Nilichojifunza kwa Ommy ni mtu wa kujishusha na kuthamini wema aliofanyiwa 👏🏻👏🏻 na kwa Ally ni mtu asiyependa kujitangaza anapomsaidia mtu . Mungu azidi kuwabariki wote 🙏
WASAFI MEDIA itaendelea kuwa media bora Siku zote.Its well established Media.Hizi nyingine zilezile porojo kama vile walivyoanzisha label za music...wasafi Music Label is always the Best in East Africa.
No ALLY kufungua media atategemea ayo makampuni yote kutangaza au HATA kudhamini vipindi kitendo Cha ally kuamua kuyataja yote ni kuondoa upendeleo WA kampuni MOJA na kuyataja yoote kama Wateja anaowatarajia
Ommy ni Comedian mzuri sana 🔥🔥 Sana
Sanaaaa
Nilichojifunza kwa Ommy ni mtu wa kujishusha na kuthamini wema aliofanyiwa 👏🏻👏🏻 na kwa Ally ni mtu asiyependa kujitangaza anapomsaidia mtu . Mungu azidi kuwabariki wote 🙏
Ako vizuri kwa stand up comedy huyu jamaa😂😂😂😂🙌
Ommy Kapendeza sna 🎉
Natamani one day niwaone Kiba na Mondi wakiwa meza moja kwenye mazungumzo ya kibiashara 🙏
utoto una kusumbuaa
@@samdj_majorizer sawa mubibi.. Matako ka sikonzi za buza
Na mimi eee mungu sikiya ombi letu😢
Baada ya hapo
@@bujashidaniel5537 namtafuta mama ako namsalimia
leo mara ya 4 au ya 5 kuangalia hii nikicheka😂😂 kila nikitulia
Nasubiri recap
😂😂😂in is typing mumeweza sana God bless you
mze kikwete hoi aise iyo dimpoz noma
Ommy bana 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Congratulations keep it up good job ❤❤❤
Jamani furaha isio na kifani😊
😂😂😂 nimecheka kishezi asee jamaa anakipaji comediani kabsa
Mapacha😂😂😂🎉🎉❤❤
Umenichekesha ommy ilembaya
Ommy nimempenda sana
Ila ommy bhana 😂😂
Nice one ❤
Ndio maana nampenda ommy 😂😂😂😂😂
Hahh good moments
Hapo ndo tuendelee kutaman kuwaona wakikaa meza moja mond na king kiba
ila nyembo bn😂😂😂
😂😂😂😂 nmecheka sana kiukweli
😂😂😂😂😂😂Dah nimejua kucheka
Hivi yule babake na ommy dimpoz kaishia wapi?!😂😂
Like kwa mze jakaya
😂😂😂😂😂😂hahaah napenda hii brothers
Pozi Kwa pozi n mcheshi sana😂😂😂
😂😂😂😂 ommy D Yuko sawa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu King na ommy wakikutana utacheka tu
1
Oh my goodness 😂🤣
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
😂😂😂😂❤
😂😂😂😂😂😅
😅😅😅😅😂😂😂😂
😂😂🎉😂Mkurugenzi WA
WASAFI MEDIA itaendelea kuwa media bora Siku zote.Its well established Media.Hizi nyingine zilezile porojo kama vile walivyoanzisha label za music...wasafi Music Label is always the Best in East Africa.
Nani kakuliza mbwa wewe wivu itakumaliza crown fm ndo abari ya mjini
@@karaniomoit5259 Hakuna kitu Huyo kichwa maji.
@@chizashungu8364 mama yako na baba yako ndo vichwa maji wanamiliki Nini.? Inawahuma sana wcb funs
Hakuna alokuuliza opinion yako . Soko ni kubwa kila mtu ana fungu lake
cha ajabu kipi ni umbea na ngoma kila mmoja anapiga suuukaarii😂
😂😂😂😂😂😂
Ali ameona amefany tangazo kusema MPESA Ommy AKAONA ATAJE MAKAPUNI YOTE😂
😂😂😂
No ALLY kufungua media atategemea ayo makampuni yote kutangaza au HATA kudhamini vipindi kitendo Cha ally kuamua kuyataja yote ni kuondoa upendeleo WA kampuni MOJA na kuyataja yoote kama Wateja anaowatarajia
😅😅😅😅
OMG nimerudia mara 3 ommy is so funny nimecheka mpaka machozi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂