OnAIR: Alikiba na Ommy Dimpoz walivyoulizana maswali
HTML-код
- Опубликовано: 22 ноя 2016
- Waimbaji mastaa wa bongofleva Alikiba na Ommy Dimpoz walikaa kwenye ON AIR WITH MILLARD AYO katika kuitangaza zaidi single yao mpya ya 'kajiandae' ambapo moja ya vitu walivyofanya wakiwa kwa Millard Ayo ni pamoja na kill mmoja kumuuliza mwenzake maswali matatu.
♥️♥️♥️♥️😘😘💯🙏🙏🙏 mm na wapenda sana king my bing boss ommy dipozi pozikwa pozi mwenye zi mungu awape maishaa marefu aondolee maradhiii awape afyaa nchema mm nawapenda Sana sijuwi kwanin
King cheka baba yangu kwa raha zako
Alikiba I like ur reactions.... mwaaaaaaaaaaah
Alikiba and Ommy dimpoz my best from bongo ❤❤
yaani mwanishangazi hivi kiba hajaoa bado hata dimpoz eeehee makubwa haya 😂😂king king kiba mombasa raha kweli kabsa wooow!!😍😍
kaka AYO napenda mambo yako unanifikishia ujumbe wa Kwetu Bongo hapa marekani nilipo
Asante kaka
tunakupenda pia sisi watu wa mombasa king kiba toka zamani natutazidi kukupenda. watching from saud arabia.
king kiba nilianza kukupenda tangu enzi za kigoma nikiwa class 7 i loved your songs so much all time best salute
Wow I was also in class 7 tym ya Cinderella 🤣🤣♥️
kiba wng mie nakupendaga sana2 ukiowa itapendeza sana wallahi allah barik
Zaituna 94thanks Aamin
Nampenda ommy anaongea kistarabu hadi raha 😍😍
we luv u team kiba and ommy welcom again mombasa raha
huyu kingkiba king kweli had maneno yake yabusara nakupenda bureeee kiba inshaa allah
that kafeeling when Ali can't choose between Mombasa na Dar
Mashallah tabarakallah mtegeme allah kwa kila jambo kweli uwamuzi huna ww ni wa Allah na mke Allah ndo mwenye kuchagulia keep it up king kiba
king kiba na ommy dimpos ni me wa penda bure
rock star
Kuoa au kuolewa sio kupurupuka au sio mashindishano! Katika maisha first thing jiseti kwanza ili familia iwe katika line nzuri ya ku maisha!
Wow mnafurahisha san jamn❤️😆
Laaaa yani sijuwi niseme je, nawapenda sana wakali wangu. Mungu awape maicha marefu
Hawa marafika unifurahisha kabisa big up guys
gud one keep up guys kiba n ommy
kweli king is king
ujuwi kununa 👌👌👌👌😂😂😂😂😂😂
Cheko tu Kiba 😂😂😂😂. Hujui kununa ww
Rehema Jabil hlw mambo0
Jamal Mwalim
_pow_
Rehema Jabil sex
Kiba anunagi jaman
Alikiba na omy nawapenda sana ni wa2 wabusara sana
Kwel king is king 😁😁😁💪💪
Nawapenda sana hawa watu alikiba na ommy dimpoz
thanks ali for loving kenyans
Mombasa rahaaa.... Mabrouk alf Mabrouk in advance.... Both of you..
Ningependa siku moja Joe makini Na Fid Q waulizane maswali hayo Na hiki ndicho kipindi kitakacho waunganisha wasanii ambao watu wanafikiri wana Biff.@Millard ayo
king ni king kweli
mwera john j
Lina Damian ####vp lina,king jembe
King
Kiba the king... karbu kenya
yeeeaah mombasa rahaaa karibu sana king kiba tunakupendaaa
mombasaaaaaaaaaaa rahaaaaaaa kibaaaa pendaaa ww mingimingi
Tenaaaaaaa
mombasa raha ujakosea kabisa Ali kiba😂😂😂😂😂😀😅
Raha tena saaana
alikiba noumaa upo fresh
The king njoo uchuke jikoo kwetu likoo plzzzź
nyie watu mnanifurahisha mpaka raha yani mngu awape baraka tele
😘😘😘👑king kiba
Daah nimeenjoy my bro
Na znz kuzur karibuni sana
Sijapenda Bro Ali Kiba Kumuuuliza Huku Anacheka Ommy kuhusu Swala.. Mnafanya Utani Na Dini Subhana LLAH
Alikiba anapenda watu kuswali hpa nimejua kua Ali na dimpoz ni brothers
I just love this 2😂😂😂😍😍
alikiba yuko poa sana!!!!
Poa poa sana kiba big up
Allah awazidishie upendo
Ali kiba njoo holland bc kama umeipenda
😂😂😂😂 nikiwa mtangazaji kz ni moja kila sk ni Ali ndani ya kipindi😎🙈🙈
Mwanahamisi Hella hahaaaa tisha my
Mwanahamisi Hella 😂😂😂😂😂😂👌👌👌
tokeni hapo
myinyi nakupenda sana
😂😂😂
Malengo gani kaka tuletehe shemela kaka.
sauti zenu nzuri zakuisoma quran. lakini duh zinatumika kupoteza watu
Pumbavu zako wewe
Potelea mbali ww
Mombasaaaaa
uko juu Ali K mombasa rahaaaa
Hujakosea
mmenimbamba sana
love ua smile
dah aisee king kiba noma kaka uko juu
naipenda sana hii
alikiba eeeeee acha kunifanya ncheke😂😂😂
Mimwenyewe nacheka eti
nice
Alikiba uko na haya jingi😂😂😁😁
Umeona eeeh😂😂😂
Baada ya hii miaka yote leo ndio nimeona hii video walai nimecheka sana..nikama ommy alikuwa na majibu ya maswali yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ali Hawa wanakupima wewe
King kiba big up
Swali nzuri ni ilo la swala Ommy uliswali Ijumaa mpaka jumanne dats mean ww una swali friday mpaka friday.
YUSUF JUMA
Hapo pa koti juu 🤣🤣🤣🤣
nawapenda nyie bes Fren forver
hahahahahahaa i love it .....its soooo funny
Nimefurai jamin nawapenda
Mombasa hiyo
Nakupenda san king
part numz abr y rami
maswali yako Ali mbona yapo katikati yaan hayatoi majibu funguka😒
Kmk
ha ha ha ha haaaaaaa King kiba na maswali yako me hoiiiiii ha ha haaaa bichwaaaaaa
alikiba piamimi ningependa uoe
King kiba mfalume wao
Lovely
Hizi video wallah sichok kuangalia yan dah wananchekesha sanaaa
Hahhahahahha nimechekaje Ali unavituko kweli
Belgium 🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪 💞
😂😂😂😂show iko poa wish kila siku ikuange wasanii wawili ivo
Doreen Malesi
Doreen Malesi umeipenda show hahahha
ommi mnaelewana sana na arikiba ndy hvy inatakiwa kama wasanii
haiya ali hakuangi na wife na watoto alizaa na nani😂😂
Si ma girlfriends tuu
Ni vile tu Zari alizaa na Ivan.. na sae anazalishwa na diamond hahahaa
Jahkey thomas DIAMOND IS MARRIED LADY AUGUST
+chapo chapos pole sana wee ndo ulimpa bibi?? we are not fools,, he's just datin... na ye ndo ameolewa si eti ameoa....
YUSUF JUMA
Kiba ommy nawapend
2022
Salute
HaaaAaa mbavu zangu miye 🤣🤣🤣🤣 billard
Mombasaaa hadi tumepat wifi
Nyie watu nawapenda sana
Nice
ali kicheko chako😂😂😂
KK upo sawa kabisa
Mnazingua bhana
uyo ommy akae kimy hana llte anasafiria nyota ya king
Tm 👑 👑 👑
WANAOTEANAA RAHAA
Good
karbu tena na tena mombasa king kiba
Rehema Sharriff phone
Hahahaa kiba ni balaa ety ommy dipos mwishw aliswali lini???
Mombaasaaaaaa
bonge LA interview
Hahahahaaaaaa
SWALI LA MWISHOO LA KIBAA SAFIII
tayari
Mombasa raha, Kiba apo ujakosea