Fahamu Aina ya Minyoo Iliyo Tumboni Mwa Binadamu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Fahamu aina mbali mbali za minyoo inayopatikana ndani ya tumbo la mwanadamu.

Комментарии • 11

  • @user-db1rv7ei7i
    @user-db1rv7ei7i Год назад

    Minyoo mijeled ni IP.

  • @user-db1rv7ei7i
    @user-db1rv7ei7i Год назад

    Na Ile minyoo inayo Toka sehem ya uke ni milef inavutika niaina gan ya minyoo.

  • @nikwiningakalinga8791
    @nikwiningakalinga8791 4 года назад

    Tunashukuru kwa elim hii

  • @saidmohd9815
    @saidmohd9815 8 лет назад +1

    Kwa mfano tumbo kujaa choo hupati vizur tumbon hakueleweki sijui kama Kuna kitu ivi je ni dalili za minyoo au

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 3 года назад

    Kama ss tulooko mbali ukiwambiya unataka dawa za minyoo hawajui tumeni japo vikopo na picha zake tuwaonyeshe

    • @user-db1rv7ei7i
      @user-db1rv7ei7i Год назад

      Naombeni mnisaidie mm nasumbuliwa na minyoo inarang nyeupe inatoka sehem ya uke.

  • @dianajepkorir3821
    @dianajepkorir3821 6 лет назад

    tupe maoni Kwa Dalili zake

  • @bettylichotimkuna5762
    @bettylichotimkuna5762 8 лет назад +1

    jamani naomba mnisaidia, nimesumbuliwa na minyoo kwa miaka kumi, kisunzi, kuvimbiwa, kuumwa na tumbo, na viungo vya mwili, naomba mniandikia dawa kwa sababu niko saudia

    • @dianajepkorir3821
      @dianajepkorir3821 6 лет назад

      mimic pia aki

    • @yusufYusuf-di6wl
      @yusufYusuf-di6wl 6 лет назад +2

      Kitunguu tumu ..kula kibichi au ukisage na na maji na unye maji ayo kwa wik 1

    • @rehemakinoge6224
      @rehemakinoge6224 2 года назад

      Mm pia wanawasha wanachora njia km ramani pia minyoo gn