EXCLUSIVE: "SUMU NDIO CHANZO CHA MIMI KUUMWA" - OMMY DIMPOZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Hii ni sehemu ya kwanza ya EXCLUSIVE INTERVIEW na Ommy Dimpoz kutoka hapa Johannesburg South Africa.

Комментарии • 3,3 тыс.

  • @benjatech91
    @benjatech91 6 лет назад +829

    Kama unamtakia dimpoz apone haraka
    Jamani gonga like..

  • @revinamussa7320
    @revinamussa7320 6 лет назад +348

    Anae muonea huruma ommy dimpozi agonge like hapa

  • @princenewton
    @princenewton 6 лет назад +101

    Kidogo 2 nitokwe na chozi jamanii😞+254 Twakuombea Ommy

  • @romanrobinyo4311
    @romanrobinyo4311 6 лет назад +92

    Kila aombae kwa mungu Atapata, cc tunakuombea uzima, , km kwl unamtaki afya njema omiy dimpo like hapa

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 6 лет назад +307

    Nakutamkia Uzima kwa Jina LA YESU Kristo, wote tuseme amen

  • @damisokaikomaboy3883
    @damisokaikomaboy3883 6 лет назад +122

    Wadau tumuombee ommy uzima Mungu amponye,,kama upo na mm gonga like na short comment

  • @gidionloshiaa2534
    @gidionloshiaa2534 6 лет назад +100

    Zaburi 118 mstari wa 17 hadi 18 (Sitakufa bali nitaishi nami nitayasimulia matendo makuu ya BWANA.. 18, BWANA ameniadhibu sana ila hataniacha nife) Ninakuombea afya njema na kwa kuwa MUNGU wetu sisi anaishi milele hakika hautakufa bali utakuwa mtumishi wake

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 6 лет назад +152

    Pole sana bro mana ata mwili ume kwisha kaka yangu ila tu Mungu ndo Mueza wa yote.

    • @sadamohamedi1866
      @sadamohamedi1866 6 лет назад +2

      dipoo mwenzangu mungu akujarie uzima kka yangu siamini umekonda sana

    • @latifaabubakar4204
      @latifaabubakar4204 6 лет назад

      Mungu ni mwema kaka omary .utapona inshallah .kaumwa kitu chengine jamani .tunakuombea sana dimpoz .

    • @mwanaidally9276
      @mwanaidally9276 6 лет назад +1

      Wasafi TV mwili kwisha siyo sababu kikubwa uponaji

    • @bettiemylie9851
      @bettiemylie9851 6 лет назад +1

      Wasafi TV 0

    • @zahidaabdullah6914
      @zahidaabdullah6914 6 лет назад

      Pole Sana mungu nimwema utapona in sha Allah

  • @mariambendera2075
    @mariambendera2075 6 лет назад +51

    inshallah ommy Mungu mwema utapona watanzania wote tunakuombea urud home Salama

    • @justingentil3165
      @justingentil3165 3 года назад +2

      kabisa kupitia mwenyezi mungu yote yatakwisha

  • @mussatendeli6909
    @mussatendeli6909 6 лет назад +123

    Millard Ayo ww ni mtangazaji mzri sana unaleta habari za uhakika kabisa wengne waongo tu nakutakia kazi njema na ommy mungu akuponye haraka

    • @mohammedally5185
      @mohammedally5185 6 лет назад

      Pole sana ommy... Ila nimependa muonekano wako wa kukonda kidogo. Bora uwe ivyoivyo

    • @mussatendeli6909
      @mussatendeli6909 6 лет назад +2

      @@mohammedally5185 hajakonda kwa kutaka duu

    • @mohammedally5185
      @mohammedally5185 6 лет назад

      Mussa Tendeli . sijasema kwa ubaya best ila alivyo sasa amekua fresh zaidi ya kipindi kile.

    • @praxedadominic6892
      @praxedadominic6892 6 лет назад +1

      maskin pole Ommy mungu mwema atakuponya roho imeniuma sana

    • @praxedadominic6892
      @praxedadominic6892 6 лет назад +1

      maskin pole Ommy mungu mwema atakuponya roho imeniuma sana

  • @bensonmwakyando5776
    @bensonmwakyando5776 6 лет назад +107

    Kwa Maelezo ya Ommy inaonesha hapa Tanzania kuna wagonjwa wengi sana wamepoteza maisha kutokana na huduma mbovu za Kitabibu na pia Hospital zetu nyingi ni ovyo hata zile kubwa hamna kitu. So nini kifanyike: serikali ijikite kweny huduma za kijamii hasa Huduma za Afya na kuachana na mambo ambayo hayamsaidii mtanzania wa kawaida.

  • @kezajeannettemisago8694
    @kezajeannettemisago8694 6 лет назад +70

    Nazani kama hiyi hali ya Ommy inaweza kuwapa funzoMondi na Alikiba waache upinzani ! Wakumbuke kam yote ni mapito ! Leo Ommy anaongea hauwezi kujuwa tena kama ni yeye
    Mungu akusaidie upone Kwa jina la yesu christo 🙏🏾

  • @Bongo1Media
    @Bongo1Media 6 лет назад +118

    Nashindwa kuwaelewa walio Unlike 😂😂😂😂😁😂sasa wame unlike aliehojiwa sio yeye au nn 😎😎😎😎watu wana roho mbaya

    • @kaylaminani5296
      @kaylaminani5296 6 лет назад +2

      HIGH TechTz mi pia sa kipi kilicho fanya waunlike 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔au mtu sihojiwe

    • @ezebabayos5496
      @ezebabayos5496 6 лет назад +6

      Wengine hawajui maana yake wanabofya tu

    • @blacknature7637
      @blacknature7637 6 лет назад +3

      Watu Wana roho mbaya kweli ila tz Ni number one

    • @charzyboniphace552
      @charzyboniphace552 6 лет назад +1

      Wajinga tu na sio waelewa

    • @mosescharles5477
      @mosescharles5477 6 лет назад +1

      HIGH TechTz daah😂😂😂

  • @patrickmugisha3043
    @patrickmugisha3043 6 лет назад +34

    From Kenya tunakuombea

  • @grainmakasi2738
    @grainmakasi2738 6 лет назад +43

    Yan iyo hospital ya Tanzania iliyosema unakansa inapaswa kushtakiwa. Unawezaje mpima m2 kansa kwa ct scan bla Kukata Kinyama kwa Kesi km ya dimpoz. . Tz wa2 wanakufa Kabla ya cku zao. Ommy angekua maskini tungempoteza. Ila mungu mkubwa

  • @annajoseph9959
    @annajoseph9959 6 лет назад +37

    Namuonea huruma kuongea kwake naona anapata shida kweli anakaukiwa mate jamani.

    • @tumajuma6917
      @tumajuma6917 6 лет назад +1

      Kweli

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 6 лет назад +1

      Mungu atazidi kumpigania atakua Sawa na pia atarikava mana amepungua c mchezo

    • @tumajuma6917
      @tumajuma6917 6 лет назад

      @@salimaamir5561 Aameen

    • @annajoseph9959
      @annajoseph9959 6 лет назад

      @@salimaamir5561 yaan we acha tu mungu atamponya tu

  • @zuhuramwalimushabani8836
    @zuhuramwalimushabani8836 6 лет назад +37

    Binadamu tunaogopana sasa dunia imekua ya ajabu kuliko kakakuona
    M/Mungu atakuafu inshallah na aliehusika pia ampe maisha marefu ashuhudie afya yako

  • @tinivanny7562
    @tinivanny7562 6 лет назад +26

    pole sana Ommy Allah aendelee kukulinda na kukuepusha na kila aina ya mabalaa na hasad . AAMIN .
    ILA CHA KUKUMBUSHA AKHY USISAHAU SANA IBADA NA UKASHIKILIA MAISHA YA DUNIA KUMBUKA HUO PIA ULIKIWA MOJA WAPO YA UKUMBUSHO KWA MOLA WAKO HIVYO BASI USIPUUZE MANA ALLAH ANANJIA NYINGI SANA ZA KUNFANYA MJA WAKE AMRUDIE YEYE NA KUMUABUDU .
    NA CHA KUKUMBUSHIA PIA AKHY USISAHAHU KUTOA #SADAQA AMBAZO PIA ALLAH HUZIPOKEA KWA KUWAKINGIA WATU NA MABALAA YA HAPA NA PALE.
    WE LOVE U OMMYDIMPOZ .UWE NA MAISHA MEMA

  • @khudhrathussein3497
    @khudhrathussein3497 6 лет назад +60

    Duh....u were in a very hard time....so sorry Ommy tunakuombea. Big love from Kenya get well soon# khudhrat

  • @abdullahibarre3340
    @abdullahibarre3340 6 лет назад

    kwa hiyo madaktari za kenya ni wazuri kuliko madaktari ya Tanzania

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 6 лет назад +44

    Upasuaji wa koo na pua lazima hadi sauti ibadilike. Mwanangu alifanyiwa ya pua alikuwa anaongea kama mwanamke vile.. Pole sana kaka!

    • @diweni441
      @diweni441 6 лет назад +1

      Muddyb Mwanaharakati duuu pole sana.

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 6 лет назад +1

      Ahsante kaka. Ilikuwa shida kubwa! Dogo ilikuwa kulala shida tupu.

    • @idrisasalum8013
      @idrisasalum8013 6 лет назад +1

      Muddyb Mwanaharakati pole br

    • @nahodahassan6938
      @nahodahassan6938 6 лет назад +1

      Pole sana

    • @joelbenard8768
      @joelbenard8768 6 лет назад +1

      Baadae ilikuwaje?ilibadilika au laa!

  • @جميلةجميلة-ع5ن1ق
    @جميلةجميلة-ع5ن1ق 6 лет назад +24

    Pole sana ommy ina niuma sana kwa yote uliyo pitia tuzidi kumuomba ALLAH akupe afya na umri Inshallah from Kenya to Iraq

    • @lucyjohn8091
      @lucyjohn8091 6 лет назад

      جميلة جميلة

    • @abdulqareem953
      @abdulqareem953 6 лет назад

      In Shaa Allah is the right way to right it

    • @mariammubbah3446
      @mariammubbah3446 6 лет назад

      جميلة جميلةpole sana Ommy Allah atakufanyia wepesi utapona Inshaallah

  • @movietvtz5637
    @movietvtz5637 6 лет назад

    Nakumbuka maneno ya Sam wa ukweli aliposema Bora wali nyama kuliko walimwengu

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 6 лет назад +82

    Pole sana kaka mungu yuko nawe

    • @suzynasra5990
      @suzynasra5990 6 лет назад

      Pole sana mungu mkubwa

    • @aishamjungu4888
      @aishamjungu4888 6 лет назад

      Tinya Anosiatha pole mdogo wangu mungu Atakufanyia wepesi Tuseme inshaallah

    • @nahdamohd2965
      @nahdamohd2965 6 лет назад

      Mungu mkubwa atakupa Afya yako uwe kama zamani zanzibar

    • @kabolamaganga3229
      @kabolamaganga3229 6 лет назад

      Neema David ommy dimpo pole sana mung akusimamie

  • @khalidkhalid-ks6wd
    @khalidkhalid-ks6wd 6 лет назад +21

    Mmm kwa ugonjwa huo mzee baba inaonekana mkwanja umepotea kwa mtu wa kijijini tunamzika.. Ni mtihani kutoka kwa ALLAH ila acha mziki kwenye uislaam kuimba ni zambi.KHERI MINAALLAH SHARI MINAALLAH.

    • @bimkubwaali1605
      @bimkubwaali1605 6 лет назад +2

      khalid khalid khaaaa nani kakwambia kuimba thawabu we veepee.kwa muslim kuimba zambi ukijitambuwa unawacha mara moja wapi mzeee yussuf allah ampe neema zaid katika mji huu ameeen

    • @SoulfulHealthHQ
      @SoulfulHealthHQ 6 лет назад

      @@mallyadismas9892 uharamu wake uko kwenye uislamu na sio Imani yako bro

    • @abbyconscious791
      @abbyconscious791 6 лет назад +1

      mallya dismas unaposema vichwa maji unakua unakosea unawaingiza na wengine wasio husika wacha kauli kam izo simama kwenye imani yako na usidharau iman ya mwenzio kasem kw muislam kuimba ni dhambi sasa ww yanakuhusu nini mpaka uingilie iman isiyokuhusu na alichokiongea ni kwel kipo kimeandikwa sasa utamwambiaj kakosa ilmu wakati kasoma na kaelewa kuwa kuimba ni dhambi.

    • @khalidkhalid-ks6wd
      @khalidkhalid-ks6wd 6 лет назад

      Lazima usema vichwa maji na kuimba si haram sababu wewe ni Mallya dismas ni mtu wa kanisa kuimba kwenu eti kusamehewa kwenu sasa nani kichwa maji unafikiri Mungu anashida ya vinanda na gitaa.

  • @bonifacearon3643
    @bonifacearon3643 5 месяцев назад +1

    Pole sana mdogo wangu Ommy dimpoz.mungu ni mwema tunakuombea ndg yetu.

  • @rozinahamisi84
    @rozinahamisi84 6 лет назад +34

    Maskini amebadilika sauti mwili amekonda ya Allah mjalie mja wako huyo afya njema na uponaji wa haraka Amiin

  • @gracegange1419
    @gracegange1419 6 лет назад +11

    Nimelia sana sana inahuzinsha xna neno hapo maana maisha Yetu yapo mikononi mqa MUNGU akisema ndio hakuna Wa kupinga

  • @faithwambui407
    @faithwambui407 6 лет назад +9

    Wangapi wamepoteza maisha tz kwa kukosewa matibabu,ommy mtumikie mungu amekuokoa

  • @chikondotv6530
    @chikondotv6530 6 лет назад +40

    Hawa Dr wa tz wanaweza wakakuua kwa pressure tyu maana unaumwa jino unatibiwa pua noma sana

  • @barakadechunda7466
    @barakadechunda7466 6 лет назад +27

    pole sana ommy,comment amen kumuombea ommy

  • @work4lifenews276
    @work4lifenews276 6 лет назад

    POLE SANA NDUGU YANGU MUNGU NDIYE MKUBWA UTAJIWEZA HATA SAUTI YAKO IMEBADILIKA

  • @joymerciem2054
    @joymerciem2054 6 лет назад +13

    No temptation has overtaken you except that which is common to mankind. God is faithful He will not allow you to be tempted beyond what you can bear. He will provide a way out so you will be able to endure it. 1 cor. 10:13. I wish you a quick recovery. THERE IS A GOD IN HEAVEN WHO HEALS. take heart He is with you

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 6 лет назад +72

    Ommy nakwelewa vizuri sana juu huu ugonjwa ulikuwa na dadangu pia alikuwa hali mungu mkubwa wewe umeujuwa mapema dadangu alikuja kujuwa kuchelewa mpaka akapoteza maisha Allah atakuponya ☝️

  • @onlinetzmedia
    @onlinetzmedia 6 лет назад +1

    pole sana aiseee daaah maskin umekonda sana 😣😣 It's pain.
    ruclips.net/channel/UCTZs15hG3gPgk0J7u4NgPhg?view_as

  • @brightonshakila6406
    @brightonshakila6406 6 лет назад +28

    Poleee Yesu akuponye kabisaaa.... Big up Millard uko vizur napigana kufanya kazi kwa Bidii kama ww though si utangazaji

    • @josendaki2321
      @josendaki2321 6 лет назад

      Mungu akuponye

    • @ruzimajonas8975
      @ruzimajonas8975 6 лет назад

      Mungu atamponya Star wetu

    • @omartehseen2128
      @omartehseen2128 6 лет назад

      Martha Wilson kati ya Mungu na yesu nani anayeponya?
      Luka 6:12 Ikawa siku zile(yesu) aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu.

    • @alhajimohamedi7444
      @alhajimohamedi7444 6 лет назад

      Anataponywa na Mungu na sio Yesu,,,,,yesu Anamuomba mungu pia

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 6 лет назад +64

    Dah.. kiukwel binaadam hujafa hujaumbika🙏🙏.. turudini kwa mungu maisha ni mafupi sana,, pole sana broo🙏

  • @dinahnyagosaima1259
    @dinahnyagosaima1259 2 года назад +1

    Pole sana .Tunamshukuru Mungu sana.
    Haya hapa baba yake hakujitokeza kumsaidia hata kujitangaza kwenye shida ila kwenye raha ndio anajitokeza Mungu simama na watoto wanaolelewa upande mmoja bila msaada wa upande wa pili iwe Kwa mama au kwa baba

  • @abdirahman883
    @abdirahman883 6 лет назад +14

    Allah amekukumbusha ndugu yangu hio ni gift from Allah umenikumbusha kijana ana yoitwa. Ali banat. So mda huu uliyobaki tumia kwa ibada sana nenda hijja urudi kwa allah achana na mziki kabisa akhuy.

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 6 лет назад +4

      Abdirahman Mahamed kweli kabisa Mwenyezimungu anakupenda anahitaji umrudie

    • @ummymohamed1261
      @ummymohamed1261 6 лет назад +1

      ni kweli allah amempa mtihani mzito hana budi kuushinda tumuombee amfanyie wepeai

    • @ichukagaum9732
      @ichukagaum9732 6 лет назад +2

      Kabsa Maradhi ni ukumbusho kwa Allah, Mungu amfanyie weps apone🙏

    • @sajienock1375
      @sajienock1375 6 лет назад +1

      Una uhakika hafanyi ibada au na ww ukiumwa itamaanisha hufanyi ibada?

    • @abdirahman883
      @abdirahman883 6 лет назад +2

      @@sajienock1375 sina uhakika ukumbusho wango au point nayo maanisha nikwamba azidishe ibada yake kwa sana maana mungu amemkumbusha kuna wengine wanakufa ghafla bila hata kuumwa wangetamani waumwe ili wakumbushwe.. so ugonjwa ni moja wapo ya ukumbusho mungu kampenda sana.

  • @khadijaabbas468
    @khadijaabbas468 6 лет назад +102

    Maskini amekonda sana 😢 mungu atampa shifaa

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +1

    Wewe na King Kiba msije mkaachana wala kugombanishwa kwa namna yoyote ile...pia huyo governor wa kenya yani ndio mumfanye kama baba na Mungu wenu wa pili wewe na kiba sbb ana roho nzur sana...pole sana sana

  • @fatumamohamedi6892
    @fatumamohamedi6892 6 лет назад +28

    nani huyu alimpa sumu huyu kk jaman khaaaaaa walimwengu mwenyez mungu akuponye awashangaze walimwengu mnanini lakni khaaaaaaaaa walimwengu😭😭😭

  • @sativa17-h1t
    @sativa17-h1t 6 лет назад +146

    pole sana kaka dimpoz hakika umetesekaa sanaa!!! .. ona sauti ya kakaetuu.. daaa!!! naamin utapona na utard vzurii.. kma unaimani kma yangu coment A.M.E.N!!! 🙏

  • @Nickojunior
    @Nickojunior 6 лет назад +11

    Aaaah sauti hata kakukimbia duh pole sana brother

  • @mondo-carmalulu6977
    @mondo-carmalulu6977 5 лет назад +2

    pole sana ommy dimpoz mungu atasaidia t yan dah pole sana aiseeee

  • @gabrielsimiyu3137
    @gabrielsimiyu3137 6 лет назад +18

    Ommy dimpoz utapona ndio sauti haipo poa lakini mungu apo

  • @galbyhayuuni5294
    @galbyhayuuni5294 6 лет назад +6

    SubhanAllah!....Allah Akupe shifaa ya haraka my brother....its so sad bt ndo majaliwa

  • @latifamatayo3826
    @latifamatayo3826 3 года назад +1

    Pole sana ommy unaumwa sana ata sauti inajiinheshaa

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 6 лет назад +11

    Ahsante sana millard ayo kwa taarifa hii Allah akubariki pole sana ommy Allah akupe shifaa

  • @jumasingano9157
    @jumasingano9157 6 лет назад +16

    Pole sana Dimpoz,,, Mungu akuponye

    • @francischilonga4605
      @francischilonga4605 6 лет назад +1

      juma singano mrom Tanzania tunamuombea kwa mung spate uzma

    • @fabianimuachenianaumwamafu3080
      @fabianimuachenianaumwamafu3080 6 лет назад

      Malipo niapa apa site njia yetu moja unaweka sum mwenzio are unapata nn tujifunze kwakwel uwz jua adui yako

    • @fatumajumbe3432
      @fatumajumbe3432 5 лет назад

      juma singano Pole sana Ommy M/Mungu Akuponye Naurud Home Salama

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +1

    Yani hadi saut ilipotea dah Mungu atazidi kutukuzwa daima...Amen

  • @rukiamalkia3664
    @rukiamalkia3664 6 лет назад +13

    Pole sanaa kakang allah akuvusha hapo na pengine Inshaallah allah Kareem

  • @rebeccabalumba5255
    @rebeccabalumba5255 6 лет назад +25

    Mungu asifiwe kukuona tena kaka yetu.

  • @winiemichael5019
    @winiemichael5019 6 лет назад

    Duh, hii dunia kunamambo pole sana Ommy, mungu akuponye

  • @lucyakinyi5128
    @lucyakinyi5128 6 лет назад +13

    We at 254 kenya tunakuombea Ommy ,,,Mungu anaweza yote,,plz advice ndogo tu kuwa makini na unachokula wanadamu wabaya usipokee tu vitu kwa mtu na ule ata kwa restaurant usiende washroom kama hujaliza chakula ama kinywaji chako yote tisa kumi Mungu mbele

  • @saigonchiwanga9987
    @saigonchiwanga9987 6 лет назад +81

    Kweli Madaktar wa Bongo wanaweza kukuua Kisaikolojia kabla ya Ugonjwa wenyewe, Ona xa walimwambia bro ana cancer ya koo kumbe cyo... 😢 😢

    • @jemakhalifa6807
      @jemakhalifa6807 6 лет назад

      hahaaaaaaa

    • @willylugiko5237
      @willylugiko5237 6 лет назад

      nahisi madaktari walimweleza kutokana na vipimo walivyomfanyia kuwa yaweza kuwa ni saratan ndo chanzo cha kulika kwa koo la chakula ndo maana walimfanyia biopsy na barium swallow huko lengo ni kuangalia kama yaweza kuwa saratan, pole bro ugua pole

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 6 лет назад +1

      Yaani ni washenzi sana

    • @zedyramy8203
      @zedyramy8203 6 лет назад +1

      Daah ya binadamu mengi

    • @mchopsmagott1754
      @mchopsmagott1754 6 лет назад +1

      Aisee yan apa bongo kwenye suala la afya /maradhi unaweza kupoteza maisha kama shilingi yako ni ndogo

  • @mariamtambwe8665
    @mariamtambwe8665 6 лет назад

    Aliye kupa hiyo sumu alikuwa na hasira ya kiasi gani kweli? ila khafur rahim amsameh maana sisi wote ni wakosefu

  • @zuriatibaguma1040
    @zuriatibaguma1040 6 лет назад +11

    pole sana! Ishaallah Allah akuondolee maradh yanayokusumbua

  • @fettymunishi380
    @fettymunishi380 6 лет назад +10

    Dah jmn.kak angu.polee xna.mpk xaut imekauka utapona.ucjali mtegemee mungu tuu

  • @hassancnde7196
    @hassancnde7196 6 лет назад

    Pole sana blather mungu atakupa afuen bg ap blo milad ayo

  • @damarisedna532
    @damarisedna532 6 лет назад +19

    Pole sana mdogo wangu mungu wetu yupo utapona mungu ni wetu sote.....

    • @ramseyjames1786
      @ramseyjames1786 6 лет назад

      P0le sana kaka , mwenyez mung akupe wepesi utakuw sawa 2 in the name of god

  • @lemashonsylvia1334
    @lemashonsylvia1334 6 лет назад +16

    Quick recovery ommy all shall be well prayers for you❤❤

  • @famiathereziadorcas544
    @famiathereziadorcas544 6 лет назад

    ivyo hao wasio like Wana nn lakini...daah pole Sana #ommy

  • @dahbossqueentalkshow3778
    @dahbossqueentalkshow3778 6 лет назад +11

    Pole sana Ommy praying 🙏 for you and we miss your shows here in Germany 🇩🇪 quick recovery

  • @swaumumustaphamapondanga4707
    @swaumumustaphamapondanga4707 6 лет назад +14

    Pole ommy mungu atakufanyia wepesi kwa uwezo wake inshallah👏tunakuombea dua njema my😭

  • @neemashao5314
    @neemashao5314 6 лет назад

    inauma sana ila Mungu anakusud na maisha yko,,kesho yko inakuja ya uponyaji amin ni kipnd tu unapitia ,,kma ulivyoamini na kupasuliwa ukijua kma cku yako haijafika huwez kupoteza maisha kwa mapnz ya wanadamu wabaya juu yko!!

  • @luchymdoe3351
    @luchymdoe3351 6 лет назад +20

    pole bro Mungu wetu ni mwaminifu utapona kabisa poleee sana aise daah tunazidi kukuombea

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 6 лет назад +16

    Aisee, dah pole sana brother Ommy D aisee. Hata sauti imebadilika sana aisee ila Mungu ashukuriwe mno kukuponya ndugu yangu. Nazidi kukuombea, na Watanzania tuzidi kukuombea bro.

  • @annayona3194
    @annayona3194 6 лет назад

    Da!!! Mpaka sauti imebadilika pole mdogo wangu

  • @swalahdinmarrymohamed5057
    @swalahdinmarrymohamed5057 6 лет назад +9

    Pole xna ma brother mungu azd kukupa wepesi mwamin mungu hakuna kinchmxhnda mung

    • @rajabuabdal4521
      @rajabuabdal4521 5 лет назад

      Swalahdin marry Mohamed mungu atakujalia broo

  • @jacklinicholobi8074
    @jacklinicholobi8074 6 лет назад +14

    nimejikuta machozi yamenitoka Sana jamani mungu azidi kukuponya kaka

    • @tatuyusuph1936
      @tatuyusuph1936 5 лет назад

      unimwakampya wapendwainatakiwa tusameanemakosayetu kamakunaaliekuaaongeina omidipozibasiamsamesana nakampemkonoomidipozi kwakutamkapia unimwakampyanamambomapya wanadamutusipende kuishikwamabifumabifu yasiyonamiguwalamikono mwezenuanaumwa inatakiwammuombekwabidi leoyeyekeshokwamwingine kaenimkitambuakua dunianitumekujakutembea tumalamojahatunamsawala tale

  • @zuhramiraji1242
    @zuhramiraji1242 6 лет назад

    pole sana, naamin ni mtihani tuu lakn mungu atakuhafu, allhamdulillah

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад +7

    Kumwona ommy Hali aliyo jaman nimejikuta nalia pole ommy.

  • @christsflowe.r
    @christsflowe.r 6 лет назад +12

    Receive your healing in Jesus name. Amen
    You will be okay with God nothing is impossible

  • @rahmaratifa2580
    @rahmaratifa2580 5 лет назад +1

    mungu yupo pamoja nawe ameni

  • @hadijashabani2686
    @hadijashabani2686 6 лет назад +12

    Pole sana broo😢💞💞Allah u pamoja nawe

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 6 лет назад +14

    😳😳😳 ivi kweli jamani daaaah Mungu alhamdulillah ulipangalo lako halipingwi ila Binadam wako tuko na majaribu sema wewe hushindwi Alhamdulillah Inshallah Ommy utapota

  • @annayona3194
    @annayona3194 6 лет назад

    Mpaka nimelia aisee aliyekupa hiyo sumu aanze kufa yeye shwetani mkubwa

  • @kayakezmartine948
    @kayakezmartine948 6 лет назад +37

    inauma sana hadi majozi yamenitoka ila mwenyezi mungu yuko pamoja nawe🙇❤

  • @alishaznaheer6139
    @alishaznaheer6139 6 лет назад +11

    Allah atakuaf inshallah umekonda maskin kaka etu

    • @agreymsemwa8021
      @agreymsemwa8021 6 лет назад

      Alishaz Naheer sasa mtu akiaumwa huw ananenepa? Jamn si maneno mazur hy please

  • @momadesalimo9304
    @momadesalimo9304 6 лет назад

    millardiayo ni noma umefkia hapo asante sana
    ommy pole sana ndugu yangu

  • @_kiki14
    @_kiki14 6 лет назад +24

    Umetoka ICU God is faithful na azidi kukuponya..i dedicate to you shukurani by gozbert

    • @nastick100
      @nastick100 6 лет назад +1

      Mung amponye vyema ameen

  • @Myright888
    @Myright888 6 лет назад +31

    Haijalishi imani yangu ni Christian lakini nakuombea sana ndugu yangu Ommy, Mungu akuguse upya, pokea uponyaji in Jesus Christ of Nazareth. Mungu akufanyie Muujiza huu wa uponyaji kwa ajili ya utukufu wake.
    Amen.

    • @mohamedmzee850
      @mohamedmzee850 6 лет назад +3

      Christian n Muslim wamoja sote n watoto wa mungu mmoja sioni tafute mungu akujalie n moyo huo huo

    • @Myright888
      @Myright888 6 лет назад +1

      Asante kaka, Mungu akuzidishie umekua wa tofauti. Shukran

    • @lucylupa4018
      @lucylupa4018 6 лет назад +1

      Amen

    • @victorianamajojo9737
      @victorianamajojo9737 6 лет назад

      Pole omidimp mungu atakusaidia

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 6 лет назад

    pole mnoo.na hongera kuwa na management nzuri yenye kujali hali ya afya

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 6 лет назад +3

    fanya mazoez ndugu ommy d life goes on ningekuwa najua unapatikana wap ningekuletea dawa bulee bila ela yoyote ambayo unachanganya na asali unatumia kwa ajili ya kuweka mwil sawa na kuondoa sumu katika maeneo yote ya mwil pia una weza ukaichanganya ma uji kama huna asal nitafute kupitia namba hii 0716992007 .nakutakia afya njama ommy d

    • @makrinamsakati9131
      @makrinamsakati9131 5 лет назад

      Mungu ni mwema hakun jina lingine pole kwa yote tupo pamoja team dimpoze

  • @asianataliamhina3987
    @asianataliamhina3987 6 лет назад +8

    Mungu atakuponya Omary. Mungu wetu hashindwi na jambo. Upone haraka.

  • @mrrealke4097
    @mrrealke4097 Месяц назад +1

    Mungu ana nguvu sana

  • @jayratumaulid582
    @jayratumaulid582 6 лет назад +13

    Asante sana Millard Allah akuongoze katika kazi yako in Sha Allah

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 6 лет назад

      Jayratu Maulid Dada yangu naomba uclick hii link uje uniangalie Nikki by nyimbo za kiislam ruclips.net/video/RYymubC6qpY/видео.html

    • @jayratumaulid582
      @jayratumaulid582 6 лет назад

      mustapha zain sawa in shaa Allah

  • @roseboaz1819
    @roseboaz1819 6 лет назад +77

    aiseee ommy nakuomba baada ya apo okoka,,
    nenda ukabatizwe na umkubali YESU KRISTO kua bwana na mokozi wa maisha yako,,
    otherwise unakua unafanya kazi bure,,Amini ivo
    please nakuomba kafanye ivo utakua

    • @mwanaidlibabu399
      @mwanaidlibabu399 6 лет назад +5

      Rose Boaz we fala kweli aokoke hy vp umesikia kafir huyo

    • @roseboaz1819
      @roseboaz1819 6 лет назад

      Charlie Vlogs thank you muuuch😘

    • @africanboy6921
      @africanboy6921 5 лет назад +2

      Kwani dini yake haiwez kumuokoa mpaka aokoke au yy ni kafir

    • @nadedjanadedjinakimanu1685
      @nadedjanadedjinakimanu1685 5 лет назад

      Iyo nimuislam bwana sio lazima amfate Jesus. Ataokokea kwa dimiyake

    • @yusuphmashalla4434
      @yusuphmashalla4434 5 лет назад

      We msenge kwel yan...kuokoka ndo upon cancer??ungemshaur kumwomba ALLAH awe na mwsho mwema..na kufanya touba piah..kumwombea apone na si vinginevyo..acha usengee

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 6 лет назад

    Pole brother
    BWANA YESU akupe afya njema tena

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 6 лет назад +12

    Afadhali hao wakenya walikua wazi na kwambia waweza kwenda South Africa
    Sio kama huyo wetu wa tz alie taka kuua mapema alipo sema kua una kansa bila vpimo
    Allah atakupa afueni ya haraka

    • @bahatimabula2455
      @bahatimabula2455 6 лет назад +1

      fauz ishma Dah shida ya hospital zetu wanaropoka tuuu bila vipimo

    • @hassankirima6664
      @hassankirima6664 6 лет назад

      fauz ishma

    • @mayamohamad710
      @mayamohamad710 6 лет назад

      😂😂😂😂 doctor wetu nomaaa tz bila Kiki siku aziendi Kiki kwa kila kitu daktari ana adabu huyo

    • @fauzishma8033
      @fauzishma8033 6 лет назад

      @@mayamohamad710waenda hospital daktari akuuliza waumwa wapi wamweleza chakula hakipiti hapa kooni ispokua kwa shida kisha daktari hata bila vipimo akwambia Una kansa si ashakua huyo

  • @adamleonard502
    @adamleonard502 5 лет назад +3

    Daaah !! Jamaa kakonda adi saiti yake imepote jaman baba nainai pole MUNGU yu pamoja na wewe

  • @bibieflorence5069
    @bibieflorence5069 6 лет назад

    umepungua lkn bado unavutia tena ndotumezid kukupenda zaid

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 6 лет назад +7

    Mungu akuponye Ommy tunakuombea.🙏🙏

  • @estherkibui2371
    @estherkibui2371 6 лет назад +49

    Get well soon bro💕+254

  • @marcoabel3700
    @marcoabel3700 6 лет назад

    pole sana bro but worry out u'll recover!!!

  • @aboudimpoz8047
    @aboudimpoz8047 6 лет назад +3

    Allah Atakupa shiff Dugu Yang ommy Dimpoz Dua zetu zipo kwa ajili Yako

  • @pena_tz
    @pena_tz 6 лет назад +7

    pole sana broo

  • @rajabadamjr1893
    @rajabadamjr1893 5 лет назад +1

    😰😰😰 Dahhh pole Sana OMMY DimpoZ tunkuombea upone kwa haraka Inshaallah Amiyn

  • @missfahimakenya4583
    @missfahimakenya4583 6 лет назад +13

    Pole Sana kakangu Allah akuponye