OnAIR: Alikiba na Ommy Dimpoz walivyoulizana maswali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 ноя 2016
  • Waimbaji mastaa wa bongofleva Alikiba na Ommy Dimpoz walikaa kwenye ON AIR WITH MILLARD AYO katika kuitangaza zaidi single yao mpya ya 'kajiandae' ambapo moja ya vitu walivyofanya wakiwa kwa Millard Ayo ni pamoja na kill mmoja kumuuliza mwenzake maswali matatu.

Комментарии • 196

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +2

    ♥️♥️♥️♥️😘😘💯🙏🙏🙏 mm na wapenda sana king my bing boss ommy dipozi pozikwa pozi mwenye zi mungu awape maishaa marefu aondolee maradhiii awape afyaa nchema mm nawapenda Sana sijuwi kwanin

  • @deborakamsi
    @deborakamsi 7 лет назад +43

    King cheka baba yangu kwa raha zako

  • @jamesombati6445
    @jamesombati6445 5 лет назад +7

    Alikiba I like ur reactions.... mwaaaaaaaaaaah

  • @sharonkorir1195
    @sharonkorir1195 4 года назад +6

    Alikiba and Ommy dimpoz my best from bongo ❤❤

  • @lizmellissa7954
    @lizmellissa7954 7 лет назад +13

    yaani mwanishangazi hivi kiba hajaoa bado hata dimpoz eeehee makubwa haya 😂😂king king kiba mombasa raha kweli kabsa wooow!!😍😍

  • @dolbachsaid8806
    @dolbachsaid8806 7 лет назад +13

    kaka AYO napenda mambo yako unanifikishia ujumbe wa Kwetu Bongo hapa marekani nilipo
    Asante kaka

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 7 лет назад +11

    tunakupenda pia sisi watu wa mombasa king kiba toka zamani natutazidi kukupenda. watching from saud arabia.

  • @patrickkilonzo6498
    @patrickkilonzo6498 5 лет назад +4

    king kiba nilianza kukupenda tangu enzi za kigoma nikiwa class 7 i loved your songs so much all time best salute

    • @shiru_choppa7654
      @shiru_choppa7654 Год назад

      Wow I was also in class 7 tym ya Cinderella 🤣🤣♥️

  • @zaituna94thanks63
    @zaituna94thanks63 7 лет назад +9

    kiba wng mie nakupendaga sana2 ukiowa itapendeza sana wallahi allah barik

  • @fatumambusho6913
    @fatumambusho6913 4 года назад +7

    Nampenda ommy anaongea kistarabu hadi raha 😍😍

  • @sammysambo9700
    @sammysambo9700 7 лет назад +4

    we luv u team kiba and ommy welcom again mombasa raha

  • @katyatyababyaziza3168
    @katyatyababyaziza3168 7 лет назад +4

    huyu kingkiba king kweli had maneno yake yabusara nakupenda bureeee kiba inshaa allah

  • @virtuouswoman3837
    @virtuouswoman3837 7 лет назад +13

    that kafeeling when Ali can't choose between Mombasa na Dar

  • @amidatoma8912
    @amidatoma8912 7 лет назад +7

    Mashallah tabarakallah mtegeme allah kwa kila jambo kweli uwamuzi huna ww ni wa Allah na mke Allah ndo mwenye kuchagulia keep it up king kiba

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 7 лет назад +29

    king kiba na ommy dimpos ni me wa penda bure

  • @chandelierlumona4837
    @chandelierlumona4837 7 лет назад +6

    Kuoa au kuolewa sio kupurupuka au sio mashindishano! Katika maisha first thing jiseti kwanza ili familia iwe katika line nzuri ya ku maisha!

  • @masokamwavislay6782
    @masokamwavislay6782 4 года назад +3

    Wow mnafurahisha san jamn❤️😆

  • @fatytwiter2005
    @fatytwiter2005 5 лет назад +2

    Laaaa yani sijuwi niseme je, nawapenda sana wakali wangu. Mungu awape maicha marefu

  • @gracekaroki7137
    @gracekaroki7137 5 лет назад +3

    Hawa marafika unifurahisha kabisa big up guys

  • @rhodamoraa3166
    @rhodamoraa3166 7 лет назад +4

    gud one keep up guys kiba n ommy

  • @tausak4568
    @tausak4568 7 лет назад +18

    kweli king is king
    ujuwi kununa 👌👌👌👌😂😂😂😂😂😂

  • @bbybbyrey2340
    @bbybbyrey2340 7 лет назад +54

    Cheko tu Kiba 😂😂😂😂. Hujui kununa ww

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn Год назад +2

    Alikiba na omy nawapenda sana ni wa2 wabusara sana

  • @sabrinaayoub7032
    @sabrinaayoub7032 6 лет назад +6

    Kwel king is king 😁😁😁💪💪

  • @razansalim532
    @razansalim532 4 года назад +2

    Nawapenda sana hawa watu alikiba na ommy dimpoz

  • @cathykamau727
    @cathykamau727 7 лет назад +4

    thanks ali for loving kenyans

  • @naimasaid5604
    @naimasaid5604 6 лет назад +2

    Mombasa rahaaa.... Mabrouk alf Mabrouk in advance.... Both of you..

  • @nankodyasteven2858
    @nankodyasteven2858 7 лет назад +31

    Ningependa siku moja Joe makini Na Fid Q waulizane maswali hayo Na hiki ndicho kipindi kitakacho waunganisha wasanii ambao watu wanafikiri wana Biff.@Millard ayo

  • @hytechworld572
    @hytechworld572 7 лет назад +13

    king ni king kweli

  • @augostinermercy1542
    @augostinermercy1542 7 лет назад +6

    Kiba the king... karbu kenya

  • @barkesalim253
    @barkesalim253 7 лет назад +1

    yeeeaah mombasa rahaaa karibu sana king kiba tunakupendaaa

  • @mwatumusalim1284
    @mwatumusalim1284 7 лет назад +7

    mombasaaaaaaaaaaa rahaaaaaaa kibaaaa pendaaa ww mingimingi

  • @aminaadalai280
    @aminaadalai280 7 лет назад +22

    mombasa raha ujakosea kabisa Ali kiba😂😂😂😂😂😀😅

  • @rodgersreuben4129
    @rodgersreuben4129 7 лет назад +6

    alikiba noumaa upo fresh

  • @feiswalali4074
    @feiswalali4074 7 лет назад +4

    The king njoo uchuke jikoo kwetu likoo plzzzź

  • @ednavitus1869
    @ednavitus1869 7 лет назад +13

    nyie watu mnanifurahisha mpaka raha yani mngu awape baraka tele

  • @halimaissa3124
    @halimaissa3124 6 лет назад +2

    😘😘😘👑king kiba

  • @chiefexecutiveofficer4942
    @chiefexecutiveofficer4942 4 года назад +1

    Daah nimeenjoy my bro

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 лет назад +3

    Na znz kuzur karibuni sana

  • @allyalbusaidy1191
    @allyalbusaidy1191 7 лет назад +3

    Sijapenda Bro Ali Kiba Kumuuuliza Huku Anacheka Ommy kuhusu Swala.. Mnafanya Utani Na Dini Subhana LLAH

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 10 месяцев назад

    Alikiba anapenda watu kuswali hpa nimejua kua Ali na dimpoz ni brothers

  • @lulum8017
    @lulum8017 7 лет назад +2

    I just love this 2😂😂😂😍😍

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 лет назад +9

    alikiba yuko poa sana!!!!

  • @mohamediddy4707
    @mohamediddy4707 5 лет назад +2

    Poa poa sana kiba big up

  • @hhhchacha3490
    @hhhchacha3490 5 лет назад +3

    Allah awazidishie upendo

  • @abduza1979
    @abduza1979 7 лет назад +5

    Ali kiba njoo holland bc kama umeipenda

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 лет назад +51

    😂😂😂😂 nikiwa mtangazaji kz ni moja kila sk ni Ali ndani ya kipindi😎🙈🙈

  • @alinotistiven3204
    @alinotistiven3204 7 лет назад +12

    Malengo gani kaka tuletehe shemela kaka.

  • @Halimabintmafitah
    @Halimabintmafitah 7 лет назад +19

    sauti zenu nzuri zakuisoma quran. lakini duh zinatumika kupoteza watu

  • @princehakimhakim600
    @princehakimhakim600 7 лет назад +5

    Mombasaaaaa

  • @leviskuria4250
    @leviskuria4250 7 лет назад +6

    mmenimbamba sana

  • @mariaalimohd164
    @mariaalimohd164 7 лет назад +2

    love ua smile

  • @abdillahjuma7447
    @abdillahjuma7447 7 лет назад +1

    dah aisee king kiba noma kaka uko juu

  • @hadijanyamsingwa9177
    @hadijanyamsingwa9177 4 года назад +1

    naipenda sana hii

  • @rhodamoraa3166
    @rhodamoraa3166 7 лет назад +5

    alikiba eeeeee acha kunifanya ncheke😂😂😂

  • @andreaselemani9503
    @andreaselemani9503 7 лет назад +4

    nice

  • @rossyhassan6830
    @rossyhassan6830 7 лет назад +4

    Alikiba uko na haya jingi😂😂😁😁

  • @shiru_choppa7654
    @shiru_choppa7654 Год назад +3

    Baada ya hii miaka yote leo ndio nimeona hii video walai nimecheka sana..nikama ommy alikuwa na majibu ya maswali yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ali Hawa wanakupima wewe

  • @jackykasambula7158
    @jackykasambula7158 7 лет назад +1

    King kiba big up

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma264 7 лет назад +5

    Swali nzuri ni ilo la swala Ommy uliswali Ijumaa mpaka jumanne dats mean ww una swali friday mpaka friday.

  • @celinemakokha6915
    @celinemakokha6915 5 лет назад +3

    Hapo pa koti juu 🤣🤣🤣🤣

  • @brysherbless8998
    @brysherbless8998 4 года назад +1

    nawapenda nyie bes Fren forver

  • @marwahmohammed6302
    @marwahmohammed6302 7 лет назад +2

    hahahahahahaa i love it .....its soooo funny

  • @aishaomer6934
    @aishaomer6934 3 года назад +1

    Nimefurai jamin nawapenda

  • @mariyaal5366
    @mariyaal5366 5 лет назад +1

    Mombasa hiyo

  • @richardmmari2261
    @richardmmari2261 6 лет назад

    Nakupenda san king

  • @shackyhussen2971
    @shackyhussen2971 7 лет назад +2

    part numz abr y rami

  • @ibrah1989
    @ibrah1989 7 лет назад +4

    maswali yako Ali mbona yapo katikati yaan hayatoi majibu funguka😒

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 7 лет назад +7

    ha ha ha ha haaaaaaa King kiba na maswali yako me hoiiiiii ha ha haaaa bichwaaaaaa

  • @arrydy6982
    @arrydy6982 7 лет назад +3

    alikiba piamimi ningependa uoe

  • @hashimukaiza6401
    @hashimukaiza6401 7 лет назад +4

    King kiba mfalume wao

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 5 лет назад

    Lovely

  • @mariamchiga846
    @mariamchiga846 4 года назад

    Hizi video wallah sichok kuangalia yan dah wananchekesha sanaaa

  • @fairunaaomaryaliyfairunaao5952
    @fairunaaomaryaliyfairunaao5952 6 лет назад +2

    Hahhahahahha nimechekaje Ali unavituko kweli

  • @mercurylee5587
    @mercurylee5587 6 лет назад

    Belgium 🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪 💞

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 7 лет назад +8

    😂😂😂😂show iko poa wish kila siku ikuange wasanii wawili ivo

  • @mayengasamasi8963
    @mayengasamasi8963 6 лет назад

    ommi mnaelewana sana na arikiba ndy hvy inatakiwa kama wasanii

  • @jahkeythomas6043
    @jahkeythomas6043 7 лет назад +19

    haiya ali hakuangi na wife na watoto alizaa na nani😂😂

    • @yusufjuma264
      @yusufjuma264 7 лет назад +1

      Si ma girlfriends tuu

    • @augostinermercy1542
      @augostinermercy1542 7 лет назад

      Ni vile tu Zari alizaa na Ivan.. na sae anazalishwa na diamond hahahaa

    • @chapochapos1696
      @chapochapos1696 7 лет назад +1

      Jahkey thomas DIAMOND IS MARRIED LADY AUGUST

    • @augostinermercy1542
      @augostinermercy1542 7 лет назад

      +chapo chapos pole sana wee ndo ulimpa bibi?? we are not fools,, he's just datin... na ye ndo ameolewa si eti ameoa....

    • @leahwhite6690
      @leahwhite6690 7 лет назад

      YUSUF JUMA

  • @nuruhatony5390
    @nuruhatony5390 5 лет назад +1

    Kiba ommy nawapend

  • @msafiblog
    @msafiblog 2 года назад +1

    2022

  • @lomwardkupingwa3659
    @lomwardkupingwa3659 4 года назад

    Salute

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 6 лет назад +3

    HaaaAaa mbavu zangu miye 🤣🤣🤣🤣 billard

  • @zulfarwanda8456
    @zulfarwanda8456 5 лет назад +1

    Mombasaaa hadi tumepat wifi

  • @mariamjoseph5555
    @mariamjoseph5555 2 года назад

    Nyie watu nawapenda sana

  • @marlowwjohn9103
    @marlowwjohn9103 4 года назад

    Nice

  • @ashmtarmary7536
    @ashmtarmary7536 7 лет назад +2

    ali kicheko chako😂😂😂

  • @isihakamtaalam2099
    @isihakamtaalam2099 5 лет назад

    KK upo sawa kabisa

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki7664 6 лет назад +1

    Mnazingua bhana

  • @najisalum6657
    @najisalum6657 6 лет назад

    uyo ommy akae kimy hana llte anasafiria nyota ya king

  • @benadfrenk5995
    @benadfrenk5995 5 лет назад +3

    Tm 👑 👑 👑

  • @habibutowo7527
    @habibutowo7527 7 лет назад

    WANAOTEANAA RAHAA

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 6 лет назад

    Good

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 7 лет назад +1

    karbu tena na tena mombasa king kiba

  • @augostinermercy1542
    @augostinermercy1542 7 лет назад +1

    Hahahaa kiba ni balaa ety ommy dipos mwishw aliswali lini???

  • @kasianmbanga9896
    @kasianmbanga9896 5 лет назад

    Mombaasaaaaaa

  • @princetv5292
    @princetv5292 5 лет назад

    bonge LA interview

  • @azizaahmed2219
    @azizaahmed2219 7 лет назад +7

    Hahahahaaaaaa

  • @habibutowo7527
    @habibutowo7527 7 лет назад

    SWALI LA MWISHOO LA KIBAA SAFIII

  • @neemaelias2136
    @neemaelias2136 6 лет назад

    tayari

  • @mariamladymariam5937
    @mariamladymariam5937 7 лет назад

    Mombasa raha, Kiba apo ujakosea