeye aliesababisha sisi kufika hapa I Appreciate you brother

  • @edwardosfrancos
    @edwardosfrancos 6 лет назад +6

    Daaaah bonge la ngoma linagusa sana .big up

  • @pascalkana3103
    @pascalkana3103 6 лет назад +2

    Na wakubali sana ndugu zangu na mwenyezi Mungu awabariki sana kwa kazi yenu yote Amen.

  • @mctommytz2582
    @mctommytz2582 6 лет назад +8

    Papii kocha, ama kweli wewe ni kocha wa Mizuki wa Tanzania na Africa kwa ujumla, mbali na kupenda muziki huu pia umenitia moyo juu ya magumu nayoyapitia na kuamini kuwa ipo cku Nami mungu atanijibu,

    • @RomwardWM
      @RomwardWM 6 лет назад

      Daah nimependa sana ujumbe

    • @mctommytz2582
      @mctommytz2582 6 лет назад

      😰😰😰😰😰😰

    • @motivationalvoice3862
      @motivationalvoice3862 6 лет назад

      Tulimis nyimbo kama hzi kila rika linaweza kukaa na kusikiliza 😚😚😍😍😘😘😘

    • @wanenetv9672
      @wanenetv9672 6 лет назад

      DAWA ZA ASILI/TIBA ZA ASILI/: ruclips.net/p/PL_DSXHfkoymz_mON4Y4rJ7Tu9HulfT8W7

  • @monicakayombo4770
    @monicakayombo4770 7 месяцев назад +1

    Always returning back to this song!!pure Gospel Papii uliimba kwakweli RIP magufuli

  • @officialhajjhassani9388
    @officialhajjhassani9388 6 лет назад +3

    Mungu waambie ulinion nilipokuomb ukaniskia
    Dh hatar san

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 6 лет назад +1

    Brother brother saaaaafi umerudi vizuri nakulubali sana sanaaaaaa🔥🔥