KIPESILE | 31- 40 | FULL MOVIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 37

  • @NagibKhamis
    @NagibKhamis 5 дней назад +1

    Asante, na Asante,sanaaa,nazidiii kuwapaaa shukrani,nyoteee kwa kazi yenuu nzuriiii,,,,,,,(mungu awaongozee)tumefurahia sana ,na hudumaa yako ya kutupumbazaaaaa nyoyooo zetuu,kwa kutuunganishiaa kwa ummoja,tamthilia hiiii yetu kipesilee,,,,,,,,,,tukooopamojaaa masta film,,,,zidiiiiiiii kutuhudumia,nyoyooo zizidi kupumbazikaaaa,,,,,,,,,,,,,,badoooo tupooo tunasubiria muendelezoooo, wa tamthilia yetu,kwa hamuuu,,,,,,,,Mr adery masta,,,,,,tuzidi kukutanaa kwa ep ifuatayooooooooooo,,,,,,,,,,,,,,,(usikuuu mwemaaa)namzidiiii kubarikiwaaaa,

  • @susanwafula201
    @susanwafula201 5 дней назад +3

    Wao,,Leo Wa pili kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,tunasubili next part

  • @moohguppies-w7b
    @moohguppies-w7b 5 дней назад +4

    Waa saba ku coment naomba k
    Like hata Moja

  • @PhinaThomas-r5n
    @PhinaThomas-r5n 5 дней назад +3

    Nan ana angalia hii movie akiw kitandan

  • @user-jm8870
    @user-jm8870 4 дня назад

    Bona mnarudia mmeanza kuzingua😢😢😢😢😢

  • @Kipesile7203
    @Kipesile7203 5 дней назад +8

    KARIBUNI KUTAZAMA KIPESILE FULL MOVIE 31 - 40 .... NAWAPENDA SANA

    • @kalembaalicia6056
      @kalembaalicia6056 5 дней назад +1

      How many Episodes

    • @SheilahJeptoo-l4j
      @SheilahJeptoo-l4j 5 дней назад +1

      Movie safii 🎉🎉

    • @Daphtonkilango
      @Daphtonkilango 5 дней назад

      twakupenda pia dogo,,,more love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @TausiJuma-vj1qq
      @TausiJuma-vj1qq 5 дней назад

      Ushatuona watoto wezio sio ujuwi unatumalizia babdo f

    • @MichaelGatere-b5u
      @MichaelGatere-b5u 5 дней назад +1

      Asanti sana na nafurahia kutizama filamu yako,,nangojea episode 42 sahii ❤❤

  • @Happy-yk3lv
    @Happy-yk3lv 5 дней назад +1

    Wakwanza 🎉🎉

  • @MrMr-z1p
    @MrMr-z1p 5 дней назад +1

    Banazinguwa bana

  • @JustinaJulius
    @JustinaJulius 5 дней назад +2

    Hebu leteni ya 42. Bwana na sio kutuona watoto

    • @ClementinaKumbini
      @ClementinaKumbini 5 дней назад

      Yaani wanatuona watoto kweli nilizani ya 42 kumbe manyaunyau

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 5 дней назад +2

    Mnazingua tunasubiri 41 na 42

  • @MwantumuAbdallah-iy9wj
    @MwantumuAbdallah-iy9wj 5 дней назад

    Umeshatuona watoto sasa

  • @joanmasirombi
    @joanmasirombi 4 дня назад

    Tulimaliza izi plz twendelee mbele si kurudi nyuma

  • @HOPENESSMASEKA
    @HOPENESSMASEKA 5 дней назад

    Kwan imeisha au mpaka mutuletee marudio khaaa mbn mnafeli 😮

  • @RisperChepchirchir-u7m
    @RisperChepchirchir-u7m 5 дней назад

    I really love this girl Dorry

    • @ClementinaKumbini
      @ClementinaKumbini 5 дней назад

      Yaani dorry ananifanya naonekana mwehu Mbele za watu ananichekesha mpaka nashindwa kujizuia inabidi nicheke kwa sauti walaai😂😂😂

  • @CatherineJames-t8e
    @CatherineJames-t8e 5 дней назад +1

    Jamn dory language

  • @maryammaryam7354
    @maryammaryam7354 5 дней назад

    Huyu dada kimbogee ananibooo mbona asishike ,mungu vizur

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 5 дней назад +1

    Wekeni 42 Mnatukata

  • @magdalinemwangombe
    @magdalinemwangombe 5 дней назад

    Hivi ndio maana tuliachana na huba

  • @marthawanjiru6675
    @marthawanjiru6675 5 дней назад

    Bona mwarudia

  • @djmaxmnyamaglobal7744
    @djmaxmnyamaglobal7744 5 дней назад

    Mnazinguaaaaaa na nyie

  • @AndersonMwanzi
    @AndersonMwanzi 5 дней назад

    We are waiting ep42 jameni

  • @PetronillahMueni-v8b
    @PetronillahMueni-v8b 5 дней назад +1

    tunangojea 42

  • @MariamDaudi-t3k
    @MariamDaudi-t3k 2 дня назад

    Hiki nn sasa ujinyima unaweka abandoned halafu ndio hivyo mhfyyuu

  • @agnesmarcus-n8q
    @agnesmarcus-n8q 5 дней назад

    Ila kipesile 😂 9:45

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan 4 дня назад

    Movie mbona muna irudia wakati tulisha fika mbari mtusamee muturetee Next

  • @MussaAlhaj-y7d
    @MussaAlhaj-y7d 4 дня назад

    Mbn atuelew hi mov kwahy ndio imeisha au vp