Asante, na Asante,sanaaa,nazidiii kuwapaaa shukrani,nyoteee kwa kazi yenuu nzuriiii,,,,,,,(mungu awaongozee)tumefurahia sana ,na hudumaa yako ya kutupumbazaaaaa nyoyooo zetuu,kwa kutuunganishiaa kwa ummoja,tamthilia hiiii yetu kipesilee,,,,,,,,,,tukooopamojaaa masta film,,,,zidiiiiiiii kutuhudumia,nyoyooo zizidi kupumbazikaaaa,,,,,,,,,,,,,,badoooo tupooo tunasubiria muendelezoooo, wa tamthilia yetu,kwa hamuuu,,,,,,,,Mr adery masta,,,,,,tuzidi kukutanaa kwa ep ifuatayooooooooooo,,,,,,,,,,,,,,,(usikuuu mwemaaa)namzidiiii kubarikiwaaaa,
Asante, na Asante,sanaaa,nazidiii kuwapaaa shukrani,nyoteee kwa kazi yenuu nzuriiii,,,,,,,(mungu awaongozee)tumefurahia sana ,na hudumaa yako ya kutupumbazaaaaa nyoyooo zetuu,kwa kutuunganishiaa kwa ummoja,tamthilia hiiii yetu kipesilee,,,,,,,,,,tukooopamojaaa masta film,,,,zidiiiiiiii kutuhudumia,nyoyooo zizidi kupumbazikaaaa,,,,,,,,,,,,,,badoooo tupooo tunasubiria muendelezoooo, wa tamthilia yetu,kwa hamuuu,,,,,,,,Mr adery masta,,,,,,tuzidi kukutanaa kwa ep ifuatayooooooooooo,,,,,,,,,,,,,,,(usikuuu mwemaaa)namzidiiii kubarikiwaaaa,
Wao,,Leo Wa pili kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪,,tunasubili next part
Waa saba ku coment naomba k
Like hata Moja
❤❤❤❤❤
Nan ana angalia hii movie akiw kitandan
Bona mnarudia mmeanza kuzingua😢😢😢😢😢
KARIBUNI KUTAZAMA KIPESILE FULL MOVIE 31 - 40 .... NAWAPENDA SANA
How many Episodes
Movie safii 🎉🎉
twakupenda pia dogo,,,more love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ushatuona watoto wezio sio ujuwi unatumalizia babdo f
Asanti sana na nafurahia kutizama filamu yako,,nangojea episode 42 sahii ❤❤
Wakwanza 🎉🎉
Banazinguwa bana
Hebu leteni ya 42. Bwana na sio kutuona watoto
Yaani wanatuona watoto kweli nilizani ya 42 kumbe manyaunyau
Mnazingua tunasubiri 41 na 42
Umeshatuona watoto sasa
Tulimaliza izi plz twendelee mbele si kurudi nyuma
Kwan imeisha au mpaka mutuletee marudio khaaa mbn mnafeli 😮
I really love this girl Dorry
Yaani dorry ananifanya naonekana mwehu Mbele za watu ananichekesha mpaka nashindwa kujizuia inabidi nicheke kwa sauti walaai😂😂😂
Jamn dory language
Huyu dada kimbogee ananibooo mbona asishike ,mungu vizur
Wekeni 42 Mnatukata
Hivi ndio maana tuliachana na huba
Bona mwarudia
Mnazinguaaaaaa na nyie
We are waiting ep42 jameni
tunangojea 42
Hiki nn sasa ujinyima unaweka abandoned halafu ndio hivyo mhfyyuu
Ila kipesile 😂 9:45
Movie mbona muna irudia wakati tulisha fika mbari mtusamee muturetee Next
Mbn atuelew hi mov kwahy ndio imeisha au vp