Alikiba & Ommy Dimpoz Perfoming Kajiandae Tigo Fiesta Mwanza (Part 2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 170

  • @jaystar1004
    @jaystar1004 7 лет назад +18

    Yan kumamake watu walozoea madancer utawajua tu......yan kumamake kiba anavopga live hvo sauti unaickia vzr kabisa mtu unaleta chuki....ACHENIUSENGE 👎👎

  • @islammwatoa2990
    @islammwatoa2990 7 лет назад +24

    duh kiba anaimba bana acheni ujinga

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 7 лет назад +13

    hii ni show ambayo hata masaa mawili naweza angalia, hii ni world class live show

  • @michaelernest8146
    @michaelernest8146 7 лет назад +5

    Iam team Diamond platnumz bt alikiba umenifurahisha kwa hii ngoma

  • @Muhdylive
    @Muhdylive 7 лет назад +14

    naowaona wazee wa Playback na visidii vyao mfukoni vitawakata tak**. live band ndo mziki bhana

    • @stevehiraly9127
      @stevehiraly9127 7 лет назад

      mohamed musa we umeon kuna live band hapo? Si makelel tu naksema "mwanza piga kelele/makofi" show za bend waachie kina #fellegolla hao waweke vicd vyao tu kma walvozoea

  • @boscomaboga8316
    @boscomaboga8316 7 лет назад +18

    King of live performance, aka king kiba from King's music lebel

  • @didamugya6039
    @didamugya6039 7 лет назад +14

    Alikiba kaimba vizuri, cha ajabu mwenye wimbo anachombeza tu. Wasanii kanjanja utawajua tu wakiambiwa waperform live

  • @alexrakovets2478
    @alexrakovets2478 7 лет назад +5

    Dah ally kibba Ana melody ya ajabu 🙌🏼 iyo ndo raha ya kuwa msanii alafu cyo mlevi..ina kusaidia sana king endelea ivyo ivyo ..

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 7 лет назад +11

    Dai kitu anacho mzidi kiba ni Hela Tu ila sio mziki

  • @samwelingao2017
    @samwelingao2017 7 лет назад +3

    kunawatu hawajui mziki ndio maana wanafanya nchi yetu isipande juu kimziki kama umetembea mziki live cd peleka kijijini

  • @sunshinekamnina6312
    @sunshinekamnina6312 7 лет назад +17

    bonge la show,akuna janja janja

  • @4realonlinetv169
    @4realonlinetv169 7 лет назад +12

    Rockstar4000 for life

  • @kamaluhajj3446
    @kamaluhajj3446 7 лет назад +11

    kumbe muziki wa live mtamu sana

  • @hamadsuleiman1713
    @hamadsuleiman1713 7 лет назад +7

    Ambae anaona.kiba.hajui.kuimba.atoe.nyimbo ake nae tumsikie.viazi nyie mmekalia.ukuma kuma tu.sheziiiii stylee

    • @swalihinatv2031
      @swalihinatv2031 7 лет назад

      Hamad Suleiman 😂😂😂😂😂sasa jaman kuandika kwenyewe hujui unakosoa wenzako unaonekana ulitollloka shule weee

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama 7 лет назад +6

    My moonlight my sun shine ❤❤❤👄👄👄👄

  • @legnaninaa1562
    @legnaninaa1562 7 лет назад +8

    king kiba salute kwako

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 7 лет назад +8

    Ili lidimpoz litapasuka

  • @rcrico7616
    @rcrico7616 7 лет назад +4

    kama unajuwa mzikii kweli mzikize ali kiba live band hadi sauti imetulia king anajuwa mpaka basi

  • @Danny-yl8xi
    @Danny-yl8xi 4 года назад +2

    Gonga like kama upo hapa 2020

  • @paulsantanatzee8301
    @paulsantanatzee8301 7 лет назад +21

    Kiukweli japo mm ni team mondi lakini Kiba yupo vizuri sana kwenye show za live nimeona ana uwezo wa kuimba live mda mrefu bila kuchoka wala kupoteza melody yake na pia kucheza jamaa ni next level anajua sana salutes🙌 mondi inatakiwa ajipange sana coz hana uwezo mzuri wa kupafomu live na yeye kama msanii mkubwa pia inatakiwa ajifue ipasavyo kwenye live na kucheza

    • @hsenene2493
      @hsenene2493 7 лет назад

      paul Santana tzee unaakil kunywa savana ntalipaa ila mshamba hawez elewaa msanii live bna🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @paulsantanatzee8301
      @paulsantanatzee8301 7 лет назад

      H Senene true live music diamond inatakiwa ajifunze kweli kweli maana mwenzake ameshaiprove live show sio kutumia CD tuu

    • @bensoncalson2272
      @bensoncalson2272 5 лет назад

      paul Santana tzee

  • @emmanuelwangilah6872
    @emmanuelwangilah6872 9 месяцев назад +2

    Love from Kenya

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 7 лет назад +5

    Hapo ujanjaujanja haupo axeh

  • @ab-iv6pb
    @ab-iv6pb 7 лет назад +15

    Khaa kiba kawapendelea mwanzaa kinomaa aixee

  • @kelvinosewe2289
    @kelvinosewe2289 7 лет назад +20

    Dah! kiba anajua mazee much respect to u broo

  • @kigenvictor8541
    @kigenvictor8541 7 лет назад +1

    hyahahaha mzee wa mafuta naye anapenda kujibanza nyuma ya raia ally kiba hopeless

  • @KhadijaKhadija-ed5gj
    @KhadijaKhadija-ed5gj 7 лет назад +11

    😂😂😂omy Sato kidogo

    • @ommarymzee1161
      @ommarymzee1161 7 лет назад

      Khadija Khadija mara paaa khadija uyuuu apaaa nimekusomaaa

    • @jamilacheyo8910
      @jamilacheyo8910 7 лет назад

      Khadija khadija, nimekusoma shoga wa mm

    • @ernestjohanes9087
      @ernestjohanes9087 7 лет назад

      Khadija Khadija. NIMEKUPENDA TWENDE TUKALE SATO BASI BABY

    • @kibwejr8606
      @kibwejr8606 7 лет назад

      Khadija Khadija
      @unamzimia ommy sana nilijua tu utakuja Ku comment

    • @ommarymzee1161
      @ommarymzee1161 7 лет назад

      Khadija Khadija yukooo wap

  • @joblucky2657
    @joblucky2657 7 лет назад +7

    Noma kali

  • @godfreykanelela9448
    @godfreykanelela9448 7 лет назад +2

    live hatareee saana kiba katisha

  • @harunahussein6717
    @harunahussein6717 7 лет назад +4

    Ommy dimpoz komedi tu hili jamaaaa

  • @rabiaoman9535
    @rabiaoman9535 7 лет назад +8

    Very nice kiba au kipusaaa

  • @kaisarimbisso6146
    @kaisarimbisso6146 7 лет назад +1

    Tanzania tuna ushabiki wa kinafiki sana. Sasa live performance kama hii kuifanya abroad, you are unlikely to get a second call

    • @kingowaii2326
      @kingowaii2326 7 лет назад

      He did it in London and then called for the New York show with the same hosts and at the moment he is waiting to be listed for the Dubai event. #ONEAFRICAMUSICFESTIVAL.. do u remember where he got named #UNSTOPPABLE

  • @muhibuissa1163
    @muhibuissa1163 7 лет назад +1

    Mtu anakwambia amna kitu na show mbaya hana hata sababu moja ya msingi yani mtu ana imba live band kama yupo studio pigeni majungu lakini kiba mtu mwengine kabisa unstoppable bakieni ivyo ivyo

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 7 лет назад +1

    Wajina akiachaaaa umukuu n msanii mzurr ila anazinguaaa

  • @mariapaul8914
    @mariapaul8914 7 лет назад +1

    hakuna km nyinyi yaani kitu mpaka raha yaani acha wanaotaka watukuzwe wao mungu na watu wachache walewe sifa tu ila makopa😘😘😘😘kwenu king &ommy fanyeni kazi mziki wa kila mtu hakuna aliyezaliwa nao watu wameukuta na watauacha tu na drama zao za mapenzi na kiki kiki tu wanafanya mziki kutumia kiki .shenzi wanaboa

  • @franciscomohamedjumanne1136
    @franciscomohamedjumanne1136 7 лет назад +4

    king kiba unaimba mziki unaoingia mwilini,moyo na akikini kwa watu siyo mziki wa kichakichaa

  • @fadhilamgao2516
    @fadhilamgao2516 7 лет назад +2

    heshima kwako kaka king

  • @vskillsofficial1611
    @vskillsofficial1611 7 лет назад +5

    Msinkunjie kiasi iyo nyie nambien tu Alikiba na Rayvanny nani kapelea fiestan Mwanza

  • @PatsonIkula
    @PatsonIkula 5 лет назад +1

    Shishiboy kanirudisha hapa kuangalia huyu fundi wa mziki

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 7 лет назад +2

    Combination nzuri kwakweli

  • @raelkiarie4007
    @raelkiarie4007 7 лет назад +2

    Show poa

  • @rabiaoman9535
    @rabiaoman9535 7 лет назад +1

    Yeaaaaaaaaaaaa washamoto mwanza

  • @edisoncharles187
    @edisoncharles187 7 лет назад +1

    mmetisha sana @kiba na @ommy 🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @alfylegit9573
    @alfylegit9573 6 лет назад +1

    we can never compare kiba to diamond..kiba is a musician..king kiba for real

  • @julianaconradi853
    @julianaconradi853 7 лет назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥Kiba

  • @allychapa2602
    @allychapa2602 7 лет назад +3

    this is king

  • @harunncheye1909
    @harunncheye1909 7 лет назад +1

    usijefananisha kiba na vituuuu vya kijinga

  • @rehemamajaliwa4886
    @rehemamajaliwa4886 7 лет назад +1

    noma Sana'a king kiba

  • @ashirafabdallah9171
    @ashirafabdallah9171 7 лет назад +1

    kiba sio kwa sauti hiyo.umetisha

  • @castorypaschal5926
    @castorypaschal5926 4 года назад +1

    Alikiba ulifunika

  • @mathewbicco7841
    @mathewbicco7841 7 лет назад +1

    Kiba hakunaga bongo hii

  • @consolataakwabi7321
    @consolataakwabi7321 7 лет назад +2

    Love it..

  • @deewallance9354
    @deewallance9354 7 лет назад +1

    Nashangaa watu wanalazishwa kumshusha akili zenu zinafifia,

  • @ommysaid4933
    @ommysaid4933 7 лет назад +1

    Jamaa sauti ako nayo.

  • @alexlutengano687
    @alexlutengano687 7 лет назад +1

    Bonge la shoo

  • @estacharles7315
    @estacharles7315 7 лет назад +1

    kiba juuu

  • @lameckplatnum685
    @lameckplatnum685 7 лет назад

    kibakuli tatizo unalala xana boya changamka sasa umekuja NA uyo nyoko shoga wann sasa maboya nyinyi

  • @alirimanicholaijnr8985
    @alirimanicholaijnr8985 5 лет назад +1

    What a Crowd ! Waooooh

  • @walg2659
    @walg2659 7 лет назад +1

    safi sana

  • @yusuph3322
    @yusuph3322 3 года назад

    SUBSCRIBED

  • @hajinkullo312
    @hajinkullo312 7 лет назад +1

    kiba umetisha

  • @pierredeboy7472
    @pierredeboy7472 7 лет назад +1

    Ki2 live band hatareeeeeeee

  • @mbumbulicomedians3286
    @mbumbulicomedians3286 7 лет назад +1

    king

  • @hamzanamoto3332
    @hamzanamoto3332 7 лет назад +2

    duh kiba hy saut km imewekwa kinanda vile yaaaani nikajua vyombo ndio vinatengeneza hy saut kumbe ya kwako kabsa mko vzr sna ommy Ft kiba

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 5 лет назад

    Imedumu na INAENDELEA kudumu mileleee yebaba

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад

    ilo bwabwa omi linakata tu maino yaani ziro kabisa

  • @franceally7615
    @franceally7615 4 года назад

    Like za kutosha kwa Mfalume

  • @fredrikmtwanga1189
    @fredrikmtwanga1189 6 лет назад

    nakukubaly KIBA akunamwingine bongo iiii

  • @leonardkatozinyimbonzuliis3558
    @leonardkatozinyimbonzuliis3558 7 лет назад +3

    Kiba kwa show live we ni nomaaa aisee

  • @nellyfrancis3229
    @nellyfrancis3229 7 лет назад +2

    acheni ushamba nyie kiba aliingia sàa nane ucku watu wakiwa mamechoka utlinganisha na rayvan kaingia saa NNE achen ushamba kiba anajua sana

  • @jessiejy2114
    @jessiejy2114 7 лет назад

    kng kbaaa mwenyewe

  • @mwinyiadno9495
    @mwinyiadno9495 Год назад

    King Kiba 🔥🔥🔥🙌🏾

  • @danielnyambu2862
    @danielnyambu2862 4 года назад

    Sauti🔥🔥🔥🔥

  • @johnclaud2677
    @johnclaud2677 7 лет назад

    duuuuuuuuuuuu

  • @johnclaud2677
    @johnclaud2677 7 лет назад

    duuuuuuuuuuuu

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 7 лет назад

    salut

  • @stevenkomanya1442
    @stevenkomanya1442 7 лет назад

    King kibaaaaaa

  • @Washington308
    @Washington308 7 лет назад

    live band

  • @stevenkomanya1442
    @stevenkomanya1442 7 лет назад

    King kibaaaaaa

  • @linusmpenda4030
    @linusmpenda4030 7 лет назад

    napita fresh

  • @charitymartine2875
    @charitymartine2875 7 лет назад

    asante king

  • @zuenayahya4665
    @zuenayahya4665 6 лет назад

    hamisamobeto

  • @boazmtileghe949
    @boazmtileghe949 7 лет назад

    👑 ✔✔

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 7 лет назад

    😍😍😍🔥🔥👏🏽👏🏽👏🏽

  • @johnfaustine7588
    @johnfaustine7588 6 лет назад

    iko pw

  • @esposwit5213
    @esposwit5213 7 лет назад +2

    tigo

  • @ismailmsuya5129
    @ismailmsuya5129 7 лет назад

    SHOO MBOVU SANA SIJAWAI KUONA, aggghrrrrrrr uchafu mtupu,
    mhudumu plz naomba bia ya pili niwekee wimbo wa aslay😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kennethsamwely1810
    @kennethsamwely1810 7 лет назад +1

    bado sana bro,kajipange upya.

  • @abdallahchettu4513
    @abdallahchettu4513 7 лет назад

    hapa sasa cjajua show ni ya kiba au Omy dimpoz maana ALLY kiba anaimba nyimbo za omy dimpoz halafu Omy dimpioz anaongea ongea Hapa ndyio nmegundua Omy dimpioz mzee wa lift Tigo mwambie omy awarudishie hela zenu

  • @europeansecurity4323
    @europeansecurity4323 7 лет назад

    kombii Kali aajab

  • @Purplecheque
    @Purplecheque 7 лет назад

    hata haiamshi ajifunze kwa wazee wamsha amsha WCB we love all our stars ila siwez pay to see this crap hata kama ni bei chee bora nilale nyumbani raha ya tour uenjoy music live 🙅

  • @devimsuya9568
    @devimsuya9568 7 лет назад

    nyie wote mnaomkubali kibakuli mmejaa machuki miyoyoni mwenu kwa maendeleo ya mtu hy kz unaweza mfananisha na dongate. daa mondi nimoto mwingine kiba mwnyw hanajua ule nimoto mwngine kiba ni mfuta nyota budaaaaa

  • @asaamwidanyasaa6578
    @asaamwidanyasaa6578 7 лет назад

    me nilickia uyu ommy anafirwa ila xkuwah kuamini.. buut leo nimeproof mwenyewe kw ukatikaji wake yaani ni ule wa kukatikia mboo haswaaaa

  • @sharonomondi5692
    @sharonomondi5692 7 лет назад

    sufuri ZILIPENDWA Na zimetemwa

  • @esposwit5213
    @esposwit5213 7 лет назад +1

    tigo

  • @abdallahchettu4513
    @abdallahchettu4513 7 лет назад

    eti mnataka nicheze wangekuwa wanataka wachezaji si wangemchukua fally pupaaa

  • @johnmwani4068
    @johnmwani4068 7 лет назад

    Hapa ndo nimeona utofauti kati ya #officialalikiba na #diamondplatnum sitoa hata mia kuangalia show ya #kiba bola nitoe 1000000 nikaangalie show ya #hamorapa #kiba usipende kujifananisha na #mond humuwezi wewe

    • @husseinhamza2054
      @husseinhamza2054 7 лет назад

      John Mwani we bwege mondi hawezi live sauti yenyewe hana king habari nyingine ndeleeni na kiki kila kucha ndio mnacho jua

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 лет назад

    Amna kitu dadeki vanny boy ndio kafunika naona mnarukaruka tu😂😂😂😂😂

  • @aboubacarfitbae1661
    @aboubacarfitbae1661 7 лет назад +3

    amna kitu hapo 😆😆😆

  • @jallymsemwa
    @jallymsemwa 7 лет назад

    video full mbna mnazingua mamaeeeee

  • @juliusbayona1167
    @juliusbayona1167 7 лет назад

    hakuna kitu hapo mmepiga kelele tuu